1“Tada su dangaus karalyste bus panašiai kaip su dešimtimi mergaičių, kurios, pasiėmusios savo žibintus, išėjo pasitikti jaunikio.
1"Wakati huo, Ufalme wa mbinguni utafanana na wasichana kumi waliochukua taa zao, wakaenda kumlaki bwana arusi.
2Penkios iš jų buvo protingos ir penkios kvailos.
2Watano miongoni mwao walikuwa wapumbavu na watano walikuwa wenye busara.
3Kvailosios pasiėmė žibintus, bet nepasiėmė aliejaus.
3Wale wapumbavu walichukua taa zao, lakini hawakuchukua akiba ya mafuta.
4Protingosios kartu su žibintais pasiėmė induose ir aliejaus.
4Lakini wale wenye busara walichukua mafuta katika chupa pamoja na taa zao.
5Jaunikiui vėluojant, visos pradėjo snausti ir užmigo.
5Kwa kuwa bwana arusi alikawia kuja, wale wanawali wote wote walisinzia, wakalala.
6Vidurnaktį pasigirdo šauksmas: ‘Štai jaunikis ateina! Išeikite jo pasitikti!’
6Usiku wa manane kukawa na kelele: Haya, haya! Bwana arusi anakuja; nendeni kumlaki.
7Tada visos mergaitės atsikėlė ir taisėsi žibintus.
7Hapo wale wanawali wote wakaamka, wakazitayarisha taa zao.
8Kvailosios prašė protingųjų: ‘Duokite mums savo aliejaus, nes mūsų žibintai gęsta!’
8Wale wapumbavu wakawaambia wale wenye busara: Tupeni mafuta yenu kidogo maana taa zetu zinazimika.
9Protingosios atsakė: ‘Kad kartais nepristigtų ir mums, ir jums, verčiau eikite pas pardavėjus ir nusipirkite’.
9Lakini wale wenye busara wakawaambia, Hayatatutosha sisi na ninyi! Afadhali mwende dukani mkajinunulie wenyewe!
10Joms beeinant pirkti, atėjo jaunikis. Kurios buvo pasiruošusios, įėjo kartu su juo į vestuves, ir durys buvo uždarytos.
10Basi, wale wanawali wapumbavu walipokwenda kununua mafuta, bwana arusi akafika, na wale wanawali waliokuwa tayari wakaingia pamoja naye katika jumba la arusi, kisha mlango ukafungwa.
11Vėliau atėjo ir anos mergaitės ir ėmė prašyti: ‘Viešpatie, viešpatie, atidaryk mums!’
11Baadaye wale wanawali wengine wakaja, wakaita: Bwana, bwana, tufungulie!
12O jis atsakė: ‘Iš tiesų sakau jums: aš jūsų nepažįstu!’
12Lakini yeye akawajibu, Nawaambieni kweli, siwajui ninyi."
13Taigi budėkite, nes nežinote nei dienos, nei valandos, kurią Žmogaus Sūnus ateis”.
13Kisha Yesu akasema, "Kesheni basi, kwa maana hamjui siku wala saa.
14“Bus taip, kaip atsitiko žmogui, kuris, iškeliaudamas į tolimą šalį, pasišaukė savo tarnus ir patikėjo jiems savo turtą.
14"Itakuwa kama mtu mmoja aliyetaka kusafiri ng'ambo: aliwaita watumishi wake, akawakabidhi mali yake.
15Vienam jis davė penkis talentus, kitam du, trečiam vienąkiekvienam pagal jo gabumusir tuojau iškeliavo.
15Alimpa kila mmoja kadiri ya uwezo wake: mmoja sarafu tano za fedha ziitwazo talanta, mwingine talanta mbili na mwingine talanta moja, kisha akasafiri.
16Tas, kuris gavo penkis talentus, nuėjęs ėmė su jais verstis ir pelnė kitus penkis.
16Mara yule aliyekabidhiwa talanta tano akafanya kazi nazo akapata faida talanta tano.
17Taip pat tas, kuris gavo du talentus, pelnė kitus du.
17Hali kadhalika na yule aliyekabidhiwa talanta mbili akapata faida talanta mbili.
18O kuris gavo vieną, nuėjo, iškasė duobę ir paslėpė šeimininko pinigus.
18Lakini yule aliyekabidhiwa talanta moja akaenda akachimba shimo ardhini, akaificha fedha ya bwana wake.
19Praėjus nemaža laiko, tų tarnų šeimininkas grįžo ir pradėjo daryti su jais apyskaitą.
