1Petras, Jėzaus Kristaus apaštalas, ateiviams, pasklidusiems Ponte, Galatijoje, Kapadokijoje, Azijoje ir Bitinijoje,
1Mimi Petro, mtume wa Yesu Kristo nawaandikia ninyi wateule wa Mungu Baba, ambao mmetawanyika na mnaishi kama wakimbizi huko Ponto, Galatia, Kapadokia, Asia na Bithunia.
2išrinktiems išankstiniu Dievo Tėvo numatymu, Dvasios pašventinimu, kad būtų klusnūs ir apšlakstyti Jėzaus Kristaus krauju. Tepadaugėja jums malonė ir ramybė!
2Mungu Baba aliwateua ninyi kufuatana na kusudi lake, na mmefanywa watakatifu na Roho, mpate kumtii Yesu Kristo na kusafishwa kwa damu yake. Nawatakieni neema na amani tele.
3Tebūnie palaimintas Dievas, mūsų Viešpaties Jėzaus Kristaus Tėvas, kuris iš savo didžio gailestingumo Jėzaus Kristaus prikėlimu iš numirusių atgimdė mus gyvai vilčiai,
3Asifiwe Mungu na Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo! Kwa huruma yake kuu alitufanya tuzaliwe upya kwa kumfufua Yesu kutoka wafu. Ametujalia tumaini lenye uzima,
4nenykstančiam, nesuteptam ir nevystančiam palikimui, kuris paruoštas jums danguje.
4na hivyo tunatazamia kupata baraka zile ambazo Mungu aliwawekea watu wake. Mungu amewawekeeni baraka hizo mbinguni ambako haziwezi kuoza au kuharibika au kufifia.
5Dievo jėga per tikėjimą jūs esate saugomi išgelbėjimui, kuris parengtas apsireikšti paskutiniu laiku.
5Hizo zitakuwa zenu ninyi ambao kwa imani mnalindwa salama kwa nguvu ya Mungu kwa ajili ya wokovu ambao uko tayari kufunuliwa mwishoni mwa nyakati.
6Tuo džiaukitės, nors dabar, jei reikia, trumpai kenčiate įvairiuose išmėginimuose,
6Furahini kuhusu jambo hilo, ijapokuwa sasa, kwa kitambo kidogo, itawabidi kuhuzunika kwa sababu ya majaribio mbalimbali mnayoteseka.
7kad jūsų išbandytas tikėjimas, brangesnis už pragaištantį auksą, nors ir ugnimi ištirtą, būtų pripažintas vertas gyriaus, garbės ir šlovės, kai apsireikš Jėzus Kristus.
7Shabaha yake ni kuthibitisha imani yenu. Hata dhahabu yenyewe ambayo huharibika, hujaribiwa kwa moto; hali kadhalika na imani yenu ambayo ni ya thamani zaidi kuliko dhahabu, ni lazima ijaribiwe ipate kuwa thabiti. Hapo mtapokea sifa na utukufu na heshima Siku ile Yesu Kristo atakapofunuliwa.
8Jūs mylite Jį, nors ir nesate Jo matę; tikėdami Jį, nors ir neregėdami, džiaugiatės neišsakomu ir šlovingiausiu džiaugsmu,
8Ninyi mnampenda ingawaje hamjamwona, na mnamwamini ingawa hamumwoni sasa. Hivyo, mnafurahi kwa furaha tukufu isiyoelezeka,
9gaudami jūsų tikėjimo tikslą sielų išgelbėjimą.
9kwa sababu mnapokea wokovu wa roho zenu ambao ni lengo la imani yenu.
10Šito išgelbėjimo ieškojo ir kruopščiai jį tyrinėjo pranašai, kurie pranašavo apie jums skirtąją malonę.
10Manabii walipeleleza kwa makini na kufanya uchunguzi juu ya wokovu huo, wakabashiri juu ya neema hiyo ambayo ninyi mngepewa.
11Jie tyrinėjo, kurį ir kokį laiką skelbė juose esanti Kristaus Dvasia, iš anksto nurodžiusi Kristaus kentėjimus ir juos lydinčią šlovę.
11Walijaribu kujua nyakati na mazingira ya tukio hilo, yaani wakati alioudokezea Roho wa Kristo aliyekuwa ndani yao, akibashiri juu ya mateso yatakayompata Kristo na utukufu utakaofuata.
12Jiems buvo apreikšta, kad jie ne sau, bet mums tarnavo tuo, kas dabar pranešta jums per tuos, kurie paskelbė Evangeliją Šventąja Dvasia, pasiųsta iš dangaus; į tai trokšta pažvelgti angelai.
