Lithuanian

Swahili: New Testament

Galatians

1

1Paulius, apaštalas ne iš žmonių ir ne per žmogų, bet per Jėzų Kristų ir Jį prikėlusį iš numirusių Dievą Tėvą,
1Mimi Paulo mtume,
2ir kartu su manimi esantys broliai­Galatijos bažnyčioms.
2na ndugu wote walio pamoja nami, tunayaandikia makanisa yaliyoko Galatia. Mimi nimepata kuwa mtume si kutokana na mamlaka ya binadamu, wala si kwa nguvu ya mtu, bali kwa uwezo wa Yesu Kristo na wa Mungu Baba aliyemfufua Yesu kutoka wafu.
3Malonė ir ramybė jums nuo Dievo Tėvo ir mūsų Viešpaties Jėzaus Kristaus,
3Tunawatakieni neema na amani kutoka kwa Mungu Baba yetu na kutoka kwa Bwana Yesu Kristo.
4kuris atidavė save už mūsų nuodėmes, kad išgelbėtų mus nuo dabartinio blogo amžiaus pagal mūsų Dievo ir Tėvo valią,
4Kristo alijitoa mwenyewe kwa ajili ya dhambi zetu kufuatana na mapenzi ya Mungu wetu na Baba, ili apate kutuokoa katika ulimwengu huu mbaya wa sasa.
5kuriam šlovė per amžių amžius! Amen.
5Kwake yeye uwe utukufu milele! Amina.
6Stebiuosi, kad jūs nuo To, kuris pašaukė jus į Kristaus malonę, taip greitai persimetate prie kitokios evangelijos,
6Nashangaa kwamba muda mfupi tu umepita, nanyi mnamwasi yule aliyewaita kwa neema ya Kristo, mkafuata Habari Njema ya namna nyingine.
7kuri, tarp kitko, nėra kitokia, o yra tik jus klaidinantys žmonės, norintys iškreipti Kristaus Evangeliją.
7Lakini hakuna "Habari Njema" nyingine. Ukweli ni kwamba wako watu wanaowavurugeni, watu wanaotaka kuipotosha Habari Njema ya Kristo.
8Bet nors ir mes patys ar angelas iš dangaus jums skelbtų kitokią evangeliją, negu mes jums paskelbėme,­tebūnie prakeiktas!
8Lakini, hata kama mmoja wetu au malaika kutoka mbinguni, atawahubirieni Habari Njema tofauti na ile tuliyowahubirieni sisi, basi huyo na alaaniwe!
9Kaip anksčiau sakėme, taip ir dabar sakau dar kartą: jei kas jums skelbia kitokią evangeliją, negu esate priėmę,­tebūnie prakeiktas!
9Tulikwisha sema, na sasa nasema tena: kama mtu yeyote anawahubirieni Habari Njema ya aina nyingine, tofauti na ile mliyokwisha pokea, huyo na alaaniwe!
10Ar aš ieškau žmonių palankumo, ar Dievo? Gal stengiuosi patikti žmonėms? Jei dar norėčiau patikti žmonėms, nebūčiau Kristaus tarnas.
10Sasa nataka kibali cha nani: cha binadamu, ama cha Mungu? Au je, nataka kuwapendeza watu? Kama ningefanya hivyo, mimi singekuwa kamwe mtumishi wa Kristo.
11Aš sakau jums, broliai, kad mano paskelbtoji Evangelija nėra iš žmonių,
11Ndugu, napenda mfahamu kwamba ile Habari Njema niliyoihubiri si ujumbe wa kibinadamu.
12nes negavau jos iš žmogaus ir nebuvau jos išmokytas, bet gavau Jėzaus Kristaus apreiškimu.
12Wala mimi sikuipokea kutoka kwa binadamu, wala sikufundishwa na mtu. Yesu Kristo mwenyewe ndiye aliyenifunulia.
13Jūs, be abejo, girdėjote, kaip kadaise aš elgiausi, išpažindamas judaizmą, kaip be saiko persekiojau Dievo bažnyčią ir grioviau ją.
13Bila shaka mlikwisha sikia jinsi nilivyokuwa ninaishi zamani kwa kuzingatia dini ya Kiyahudi, na jinsi nilivyolitesa kanisa la Mungu kupita kiasi na kutaka kuliharibu kabisa.
14Žydų religija buvau pralenkęs daugelį bendraamžių savo tautiečių, būdamas itin uolus dėl savo tėvų tradicijų.
14Naam, mimi niliwashinda wengi wa wananchi wenzangu wa rika langu katika kuizingatia dini ya Kiyahudi, nikajitahidi sana kuyashika mapokeo ya wazee wetu.
15Bet kai Dievas, kuris mane išskyrė dar esantį motinos įsčiose ir pašaukė savo malone, panorėjo
15Lakini Mungu, kwa neema yake, alikuwa ameniteua hata kabla sijazaliwa, akaniita nimtumikie.
16apreikšti manyje savo Sūnų, kad skelbčiau Jį pagonims, neskubėjau tartis su kūnu ir krauju
16Mara tu alipoamua kunifunulia Mwanae kusudi niihubiri Habari Njema yake kwa watu wa mataifa mengine, bila kutafuta maoni ya binadamu,
17ir nenuvykau į Jeruzalę pas pirmiau už mane buvusius apaštalus, bet iškeliavau į Arabiją ir po to vėl grįžau į Damaską.
17na bila kwenda kwanza Yerusalemu kwa wale waliopata kuwa mitume kabla yangu, nilikwenda kwanza Arabia, kisha nikarudi tena Damasko.
18Po trejų metų nukeliavau į Jeruzalę pasimatyti su Kefu ir pasilikau pas jį penkiolika dienų.
18Ilikuwa tu baada ya miaka mitatu, ndipo nilipokwenda Yerusalemu kuonana na Kefa; nilikaa kwake siku kumi na tano.
19Kitų apaštalų man neteko matyti, tiktai Viešpaties brolį Jokūbą.
19Lakini sikuwaona mitume wengine isipokuwa Yakobo, ndugu yake Bwana.
20Ką jums rašau, tvirtinu Dievo akivaizdoje, jog nemeluoju.
20Haya ninayowaandikieni, Mungu anajua; sisemi uongo.
21Po to išvykau į Sirijos ir Kilikijos sritis.
21Baadaye nilikwenda katika tarafa za Siria na Kilikia.
22Iš veido aš buvau nepažįstamas Judėjos bažnyčioms, kurios Kristuje.
22Wakati huo, mimi binafsi sikujulikana kwa jumuiya za Wakristo kule Yudea.
23Jos buvo tik girdėję: tas, kuris mus kitados persekiojo, dabar skelbia tikėjimą, kurį kadaise griovė.
23Walichokuwa wanajua ni kile tu walichosikia: "Mtu yule aliyekuwa akitutesa hapo awali, sasa anaihubiri imani ileile aliyokuwa anajaribu kuiangamiza."
24Ir jos šlovino Dievą dėl manęs.
24Basi, wakamtukuza Mungu kwa sababu yangu.