1Viešpats, sužinojęs, kad fariziejai išgirdo, jog Jo mokinių skaičius labiau auga negu Jono ir Jis gausiau krikštija
1Mafarisayo walisikia kwamba Yesu alikuwa anabatiza na kuwapata wanafunzi wengi kuliko Yohane.
2(nors pats Jėzus nekrikštydavo, tik Jo mokiniai),
2(Lakini ukweli ni kwamba Yesu hakuwa anabatiza ila wanafunzi wake.)
3paliko Judėją ir vėl išėjo į Galilėją.
3Basi, Yesu aliposikia hayo, alitoka Yudea akarudi Galilaya;
4Jam reikėjo eiti per Samariją.
4na katika safari hiyo ilimbidi apitie Samaria.
5Taigi Jis užsuko į Samarijos miestą, vadinamą Sicharu, netoli nuo lauko, kurį Jokūbas buvo davęs savo sūnui Juozapui.
5Basi, akafika Sukari, mji mmoja wa Samaria, karibu na shamba ambalo Yakobo alikuwa amempa mwanawe, Yosefu.
6Tenai buvo Jokūbo šulinys. Nuvargęs iš kelionės, Jėzus atsisėdo prie šulinio. Buvo apie šeštą valandą.
6Mahali hapo palikuwa na kisima cha Yakobo, naye Yesu, kutokana na uchovu wa safari, akaketi kando ya kisima. Ilikuwa yapata saa sita mchana.
7Viena samarietė moteris atėjo semtis vandens. Jėzus ją paprašė: “Duok man gerti”.
7Basi, mwanamke mmoja Msamaria akafika kuteka maji. Yesu akamwambia, "Nipatie maji ninywe."
8(Tuo tarpu Jo mokiniai buvo nuėję į miestą nusipirkti maisto.)
8(Wakati huo wanafunzi wake walikuwa wamekwenda mjini kununua chakula.)
9Samarietė atsakė: “Kaip Tu, būdamas žydas, prašai mane, samarietę, gerti?” (Mat žydai nebendrauja su samariečiais.)
9Lakini huyo mwanamke akamwambia, "Wewe ni Myahudi; mimi ni mwanamke Msamaria! Unawezaje kuniomba maji?" (Wayahudi hawakuwa na ushirikiano na Wasamaria katika matumizi ya vitu.)
10Jėzus jai tarė: “Jei tu pažintum Dievo dovaną ir kas yra Tas, kuris tave prašo: ‘Duok man gerti’, pati būtum Jį prašiusi, ir Jis tau būtų davęs gyvojo vandens!”
10Yesu akamjibu, "Kama tu ungalijua zawadi ya Mungu na ni nani anayekwambia: Nipatie maji ninywe, ungalikwisha mwomba, naye angekupa maji yaliyo hai."
11Moteris atsiliepė: “Viešpatie, bet Tu neturi kuo pasemti, o šulinys gilus. Iš kur Tu imsi gyvojo vandens?
11Huyo mama akasema, "Mheshimiwa, wewe huna chombo cha kutekea maji, nacho kisima ni kirefu; utapata wapi maji yaliyo hai?
12Argi Tu didesnis už mūsų tėvą Jokūbą, kuris tą šulinį mums paliko ir pats iš jo gėrė, ir jo vaikai, ir gyvuliai?”
12Au, labda wewe wajifanya mkuu kuliko babu yetu Yakobo? Yeye alitupa sisi kisima hiki; na yeye mwenyewe, watoto wake na mifugo yake walikunywa maji ya kisima hiki."
13Jėzus atsakė: “Kiekvienas, kas geria šitą vandenį, ir vėl trokš.
13Yesu akamjibu, "Kila anayekunywa maji haya ataona kiu tena.
14O kas gers vandenį, kurį Aš jam duosiu, tas nebetrokš per amžius, ir vanduo, kurį jam duosiu, taps jame versme vandens, trykštančio į amžinąjį gyvenimą”.
