1Paulius, Silvanas ir Timotiejus tesalonikiečių bažnyčiai Dieve Tėve ir Viešpatyje Jėzuje Kristuje. Malonė jums ir ramybė nuo Dievo, mūsų Tėvo, ir Viešpaties Jėzaus Kristaus!
1Mimi Paulo, Silwano na Timotheo tunawaandikia ninyi jumuiya ya kanisa la Thesalonike, ambao ni watu wake Mungu Baba, na wa Bwana Yesu Kristo.
2Mes visada dėkojame Dievui už jus visus, prisimindami jus savo maldose,
2Tunamshukuru Mungu daima kwa ajili yenu ninyi nyote na kuwakumbukeni daima katika sala zetu.
3nuolat minėdami jūsų tikėjimo darbus, meilės triūsą bei vilties ištvermingumą mūsų Viešpatyje Jėzuje Kristuje mūsų Dievo ir Tėvo akivaizdoje,
3Maana, mbele ya Mungu Baba yetu, twakumbuka jinsi mnavyoonyesha imani yenu kwa matendo, jinsi upendo wenu unavyowawezesha kufanya kazi kwa bidii, na jinsi tumaini lenu katika Bwana wetu Yesu Kristo lilivyo thabiti.
4žinodami, Dievo numylėtieji broliai, jūsų išrinkimą.
4Ndugu, twajua kwamba Mungu anawapenda na kwamba amewateua muwe watu wake,
5Nes mūsų Evangelija neatėjo pas jus vien tik žodžiais, bet su jėga ir Šventąja Dvasia, ir su tvirtu įsitikinimu. Jūs žinote, kaip mes pas jus elgėmės jūsų labui.
5maana wakati tulipowahubirieni ile Habari Njema haikuwa kwa maneno tu, bali pia kwa nguvu na kwa Roho Mtakatifu, tukiwa na hakika kwamba ujumbe huo ulikuwa wa kweli. Mnajua jinsi tulivyoishi pamoja nanyi; tuliishi kwa manufaa yenu.
6Ir jūs pasidarėte mūsų ir Viešpaties pasekėjai, priėmę žodį didžiame suspaudime su Šventosios Dvasios džiaugsmu,
6Ninyi mlifuata mfano wetu, na kumwiga Bwana. Ingawa mliteswa sana, mliupokea ujumbe huo kwa furaha itokayo kwa Roho Mtakatifu.
7ir taip jūs tapote pavyzdžiu visiems Makedonijos bei Achajos tikintiesiems.
7Kwa hiyo ninyi mmekuwa mfano mzuri kwa waumini wote wa Makedonia na Akaya.
8Mat iš jūsų Viešpaties žodis nuskambėjo ne tik Makedonijoje bei Achajoje, bet jūsų tikėjimas Dievu pasklido visur, ir mums jau nebereikia nieko kalbėti.
8Maana, kutokana na bidii yenu ujumbe wa Bwana umesikika si tu huko Makedonia na Akaya, bali imani yenu kwa Mungu imeenea popote. Tena hatuhitaji kusema zaidi.
9Jie patys pasakoja apie mūsų atvykimą pas jus, ir kaip jūs nuo stabų atsivertėte prie Dievo tarnauti gyvajam bei tikrajam Dievui
9Watu hao wanazungumza juu ya ziara yetu kwenu: jinsi mlivyotukaribisha, jinsi mlivyoziacha sanamu mkamgeukia Mungu aliye hai na wa kweli,
10ir laukti iš dangaus Jo Sūnaus, kurį Jis prikėlė iš numirusių,Jėzaus, gelbstinčio mus nuo ateinančios rūstybės.
10na sasa mwamngojea Mwanae ashuke kutoka mbinguni, Yesu, ambaye Mungu alimfufua kutoka wafu, na ambaye anatuokoa katika ghadhabu ya Mungu inayokuja.