Lithuanian

Swahili: New Testament

Jude

1

1Judas, Jėzaus Kristaus tarnas, Jokūbo brolis, Dievo Tėvo pašventintiems ir Jėzuje Kristuje išsaugotiems pašauktiesiems:
1Mimi Yuda, mtumishi wa Yesu Kristo, ndugu yake Yakobo, nawaandikia ninyi mlioitwa na Mungu na ambao mnaishi katika upendo wa Mungu Baba, na katika ulinzi wa Yesu Kristo.
2tepadaugėja jums gailestingumas, ramybė ir meilė!
2Nawatakieni huruma, amani na upendo kwa wingi.
3Mylimieji, labai norėjau parašyti jums apie bendrąjį mūsų išgelbėjimą ir jaučiu reikalą rašyti jums raginimą, kad narsiai kovotumėte už tikėjimą, vieną kartą visiems laikams duotą šventiesiems.
3Ndugu wapenzi, wakati nimo katika jitihada ya kuwaandikieni juu ya ule wokovu tunaoshiriki sote, nimeona lazima ya kuwaandikieni na kuwahimizeni mwendelee kupigana kwa ajili ya imani ambayo Mungu amewajalia watu wake mara moja tu kwa wakati wote.
4Mat vogčiomis įsiskverbė žmonių, kuriems nuo seno surašytas toks pasmerkimas: jie bedieviai, iškreipia mūsų Dievo malonę į palaidumą ir neigia mūsų vienintelį Valdovą Dievą ir Viešpatį Jėzų Kristų.
4Maana watu wasiomcha Mungu wamepata kujiingiza kwa siri miongoni mwetu, watu ambao, kwa faida ya maisha yao mabaya, wanaupotosha ujumbe wa neema ya Mungu wetu na kumkana Yesu Kristo aliye peke yake kiongozi na Bwana wetu. Maandiko Matakatifu yalikwisha bashiri tangu awali hukumu inayowangojea watu hao.
5Aš noriu jums priminti, nors jūs tai jau žinote, kad Viešpats, pirmiau išgelbėjęs tautą iš Egipto žemės, paskui pražudė tuos, kurie netikėjo.
5Nataka kuwakumbusheni mambo fulani ambayo mmekwisha yajua: kumbukeni jinsi Bwana alivyowaokoa watu wa Israeli na kuwatoa katika nchi ya Misri, lakini baadaye aliwaangamiza wale ambao hawakuamini.
6Taip pat ir tuos angelus, kurie neišlaikė savo prakilnumo, bet paliko savo buveinę, Jis laiko sukaustytus amžinais pančiais tamsybėje didžiosios dienos teismui.
6Na, malaika ambao hawakuridhika na cheo chao, wakayaacha makao yao ya asili, Mungu amewafunga gizani kwa minyororo ya milele wahukumiwe Siku ile kuu.
7Taip pat Sodoma ir Gomora bei aplinkiniai miestai, kurie panašiai ištvirkavo ir nusekė paskui ne tokį kūną, lieka pavyzdžiu, kentėdami amžinos ugnies bausmę.
7Kumbukeni pia Sodoma na Gomora, na miji ya kandokando yake; wenyeji wake walifanya kama wale malaika; walifanya uzinzi na mambo yaliyo kinyume cha maumbile, wakapewa hukumu ya moto wa milele, iwe onyo kwa watu wote.
8Taip ir šitie sapnuotojai suteršia kūną, niekina viešpatystę, piktžodžiauja šlovingiesiems.
8Hivyo ndivyo pia walivyo watu hawa. ndoto zao huwaongoza katika kuichafua miili yao wenyewe, kuyadharau mamlaka ya Mungu na kuvitukana viumbe vitukufu vya huko juu.
9Kai arkangelas Mykolas, besiginčydamas su velniu, varžėsi dėl Mozės kūno, jis neišdrįso mesti piktžodiško kaltinimo, bet pasakė: “Tesudraudžia tave Viešpats!”
9Hata Mikaeli, malaika mkuu, hakufanya hivyo. Katika ule ubishi kati yake na Ibilisi waliobishana juu ya mwili wa Mose, Mikaeli hakuthubutu kumhukumu Ibilisi kwa matusi; ila alisema: "Bwana mwenyewe na akukaripie."
10Šitie šmeižia, ko neišmano, ir pažindami tik gyvuliškus instinktus, juose genda.
10Lakini watu hawa hutukana chochote wasichokielewa; mambo yaleyale wanayoyajua kwa silika kama vile wanyama wanayoyajua ndiyo yanayowaangamiza.
11Vargas jiems! Jie pasuko Kaino keliu, godžiai pasidavė Balaamo paklydimui dėl pelno, pražudė save Korės maištu.
11Ole wao! Watu hao wamefuata mwenendo uleule wa Kaini. Kwa ajili ya fedha, wamejiingiza katika mkosi uleule wa Baalamu. Wameasi kama Kora alivyoasi na wameangamizwa kama yeye alivyoangamizwa.