14Lakini atakayekunywa maji nitakayompa mimi, hataona kiu milele. Maji nitakayompa yatakuwa ndani yake chemchemi ya maji ya uzima na kumpatia uzima wa milele."
15Tada moteris Jam tarė: “Viešpatie, duok man to vandens, kad aš nebetrokščiau ir nebevaikščiočiau jo semtis čionai”.
15Huyo mwanamke akamwambia, "Mheshimiwa, nipe maji hayo ili nisione kiu tena; nisije tena mpaka hapa kuteka maji."
16Jėzus atsiliepė: “Eik, pakviesk savo vyrą ir sugrįžk čia”.
16Yesu akamwambia, "Nenda ukamwite mumeo uje naye hapa."
17Moteris atsakė: “Aš neturiu vyro”. Jėzus jai tarė: “Gerai pasakei: ‘Neturiu vyro’,
17Huyo mwanamke akamwambia, "Mimi sina mume." Yesu akamwambia, "Umesema kweli, kwamba huna mume.
18nes esi turėjusi penkis vyrus, ir tas, kurį dabar turi, nėra tavo vyras. Čia tu tiesą pasakei”.
18Maana umekuwa na waume watano, na huyo unayeishi naye sasa si mume wako. Hapo umesema kweli."
19Moteris atsiliepė: “Aš matau, Viešpatie, jog Tu esi pranašas.
19Huyo Mwanamke akamwambia, "Mheshimiwa, naona ya kuwa wewe u nabii.
20Mūsų tėvai garbino ant šito kalno, o jūs sakote, kad Jeruzalė esanti vieta, kur reikia garbinti”.
20Babu zetu waliabudu juu ya mlima huu, lakini ninyi mwasema kwamba mahali pa kumwabudu Mungu ni kule Yerusalemu."
21Jėzus atsakė: “Moterie, tikėk manimi, jog ateina valanda, kada garbinsite Tėvą ne ant šio kalno ir ne Jeruzalėje.
21Yesu akamwambia, "Niamini; wakati unakuja ambapo hamtamwabudu Baba juu ya mlima huu, wala kule Yerusalemu.
22Jūs garbinate, ko nepažįstate, o mes garbiname, ką pažįstame, nes išgelbėjimasiš žydų.
22Ninyi Wasamaria mnamwabudu yule msiyemjua, lakini sisi tunamjua huyo tunayemwabudu, kwa maana wokovu unatoka kwa Wayahudi.
23Bet ateina valanda,jau dabar ji yra,kai tikrieji garbintojai garbins Tėvą dvasioje ir tiesoje, nes Tėvas tokių Jo garbintojų ieško.
23Lakini wakati unakuja, tena umekwisha fika, ambapo wanaoabudu kweli, watamwabudu Baba kwa nguvu ya Roho; watu wanaomwabudu hivyo ndio Baba anaotaka.
24Dievas yra Dvasia, ir Jį garbinantys turi garbinti dvasioje ir tiesoje”.
24Mungu ni Roho, na watu wataweza tu kumwabudu kweli kwa nguvu ya Roho wake."
25Moteris Jam sako: “Žinau, jog ateina Mesijas (tai yra Kristus). Atėjęs Jis mums viską paskelbs”.
25Huyo mama akamwambia, "Najua kwamba Masiha, aitwaye Kristo, anakuja. Atakapokuja atatujulisha kila kitu."
26Jėzus jai tarė: “Tai Aš, kuris su tavimi kalbu!”
26Yesu akamwambia, "Mimi ninayesema nawe, ndiye."
27Tuo metu sugrįžo Jo mokiniai ir nustebo, kad Jis kalbėjo su moterimi. Vis dėlto nė vienas nepaklausė: “Ko iš jos nori?” arba: “Apie ką su ja kalbi?”
