Lithuanian

Swahili: New Testament

2 Corinthians

10

1Aš pats, Paulius, jus maldauju Kristaus romumu ir švelnumu­aš, kuris “akyse su jumis esu toks nusižeminęs, o už akių toks drąsus”.
1Mimi Paulo mwenyewe ambaye naonekana kuwa mpole nikiwa pamoja nanyi, lakini mkali wakati nikiwa mbali nanyi, nawasihini kwa huruma na wema wake Kristo.
2Aš jus maldauju, kad atvykęs neturėčiau pasirodyti smarkuoliu, pasiryžusiu griežtai sudrausti kai kuriuos, manančius, jog mes elgėmės pagal kūną.
2Nawaombeni msinisababishe kuwa mkali wakati nitakapokuja, maana nina hakika naweza kuwa mkali kwa wote wale wanaotudhania kwamba tunaishi kidunia.
3Nors mes gyvename kūne, kovojame ne pagal kūną.
3Kweli tunaishi duniani, lakini hatupigani vita kidunia.
4Mūsų kovos ginklai ne kūniški, bet galingi Dieve griauti tvirtoves.
4Maana, silaha tunazotumia katika vita vyetu si silaha za kidunia, ila ni nguvu za Mungu zenye kuharibu ngome zote. Tunaharibu hoja zote za uongo,
5Jais mes nugalime samprotavimus ir bet kokią puikybę, kuri sukyla prieš Dievo pažinimą, ir paimame nelaisvėn kiekvieną mintį, kad paklustų Kristui,
5na kubomoa kila kizuizi cha majivuno kilichowekwa kuipinga elimu ya Mungu; tunaziteka fikira zote na kuzifanya zimtii Kristo.
6esame pasiruošę nubausti kiekvieną neklusnumą, kai tik jūsų klusnumas taps tobulas.
6Mkisha kuwa wakamilifu katika kutii, sisi tuko tayari kuadhibu kila namna ya kutotii.
7Negi viską vertinate pagal išorę? Jei kas pasitiki, kad yra Kristaus, tegul pamąsto dar kartą: kaip jis Kristaus, taip ir mes.
7Ninyi hutazama mambo kwa nje tu. Je, yupo mtu yeyote anayedhani kwamba yeye ni wa Kristo? Sawa! Basi, afikirie vilevile kwamba sisi pia ni wa Kristo kama yeye alivyo wa Kristo.
8O jei panorėčiau daugiau pasigirti ta valdžia, kurią Viešpats mums suteikė jūsų ugdymui, o ne griovimui, tai nebūtų man gėdos.
8Hata kama nimezidi katika kujivuna kwangu juu ya ule uwezo aliotupa--uwezo wa kuwajenga na sio wa kubomoa--hata hivyo sijutii hata kidogo.
9Beje, nenorėčiau pasirodyti bauginąs jus laiškais.
9Sipendi mfikiri kwamba nataka kuwatisha ninyi kwa barua zangu.
10Nes “jo laiškai,­sako,­yra svarūs ir stiprūs, bet kūno išvaizda menka ir iškalba prasta”.
10Mtu anaweza kusema: "Barua za Paulo ni kali na zenye maneno mazito, lakini yeye mwenyewe anapokuwa pamoja nasi ni mtu dhaifu, na hata anapoongea maneno yake ni kama si kitu."
11Kas taip mano, teįsidėmi, jog kokie esame iš tolo laiško žodžiais, tokie būsime ir vietoje darbais.
11Mtu asemaye hivyo heri akumbuke kwamba hakuna tofauti ya yale tunayoandika katika barua wakati tuko mbali, na yale tutakayofanya wakati tutakapokuwa nanyi.
12Mes nedrįstame savęs išskirti ar lyginti su kai kuriais žmonėmis, kurie patys save giria. Juk jie, matuodami save pagal save pačius ir lygindami save su savimi, elgiasi neprotingai.
12Kwa vyovyote hatungethubutu kujiweka au kujilinganisha na wale watu wanaojisifia wenyewe. Watu wenye kujifanya wao kuwa kipimo cha kujipimia, na watu wanaojilinganisha wenyewe kwa wenyewe, ni wapumbavu.
13Mes nesigiriame be saiko, o tik iki tų ribų, kurias mums Dievas užbrėžė ir kurios siekia net ligi jūsų.
13Lakini sisi hatutajivuna kupita kiasi; kujivuna huko kutabaki katika kile kipimo cha kazi aliyotukabidhi Mungu, kazi ambayo tunaifanya pia kwenu.
14Mes nepersistengiame,­tarytum nebūtume pasiekę jūsų,­nes Kristaus Evangelija pasiekėme ir jus.
14Na kwa vile ninyi mu katika mipaka hiyo, hatukuipita tulipokuja kwenu, tukiwaleteeni Habari Njema juu ya Kristo.
15Nesigiriame be saiko svetimo darbo vaisiais, bet turime viltį, jūsų tikėjimui augant, su jumis peraugti ligšiolines ribas,
15Basi, hatujivunii kazi waliyofanya wengine zaidi ya kipimo tulichopewa; ila tunatumaini kwamba imani yenu itazidi miongoni mwenu kufuatana na kipimo alichotuwekea Mungu.
16kad galėtume skelbti Evangeliją už jūsų ribų ir nesigirti kito atliktu darbu svetimoje srityje.
16Hapo tutaweza kuihubiri Habari Njema katika nchi nyingine, mbali nanyi; na haitakuwa shauri la kujivunia kazi waliyofanya watu wengine mahali pengine.
17“Kas giriasi, tesigiria Viešpačiu!”
17Lakini kama yasemavyo Maandiko: "Mwenye kuona fahari na aone fahari juu ya alichofanya Bwana."
18Ne tas pagirtinas, kuris pats save giria, bet tas, kurį Viešpats pagiria.
18Anayekubaliwa si yule anayejisifu mwenyewe, bali yule anayesifiwa na Bwana.