Lithuanian

Swahili: New Testament

Mark

4

1Jis vėl ėmė mokyti paežerėje. Prie Jo susirinko didžiausia minia, kad Jis net įlipo į valtį ir sėdėjo ant vandens, o visa minia liko ant kranto palei ežerą.
1Yesu alianza kufundisha tena akiwa kando ya ziwa. Umati mkubwa wa watu ulimzunguka hata ikambidi aingie katika mashua na kuketi. Watu wakawa wamekaa katika nchi kavu, kando ya ziwa.
2Jis mokė juos daugelio dalykų palyginimais. Mokydamas sakė:
2Aliwafundisha mambo mengi kwa mifano, na katika mafundisho yake aliwaambia,
3“Paklausykite! Štai sėjėjas išėjo sėti.
3"Sikilizeni! Mpanzi alikwenda kupanda mbegu.
4Jam besėjant, dalis grūdų nukrito palei kelią, ir atskridę padangių paukščiai juos sulesė.
4Alipokuwa akipanda, nyingine zilianguka njiani, ndege wakaja wakazila.
5Kiti nukrito į uolėtą dirvą, kur buvo nedaug žemės, ir greit sudygo, nes neturėjo gilesnio žemės sluoksnio.
5Nyingine zilianguka penye mawe pasipokuwa na udongo mwingi. Mbegu hizo ziliota mara kwa kuwa udongo haukuwa na kina.
6Saulei patekėjus, daigai išdegė ir, neturėdami šaknų, sudžiūvo.
6Jua lilipochomoza, zikachomeka; na kwa kuwa mizizi yake haikuwa na nguvu, zikanyauka.
7Kiti nukrito tarp erškėčių. Erškėčiai išaugo ir nusmelkė juos, ir jie nedavė derliaus.
7Nyingine zilianguka kwenye miti ya miiba, nayo ikakua na kuzisonga, nazo hazikuzaa nafaka.
8Dar kiti nukrito į gerą žemę, sudygo, užaugo ir davė derlių: vieni trisdešimteriopą, kiti šešiasdešimteriopą, treti šimteriopą”.
8Nyingine zilianguka katika udongo mzuri, zikakua na kuzaa: moja punje thelathini, moja sitini na nyingine mia."
9Jis pasakė jiems: “Kas turi ausis klausyti­teklauso!”
9Kisha akawaambia, "Mwenye masikio na asikie!"
10Kai Jėzus pasiliko vienas, aplink Jį esantys kartu su dvylika paklausė apie palyginimą.
10Yesu alipokuwa peke yake, baadhi ya wale waliomsikia walimwendea pamoja na wale kumi na wawili, wakamwuliza juu ya hiyo mifano.
11Jis atsakė: “Jums duota suprasti Dievo karalystės paslaptis, o pašaliniams viskas sakoma palyginimais,
11Naye akawaambia, "Ninyi mmejaliwa kujua siri ya Utawala wa Mungu, lakini wale walio nje wataambiwa kila kitu kwa mifano,
12kad jie ‘regėti regėtų, bet nematytų, girdėti girdėtų, bet nesuprastų, kad neatsiverstų ir nuodėmės nebūtų jiems atleistos’ ”.
12ili, Watazame kweli, lakini wasione. Wasikie kweli, lakini wasielewe. La sivyo, wangemgeukia Mungu, naye angewasamehe."
13Ir Jis paklausė: “Nejaugi nesuprantate šito palyginimo? Tai kaip suprasite visus kitus palyginimus?
13Basi, Yesu akawauliza, "Je, ninyi hamwelewi mfano huu? Mtawezaje basi, kuelewa mfano wowote?
14Sėjėjas sėja žodį.
14Mpanzi hupanda neno la Mungu.
15Palei kelią sėjamas žodis­tai tie, kuriems vos išgirdus, tuoj pat ateina šėtonas ir išplėšia jų širdyse pasėtąjį žodį.