27Hapo wanafunzi wake wakarudi, wakastaajabu sana kuona anaongea na mwanamke. Lakini hakuna mtu aliyesema: "Unataka nini?" au, "Kwa nini unaongea na mwanamke?"
28O moteris, palikusi ąsotį, nubėgo į miestą ir apskelbė žmonėms:
28Huyo mama akauacha mtungi wake pale, akaenda mjini na kuwaambia watu,
29“Eikite pažiūrėti žmogaus, kuris pasakė man viską, ką esu padariusi. Ar tik Jis nebus Kristus?”
29"Njoni mkamwone mtu aliyeniambia mambo yote niliyotenda! Je, yawezekana kuwa yeye ndiye Kristo?"
30Ir žmonės iš miesto ėjo pas Jį.
30Watu wakatoka mjini, wakamwendea Yesu.
31Tuo tarpu mokiniai ragino Jį, sakydami: “Rabi, valgyk!”
31Wakati huohuo wanafunzi wake walikuwa wanamsihi Yesu: "Mwalimu, ule chakula."
32O Jis jiems tarė: “Aš turiu valgyti maisto, kurio jūs nežinote”.
32Lakini Yesu akawaambia, "Mimi ninacho chakula msichokijua ninyi."
33Tada mokiniai pradėjo vienas kitą klausinėti: “Nejaugi kas atnešė Jam valgyti?”
33Wanafunzi wake wakaulizana, "Je, kuna mtu aliyemletea chakula?"
34Bet Jėzus tarė: “Mano maistasvykdyti valią To, kuris mane siuntė, ir baigti Jo darbą.
34Yesu akawaambia, "Chakula changu ni kufanya anachotaka yule aliyenituma na kuitimiza kazi yake.
35Argi jūs nesakote: ‘Dar keturi mėnesiai, ir ateis pjūtis’? Štai sakau jums: pakelkite akis ir pažiūrėkite į laukusjie jau boluoja ir prinokę pjūčiai.
35Ninyi mwasema: Bado miezi minne tu, na wakati wa mavuno utafika! Lakini mimi nawaambieni, yatazameni mashamba; mazao yako tayari kuvunwa.
36Jau pjovėjas uždarbį gauna ir renka vaisių amžinajam gyvenimui, kad kartu džiaugtųsi ir sėjėjas, ir pjovėjas.
36Mvunaji anapata mshahara wake, na anakusanya mavuno kwa ajili ya uzima wa milele; hivyo mpandaji na mvunaji watafurahi pamoja.
37Čia teisingai priežodis sako: ‘Vienas pasėja, kitas nupjauna’.
37Kwa sababu hiyo msemo huu ni kweli: Mmoja hupanda na mwingine huvuna.
38Aš pasiunčiau jus nuimti derliaus, į kurį jūs neįdėjote darbo. Kiti pasidarbavo, o jūs įstojote į jų darbą”.
38Mimi nimewatuma mkavune mavuno ambayo hamkuyatolea jasho, wengine walifanya kazi, lakini ninyi mnafaidika kutokana na jasho lao."
39Daug samariečių iš ano miesto įtikėjo Jėzų dėl moters žodžių: “Jis man pasakė viską, ką esu padariusi”.
39Wasamaria wengi wa kijiji kile waliamini kwa sababu ya maneno aliyosema huyo mama: "Ameniambia mambo yote niliyofanya."
40Atėję samariečiai prašė Jį pasilikti pas juos, ir Jis ten pasiliko dvi dienas.
40Wasamaria walimwendea Yesu wakamwomba akae nao; naye akakaa hapo siku mbili.
41Ir dar daug žmonių įtikėjo dėl Jo žodžių.
41Watu wengi zaidi walimwamini kwa sababu ya ujumbe wake.
42O moteriai jie pasakė: “Dabar tikime ne dėl tavo šnekos. Mes patys išgirdome ir žinome, kad Jis iš tiesų yra Kristus, pasaulio Gelbėtojas”.