19"Baada ya muda mrefu, yule bwana alirudi, akaanza kukagua hesabu ya matumizi na mapato ya fedha yake.
20Atėjo tas, kuris buvo gavęs penkis talentus; jis atnešė kitus penkis ir tarė: ‘Šeimininke, davei man penkis talentus, štai aš pelniau kitus penkis’.
20Mtumishi aliyekabidhiwa talanta tano akaja amechukua zile talanta tano faida, akamwambia, Bwana, ulinikabidhi talanta tano, hapa pana talanta tano zaidi faida niliyopata.
21Jo šeimininkas atsakė: ‘Gerai, šaunusis ir ištikimasis tarne! Kadangi buvai ištikimas mažuose dalykuose, pavesiu tau didelius. Eikš į savo šeimininko džiaugsmą!’
21Bwana wake akamwambia, Vema, mtumishi mwema na mwaminifu. Umekuwa mwaminifu katika mambo madogo nitakukabidhi makubwa. Njoo ufurahi pamoja na bwana wako.
22Taip pat tas, kuris buvo gavęs du talentus, atėjęs pasakė: ‘Šeimininke, davei man du talentus, štai aš pelniau kitus du’.
22"Mtumishi aliyekabidhiwa talanta mbili akaja, akatoa talanta mbili faida, akisema, Bwana, ulinikabidhi talanta mbili. Chukua talanta mbili zaidi faida niliyopata.
23Jo šeimininkas tarė: ‘Gerai, šaunusis ir ištikimasis tarne! Kadangi buvai ištikimas mažuose dalykuose, pavesiu tau didelius. Eikš į savo šeimininko džiaugsmą!’
23Bwana wake akamwambia, Vema, mtumishi mwema na mwaminifu. Umekuwa mwaminifu katika mambo madogo, nitakukabidhi makubwa. Njoo ufurahi pamoja na bwana wako.
24Priėjęs tas, kuris buvo gavęs vieną talentą, sakė: ‘Šeimininke, aš žinojau, kad tužmogus kietas: pjauni, kur nesėjai, ir renki, kur nebarstei.
24"Lakini yule aliyekabidhiwa talanta moja akaja, akasema, Bwana, najua wewe ni mtu mgumu; wewe huvuna pale ambapo hukupanda, na kukusanya pale ambapo hukutawanya.
25Pabijojęs nuėjau ir paslėpiau tavo talentą žemėje. Še, turėk, kas tavo’.
25Niliogopa, nikaificha fedha yako katika ardhi. Chukua basi mali yako.
26Jo šeimininkas jam atsakė: ‘Blogasis tarne, tinginy! Tu žinojai, kad aš pjaunu, kur nesėjau, ir renku, kur nebarsčiau.
26"Bwana wake akamwambia, Wewe ni mtumishi mwovu na mvivu! Unajua kuwa mimi huvuna mahali ambapo sikupanda, na hukusanya pale ambapo sikutawanya.
27Taigi privalėjai duoti mano pinigus pinigų keitėjams, o sugrįžęs būčiau atsiėmęs, kas mano, su palūkanomis.
27Ilikupasa basi, kuiweka fedha yangu katika benki, nami ningelichukua mtaji wangu na faida yake!
28Todėl atimkite iš jo talentą ir atiduokite tam, kuris turi dešimt talentų.
28Basi, mnyang'anyeni hiyo fedha mkampe yule mwenye talanta kumi.
29Nes kiekvienam, kas turi, bus duota, ir jis turės su perteklium, o iš neturinčio bus atimta ir tai, ką jis turi.
29Maana, aliye na kitu atapewa na kuzidishiwa. Lakini yule asiye na kitu, hata kile alicho nacho kitachukuliwa.
30Šitą niekam tikusį tarną išmeskite laukan į tamsybes. Ten bus verksmas ir dantų griežimas’ ”.
30Na kuhusu huyu mtumishi asiye na faida, mtupeni nje gizani! Huko kutakuwa na kilio na kusaga meno.
31“Kai ateis Žmogaus Sūnus savo šlovėje ir kartu su Juo visi šventi angelai, tada Jis atsisės savo šlovės soste.
31"Wakati Mwana wa Mtu atakapokuja katika utukufu wake na malaika wote wakiwa pamoja naye, hapo ataketi juu ya kiti chake cha enzi kitukufu,
32Jo akivaizdoje bus surinkti visų tautų žmonės, ir Jis atskirs juos vienus nuo kitų, kaip piemuo atskiria avis nuo ožių.
