1Paulius, Kristaus Jėzaus kalinys, ir brolis Timotiejus mūsų mylimajam bendradarbiui Filemonui,
1Mimi Paulo, mfungwa kwa ajili ya Kristo Yesu, na ndugu Timotheo, ninakuandikia wewe Filemoni mpendwa, mfanyakazi mwenzetu
2mylimai seseriai Apfijai, mūsų bendražygiui Archipui ir tavo namuose esančiai bažnyčiai:
2na kanisa linalokutana nyumbani kwako, na wewe dada Afia, na askari mwenzetu Arkupo.
3malonė jums ir ramybė nuo Dievo, mūsų Tėvo, ir Viešpaties Jėzaus Kristaus!
3Tunawatakieni neema na amani kutoka kwa Mungu Baba yetu, na kwa Bwana yesu Kristo.
4Aš dėkoju Dievui, visada prisimindamas tave savo maldose,
4Kila wakati ninaposali nakukumbuka wewe Filemoni, na kumshukuru Mungu
5nes girdžiu apie tavo tikėjimą ir meilę Viešpačiui Jėzui ir visiems šventiesiems.
5maana nasikia habari za imani yako kwa Bwana wetu Yesu na upendo wako kwa watu wote wa Mungu.
6Meldžiu, kad tavo dalyvavimas tikėjime taptų veiksmingas per pažinimą visokio gėrio, esančio mumyse Kristuje Jėzuje.
6Naomba ili imani hiyo unayoshiriki pamoja nasi ikuwezeshe kuwa na ujuzi mkamilifu zaidi wa baraka zote tunazopata katika kuungana kwetu na Kristo.
7Mes turime didelį džiaugsmą ir paguodą iš tavo meilės, nes tu, broli, atgaivinai šventųjų širdis.
7Ndugu, upendo wako yameniletea furaha kubwa na kunipa moyo sana! Nawe umeichangamsha mioyo ya watu wa Mungu.
8Nors galiu labai drąsiai Kristuje tau įsakyti, kas tinka,
8Kwa sababu hiyo, ningeweza, kwa uhodari kabisa, nikiwa ndugu yako katika Kristo, kukuamuru ufanye unachopaswa kufanya.
9bet verčiau prašau vardan meilės toks, koks esu: aš, Paulius, senyvas žmogus, o šiuo metu ir Jėzaus Kristaus kalinys,
9Lakini kwa sababu ya upendo, ni afadhali zaidi nikuombe. Nafanya hivi ingawa mimi ni Paulo, balozi wa Kristo Yesu, na sasa pia mfungwa kwa ajili yake.
10prašau tave už savo vaiką,už Onesimą, kurio tėvu tapau, būdamas surakintas.
10Basi, ninalo ombi moja kwako kuhusu mwanangu Onesimo, ambaye ni mwanangu katika Kristo kwani nimekuwa baba yake nikiwa kifungoni.
11Seniau jis buvo tau nenaudingas, o dabar ir tau, ir man naudingas.
11Ni Onesimo yuleyule ambaye wakati mmoja alikuwa hakufai kitu, lakini sasa ananifaa mimi na wewe pia.
12Siunčiu jį atgal. Todėl priimk jį kaip mano paties širdį.
12Sasa namrudisha kwako, naye ni kama moyo wangu mimi mwenyewe.
13Norėjau jį pasilaikyti, kad jis tavo vietoje man patarnautų, kol esu kalinamas dėl Evangelijos,
13Ningependa akae nami hapa anisaidie badala yako wakati niwapo kifungoni kwa sababu ya Habari Njema.
14tačiau be tavo sutikimo nenorėjau nieko daryti, kad tavo geras darbas būtų atliktas laisva valia, o ne tartum iš prievartos.
14Lakini sitafanya chochote bila kibali chako. Sipendi kukulazimisha unisaidie, kwani wema wako unapaswa kutokana na hiari yako wewe mwenyewe na si kwa kulazimika.
15Galbūt jis tam ir buvo laikinai atskirtas, kad galėtum jį priimti amžinai,
15Labda Onesimo aliondoka kwako kwa kitambo tu, kusudi uweze tena kuwa naye daima.
16jau ne kaip vergą, o daugiau kaip mylimą brolį, ypatingą man, o juo labiau tau, ir pagal kūną, ir Viešpatyje.
16Na sasa yeye si mtumwa tu, ila ni bora zaidi ya mtumwa: yeye ni ndugu yetu mpenzi. Na wa maana sana kwangu mimi, na kwako atakuwa wa maana zaidi kama mtumwa na kama ndugu katika Bwana.
17Tad jeigu laikai mane draugu, priimk jį kaip mane.
17Basi, ikiwa wanitambua mimi kuwa mwenzako, mpokee tena kama vile ungenipokea mimi mwenyewe.
18O jeigu jis yra tau padaręs skriaudą ar turi skolos,įrašyk tai į mano sąskaitą.
18Kama alikuwa amekukosea kitu, au alikuwa na deni lako, basi, unidai mimi.
19Aš, Paulius, rašau savo ranka: atlyginsiu,neminint, jog man ir pats save esi skolingas.
19Naandika jambo hili kwa mkono wangu mwenyewe: Mimi Paulo nitalipa! (Tena sina haja ya kusema kwamba wewe unalo deni kwangu la nafsi yako.)
20Taip, broli, norėčiau pasinaudoti tavimi Viešpatyje: atgaivink mano širdį Viešpatyje!
20Haya, basi, ndugu yangu, nifanyie jambo hilo kwa ajili ya jina la Bwana; burudisha moyo wangu kama ndugu katika Kristo.
21Rašau tau, pasitikėdamas tavo klusnumu ir žinodamas, jog padarysi daugiau, negu prašau.
21Naandika nikitumaini kwamba utanikubalia ombi langu; tena najua kwamba utafanya hata zaidi ya haya ninayokuomba.
22Tad kartu paruošk man ir svečių kambarį, nes turiu vilties, jog jūsų maldų dėka būsiu jums dovanotas.
22Pamoja na hayo, nitayarishie chumba kwani natumaini kwamba kwa sala zenu, Mungu atanijalia niwatembeleeni.
23Tave sveikina Epafras, mano kalėjimo bičiulis Kristuje Jėzuje,
23Epafra, mfungwa mwenzangu kwa ajili ya Kristo Yesu, anakusalimu.
24mano bendradarbiai Morkus, Aristarchas, Demas, Lukas.
24Nao akina Marko, Aristarko, Dema na Luka, wafanyakazi wenzangu, wanakusalimu.
25Viešpaties Jėzaus Kristaus malonė tebūna su jūsų dvasia! Amen.
25Nawatakieni ninyi nyote neema ya Bwana wetu Yesu Kristo.