1Apie tarnavimą šventiesiems man nebereikia jums rašyti:
1Si lazima kuandika zaidi kuhusu huduma hiyo yenu kwa ajili ya watu wa Mungu.
2aš žinau jūsų pasiryžimą ir giruosi jumis makedoniečiams, sakydamas, kad Achaja pasiruošusi nuo pereitų metų. Ir jūsų uolumas yra daugelį paskatinęs.
2Ninajua jinsi mlivyo na moyo wa kusaidia, na nilijivuna juu yenu kuhusu jambo hilo mbele ya watu wa Makedonia. Niliwaambia: "Ndugu zetu wa Akaya wako tayari tangu mwaka jana." Hivyo, moto wenu umekwisha wahimiza watu wengi zaidi.
3O brolius siunčiu tam, kad mano pasigyrimas jumis nepasirodytų šiuo atveju tuščias ir kad jūs, kaip sakiau, būtumėte pasiruošę.
3Basi, nimewatuma ndugu zetu hao, ili fahari yetu juu yenu ionekane kwamba si maneno matupu, na kwamba mko tayari kabisa na msaada wenu kama nilivyosema.
4Kad, jei kartais makedoniečiai atvyktų kartu su manimi ir rastų jus nepasiruošusius, mes (nekalbant apie jus) nebūtume sugėdinti dėl tokio tvirto pasigyrimo.
4Isije ikawa kwamba watu wa Makedonia watakapokuja pamoja nami tukawakuta hamko tayari, hapo sisi tutaaibika--bila kutaja aibu mtakayopata ninyi wenyewe--kwa sababu tutakuwa tumewatumainia kupita kiasi.
5Todėl maniau esant reikalinga paprašyti brolius iš anksto nuvykti pas jus ir pasirūpinti, kad anksčiau viešai paskelbtas palaiminimas būtų paruoštas ir kad liudytų jūsų dosnumą, o ne godumą.
5Kwa hiyo, nimeona ni lazima kuwaomba hawa ndugu watutangulie kuja kwenu, wapate kuweka tayari zawadi yenu kubwa mliyoahidi; nayo ionyeshe kweli kwamba ni zawadi iliyotolewa kwa hiari na si kwa kulazimishwa.
6Štai ką pasakysiu: kas šykščiai sėja, šykščiai ir pjaus, o kas dosniai sėja, dosniai ir pjaus.
6Kumbukeni: "Apandaye kidogo huvuna kidogo; apandaye kwa wingi huvuna kwa wingi."
7Kiekvienas tegul aukoja, kaip yra širdyje nutaręs, ne gailėdamas ar verčiamas, nes Dievas myli linksmą davėją.
7Kila mmoja, basi, na atoe kadiri alivyoamua, kwa moyo na wala si kwa huzuni au kwa kulazimishwa, maana Mungu humpenda yule mwenye kutoa kwa furaha.
8O Dievas gali jus gausiai apdovanoti visokeriopomis malonėmis, kad visada ir visais atžvilgiais būtumėme aprūpinti ir turtingi kiekvienam geram darbui,
8Mungu anaweza kuwapeni ninyi zaidi ya yale mnayoyahitaji, mpate daima kuwa na kila kitu mnachohitaji, na hivyo mzidi kusaidia katika kila kazi njema.
9kaip parašyta: “Jis pažėrė, Jis davė vargšams; Jo teisumas išlieka per amžius”.
9Kama yasemavyo Maandiko Matakatifu: "Yeye hutoa kwa ukarimu, huwapa maskini, wema wahudumu milele."
10Tas, kuris parūpina sėklos sėjėjui ir duonos valgytojui, padaugins jūsų pasėtą sėklą ir subrandins jūsų teisumo vaisius.
10Na Mungu ampaye mkulima mbegu na mkate kwa chakula, atawapa ninyi pia mbegu mnazohitaji, na atazifanya ziote, ziwe na kuwapa mavuno mengi ya ukarimu wenu.
11O jūs ir taip esate visokeriopai turtingi ir dosnūs, dėl ko mes ir dėkojame Dievui.
11Yeye atawatajirisha ninyi daima kwa kila kitu, ili watu wapate kumshukuru Mungu kwa ajili ya zawadi zenu wanazozipokea kwa mikono yetu.
12Nes šis tarnavimas ne tik patenkina šventųjų poreikius, bet ir gausina daugelio dėkojimus Dievui.
12Maana huduma hii takatifu mnayoifanya si tu kwamba itasaidia mahitaji ya watu wa Mungu, bali pia itasababisha watu wengi wamshukuru Mungu.
13Patyrę tokias paslaugas, jie šlovins Dievą už jūsų paklusnumą išpažįstamai Kristaus Evangelijai ir už jūsų dosnų pasidalijimą su jais ir visais kitais.
13Kutokana na uthibitisho unaoonyeshwa kwa huduma hii yetu, watu watamtukuza Mungu kwa sababu ya uaminifu wenu kwa Habari Njema ya Kristo mnayoiungama, na pia kwa sababu ya ukarimu mnaowapa wao na watu wote.
14Jie melsis už jus ir ilgėsis jūsų dėl visa pranokstančios Dievo malonės jumyse.
14Kwa hiyo watawaombea ninyi kwa moyo kwa sababu ya neema ya pekee aliyowajalieni Mungu.
15Ačiū Dievui už neapsakomą Jo dovaną!
15Tumshukuru Mungu kwa ajili ya zawadi yake isiyo na kifani!