Lithuanian

Swahili: New Testament

1 Peter

4

1Kadangi Kristus kentėjo kūnu už mus, tai ir jūs apsiginkluokite ta pačia mintimi,­nes kas kenčia kūnu, tas pametė nuodėmę,
1Maadamu Kristo aliteseka kimwili, nanyi pia mnapaswa kujiimarisha kwa nia hiyo yake; maana mtu akisha teseka kimwili hahusiki tena na dhambi.
2kad likusį laiką kūne gyventų nebe žmonių aistromis, o Dievo valia.
2Tangu sasa, basi, maisha yaliowabakia kuishi hapa duniani yanapaswa kuongozwa na matakwa ya Mungu, si na tamaa za kibinadamu.
3Gana, kad praėjusį laiką buvome pasidavę pagonių valiai ir gyvenome gašliai, geidulingai, girtuokliavome, ūžavome, puotavome ir pasiduodavome bjaurioms stabmeldystėms.
3Wakati uliopita mlikuwa na muda mrefu wa kufanya mambo wanayofanya watu wasiomjua Mungu. Mliishi maisha ya anasa, ubinafsi, ulevi, ugomvi, kunywa mno na ya ibada haramu za sanamu.
4Todėl jiems stebėtina, kad jūs nebebėgate kartu su jais pasinerti į tą patį ištvirkimo potvynį, ir jie piktžodžiauja.
4Sasa, watu hao wasiomjua Mungu wanashangaa wanapoona kwamba hamwandamani nao tena katika hali ya kuishi vibaya, na hivyo wanawatukaneni.
5Jie turės duoti apyskaitą Tam, kuris pasiruošęs teisti gyvuosius ir mirusiuosius.
5Lakini watapaswa kutoa hoja juu ya jambo hilo mbele yake Mungu aliye tayari kuwahukumu wazima na wafu!
6Todėl buvo paskelbta Evangelija ir mirusiems, kad jie, nors ir nuteisti kūne kaip žmonės, gyventų dvasia kaip Dievas.
6Kwa sababu hiyo, hao waliokufa ambao walikuwa wamehukumiwa katika maisha yao ya kimwili kama anavyohukumiwa kila mmoja, walihubiriwa Habari Njema kusudi katika maisha yao ya kiroho waishi kama aishivyo Mungu.
7Visų dalykų galas arti. Todėl būkite blaivūs ir budėkite maldose.
7Mwisho wa vitu vyote umekaribia. Kwa hiyo mnapaswa kuwa na utaratibu na nidhamu, ili mweze kusali.
8Visų pirma karštai mylėkite vienas kitą, nes meilė uždengia gausybę nuodėmių.
8Zaidi ya yote pendaneni kwa moyo wote, maana upendo hufunika dhambi nyingi.
9Būkite tarpusavyje svetingi be murmėjimo.
9Muwe na ukarimu ninyi kwa ninyi bila kunung'unika.
10Tarnaukite vieni kitiems kaip geri visokeriopos Dievo malonės tvarkytojai, sulig kiekvieno gautąja dovana.
10Kila mmoja anapaswa kutumia kipaji alichojaliwa na Mungu kwa faida ya wengine, kama vile uwakili mwema wa zawadi mbalimbali za Mungu.
11Jei kas kalba, tekalba kaip Dievo žodžius; jei kas tarnauja, tegul tarnauja pagal Dievo teikiamus sugebėjimus, kad visuose dalykuose per Jėzų Kristų būtų pašlovintas Dievas. Jam šlovė ir valdžia per amžių amžius! Amen.
11Anayesema kitu, maneno yake na yawe kama maneno ya Mungu; anayetumika anapaswa kutumikia kwa nguvu anayojaliwa na Mungu, ili katika mambo yote, Mungu atukuzwe kwa njia ya Yesu Kristo, ambaye utukufu na nguvu ni vyake milele na milele! Amina.
12Mylimieji, nesistebėkite, kad jus degina ugnis, lyg jums būtų atsitikę kas keista, nes taip darosi jums išbandyti.
12Wapenzi wangu, msishangae kuhusu majaribio makali mnayopata kana kwamba mnapatwa na kitu kisicho cha kawaida.
13Verčiau džiaukitės, dalyvaudami Kristaus kentėjimuose, kad ir tada, kai Jo šlovė apsireikš, galėtumėte džiūgauti dideliu džiaugsmu.
13Ila furahini kwamba mnashiriki mateso ya Kristo ili mweze kuwa na furaha tele wakati utukufu wake utakapofunuliwa.
14Jei jus užgaulioja dėl Jėzaus vardo,­jūs palaiminti, nes šlovės ir Dievo Dvasia ilsisi ant jūsų. Jų Ji keikiama, o jūsų­šlovinama.
14Heri yenu ikiwa mnatukanwa kwa sababu ya jina la Kristo; jambo hilo lamaanisha kwamba Roho mtukufu, yaani Roho wa Mungu, anakaa juu yetu.
15Tik tegul niekas iš jūsų nekenčia kaip žmogžudys, vagis, piktadarys ar įkyruolis, besikišąs į kitų reikalus.
15Asiwepo mtu yeyote miongoni mwenu ambaye anapaswa kuteseka kwa sababu ni muuaji, mwizi, mhalifu au mwovu.
16Bet jei kenčia kaip krikščionis, tegul nesigėdija, o tešlovina dėl to Dievą.
16Lakini kama mtu akiteseka kwa sababu ni Mkristo, basi asione aibu, bali amtukuze Mungu, kwa sababu mtu huyo anaitwa kwa jina la Kristo.
17Nes jau metas prasidėti teismui nuo Dievo namų; ir jeigu jis pirmiausia prasideda nuo mūsų, tai koks galas laukia tų, kurie neklauso Dievo Evangelijos?!
17Wakati wa hukumu umefika, na hukumu hiyo inaanza na watu wake Mungu mwenyewe. Ikiwa hukumu hiyo inaanzia kwetu sisi, basi mwisho wake utakuwa namna gani kwa wale wasioamini Habari Njema ya Mungu?
18Ir “jeigu teisusis vos ne vos išsigelbės, tai kur pasidės bedievis ir nusidėjėlis!”
18Kama yasemavyo Maandiko Matakatifu: "Ni vigumu kwa watu waadilifu kuokolewa; itakuwaje basi kwa wasiomcha Mungu na wenye dhambi?"
19Todėl tie, kurie kenčia pagal Dievo valią, tepaveda savo sielas Jam, ištikimajam Kūrėjui, darydami gera.
19Kwa hiyo, wale wanaoteseka kufuatana na matakwa ya Mungu, wanapaswa, kwa matendo yao mema, kujiweka chini ya Muumba wao ambaye ni wa kuaminika kabisa.