1Todėl, ilgiau nebeiškęsdami, nutarėme vieni pasilikti Atėnuose
1Mwishowe hatukuweza kuvumilia zaidi. Basi, tuliamua kubaki kule Athene peke yetu,
2ir pasiuntėme Timotiejų, savo brolį, Dievo tarną ir bendradarbį Kristaus Evangelijoje, kad sustiprintų jus ir padrąsintų jus tikėjime,
2na kumtuma kwenu ndugu yetu Timotheo, ambaye ni mfanyakazi mwenzetu kwa ajili ya Mungu katika kuhubiri Habari Njema ya Kristo. Tulimtuma ili awaimarisheni na kuwafarijini,
3kad nė vienas nesvyruotų šiuose suspaudimuose, nes jūs patys žinote, kad tam esame skirti.
3kusudi imani ya mtu yeyote miongoni mwenu isije ikafifia kwa sababu ya taabu hizo. Ninyi mnajua kwamba tunapaswa kupata mateso.
4Dar būdami tarp jūsų, iš anksto sakėme, kad turėsime kentėti priespaudą, ir, kaip žinote, taip ir įvyko.
4Maana, tulipokuwa pamoja nanyi, tuliwaambieni kwamba tutateswa; na kama mjuavyo ndivyo ilivyotukia.
5Todėl, ilgiau nebeiškęsdamas, pasiunčiau pasiuntinį, norėdamas sužinoti apie jūsų tikėjimą, ar kartais jūsų nesugundė gundytojas ir ar nėra niekais pavirtęs mūsų triūsas.
5Ndio maana nilimtuma Timotheo kwenu. Sikuweza kungoja zaidi, na hivyo nilimtuma nipate habari za imani yenu. Isije ikawa labda Mshawishi aliwajaribuni na kazi yote tuliyofanya miongoni mwenu imepotea bure!
6Dabar Timotiejus iš jūsų grįžo pas mus ir atnešė gerą žinią apie jūsų tikėjimą ir jūsų meilę: kad jūs nuolat mus maloniai prisimenate ir karštai trokštate mus pamatyti kaip ir mes jus.
6Sasa Timotheo amekwisha rudi, naye ametupa habari za kufurahisha kuhusu imani na upendo wenu. Ametuarifu kwamba mnatukumbuka daima, na kwamba mna hamu ya kutuona sisi kama nasi tulivyo na hamu ya kuwaoneni.
7Taigi, broliai, jūs savo tikėjimu paguodėte mus visuose mūsų suspaudimuose ir negandose.
7Basi, habari za imani yenu zimetutia moyo katika taabu na mateso yetu yote,
8Dabar mes tikrai gyvuojame, nes jūs tvirtai stovite Viešpatyje.
8kwani sasa tunaishi kweli ikiwa ninyi mnasimama imara katika kuungana na Bwana.
9Ir kaip atsidėkosime Dievui už jus, už visus džiaugsmus, kuriuos dėl jūsų patiriame savo Dievo akivaizdoje?
9Sasa twaweza kumshukuru Mungu wetu kwa ajili yenu. Tunamshukuru kwa furaha tuliyo nayo mbele yake kwa sababu yenu.
10Dieną ir naktį be saiko meldžiamės, kad išvystume jūsų veidus ir galėtume papildyti, ko dar stinga jūsų tikėjimui.
10Tunazidi kumwomba Mungu usiku na mchana kwa moyo wetu wote ili atupatie fursa ya kuwaoneni uso kwa uso ili tuweze kurekebisha chochote kilichopungua katika imani yenu.
11Jis patsmūsų Dievas ir Tėvasir mūsų Viešpats Jėzus Kristus tenutiesia mums kelią pas jus.
11Tunamwomba Mungu, Baba yetu mwenyewe, na Bwana wetu Yesu atutayarishie njia ya kuja kwenu.
12Viešpats teaugina jus ir gausiai tepraturtina meile vienų kitiems ir visiems, kaip ir mes jus mylime,
12Bwana awawezeshe ninyi kupendana na kuwapenda watu wote zaidi na zaidi, kama vile sisi tunavyowapenda ninyi.
13tesustiprina jūsų širdis ir padaro nepeiktinas šventume prieš Dievą, mūsų Tėvą, Viešpaties Jėzaus Kristaus ir visų Jo šventųjų atėjimo metu.
13Hivyo ataiimarisha mioyo yenu, nanyi mtakuwa wakamilifu na watakatifu mbele ya Mungu na Baba yetu wakati Bwana wetu Yesu atakapokuja pamoja na wote walio wake.