42Wakamwambia yule mama, "Sisi hatuamini tu kwa sababu ya maneno yako; sisi wenyewe tumesikia, na tunajua kwamba huyu ndiye kweli Mwokozi wa ulimwengu."
43Po dviejų dienų Jis išvyko iš ten į Galilėją.
43Baada ya siku mbili Yesu aliondoka hapo, akaenda Galilaya.
44Pats Jėzus buvo paliudijęs: “Pranašas negerbiamas savo tėviškėje”.
44Maana Yesu mwenyewe alisema waziwazi kwamba, "Nabii hapati heshima katika nchi yake."
45Kai Jis pasiekė Galilėją, galilėjiečiai priėmė Jį, nes buvo matę visa, ką Jis padarė per šventę Jeruzalėje; mat ir jie buvo nukeliavę į tą šventę.
45Basi, alipofika Galilaya, Wagalilaya wengi walimkaribisha. Maana nao pia walikuwa kwenye sikukuu ya Pasaka, wakayaona mambo yote Yesu aliyotenda huko Yerusalemu wakati wa sikukuu hiyo.
46Taigi Jėzus vėl atėjo į Galilėjos Kaną, kur buvo pavertęs vandenį vynu. Kafarnaume buvo vienas karaliaus valdininkas, kurio sūnus sirgo.
46Yesu alifika tena huko mjini Kana, mkoani Galilaya, mahali alipogeuza maji kuwa divai. Kulikuwa na ofisa mmoja aliyekuwa na mtoto mgonjwa huko Kafarnaumu.
47Išgirdęs, jog Jėzus iš Judėjos sugrįžo į Galilėją, jis atėjo pas Jį ir maldavo ateiti ir išgydyti jo sūnų, kuris buvo prie mirties.
47Basi, huyo ofisa aliposikia kuwa Yesu alikuwa ametoka Yudea na kufika Galilaya, alimwendea akamwomba aende kumponya mtoto wake aliyekuwa mgonjwa mahututi.
48Tuomet Jėzus jam atsakė: “Kol nepamatysite ženklų ir stebuklų, niekaip netikėsite”.
48Yesu akamwambia, "Msipoona ishara na maajabu hamtaamini!"
49Karaliaus valdininkas prašė: “Viešpatie, ateik, kol mano vaikas dar nenumirė”.
49Huyo ofisa akamwambia, "Mheshimiwa, tafadhali twende kabla mwanangu hajafa."
50Jėzus jam tarė: “Eik, tavo sūnus gyvas!” Žmogus patikėjo Jėzaus jam pasakytu žodžiu ir išėjo.
50Yesu akamwambia, "Nenda tu, mwanao yu mzima." Huyo mtu akaamini maneno ya Yesu, akaenda zake.
51Pareinantį pasitiko Jį tarnai ir pranešė: “Tavo vaikas gyvas”.
51Alipokuwa bado njiani, watumishi wake walikutana naye, wakamwambia kwamba mwanawe alikuwa mzima.
52Jis paklausė, kurią valandą jam pasidarė geriau. Jie atsakė: “Vakar septintą valandą dingo jam karštis”.
52Naye akawauliza saa mtoto alipopata nafuu; nao wakamwambia, "Jana saa saba mchana, homa ilimwacha."
53Taip tėvas patyrė, kad tai buvo ta valanda, kada Jėzus pasakė jam: “Tavo sūnus gyvas”. Ir įtikėjo jis pats bei visi jo namai.
53Huyo baba akakumbuka kwamba ilikuwa ni saa ileile ambapo Yesu alimwambia: "Mwanao yu mzima." Basi, yeye akaamini pamoja na jamaa yake yote.
54Tai buvo antras stebuklas, kurį Jėzus padarė, sugrįžęs iš Judėjos į Galilėją.
54Hii ilikuwa ishara ya pili aliyoifanya Yesu alipokuwa anatoka Yudea kwenda Galilaya.