Lithuanian

Swahili: New Testament

Colossians

3

1Jeigu esate su Kristumi prikelti, siekite to, kas aukštybėse, kur Kristus sėdi Dievo dešinėje.
1Basi, ikiwa mmefufuka pamoja na Kristo, panieni mambo ya juu, kule Kristo aliko, ameketi upande wa kulia wa Mungu.
2Mąstykite apie tai, kas aukštybėse, o ne apie tai, kas žemėje.
2Muwe na hamu ya mambo ya huko juu, na siyo mambo ya hapa duniani.
3Jūs juk esate mirę, ir jūsų gyvenimas su Kristumi yra paslėptas Dieve.
3Maana ninyi mmekufa na uzima wenu umefichwa pamoja na Kristo katika Mungu.
4Kai pasirodys Kristus­mūsų gyvenimas, tada su Juo ir jūs pasirodysite šlovėje.
4Uzima wenu halisi ni Kristo, na wakati atakapotokea ndipo nanyi pia mtakapotokea pamoja naye katika utukufu.
5Todėl marinkite tuos savo narius, kurie yra žemėje: ištvirkavimą, netyrumą, aistringumą, piktą pageidimą, taip pat godumą, kuris yra stabmeldystė.
5Basi, komesheni kabisa kila kitu kilicho ndani yenu ambacho chahusika na mambo ya kidunia: uasherati, uchafu, shauku, tamaa mbaya na uchu (ambao ni sawa na kuabudu sanamu).
6Dėl šių dalykų ateina Dievo rūstybė neklusnumo vaikams.
6Kwa sababu ya mambo hayo hasira ya Mungu huwajia wote wanaomwasi.
7Jūs irgi kadaise taip elgėtės, gyvendami tarp jų.
7Wakati mmoja ninyi pia mliishi kufuatana na mambo hayo, mlipotawaliwa nayo.
8Bet dabar jūs visa tai nusivilkite: rūstybę, nirtulį, nelabumą, pyktį, piktžodžiavimą, nešvarias kalbas nuo savo lūpų.
8Lakini sasa mnapaswa kuachana na mambo haya yote: hasira, tamaa, uovu; kufuru au maneno yasiyofaa yasitoke kamwe vinywani mwenu.
9Nebemeluokite vienas kitam, nusivilkę senąjį žmogų su jo darbais
9Msiambiane uongo, kwani ninyi mmekwisha vua ule utu wa kale pamoja na matendo yake yote,
10ir apsivilkę nauju, kuris atnaujinamas pažinimu pagal atvaizdą To, kuris jį sukūrė.
10mkavaa utu mpya. Huu unaendelea kurekebishwa na Mungu, Muumba wake, kadiri ya mfano wake, ili mpate kumjua Mungu kwa ukamilifu.
11Čia jau nebėra nei graiko, nei žydo, nei apipjaustyto, nei neapipjaustyto, nei barbaro, nei skito, nei vergo, nei laisvojo, bet visa ir visuose­Kristus.
11Katika hali hii, hakuna tena tofauti kati ya Mgiriki na Myahudi, aliyetahiriwa na asiyetahiriwa, msomi na asiye msomi, mtumwa na mtu aliye huru. Kristo ni kila kitu, na yumo katika yote.
12Todėl, kaip Dievo išrinktieji, šventieji ir numylėtiniai, apsivilkite nuoširdžiu gailestingumu, gerumu, nuolankumu, romumu ir ištverme.
12Ninyi ni watu wake Mungu; yeye aliwapenda na kuwateua. Kwa hiyo basi, vaeni moyo wa huruma, wema, unyenyekevu, upole na uvumilivu.
13Būkite vieni kitiems pakantūs ir atleiskite vieni kitiems, jei vienas prieš kitą turite skundą. Kaip Kristus atleido, taip ir jūs atleiskite.
13Vumilianeni na kusameheana iwapo mmoja wenu analo jambo lolote dhidi ya mwenzake. Mnapaswa kusameheana kama Bwana alivyowasamehe ninyi.
14O virš viso šito apsivilkite meile, kuri yra tobulumo raištis.
14Zaidi ya hayo yote, zingatieni upendo kwani upendo huunganisha kila kitu katika umoja ulio kamili.
15Jūsų širdyse teviešpatauja Dievo ramybė, į kurią esate pašaukti viename kūne. Ir būkite dėkingi.
15Nayo amani ya Kristo itawale mioyoni mwenu; maana kwa ajili hiyo ninyi mmeitwa katika mwili huo mmoja. Tena muwe na shukrani!
16Kristaus žodis tegul tarpsta jumyse. Mokykite ir įspėkite vieni kitus visokeriopa išmintimi, su dėkinga širdimi giedokite Viešpačiui psalmes, himnus ir dvasines giesmes.
16Ujumbe wa Kristo ukae ndani yenu pamoja na utajiri wake wote. Fundishaneni na kushauriana kwa hekima yote. Imbeni zaburi, nyimbo na tenzi za kiroho; mwimbieni Mungu mioyoni mwenu kwa shukrani.
17Ir visa, ką bedarytumėte žodžiu ar darbu, visa darykite Viešpaties Jėzaus vardu, per Jį dėkodami Dievui Tėvui.
17Na, kila mfanyacho kwa neno au tendo, fanyeni vyote kwa jina la Bwana Yesu na kumshukuru Mungu Baba kwa njia yake.
18Jūs, žmonos, būkite atsidavusios savo vyrams, kaip dera Viešpatyje.
18Enyi akina mama, watiini waume zenu, kwani ndivyo apendavyo Bwana.
19O jūs, vyrai, mylėkite savo žmonas ir nebūkite joms šiurkštūs.
19Nanyi waume, wapendeni wake zenu, na msiwe wakali kwao.
20Jūs, vaikai, visuose dalykuose klausykite savo tėvų, nes tai patinka Viešpačiui.
20Enyi watoto, watiini wazazi wenu daima maana hiyo humpendeza Bwana.
21O jūs, tėvai, neerzinkite savo vaikų, kad jie nepasidarytų baukštūs.
21Nanyi wazazi, msiwachukize watoto wenu, la sivyo watakata tamaa.
22Jūs, vergai, visame kame pakluskite savo šeimininkams pagal kūną, ne dėl akių tarnaudami, kaip žmonėms patikti norėdami, bet iš tyros širdies, bijodami Dievo.
22Enyi watumwa, watiini wakuu wenu wa kidunia katika mambo yote, na si tu wakati wanapowatazama kwa kuwa mnataka kujipendekeza kwao; ila fanyeni hivyo kwa moyo wote, kwa sababu ya kumcha Bwana.
23Ir ką tik darytumėte, darykite iš širdies, kaip Viešpačiui, o ne žmonėms,
23Kila mfanyalo, fanyeni kwa moyo wote, kwa sababu ya Bwana na si kwa ajili ya mtu.
24žinodami, kad iš Viešpaties gausite palikimą kaip atlyginimą,­ nes jūs tarnaujate Viešpačiui Kristui.
24Kumbukeni kwamba atawapeni tuzo lile alilowawekea watu wake. Mtumikieni Kristo Bwana!
25O kas daro neteisybę, susilauks atlygio už tai, ką padarė, ir nebus žiūrima asmens.
25Atendaye mabaya atalipwa kufuatana na ubaya wake; Mungu hana ubaguzi.