Lithuanian

Swahili: New Testament

James

5

1Nagi dabar jūs, turtuoliai, verkite ir raudokite dėl jums artėjančių negandų!
1Na sasa sikilizeni enyi matajiri! Lieni na kuomboleza kwa sababu ya taabu zitakazowajieni.
2Jūsų turtai supuvę ir jūsų drabužiai kandžių sukapoti.
2Mali zenu zimeoza, na nguo zenu zimeliwa na nondo.
3Jūsų auksas ir sidabras surūdijo, ir jų rūdys prieš jus liudys ir ės jūsų kūnus kaip ugnis. Jūs susikrovėte turtų paskutinėmis dienomis.
3Dhahabu yenu na fedha vimeota kutu, na kutu hiyo itakuwa ushahidi dhidi yenu, nayo itakula miili yenu kama vile moto. Ninyi mmejilundikia mali katika siku hizi za mwisho!
4Štai šaukia jūsų laukus nuvaliusių darbininkų užmokestis, kurį jūs nusukote, ir pjovėjų šauksmai pasiekė kareivijų Viešpaties ausis.
4Hamkuwalipa mishahara watumishi waliofanya kazi katika mashamba yenu. Sikilizeni malalamiko yao! Kilio cha hao wanaovuna mashamba yenu kimefika masikioni mwa Bwana, Mwenye Nguvu.
5Jūs gašliai gyvenote žemėje ir mėgavotės; jūs nupenėjote savo širdis tarsi skerdimo dienai.
5Mmeishi duniani maisha ya kujifurahisha na ya anasa. Mmejinenepesha tayari kwa siku ya kuchinjwa.
6Jūs pasmerkėte ir nužudėte teisųjį: jis jums nesipriešina.
6Mmemhukumu na kumwua mtu asiye na hatia, naye hakuwapigeni.
7Tad būkite kantrūs, broliai, iki Viešpaties atėjimo. Antai žemdirbys ilgai ir kantriai laukia brangaus žemės vaisiaus, kol šis gauna ankstyvojo ir vėlyvojo lietaus.
7Basi, ndugu zangu, muwe na subira mpaka Bwana atakapokuja. Tazameni mkulima anavyongoja kwa subira mimea yake itoe mavuno mazuri. Yeye hungojea kwa subira mvua za masika na za vuli.
8Ir jūs būkite kantrūs, sustiprinkite savo širdis, nes Viešpaties atėjimas arti.
8Nanyi pia mnapaswa kuwa na subira; imarisheni mioyo yenu, maana siku ya kuja kwake Bwana inakaribia.
9Nemurmėkite, broliai, vieni prieš kitus, kad nebūtumėte teisiami. Štai teisėjas jau stovi prie durų.
9Ndugu zangu, msinung'unikiane ninyi kwa ninyi msije mkahukumiwa na Mungu. Hakimu yu karibu, tayari kuingia.
10Imkite, broliai, kentėjimo ir ištvermės pavyzdžiu pranašus, kurie kalbėjo Viešpaties vardu.
10Ndugu, mkitaka kuona mfano wa subira na uvumilivu katika mateso, fikirini juu ya manabii ambao walinena kwa jina la Bwana.
11Štai mes laikome palaimintais ištvėrusius. Jūs girdėjote apie Jobo ištvermę ir matėte, kokia buvo jam Viešpaties skirta pabaiga, nes Viešpats kupinas užuojautos ir gailestingumo.
11Tunawaita hao wenye heri kwa sababu walivumilia. Mmesikia habari za uvumilivu wa Yobu, na mnajua jinsi Bwana alivyomtendea mwishoni. Maana Bwana amejaa huruma na rehema.
12Bet pirmiausia, mano broliai, neprisiekite nei dangumi, nei žeme, nei kitokia priesaika. Tebūnie jūsų “taip”­ taip ir jūsų “ne”­ ne, kad nepakliūtumėte į teismą.
12Zaidi ya hayo yote, ndugu zangu, msiape kwa mbingu, wala kwa dunia, wala kwa kitu kingine chochote. Semeni "Ndiyo" kama maana yenu ni ndiyo, na "La" kama maana yenu ni la, na hapo hamtahukumiwa na Mungu.
13Kenčia kas iš jūsų? Tesimeldžia. Kas nors džiaugiasi? Tegul gieda psalmes.
13Je, pana mtu yeyote miongoni mwenu aliye na shida? Anapaswa kusali. Je, yuko mwenye furaha? Anapaswa kuimba nyimbo za sifa.
14Kas nors pas jus serga? Tepasikviečia bažnyčios vyresniuosius, ir jie tesimeldžia už jį, patepdami aliejumi Viešpaties vardu.
14Je, yuko mgonjwa kati yenu? Anapaswa kuwaita wazee wa kanisa, nao watamwombea na kumpaka mafuta kwa jina la Bwana.
15Ir tikėjimo malda išgelbės ligonį, ir Viešpats jį pakels, o jeigu jis būtų nusidėjęs, jam bus atleista.
15Wakiomba kwa imani mgonjwa ataponyeshwa; Bwana atampatia nafuu, na dhambi alizotenda zitaondolewa.
16Išpažinkite vieni kitiems savo nusižengimus ir melskitės vieni už kitus, kad būtumėte išgydyti. Daug pajėgia veiksminga, karšta teisiojo malda.
16Basi, ungamanianeni dhambi zenu, na ombeaneni, ili mpate kuponywa. Sala ya mtu mwema ina nguvu ya kutenda mengi.
17Elijas buvo toks pat žmogus kaip ir mes. Jis meldė, kad nelytų, ir nelijo žemėje trejus metus ir šešis mėnesius;
17Eliya alikuwa binadamu kama sisi. Aliomba kwa moyo mvua isinyeshe, nayo haikunyesha nchini kwa muda wa miaka mitatu na miezi sita.
18ir jis vėl meldė, ir dangus davė lietaus, o žemė užaugino savo vaisių.
18Kisha akaomba tena, mvua ikanyesha kutoka angani na nchi ikatoa mazao yake.
19Mano broliai, jeigu kas iš jūsų nuklystų nuo tiesos ir kas nors jį atverstų,­
19Ndugu zangu, mmoja wenu akipotoka kuhusu ukweli, na mwingine akamrudisha,
20težino, kad, sugrąžindamas nusidėjėlį iš jo klystkelio, išgelbės sielą nuo mirties ir uždengs daugybę nuodėmių.
20fahamuni kwamba, huyo anayemrudisha mwenye dhambi kutoka njia yake ya upotovu, ataiokoa roho yake kutoka kifo, na dhambi nyingi zitaondolewa.