Lithuanian

Swahili: New Testament

Acts

25

1Atvykęs į provinciją, Festas po trijų dienų nukeliavo iš Cezarėjos į Jeruzalę.
1Siku tatu baada ya kufika mkoani, Festo alitoka Kaisarea, akaenda Yerusalemu.
2Ten į jį kreipėsi vyriausiasis kunigas ir žydų didikai, kaltindami Paulių, įkalbinėjo
2Makuhani wakuu pamoja na viongozi wa Wayahudi walimpa habari kuhusu mashtaka yaliyokuwa yanamkabili Paulo. Walimsihi Festo
3ir prašė malonės atsiųsti jį į Jeruzalę, klastingai galvodami kelyje jį nužudyti.
3awafanyie fadhili kwa kumleta Paulo Yerusalemu; walikuwa wamekula njama wamuue akiwa njiani.
4Bet Festas atsakė, kad Paulius turįs būti saugomas Cezarėjoje. Be to, jis pats ketinąs netrukus ten grįžti.
4Lakini Festo alijibu, "Paulo atabaki kizuizini kule Kaisarea na mimi nitakwenda huko karibuni.
5“Tegul jūsų įgaliotiniai,­tęsė jis,­keliauja kartu ir, jei tas vyras kuo nors nusikaltęs, tekaltina jį”.
5Waacheni viongozi wenu waende huko pamoja nami wakatoe mashtaka yao juu yake kama amefanya chochote kiovu."
6Pabuvęs tarp jų daugiau kaip dešimt dienų, jis sugrįžo į Cezarėją. Kitą dieną, atsisėdęs į teismo krasę, liepė atvesti Paulių.
6Festo alikaa nao kwa muda wa siku nane au kumi hivi, kisha akarudi Kaisarea. Kesho yake alikwenda barazani, akaamuru Paulo aletwe ndani.
7Vos tik pasirodžiusį apstojo jį iš Jeruzalės atvykę žydai, primesdami daug sunkių kaltinimų, kurių neįstengė įrodyti.
7Wakati Paulo alipofika, Wayahudi waliokuwa wametoka Yerusalemu walimzunguka wakaanza kutoa mashtaka mengi mazitomazito ambayo hawakuweza kuthibitisha.
8Paulius gynėsi: “Aš nieku nenusikaltęs nei žydų Įstatymui, nei šventyklai, nei ciesoriui”.
8Kwa kujitetea, Paulo alisema, "Mimi sikufanya kosa lolote kuhusu Sheria ya Wayahudi, wala kuhusu Hekalu, wala kumhusu Kaisari."
9Norėdamas parodyti palankumą žydams, Festas paklausė Paulių: “Ar nori keliauti į Jeruzalę ir ten mano akivaizdoje būti teisiamas dėl šių dalykų?”
9Festo alitaka kujipendekeza kwa Wayahudi na hivyo akamwuliza Paulo, "Je, ungependa kwenda Yerusalemu na huko ukahukumiwe mbele yangu kuhusu mashtaka haya?"
10Paulius atsakė: “Aš stoviu prieš ciesoriaus teismą ir ten privalau būti teisiamas. Žydams aš nepadariau nieko pikto, kaip tu pats puikiai žinai.
10Paulo akajibu, "Nasimama mbele ya mahakama ya Kaisari na papa hapa ndipo ninapopaswa kupewa hukumu. Kama unavyojua vizuri, sikuwatendea Wayahudi ubaya wowote.
11Jei esu nusikaltęs ir padaręs ką nors verta mirties, neatsisakau mirti. Bet jeigu jų metami kaltinimai nepagrįsti, niekas negali jiems manęs išduoti. Aš šaukiuosi ciesoriaus!”
11Basi, ikiwa nimepatikana na kosa linalostahili adhabu ya kifo, siombi kusamehewa adhabu hiyo. Lakini kama hakuna ukweli katika mashtaka waliyotoa watu hawa, hakuna awezaye kunikabidhi kwao. Nakata rufani kwa Kaisari!"
12Tada Festas, pasitaręs su savo taryba, paskelbė: “Šaukiesi ciesoriaus­eisi pas ciesorių!”
12Basi, baada ya Festo kuzungumza na washauri wake, akamwambia Paulo, "Umekata rufani kwa Kaisari, basi, utakwenda kwa Kaisari."
13Praslinkus kelioms dienoms, karalius Agripa ir Berenikė atvyko į Cezarėją Festo pasveikinti.
13Siku chache baadaye, mfalme Agripa na Bernike walifika Kaisarea ili kutoa heshima zao kwa Festo.
14Jiems ten būnant nemažai dienų, Festas supažindino karalių su Pauliaus byla ir papasakojo: “Feliksas paliko įkalintą vieną vyrą.
14Walikuwa huko siku kadhaa naye Festo akamweleza mfalme kesi ya Paulo: "Kuna mtu mmoja hapa ambaye Felisi alimwacha kizuizini.
15Kai buvau Jeruzalėje, aukštieji kunigai ir žydų vyresnieji kreipėsi į mane, kaltindami jį ir reikalaudami pasmerkti.
