Lithuanian

Swahili: New Testament

Ephesians

4

1Taigi aš, kalinys Viešpatyje, raginu jus elgtis, kaip dera jūsų pašaukimui, į kurį esate pašaukti.
1Basi, mimi niliye mfungwa kwa kuwa namtumikia Bwana, nawasihi muishi maisha yanayostahili wito mlioitiwa.
2Su visu nuolankumu bei romumu, su ištverme pakęsdami vienas kitą meilėje,
2Muwe daima wanyenyekevu, wapole na wenye saburi; vumilianeni ninyi kwa ninyi kwa mapendo.
3siekite išsaugoti Dvasios vienybę taikos ryšiais.
3Fanyeni bidii ya kuhifadhi umoja uletwao na Roho kwa kuzingatia amani iliyo kati yenu.
4Vienas kūnas ir viena Dvasia, kaip ir esate pašaukti vienai pašaukimo vilčiai.
4Kuna mwili mmoja na Roho mmoja, kama vile tumaini mliloitiwa na Mungu ni moja.
5Vienas Viešpats, vienas tikėjimas, vienas krikštas.
5Kuna Bwana mmoja, imani moja na ubatizo mmoja;
6Vienas Dievas ir visų Tėvas, kuris virš visų, per visus ir visuose.
6kuna Mungu mmoja na Baba wa wote, ambaye yuko juu ya wote, afanya kazi katika yote na yuko katika yote.
7Bet kiekvienam iš mūsų duota malonė pagal Kristaus dovanos saiką.
7Kila mmoja wetu amepewa neema kadiri ya kipimo alichojaliwa na Kristo.
8Todėl sakoma: “Pakilęs aukštyn, nusivedė belaisvius ir davė žmonėms dovanų”.
8Kama yasemavyo Maandiko: "Alipopaa mbinguni juu kabisa, alichukua mateka; aliwapa watu zawadi."
9Ką reiškia “Jis pakilo”, jeigu ne tai, kad Jis pirma ir nusileido į žemesniąsias žemės vietas.
9Basi, inaposemwa: "alipaa juu," ina maana gani? Maana yake ni kwamba, kwanza alishuka mpaka chini kabisa duniani.
10Tas, kuris nužengė, yra ir Tas, kuris iškilo aukščiau už visus dangus, kad visa užpildytų.
10Basi, huyo aliyeshuka hapa duniani, ndiye aliyepaa juu ya mbingu zote apate kuujaza ulimwengu.
11Ir Jis paskyrė vienus apaštalais, kitus pranašais, evangelistais, ganytojais ir mokytojais,
11Ndiye aliyewapa watu zawadi: wengine aliwajalia wawe mitume, wengine manabii, wengine wawe waeneza Habari Njema, wengine wachungaji na walimu.
12kad išlavintų šventuosius tarnavimo darbui, Kristaus kūno ugdymui,
12Alifanya hivyo apate kuwatayarisha watu wote wa Mungu kwa ajili ya kazi ya huduma ya Kikristo ili kuujenga mwili wa Kristo,
13kol mes visi pasieksime tikėjimo vienybę ir Dievo Sūnaus pažinimą, tobulai subręsime iki Kristaus amžiaus pilnatvės saiko,
13na hivyo sote tuufikie umoja wa imani na kumjua Mwana wa Mungu; tuwe watu waliokomaa na kuufikia utimilifu wake Kristo mwenyewe.
14kad daugiau nebebūtume kūdikiai, siūbuojami ir nešiojami bet kokio mokymo vėjo, žmonių apgaulės, gudrumo, vedančio į paklydimą,
14Basi, hatutakuwa tena kama watoto, tukitupwa na kupeperushwa huko na huko kwa kila upepo wa mafundisho wanayozua watu wadanganyifu, ili wawapotoshe wengine kwa hila.
15bet, kalbėdami tiesą meilėje, augtume visame kame į Jį, kuris yra galva­Kristus.
15Ila, sisi tukisema ukweli kwa moyo wa mapendo tutakua zidi katika kila jambo kulingana na Kristo ambaye ndiye kichwa;
16Iš Jo visas kūnas, suderintas ir stipriai sujungtas įvairių raiščių, pagal savo saiką veikiant kiekvienai daliai, auga, kad ugdytų save meilėje.
16chini ya uongozi wake, viungo vyote vya mwili hushikamana pamoja, na mwili wote hutegemezwa kwa msaada wa viungo vyake. Basi, kila kiungo kikitekeleza kazi yake ipasavyo, mwili wote hukua na kujijenga katika upendo.