15Watu wengine ni kama wale walio njiani ambapo mbegu zilianguka. Hawa hulisikia hilo neno lakini mara Shetani huja na kuliondoa neno hilo lililopandwa ndani yao.
16Panašiai ir su tais, kurie pasėti uolėtoje dirvoje. Išgirdę žodį, jie tuojau su džiaugsmu jį priima.
16Watu wengine ni kama zile mbegu zilizopandwa penye mawe. Mara tu wanapolisikia hilo neno hulipokea kwa furaha.
17Bet jie neturi savyje šaknų ir išsilaiko neilgai. Ištikus kokiam sunkumui ar persekiojimui dėl žodžio, jie tuoj pat pasipiktina.
17Lakini haliwaingii na kuwa na mizizi ndani yao; huendelea kulizingatia kwa kitambo tu, na wakati taabu au udhalimu vinapotokea kwa sababu ya hilo neno mara wanakata tamaa.
18Kiti sėjami tarp erškėčių. Jie išgirsta žodį,
18Watu wengine ni kama zile mbegu zilizoanguka penye miti ya miiba. Huo ni mfano wa wale wanaolisikia hilo neno,
19bet pasaulio rūpesčiai, turtų apgaulė ir sukilę geismai kitiems dalykams nusmelkia žodį ir jis tampa nevaisingas.
19lakini wasiwasi wa ulimwengu huu, anasa za mali na tamaa za kila namna huwaingia na kulisonga hilo neno, nao hawazai matunda.
20Geroje žemėje pasėta sėkla­tai tie, kurie išgirsta žodį, priima jį ir duoda vaisių: kas trisdešimteriopą, kas šešiasdešimteriopą, o kas šimteriopą”.
20Lakini wengine ni kama zile mbegu zilizopandwa katika udongo mzuri. Hawa hulisikia hilo neno, wakalipokea, wakazaa matunda: wengine thelathini, wengine sitini na wengine mia moja."
21Jis kalbėjo jiems: “Argi žiburys atnešamas pakišti po indu ar po lova? Argi ne įstatyti į žibintuvą?
21Yesu akaendelea kuwaambia, "Je, watu huwasha taa wakaileta ndani na kuifunika kwa pishi au kuiweka mvunguni? La! Huiweka juu ya kinara.
22Juk nėra nieko paslėpta, kas nebūtų apreikšta, ir nieko paslaptyje laikomo, kas neišeitų aikštėn.
22Basi, kila kilichofichwa kitafichuliwa, na kila kilichofunikwa kitafunuliwa.
23Jei kas turi ausis klausyti­teklauso!”
23Mwenye masikio na asikie!"
24Jis sakė jiems: “Įsidėmėkite, ką girdite: kokiu saiku seikėjate, tokiu ir jums bus atseikėta, ir jums, kurie girdite, bus dar pridėta.
24Akawaambia pia, "Sikilizeni kwa makini mnachosikia! Kipimo kilekile mnachowapimia watu wengine, ndicho mtakachopimiwa; tena mtazidishiwa.
25Kas turi, tam bus duota, o iš neturinčio bus atimta net ir tai, ką turi”.
25Aliye na kitu atapewa zaidi; asiye na kitu, hata kile alicho nacho kitachukuliwa."
26Jis kalbėjo: “Su Dievo karalyste yra kaip su žmogumi, beriančiu dirvon sėklą.
26Yesu akaendelea kusema, "Ufalme wa Mungu ni kama ifuatavyo. Mtu hupanda mbegu shambani.
27Ar jis miega ar keliasi, ar naktį ar dieną, sėkla dygsta ir auga, jam nežinant kaip.
27Usiku hulala, mchana yu macho na wakati huo mbegu zinaota na kukua; yeye hajui inavyofanyika.
28Juk žemė savaime duoda vaisių: pradžioje želmenį, paskui varpą, pagaliau pribrendusį grūdą varpoje.
28Udongo wenyewe huiwezesha mimea kukua na kuzaa matunda: kwanza huchipua jani changa, kisha suke, na mwishowe nafaka ndani ya suke.
