Lithuanian

Swahili: New Testament

1 Timothy

5

1Senesnio žmogaus aštriai nebark, bet ragink kaip tėvą, o jaunesniuosius­kaip brolius,
1Usimkemee mtu mzee, bali msihi kama vile angekuwa baba yako. Watendee vijana kama ndugu zako,
2vyresnio amžiaus moteris­kaip motinas, o jaunesnes­kaip seseris, laikydamasis visiško skaistumo.
2wanawake wazee kama mama yako, na wasichana kama dada zako, kwa usafi wote.
3Gerbk našles, kurios yra tikros našlės.
3Waheshimu wanawake wajane walio wajane kweli.
4Jei kuri našlė turi vaikų ar vaikaičių, tegul šie pirmiausia išmoksta rūpintis savo namiškiais ir deramai atsilyginti gimdytojams, nes tai patinka Dievui.
4Lakini mjane aliye na watoto au wajukuu, hao wanapaswa kujifunza kutimiza wajibu wao wa kidini kwa jamaa zao wenyewe na hivyo kuwalipa wazazi wao na wazee wao, kwani hilo ni jambo la kupendeza mbele ya Mungu.
5Tikra našlė, palikusi viena, pasitiki Dievu, maldauja ir meldžiasi dieną ir naktį.
5Mwanamke mjane kweli, asiye na mtu wa kumsaidia, amemwekea Mungu tumaini lake na huendelea kusali na kumwomba msaada usiku na mchana.
6Bet našlė, gyvenanti malonumais, dar gyva būdama, yra mirusi.
6Lakini mwanamke ambaye huishi maisha ya anasa, huyo amekufa, ingawa yu hai.
7Todėl tai įsakyk, kad jos būtų be priekaišto.
7Wape maagizo haya, wasije wakawa na lawama.
8Jeigu kas neaprūpina savųjų, ir ypač savo namiškių, tas yra paneigęs tikėjimą ir blogesnis už netikintį!
8Lakini kama mtu hawatunzi watu wa jamaa yake, hasa wale wa nyumbani kwake, basi, mtu huyo ameikana imani, na ni mbaya zaidi kuliko mtu asiyeamini.
9Į našlių sąrašą įtrauk tokią našlę, kuriai ne mažiau kaip šešiasdešimt metų, kuri buvo žmona vieno vyro,
9Usimtie katika orodha ya wajane, mjane yeyote ambaye hajatimiza miaka sitini. Tena awe amepata kuolewa mara moja tu,
10jeigu ji pasižymėjo gerais darbais, jei išauklėjo vaikus, jei buvo svetinga, jei plaudavo šventiesiems kojas, jei pagelbėdavo vargstantiems, jei stengdavosi dirbti visokį gerą darbą.
10na awe mwenye sifa nzuri: aliyewalea watoto wake vizuri, aliyewakaribisha wageni nyumbani kwake, aliyewaosha miguu watu wa Mungu, aliyewasaidia watu wenye taabu, na aliyejitolea kufanya mambo mema.
11Jaunesnių našlių nepriimk. Pasiduodamos gašlumui, o ne Kristui, jos nori ištekėti
11Usiwaandikishe wajane vijana, kwani kama tamaa zao za maumbile zikizidi kuwa na nguvu zaidi kuliko kujitolea kwao kwa Kristo watataka kuolewa tena,
12ir yra smerktinos, nes pameta ankstesnį tikėjimą.
12na wataonekana kukosa uaminifu kuhusu ahadi yao ya pale awali.
13Be to, jos išmoksta dykinėti, landžiodamos iš namų į namus, ir ne tik dykinėti, bet plepėti, kištis į svetimus reikalus bei kalbėti, kas nedera.
13Wajane kama hao huanza kupoteza wakati wao wakizurura nyumba hata nyumba; tena ubaya zaidi ni kwamba huanza kuwasengenya watu, na kujitia katika mambo ya watu wengine, huku wakisema mambo ambayo hawangepaswa kusema.
14Taigi norėčiau, kad jaunesnės ištekėtų, augintų vaikus, šeimininkautų ir neduotų priešininkui jokios progos apkalboms.
14Kwa hiyo ningependelea wajane vijana waolewe, wapate watoto na kutunza nyumba zao ili adui zetu wasipewe nafasi ya kusema mambo maovu juu yetu.
15Nes kai kurios jau nuklydo paskui šėtoną.
15Kwa maana wajane wengine wamekwisha potoka na kumfuata Shetani.
16Jei kuris tikintis vyras ar moteris turi pas save našlių, tegul jas aprūpina, kad bažnyčia nebūtų apsunkinama ir įstengtų padėti tikrosioms našlėms.
16Lakini kama mama Mkristo anao wajane katika jamaa yake, yeye anapaswa kuwatunza na si kuliachilia kanisa mzigo huo, ili kanisa liweze kuwatunza wajane wale waliobaki peke yao kabisa.
17Gerai vadovaujantys vyresnieji tebūna laikomi vertais dvigubos pagarbos, ypač tie, kurie dirba, skelbdami žodį ir mokydami.
17Wazee wanaowaongoza watu vizuri wanastahili kupata riziki maradufu, hasa wale wanaofanya bidii katika kuhubiri na kufundisha.
18Juk Raštas sako: “Neužrišk kuliančiam jaučiui nasrų”, ir: “Darbininkas vertas savo užmokesčio”.
18Maana Maandiko Matakatifu yasema: "Usimfunge ng'ombe kinywa anapopura nafaka." na tena "Mfanyakazi astahili malipo yake."
19Skundo prieš vyresnįjį nepriimk, nebent liudytų du ar trys liudytojai.
19Usikubali kupokea mashtaka dhidi ya mzee yasipowakilishwa na mashahidi wawili au watatu.
20Nuodėmiaujančius bark visų akivaizdoje, kad ir kiti bijotų.
20Wale wanaotenda dhambi waonye hadharani, ili wengine wapate kuogopa.
21Aš įsakau tau Dievo, Viešpaties Jėzaus Kristaus ir išrinktųjų angelų akivaizdoje, kad laikytumeis šitų nurodymų be išankstinio nusistatymo ir neatsižvelgdamas į asmenis.
21Nakuamuru mbele ya Mungu, mbele ya Kristo Yesu, na mbele ya malaika watakatifu uyazingatie maagizo haya bila kuacha hata moja, wala kumpendelea mtu yeyote katika kila unachotenda.
22Skubotai niekam neuždėk rankų ir neprisidėk prie svetimų nuodėmių; išsilaikyk tyras.
22Usiharakishe kumwekea mtu yeyote mikono kwa ajili ya kumtumikia Bwana. Usishiriki dhambi za wengine; jiweke katika hali safi.
23Negerk vien gryno vandens, bet vartok truputį vyno dėl savo skrandžio ir dažnų negalavimų.
23Usinywe maji tu, bali unywe divai kidogo kwa ajili ya tumbo lako, kwani unaugua mara kwa mara.
24Kai kurių žmonių nuodėmės matomos iki teismo, o kai kurių paaiškėja tik vėliau.
24Dhambi za watu wengine huonekana waziwazi, nazo zawatangulia kwenye hukumu; lakini dhambi za wengine huonekana tu baadaye.
25Taip pat ir geri darbai visiems matomi, o jei pasitaiko kitaip, jų vis tiek negalima paslėpti.
25Vivyo hivyo, matendo mema huonekana waziwazi, na hata yale ambayo si dhahiri hayawezi kufichika.