12Mungu aliwafunulia kwamba wakati walipokuwa wanasema juu ya hayo mambo ambayo ninyi mmekwisha sikia sasa kutoka kwa wale wajumbe waliowatangazieni Habari Njema kwa nguvu ya Roho Mtakatifu aliyetumwa kutoka mbinguni, hiyo kazi yao haikuwa kwa faida yao wenyewe, bali kwa ajili yenu. Hayo ndiyo mambo ambayo hata malaika wangependa kuyafahamu.
13Todėl, susijuosę savo proto strėnas, būkite blaivūs ir visiškai pasitikėkite malone, kuri bus jums suteikta, kai apsireikš Jėzus Kristus.
13Kwa hiyo, basi, muwe tayari kabisa kwa nia, na kukesha. Wekeni tumaini lenu lote katika baraka ile mtakayopewa wakati Yesu Kristo atakapoonekana!
14Kaip klusnūs vaikai, nepasiduokite ankstesniems savo neišmaningumo laikų geiduliams,
14Kama watoto wa Mungu wenye utii, msikubali kamwe kufuata tena tamaa mbaya mlizokuwa nazo wakati mlipokuwa wajinga.
15bet, kaip šventas yra Tas, kuris jus pašaukė, taip ir jūs būkite šventi visu savo elgesiu,
15Bali mnapaswa kuwa watakatifu katika mwenendo wenu wote, kama vile yule aliyewaiteni ni mtakatifu.
16nes parašyta: “Būkite šventi, nes Aš esu šventas”.
16Maandiko yasema: "Muwe watakatifu, kwa kuwa mimi ni mtakatifu."
17Ir jei kaip Tėvo šaukiatės To, kuris nešališkai teisia pagal kiekvieno darbą, su baime elkitės savo viešnagės metu,
17Mnapomtaja Mungu ninyi humwita Baba. Basi, jueni kwamba yeye humhukumu kila mmoja kadiri ya matendo yake, bila ubaguzi. Hivyo tumieni wakati wenu uliowabakia hapa ugenini katika kumcha Mungu.
18žinodami, kad esate atpirkti nuo betikslio iš protėvių paveldėto gyvenimo būdo ne nykstančiais turtais, sidabru ar auksu,
18Maana mnajua kwamba ninyi mlikombolewa katika mwenendo wenu usiofaa ambao mliupokea kutoka kwa wazee wenu, si kwa vitu vyenye kuharibika: kwa fedha na dhahabu;
19bet brangiuoju krauju Kristaus, to avinėlio be kliaudos ir dėmės.
19bali mlikombolewa kwa damu tukufu ya Kristo, ambaye alikuwa kama mwana kondoo asiye na dosari wala doa.
20Jis buvo numatytas dar prieš pasaulio sutvėrimą, o apreikštas šiais paskutiniais laikais jums,
20Yeye alikuwa ameteuliwa na Mungu kabla ya ulimwengu kuumbwa, akafunuliwa siku hizi za mwisho kwa ajili yenu.
21per Jį įtikėjusiems Dievą, kuris prikėlė Jį iš numirusių ir suteikė Jam šlovę, kad jūs tikėtumėte ir viltumėtės Dievu.
21Kwa njia yake, ninyi mnamwamini Mungu aliyemfufua kutoka wafu na kumpa utukufu; na hivyo imani na matumaini yenu yako kwa Mungu.
22Nuskaidrinę savo sielas Dvasia klusnumu tiesai dėl neveidmainiškos brolių meilės, karštai iš tyros širdies mylėkite vieni kitus.
22Maadamu sasa, kwa kuutii ukweli, ninyi mmezitakasa roho zenu na kuwapenda wenzenu bila unafiki, basi, pendaneni kwa moyo wote.
23Jūs esate atgimę ne iš pranykstančios, bet iš nenykstančios sėklos gyvu ir amžinai pasiliekančiu Dievo žodžiu.
23Maana kwa njia ya neno hai la Mungu, ninyi mmezaliwa upya, si kama watoto wa baba awezaye kufa, bali baba asiyekufa milele.
24Mat “kiekvienas kūnastartum žolynas, ir visa žmogaus garbė tarsi žolyno žiedas. Žolynas sudžiūsta, ir jo žiedas nubyra,
24Kama Maandiko yasemavyo: "Kila binadamu ni kama nyasi, na utukufu wake wote ni kama maua ya porini. Nyasi hunyauka na maua huanguka.
25bet Viešpaties žodis išlieka per amžius”. Toks yra jums paskelbtas Evangelijos žodis.
25Lakini neno la Bwana hudumu milele." Neno hilo ni hiyo Habari Njema iliyohubiriwa kwenu.