29Derliui prinokus, žmogus tuojau ima pjautuvą, nes pjūtis atėjo”.
29Nafaka inapoiva, huyo mtu huanza kutumia mundu wake, maana wakati wa mavuno umefika."
30Jėzus dar sakė: “Su kuo galima palyginti Dievo karalystę? Arba kokiu palyginimu ją pavaizduosime?
30Tena, Yesu akasema, "Tuufananishe Utawala wa Mungu na nini? Tuueleze kwa mifano gani?
31Ji kaip garstyčios grūdelis, kuris sėjamas dirvon. Jis yra mažiausias iš visų sėklų žemėje,
31Ni kama mbegu ya haradali ambayo ni ndogo kuliko mbegu zote.
32bet pasėtas užauga, tampa didesnis už visus augalus ir išleidžia plačias šakas, kad jo pavėsyje gali susisukti lizdą padangių sparnuočiai”.
32Lakini ikisha pandwa, huota na kuwa mmea mkubwa kuliko mimea yote ya shambani. Matawi yake huwa makubwa hata ndege wa angani huweza kujenga viota vyao katika kivuli chake."
33Daugeliu tokių palyginimų Jėzus skelbė jiems žodį, kiek jie sugebėjo suprasti.
33Yesu aliwahubiria ujumbe wake kwa mifano mingine mingi ya namna hiyo; aliongea nao kadiri walivyoweza kusikia.
34Be palyginimų Jis jiems nekalbėdavo, bet kai pasilikdavo vienas su savo mokiniais, viską jiems išaiškindavo.
34Hakuongea nao chochote bila kutumia mifano; lakini alipokuwa pamoja na wanafunzi wake peke yao alikuwa akiwafafanulia kila kitu.
35Tą pačią dieną, atėjus vakarui, Jis tarė mokiniams: “Irkimės į aną pusę!”
35Jioni, siku hiyohiyo, Yesu aliwaambia wanafunzi wake, "Tuvuke ziwa, twende ng'ambo."
36Atleidę žmones, jie Jį pasiėmė, nes Jis tebebuvo valtyje. Kartu plaukė ir kitos mažos valtys.
36Basi, wakauacha ule umati wa watu, wakamchukua Yesu katika mashua alimokuwa. Palikuwapo pia mashua nyingine hapo.
37Pakilo didžiulė vėtra ir bangos daužėsi į valtį taip, kad ją jau sėmė.
37Basi, dhoruba kali ikaanza kuvuma, mawimbi yakaipiga ile mashua hata ikaanza kujaa maji.
38Jėzus buvo valties gale ir miegojo ant pagalvės. Mokiniai pažadino Jį, šaukdami: “Mokytojau, Tau nerūpi, kad mes žūvame?!”
38Yesu alikuwa sehemu ya nyuma ya mashua, amelala juu ya mto. Basi, wanafunzi wakamwamsha na kumwambia, "Mwalimu, je, hujali kwamba sisi tunaangamia?"
39Pabudęs Jis sudraudė vėją ir įsakė ežerui: “Nutilk, nusiramink!” Tuojau pat vėjas nutilo, ir pasidarė visiškai ramu.
39Basi, akaamka, akaukemea ule upepo na kuyaamrisha mawimbi ya ziwa, "Kimya! Tulia!" Hapo upepo ukakoma, kukawa shwari kabisa.
40Jis tarė jiems: “Kodėl jūs tokie bailūs? Ar vis dar neturite tikėjimo?”
40Kisha Yesu akawaambia wanafunzi wake, "Mbona mnaogopa? Je, bado hamna imani?"
41Juos apėmė didelė baimė, ir jie kalbėjo vienas kitam: “Kas gi Jis toks? Net vėjas ir ežeras Jo klauso!”
41Nao wakaogopa sana, wakawa wanaulizana, "Huyu ni nani basi, hata upepo na mawimbi vinamtii?"