1Vyresnysis išrinktajai poniai ir jos vaikams, kuriuos aš myliu tiesoje,ir ne tik aš vienas, bet ir visi, kurie yra pažinę tiesą,
1Mimi Mzee nakuandikia wewe Bimkubwa mteule, pamoja na watoto wako ninaowapenda kweli. Wala si mimi tu ninayewapenda, bali pia wote wanaoujua ule ukweli wanawapenda ninyi,
2dėlei tiesos, pasiliekančios mumyse ir būsiančios su mumis per amžius.
2kwa sababu ukweli unakaa nasi milele.
3Su jumis tebus malonė, gailestingumas, ramybė nuo Dievo Tėvo ir nuo Viešpaties Jėzaus Kristaus, Tėvo Sūnaus, tiesoje ir meilėje.
3Neema na huruma na amani zitokazo kwa Mungu Baba na kwa Yesu Kristo, Mwana wa Baba, zitakuwa pamoja nasi katika ukweli na upendo.
4Labai nudžiugau, radęs tavųjų vaikų, vaikščiojančių tiesoje, kaip reikalauja iš Tėvo gautasis įsakymas.
4Nilifurahi sana kuona kwamba baadhi ya watoto wako wanaishi katika ukweli kama Baba alivyotuamuru.
5O dabar prašau tave, ponia,ne kaip rašydamas naują įsakymą, bet kaip tą, kurį turėjome nuo pradžios,kad mylėtume vieni kitus.
5Basi, Bimkubwa, ninalo ombi moja kwako: tupendane. Ombi hili si amri mpya, bali ni amri ileile tuliyokuwa nayo tangu mwanzo.
6O meilėtai gyventi pagal Jo įsakymus. Toks ir yra įsakymas, kurį girdėjote nuo pradžios: kad gyventumėte pagal jį.
6Upendo maana yake ni kuishi kwa kuzitii amri zake Mungu. Amri niliyoisikia tangu mwanzo ndiyo hii: mnapaswa nyote kuishi katika upendo.
7Po pasaulį pasklido daug suvedžiotojų, kurie neišpažįsta Jėzaus Kristaus, atėjusio kūne. Toks yra apgavikas ir antikristas.
7Wadanganyifu wengi wamezuka duniani, watu ambao hawakiri kwamba Yesu Kristo amekuja kwetu akawa binadamu. Mtu asemaye hivyo ni mdanganyifu na ni Adui wa Kristo.
8Žiūrėkime savęs, kad neprarastume, ką esame nuveikę, bet kad gautume visą atlygį.
8Basi, jihadharini ninyi wenyewe ili msije mkapoteza kile mlichokishugulikia, bali mpate tuzo lenu kamili.
9Kas tik peržengia ribą ir nesilaiko Kristaus mokymo, neturi Dievo. Kas laikosi Kristaus mokymo, tas turi ir Tėvą, ir Sūnų.
9Asiyezingatia na kudumu katika mafundisho ya Kristo, bali anayakiuka, hana Mungu. Lakini anayedumu katika mafundisho hayo anaye Baba na Mwana.
10Jei kas ateina pas jus ir neatsineša šio mokymo, to nepriimkite į savo namus ir nesveikinkite,
10Basi, kama mtu akija kwenu bila kuwaleteeni mafundisho hayo, msimkaribishe nyumbani kwenu, wala msimsalimu.
11nes, kas jį sveikina, dalyvauja jo piktuose darbuose.
11Maana anayemsalimu mtu huyo, anashirikiana naye katika matendo yake maovu.
12Turėčiau dar daug ką jums parašyti, bet nenoriu to daryti ant papiruso ir rašalu. Aš tikiuosi pas jus atvykti ir pasikalbėti iš lūpų į lūpas, kad mūsų džiaugsmas būtų tobulas.
12Ninayo mengi ya kuwaambieni lakini sipendi kufanya hivyo kwa karatasi na wino; badala yake, natumaini kuwatembeleeni na kuzungumza nanyi ana kwa ana, ili furaha yetu ikamilike.
13Tave sveikina išrinktosios tavo sesers vaikai. Amen.
13Watoto wa dada yako mteule wanakusalimu.