15Nilipokwenda Yerusalemu makuhani wakuu na wazee wa Wayahudi walimshtaki na kuniomba nimhukumu.
16Aš jiems atsakiau, kad romėnai neturi papročio pasmerkti kokį nors žmogų, nedavę kaltinamajam galimybės stoti savo kaltintojų akivaizdoje ir gintis nuo kaltinimų.
16Lakini mimi niliwajibu kwamba si desturi ya Waroma kumtoa mtu aadhibiwe kabla mshtakiwa hajakutana na washtaki wake ana kwa ana na kupewa fursa ya kujitetea kuhusu hayo mashtaka.
17Jiems čia atvykus, aš nedelsdamas rytojaus dieną atsisėdau į teismo krasę ir liepiau atvesti tą vyrą.
17Basi, walipofika hapa sikukawia, ila nilifanya kikao mahakamani kesho yake, nikaamuru mtu huyo aletwe.
18Prieš jį atsistoję kaltintojai nenurodė jokio nusikaltimo, kokio buvau tikėjęsis.
18Washtaki wake walisimama lakini hawakutoa mashtaka maovu kama nilivyokuwa ninatazamia.
19Jie vien tik ginčijosi ir jam prikaišiojo dėl kai kurių savo religijos klausimų ir dėl kažkokio mirusio Jėzaus, kurį Paulius tvirtino esant gyvą.
19Ila tu walikuwa na mabishano kadhaa pamoja naye kuhusu dini yao na kuhusu mtu mmoja aitwaye Yesu ambaye alikufa, lakini Paulo anashikilia kwamba yu hai.
20Dvejodamas, kaip išspręsti tokius klausimus, paklausiau, ar jis nenorėtų vykti į Jeruzalę ir ten būti dėl šito teisiamas.
20Sikujua la kufanya kuhusu shauri hilo. Basi, nilimwuliza Paulo kama angependa kwenda mahakamani kule Yerusalemu kwa ajili ya mashtaka hayo.
21Bet Paulius pareikalavo, kad jo byla būtų perduota Augusto žiniai. Todėl įsakiau jį toliau kalinti, kol išsiųsiu pas ciesorių”.
21Lakini Paulo alikata rufani, akaomba aachwe kizuizini mpaka uamuzi wa shauri hilo ufanywe na Kaisari. Kwa hiyo niliamua akae kizuizini mpaka nitakapoweza kumpeleka kwa Kaisari."
22Agripa tarė Festui: “Aš ir pats norėčiau pasiklausyti to žmogaus”. Anas atsakė: “Galėsi rytoj pasiklausyti”.
22Basi Agripa akamwambia Festo, "Ningependa kumsikia mtu huyu mimi mwenyewe." Festo akamwambia, "Utamsikia kesho."
23Rytojaus dieną, kai Agripa ir Berenikė atėjo su didele iškilme ir įžengė į salę kartu su tribūnais ir miesto didžiūnais, Festui įsakius, buvo atvestas Paulius.
23Hivyo, kesho yake, Agripa na Bernike walifika kwa shangwe katika ukumbi wa mkutano wakiwa wameandamana na wakuu wa majeshi na viongozi wa mji. Festo aliamuru Paulo aletwe ndani,
24Festas prabilo: “Karaliau Agripa ir visi čia esantys vyrai! Jūs matote žmogų, dėl kurio visa daugybė žydų kreipėsi į mane Jeruzalėje ir čia, šaukdami, kad jo negalima palikti gyvo.
24Kisha akasema, "Mfalme Agripa na wote mlioko hapa pamoja nasi! Hapa mbele yenu yuko mtu ambaye jumuiya yote ya Wayahudi hapa na kule Yerusalemu walinilalamikia wakipiga kelele kwamba hastahili kuishi tena.
25Bet aš nustačiau, kad jis nėra padaręs nieko, kas būtų baustina mirtimi. Jam šaukiantis Augusto, nusprendžiau jį ten pasiųsti.
25Lakini mimi sikuona kuwa alikuwa ametenda chochote kibaya hata astahili kupewa adhabu ya kifo. Lakini, kwa vile Paulo mwenyewe alikata rufani kwa Kaisari, niliamua kumpeleka.
26Tačiau nežinau nieko tikro, ką turėčiau parašyti valdovui. Todėl iškviečiau jį jūsų akivaizdon, ypač tavo, karaliau Agripa, kad, jį apklausęs, žinočiau, ką turiu parašyti.
26Kwa upande wangu sina habari kamili ambayo naweza kumwandikia Kaisari juu yake. Ndiyo maana nimemleta hapa mbele yenu na mbele yako mfalme Agripa, ili baada ya kumchunguza, niweze kuwa na la kuandika.
27Mat, man rodos, neprotinga siųsti kalinį, nenurodant kaltinimų”.
27Kwa maana nadhani itakuwa kichekesho kumpeleka mfungwa bila kutaja wazi mashtaka yanayomkabili."