12Jie kaip dėmės jūsų meilės pokyliuose, kai vaišinasi su jumis ir nesidrovėdami tunka. Jie­lyg bevandeniai debesys, vaikomi vėjų, tarytum bevaisiai medžiai rudenį, du kartus mirę ir išrauti.
12Kwa makelele yao yasiyo na adabu, watu hao ni kama madoa machafu katika mikutano yenu ya karamu ya Bwana. Hujipendelea wao wenyewe tu, na wako kama mawingu yanayopeperushwa huko na huko na upepo bila ya kuleta mvua. Wao ni kama miti isiyozaa matunda hata wakati wa majira yake, wamekufa kabisa.
13Jie lyg šėlstančios jūros bangos, kurios spjaudo savo begėdystę, lyg žvaigždės klajoklės, kurioms per amžius skirta juodžiausia tamsybė.
13Watu hao ni kama mawimbi makali ya bahari, na matendo yao ya aibu yanaonekana dhahiri kama vile mapovu ya mawimbi. Wao ni kama nyota zinazotangatanga, ambao Mungu amewawekea mahali pao milele katika giza kuu.
14Apie juos pranašavo ir septintasis nuo Adomo, Henochas: “Štai atėjo Viešpats su miriadais savo šventųjų
14Henoki, ambaye ni babu wa saba tangu Adamu, alibashiri hivi juu ya watu hawa: "Sikilizeni! Bwana atakuja pamoja na maelfu ya malaika wake watakatifu
15įvykdyti teismo visiems ir apkaltinti visų bedievių dėl visų bedieviškų darbų, kuriuos jie bedieviškai vykdė, ir dėl visų piktų žodžių, kuriuos prieš Jį kalbėjo bedieviai nusidėjėliai”.
15kutoa hukumu juu ya binadamu wote, kuwahukumu wote kwa ajili ya matendo yao yote maovu waliyotenda na kwa ajili ya maneno yote mabaya ambayo watu waovu walimkashifu nayo."
16Jie visada murma, nepatenkinti savo dalia, gyvena geismais; jų lūpos kalba išpūstus žodžius, jie pataikauja žmonėms dėl savo naudos.
16Watu hawa wananung'unika daima na kuwalaumu watu wengine. Hufuata tamaa zao mbaya, hujigamba na kuwasifu watu wengine mno kusudi wafaulu katika mipango yao.
17O jūs, mylimieji, prisiminkite žodžius, kurie anksčiau buvo paskelbti mūsų Viešpaties Jėzaus Kristaus apaštalų.
17Lakini ninyi wapenzi wangu, kumbukeni yale mliyoambiwa hapo awali ni mitume wa Bwana wetu Yesu Kristo.
18Jie sakė jums, kad paskutiniais laikais atsiras šaipūnų, kurie gyvens savo bedieviškais geismais.
18Waliwaambieni: "Siku za mwisho zitakapofika, watatokea watu watakaowadhihaki ninyi, watu wafuatao tamaa zao mbaya."
19Tai tie, kurie įneša susiskaldymą, sieliniai, neturintys Dvasios žmonės.
19Hao ndio watu wanaosababisha mafarakano, watu wanaotawaliwa na tamaa zao za kidunia, watu wasio na Roho wa Mungu.
20Bet jūs, mylimieji, statydami save ant savo švenčiausiojo tikėjimo, melsdamiesi Šventojoje Dvasioje,
20Lakini ninyi, wapenzi wangu, endeleeni kujijenga kikamilifu katika imani yenu takatifu. Salini kwa nguvu ya Roho Mtakatifu,
21išsilaikykite Dievo meilėje, laukdami mūsų Viešpaties Jėzaus Kristaus gailestingumo amžinajam gyvenimui.
21na kubaki katika upendo wa Mungu, mkiwa mnamngojea Bwana wetu Yesu Kristo awapeni uzima wa milele kwa huruma yake.
22Vieniems, kurie abejoja, būkite gailestingi,
22Muwe na huruma kwa watu walio na mashaka;
23kitus bijodami gelbėkite, traukdami iš ugnies, bodėdamiesi net jų kūnu suteršto drabužio.
23waokoeni kwa kuwanyakua kutoka motoni; na kwa wengine muwe na huruma pamoja na hofu, lakini chukieni hata mavazi yao ambayo yamechafuliwa na tamaa zao mbaya.
24Tam, kuris gali išlaikyti jus nenupuolusius ir savo šlovės akivaizdon pastatyti nepriekaištingus su didžiausiu džiaugsmu,
24Kwake yeye awezaye kuwalinda msije mkaanguka, na kuwaleta ninyi bila hatia mpaka mbele ya utukufu wake,
25vieninteliam išmintingajam Dievui, mūsų Gelbėtojui, per mūsų Viešpatį Jėzų Kristų tebūna šlovė, didybė, galybė ir valdžia dabar ir per amžius! Amen.
25kwake yeye aliye peke yake Mungu, Mkombozi wetu, uwe utukufu, ukuu, nguvu na mamlaka kwa njia ya Kristo Bwana wetu, tangu zama zote, sasa na hata milele! Amina.