Lithuanian

Swahili: New Testament

Matthew

15

1Tuomet prie Jėzaus priėjo Rašto žinovų ir fariziejų iš Jeruzalės ir klausė:
1Kisha Mafarisayo na walimu wa Sheria wakafika kutoka Yerusalemu, wakamwendea Yesu, wakamwuliza,
2“Kodėl Tavo mokiniai laužo prosenių tradiciją? Jie, prieš valgydami duoną, nesiplauna rankų”.
2"Kwa nini wanafunzi wako hawajali mapokeo tuliyopokea kutoka kwa wazee wetu? Hawanawi mikono yao kama ipasavyo kabla ya kula!"
3Jis, atsakydamas jiems, tarė: “O kodėl ir jūs laužote Dievo įsakymą savo tradicija?!
3Yesu akawajibu, "Kwa nini nanyi mnapendelea mapokeo yenu wenyewe na hamuijali Sheria ya Mungu?
4Juk Dievas įsakė: ‘Gerbk savo tėvą ir motiną!’, ir: ‘Kas keiktų tėvą ar motiną, mirtimi temiršta!’
4Mungu amesema: Waheshimu baba yako na mama yako, na Anayemkashifu baba yake au mama yake, lazima auawe.
5O jūs sakote: ‘Kiekvienas, kas pasakys tėvui ar motinai:­Viskas, kas tau būtų naudinga iš manęs, tebūnie dovana Dievui­
5Lakini ninyi mwafundisha ati mtu akiwa na kitu ambacho angeweza kuwasaidia nacho baba au mama yake, lakini akasema: Kitu hiki nimemtolea Mungu,
6tas gali negerbti tėvo ir motinos’. Taip jūs savo tradicija Dievo įsakymą padarote negaliojantį.
6basi, hapaswi tena kumheshimu baba yake! Ndivyo mnavyodharau neno la Mungu kwa kufuata mafundisho yenu wenyewe.
7Veidmainiai! Gerai apie jus pranašavo Izaijas:
7Enyi wanafiki! Isaya alitabiri sawa kabisa juu yenu:
8‘Ši tauta artinasi prie manęs savo lūpomis ir gerbia mane savo liežuviu, bet jos širdis toli nuo manęs.
8Watu hawa, asema Mungu, huniheshimu kwa maneno tu, lakini mioyoni mwao wako mbali nami.
9Veltui jie mane garbina, žmogiškus priesakus paversdami mokymu’ ”.
9Kuniabudu kwao hakufai, maana mambo wanayofundisha ni maagizo ya kibinadamu tu."
10Sušaukęs minią, Jis kalbėjo: “Klausykite ir supraskite!
10Yesu aliuita ule umati wa watu, akawaambia, "Sikilizeni na muelewe!
11Ne kas patenka į burną, suteršia žmogų, bet kas išeina iš burnos, tai suteršia žmogų”.
11Kitu kinachomtia mtu najisi si kile kiingiacho kinywani, bali kile kitokacho kinywani. Hicho ndicho kimtiacho mtu najisi."
12Tada priėję Jo mokiniai pranešė: “Ar žinai, kad fariziejai pasipiktino, išgirdę tuos žodžius?”
12Kisha wanafunzi wakamwendea, wakamwambia, "Je, unajua kwamba Mafarisayo walichukizwa waliposikia maneno yako?"
13Jis atsakė: “Kiekvienas augalas, kurio nesodino mano dangiškasis Tėvas, bus išrautas.
13Lakini yeye akawajibu, "Kila mmea ambao Baba yangu aliye mbinguni hakuupanda, utang'olewa.
14Palikite juos! Jie akli aklųjų vadovai. O jeigu aklas aklą ves, abu į duobę įkris”.
14Waacheni wenyewe! Wao ni vipofu, viongozi wa vipofu; na kipofu akimwongoza kipofu, wote wawili hutumbukia shimoni."
15Tuomet Petras paprašė Jo: “Išaiškink mums tą palyginimą”.
15Petro akadakia, "Tufafanulie huo mfano."
16Jėzus atsakė: “Ar ir jūs dar nesuprantate?!
16Yesu akasema, "Hata nyinyi hamwelewi?
17Argi nesuprantate, kad visa, kas patenka į burną, eina į pilvą ir išmetama laukan?
17Je, hamwelewi kwamba kila kinachoingia kinywani huenda tumboni na baadaye hutupwa nje chooni?
18O kas išeina iš burnos, eina iš širdies, ir tai suteršia žmogų.
18Lakini yale yatokayo kinywani hutoka moyoni, na hayo ndiyo yanayomtia mtu najisi.
19Iš širdies išeina pikti sumanymai, žmogžudystės, svetimavimai, paleistuvystės, vagystės, melagingi liudijimai, piktžodžiavimai.
19Maana moyoni hutoka mawazo maovu yanayosababisha uuaji, uzinzi, uasherati, wizi, ushahidi wa uongo na kashfa.
20Šitie dalykai suteršia žmogų, o valgymas neplautomis rankomis žmogaus nesuteršia”.
20Hayo ndiyo yanayomtia mtu najisi. Lakini kula chakula bila kunawa mikono hakumtii mtu najisi."
21Iš ten išėjęs, Jėzus pasitraukė į Tyro ir Sidono sritį.
21Yesu aliondoka mahali hapo akaenda kukaa katika sehemu za Tiro na Sidoni.