17Taigi aš liepiu ir įspėju Viešpatyje, kad jūs nebesielgtumėte, kaip elgiasi pagonys dėl savo proto tuštybės.
17Basi, kwa jina la Bwana, nawaonyeni: msiishi tena kama watu wasiomjua Mungu, ambao fikira zao zimekuwa upuuzi mtupu,
18Jų protas aptemęs, jie atskirti nuo Dievo gyvenimo dėl savo neišmanymo bei širdies užkietėjimo.
18na akili zao zimo gizani. Wako mbali na uzima wa Mungu, kwa sababu ya upumbavu ulio ndani yao na ukaidi wao.
19Jie sustabarėję, pasidavę gašlumui, nepasotinamai daro visus nešvarius darbus.
19Wamepotoka na hawana aibu, wamejitosa katika ufisadi; hufanya kwa pupa kila aina ya mambo ya aibu.
20Bet jūs ne taip pažinote Kristų!
20Lakini ninyi hamkujifunza hivyo juu ya Kristo.
21Juk iš Jo girdėjote ir Jame išmokote,­nes tiesa yra Jėzuje,­
21Ni dhahiri kwamba mlisikia barabara habari zake, na mkiwa wafuasi wake mkafundishwa ukweli ulivyo katika Yesu.
22kad privalu atsižadėti senojo žmogaus ankstesnio gyvenimo būdo, žlugdančio apgaulingais geismais,
22Basi, acheni mwenendo wenu wa awali, yaani ule utu wenu wa kale uliokuwa unaangamizwa kwa tamaa zake danganyifu.
23atsinaujinti savo proto dvasioje
23Jirekebisheni upya rohoni na katika fikira zenu.
24ir apsirengti nauju žmogumi, sutvertu pagal Dievą teisume ir tiesos šventume.
24Vaeni hali mpya ya utu ambayo imeumbwa kwa mfano wa Mungu na ambayo hujionyesha katika maisha ya kweli ya uadilifu na utakatifu.
25Tad, atmetę melą, “kiekvienas tekalba tiesą savo artimui”, nes esame vieni kitų nariai.
25Kwa hiyo, acheni uongo. Kila mmoja anapaswa kumwambia mwenzake ukweli, maana kila mmoja wetu ni kiungo cha mwili wa Kristo.
26“Rūstaukite ir nenusidėkite”. Tegul saulė nenusileidžia ant jūsų rūstybės!
26Kama mkikasirika, msikubali hasira yenu iwafanye mtende dhambi, na wala msikae na hasira kutwa nzima.
27Ir neduokite vietos velniui.
27Msimpe Ibilisi nafasi.
28Kas vogdavo, tegu daugiau nebevagia, bet dirba, darydamas savo rankomis gerus darbus, kad turėtų iš ko padėti stokojančiam.
28Aliyekuwa akiiba, asiibe tena, bali na aanze kufanya kazi njema kwa mikono yake, apate kuwa na kitu cha kumsaidia mtu aliye maskini.
29Joks bjaurus žodis teneišeina iš jūsų lūpų; bet tik tai, kas gera, kas tinka ugdymui ir suteikia malonę klausytojams.
29Maneno mabaya hata yasisikike kamwe miongoni mwenu; kila mara maneno yenu yawe ya kufaa na ambayo hujenga na kuwasaidia wengine, ili yawaneemeshe wasikilizaji wenu.
30Ir neliūdinkite Šventosios Dievo Dvasios, kuria esate užantspauduoti atpirkimo dienai.
30Msimhuzunishe Roho Mtakatifu wa Mungu maana Roho huyo ni alama ya Mungu kwenu kwamba ninyi ni watu wake, na thibitisho kwamba siku itakuja ambapo Mungu atawakomboeni.
31Tebūna toli nuo jūsų visoks kartėlis, piktumas, rūstybė, riksmai ir keiksmai su visomis piktybėmis.
31Basi, achaneni na uhasama, chuki, hasira, kelele, matusi! Achaneni na kila uovu!
32Būkite malonūs, gailestingi, atlaidūs vieni kitiems, kaip ir Dievas Kristuje atleido jums.
32Muwe na moyo mwema na wenye kuhurumiana; kila mmoja na amsamehe mwenzake kama naye Mungu alivyowasamehe ninyi kwa njia ya Kristo.