32na mataifa yote yatakusanyika mbele yake, naye atawatenganisha watu kama mchungaji anavyotenganisha kondoo na mbuzi.
33Avis Jis pastatys dešinėje, o ožiuskairėje.
33Atawaweka kondoo upande wake wa kulia na mbuzi upande wake wa kushoto.
34Tuomet Karalius tars stovintiems dešinėje: ‘Ateikite, mano Tėvo palaimintieji, paveldėkite nuo pasaulio sukūrimo jums paruoštą karalystę!
34"Kisha Mfalme atawaambia wale walio upande wake wa kulia, Njoni enyi mliobarikiwa na Baba yangu; pokeeni Ufalme mliotayarishiwa tangu kuumbwa kwa ulimwengu.
35Nes Aš buvau išalkęs, ir jūs mane pavalgydinote, buvau ištroškęs, ir mane pagirdėte, buvau keleivis, ir mane priėmėte,
35Maana nilikuwa na njaa nanyi mkanipa chakula; nilikuwa na kiu nanyi mkanipa maji; nilikuwa mgeni nanyi mkanikaribisha;
36buvau nuogas, ir mane aprengėte, buvau ligonis, ir mane aplankėte, buvau kalinys, ir atėjote pas mane’.
36nilikuwa uchi, mkanivika; nilikuwa mgonjwa nanyi mkaja kunitazama; nilikuwa gerezani nanyi mkaja kunitembelea.
37Tada teisieji klaus: ‘Viešpatie, kada gi matėme Tave alkaną ir pavalgydinome, ištroškusį ir pagirdėme?
37Hapo, hao watu wema watamjibu mfalme Bwana, ni lini tulikuona mwenye njaa nasi tukakupa chakula, au ukiwa na kiu nasi tukakunywesha maji?
38Kada gi matėme Tave keliaujantį ir priėmėme ar nuogą ir aprengėme?
38Ni lini tulikuona ukiwa mgeni nasi tukakukaribisha, au bila nguo nasi tukakuvika?
39Kada gi matėme Tave sergantį ar kalinį ir aplankėme?’
39Ni lini tulikuona ukiwa mgonjwa au mfungwa nasi tukaja kukutazama?
40Ir atsakys jiems Karalius: ‘Iš tiesų sakau jums, kiek kartų tai padarėte vienam iš šitų mažiausiųjų mano brolių, man padarėte’.
40Mfalme atawajibu, Kweli nawaambieni, kila kitu mlichomtendea mmojawapo wa hawa ndugu zangu wadogo, mlinitendea mimi.
41Tada Jis prabils ir į stovinčius kairėje: ‘Eikite šalin nuo manęs, prakeiktieji, į amžinąją ugnį, kuri paruošta velniui ir jo angelams!
41"Kisha atawaambia wale walio upande wake wa kushoto, Ondokeni mbele yangu enyi mliolaaniwa! Nendeni katika moto wa milele aliotayarishiwa Ibilisi na malaika wake.
42Nes Aš buvau išalkęs, ir jūs manęs nepavalgydinote, buvau ištroškęs, ir manęs nepagirdėte,
42Maana nilikuwa na njaa nanyi hamkunipa chakula; nilikuwa na kiu nanyi hamkunipa maji.
43buvau keleivis, ir manęs nepriėmėte, nuogas, ir manęs neaprengėte, ligonis ir kalinys, ir manęs neaplankėte’.
43Nilikuwa mgeni nanyi hamkunikaribisha; nilikuwa mgonjwa na mfungwa nanyi hamkuja kunitazama.
44Tada jie atsakys: ‘Viešpatie, kada gi matėme Tave alkaną ar ištroškusį, ar keleivį, ar nuogą, ar ligonį, ar kalinį ir Tau nepatarnavome?’
44"Hapo nao watajibu, Bwana, ni lini tulikuona ukiwa na njaa au kiu, ukiwa mgeni au bila nguo, ukiwa mgonjwa au mfungwa, nasi hatukuja kukuhudumia?
45Tada Jis atsakys jiems: ‘Iš tiesų sakau jums: kiek kartų taip nepadarėte vienam šitų mažiausiųjų, man nepadarėte’.
45Naye atawajibu, Nawaambieni kweli, kila mlipokataa kumtendea mambo haya mmojawapo wa hawa wadogo, mlikataa kunitendea mimi.
46Ir šitie eis į amžinąjį kentėjimą, o teisieji į amžinąjį gyvenimą”.
46Basi, hawa watakwenda kwenye adhabu ya milele, lakini wale waadilifu watakwenda kwenye uzima wa milele."