22Ir štai iš ano krašto atėjo moteris kanaanietė ir šaukė Jam: “Pasigailėk manęs, Viešpatie, Dovydo Sūnau! Mano dukterį baisiai kankina demonas!”
22Basi, mama mmoja Mkaanani wa nchi hiyo alimjia, akapaaza sauti: "Mheshimiwa, Mwana wa Daudi, nionee huruma! Binti yangu anasumbuliwa na pepo."
23Bet Jėzus neatsakė nė žodžio. Tada priėjo mokiniai ir ėmė Jį maldauti: “Paleisk ją, nes ji šaukia mums iš paskos!”
23Lakini Yesu hakumjibu neno. Basi, wanafunzi wake wakamwendea, wakamwambia, "Mwambie aende zake kwa maana anatufuatafuata akipiga kelele."
24Bet Jis atsakė: “Aš esu siųstas tik pas pražuvusias Izraelio namų avis”.
24Yesu akajibu, "Sikutumwa ila kwa watu wa Israeli waliopotea kama kondoo."
25Tada ji priėjusi Jį pagarbino ir tarė: “Viešpatie, padėk man!”
25Hapo huyo mama akaja, akapiga magoti mbele yake, akasema, "Mheshimiwa, nisaidie."
26Jis atsakė: “Nedera imti vaikų duoną ir mesti šunyčiams”.
26Yesu akamjibu, "Si sawa kuchukua chakula cha watoto na kuwatupia mbwa."
27O ji atsiliepė: “Taip, Viešpatie, bet ir šunyčiai ėda trupinius, nukritusius nuo jų šeimininko stalo”.
27Huyo mama akajibu, "Ni kweli, Mheshimiwa; lakini hata mbwa hula makombo yanayoanguka kutoka meza ya bwana wao."
28Tada Jėzus jai tarė: “O moterie, didis tavo tikėjimas! Tebūnie tau, kaip tu nori”. Ir tą pačią valandą jos duktė pasveiko.
28Hapo Yesu akamjibu, "Mama, imani yako ni kubwa; basi, ufanyiwe kama unavyotaka." Yule binti yake akapona tangu saa hiyo wakati huohuo.
29Iš ten išėjęs, Jėzus atvyko prie Galilėjos ežero. Jis užkopė ant kalno ir atsisėdo.
29Yesu alitoka hapo akaenda kando ya ziwa Galilaya, akapanda mlimani, akaketi.
30Prie Jo susirinko didžiulės minios, kurios atsigabeno su savimi luošų, aklų, nebylių, raišų ir daugelį kitokių. Žmonės suguldė juos prie Jėzaus kojų, o Jis pagydė juos.
30Watu wengi sana wakamjia wakiwaleta vilema, vipofu, viwete, bubu na wengine wengi waliokuwa wagonjwa, wakawaweka mbele ya miguu yake, naye Yesu akawaponya.
31Minia stebėjosi, matydama nebylius kalbančius, luošius išgijusius, raišius vaikščiojančius ir akluosius reginčius. Ir jie šlovino Izraelio Dievą.
31Umati ule wa watu ulishangaa sana ulipoona bubu wakiongea, waliokuwa wamelemaa wamepona, viwete wakitembea na vipofu wakiona; wakamsifu Mungu wa Israeli.
32Pasišaukęs savo mokinius, Jėzus tarė: “Gaila man minios, nes jau tris dienas jie pasilieka su manimi ir neturi ko valgyti. Aš nepaleisiu jų alkanų, kad nenusilptų kelyje”.
32Basi, Yesu aliwaita wanafunzi wake, akasema, "Nawaonea watu hawa huruma kwa sababu kwa siku tatu wamekuwa nami, wala hawana chakula. Sipendi kuwaacha waende bila kula wasije wakazimia njiani."
33Mokiniai Jam atsakė: “Iš kur mums imti dykumoje tiek duonos, kad galėtume pasotinti tokią didelę minią?”
33Wanafunzi wakamwambia, "Hapa tuko nyikani; tutapata wapi chakula cha kuwatosha watu wengi hivi?"
34Jėzus paklausė jų: “Kiek turite duonos?” Jie atsakė: “Septynis kepalus ir kelias žuveles”.
34Yesu akawauliza, "Mnayo mikate mingapi?" Wakamjibu, "Saba na visamaki vichache."
35Jėzus liepė žmonėms susėsti ant žemės.
35Basi, Yesu akawaamuru watu wakae chini.
36Tada paėmė septynis duonos kepalus ir žuvis, padėkojo, sulaužė ir davė savo mokiniams, o mokiniai miniai.
36Akaitwaa ile mikate saba na vile visamaki, akamshukuru Mungu, akavimega, akawapa wanafunzi, nao wakawagawia watu.
37Visi valgė ir pasisotino. Ir surinko septynias pilnas pintines likusių trupinių.
37Wote wakala, wakashiba. Kisha wakakusanya makombo, wakajaza vikapu saba.
38O valgytojų buvo keturi tūkstančiai vyrų, neskaičiuojant moterų ir vaikų.
38Hao waliokula walikuwa wanaume elfu nne, bila kuhesabu wanawake na watoto.
39Paleidęs minią, Jis sėdo į valtį ir nuplaukė į Magadano sritį.
39Basi, Yesu akawaaga watu, akapanda mashua, akaenda katika eneo la Magadani.