1Taigi visų pirma prašau atlikinėti prašymus, maldas, užtarimus ir dėkojimus už visus žmones,
1Kwanza kabisa, basi naomba dua, sala, maombi na sala za shukrani zitolewe kwa Mungu kwa ajili ya watu wote,
2už karalius bei visus valdininkus, kad tyliai ir ramiai gyventume visokeriopai dievotą ir kilnų gyvenimą.
2kwa ajili ya wafalme na wote wenye mamlaka, ili tupate kuishi maisha ya utulivu na amani pamoja na uchaji wa Mungu na mwenendo mwema.
3Tai gera ir priimtina akyse Dievo, mūsų Gelbėtojo,
3Jambo hili ni jema na lampendeza Mungu Mwokozi wetu,
4kuris trokšta, kad visi žmonės būtų išgelbėti ir pasiektų tiesos pažinimą.
4ambaye anataka watu wote waokolewe na wapate kuujua ukweli.
5Nes yra vienas Dievas ir vienas Dievo ir žmonių Tarpininkas žmogus Kristus Jėzus,
5Maana yuko Mungu mmoja, na pia yuko mmoja anayewapatanisha watu na Mungu, binadamu Kristo Yesu,
6kuris atidavė save kaip išpirką už visus, kad būtų paliudytas reikiamu metu.
6ambaye alijitoa mwenyewe kuwakomboa watu wote. Huo ulikuwa uthibitisho, wakati ufaao ulipowadia.
7Tam aš esu paskirtas pamokslininkas ir apaštalas,sakau tiesą Kristuje, nemeluoju,tikėjimo ir tiesos mokytojas pagonims.
7Kwa sababu hiyo mimi nilitumwa niwe mtume na mwalimu wa watu wa mataifa, niutangaze ujumbe wa imani na ukweli. Nasema ukweli; sisemi uongo!
8Taigi trokštu, kad vyrai melstųsi visur, keldami aukštyn šventas rankas, be pykčio ir abejonių.
8Basi, popote mnapokutana kufanya ibada nataka wanaume wasali, watu waliojitolea kweli na ambao wanaweza kuinua mikono yao wakisali bila hasira wala ubishi.
9Taip pat, kad moterys puoštųsi kukliais ir padoriais drabužiais, droviai ir santūriai, ne supintais plaukais ar auksu, ar perlais, ar brangiu drabužiu,
9Hali kadhalika, nawataka wanawake wawe wanyofu na wenye busara kuhusu mavazi yao; wavae sawasawa na si kwa urembo wa mitindo ya kusuka nywele, kujipamba kwa dhahabu, lulu au mavazi ya gharama kubwa,
10bet,kaip dera moterims, pasižyminčioms dievobaimingumu, gerais darbais.
10bali kwa matendo mema kama iwapasavyo wanawake wamchao Mungu.
11Moteris tesimoko tyliai, su visišku paklusnumu.
11Wanawake wanapaswa kukaa kimya na kuwa wanyenyekevu wakati wa kujifunza.
12Neleidžiu, kad moteris mokytų nei kad vadovautų vyrui,ji tesilaiko tyliai.
12Mimi simruhusu mwanamke amfundishe au amtawale mwanamume; anapaswa kukaa kimya.
13Juk pirmas buvo sutvertas Adomas, o paskuiIeva.
13Maana Adamu aliumbwa kwanza, halafu Hawa.
14Ir ne Adomas buvo apgautas, o moteris buvo apgauta ir nusidėjo.
14Na wala si Adamu aliyedanganywa; bali mwanamke ndiye aliyedanganywa, akaivunja sheria ya Mungu.
15Bet ji bus išgelbėta, gimdydama vaikus,jeigu jie išlaikys tikėjimą, meilę, šventumą ir susilaikymą.
15Hata hivyo, mwanamke ataokolewa kwa kupata watoto, kama akidumu katika imani, upendo, utakatifu na unyofu.