Lithuanian

Swahili: New Testament

Revelation

14

1Ir aš išvydau: štai Avinėlis, bestovįs ant Siono kalno, o su Juo šimtas keturiasdešimt keturi tūkstančiai, turintys Jo Tėvo vardą, įrašytą savo kaktose.
1Kisha nikaona mlima Sioni, na Mwanakondoo amesimama juu yake; pamoja naye walikuwa watu mia moja arobaini na nne elfu ambao juu ya paji za nyuso zao walikuwa wameandikwa jina la Mwanakondoo na jina la Baba yake.
2Aš išgirdau iš dangaus garsą, tarsi daugybės vandenų šniokštimą ir tarsi galingo griaustinio dundėjimą. Garsas, kurį girdėjau, buvo tarytum arfininkų, skambinančių savo arfomis.
2Basi, nikasikia sauti kutoka mbinguni, sauti iliyokuwa kama sauti ya maji mengi na kama sauti ya ngurumo kubwa. Sauti niliyosikia ilikuwa kama sauti ya wachezaji muziki wakipiga vinubi vyao.
3Jie giedojo naują giesmę priešais sostą, keturias būtybes ir vyresniuosius, ir niekas negalėjo išmokti tos giesmės, išskyrus tuos šimtą keturiasdešimt keturis tūkstančius, atpirktus iš žemės.
3Walikuwa wanaimba wimbo mpya mbele ya kiti cha enzi na mbele ya wale viumbe hai wanne na wale wazee. Hakuna mtu aliyeweza kujifunza wimbo huo isipokuwa hao watu mia moja arobaini na nne elfu waliokombolewa duniani.
4Tai tie, kurie nesusitepė su moterimis, nes jie mergelės. Tai tie, kurie lydi Avinėlį, kur tik Jis eina. Jie yra atpirkti iš žmonių, pirmieji vaisiai Dievui ir Avinėliui.
4Watu hao ndio wale waliojiweka safi kwa kutoonana kimwili na wanawake, nao ni mabikira. Wao humfuata Mwanakondoo kokote aendako. Wamekombolewa kutoka miongoni mwa binadamu wengine, wakawa wa kwanza kutolewa kwa Mungu na kwa Mwanakondoo.
5Jų lūpose nerasta apgaulės; jie be dėmės prieš Dievo sostą.
5Hawakupata kamwe kuwa waongo; hawana hatia yoyote.
6Ir aš pamačiau kitą angelą, lekiantį dangaus viduriu, turintį amžinąją Evangeliją, kad ją paskelbtų žemės gyventojams, kiekvienai giminei, genčiai, kalbai ir tautai.
6Kisha nikamwona malaika mwingine anaruka juu angani akiwa na Habari Njema ya milele ya Mungu, aitangaze kwa watu wote waishio duniani, kwa mataifa yote, makabila yote, watu wa lugha zote na rangi zote.
7Jis šaukė galingu balsu: “Bijokite Dievo ir atiduokite Jam šlovę, nes atėjo Jo teismo valanda; šlovinkite Tą, kuris sutvėrė dangų ir žemę, jūrą ir vandens šaltinius!”
7Akasema kwa sauti kubwa, "Mcheni Mungu na kumtukuza! Maana saa imefika ya kutoa hukumu yake. Mwabuduni yeye aliyeumba mbingu na nchi, bahari na chemchemi za maji."
8Paskui jį skrido antras angelas, kuris šaukė: “Krito, krito Babelė, didis miestas, kuris savo paleistuvystės įniršio vynu nugirdė visas tautas!”
8Malaika wa pili alimfuata huyo wa kwanza akisema, "Ameanguka! Naam, Babuloni mkuu ameanguka! Babuloni ambaye aliwapa mataifa yote wainywe divai yake--divai kali ya uzinzi wake!"
9Ir trečias angelas lydėjo juos, šaukdamas skardžiu balsu: “Kas garbina žvėrį ir jo atvaizdą bei priima ant savo kaktos ar rankos ženklą,
9Na malaika wa tatu aliwafuata hao wawili akisema kwa sauti kubwa, "Yeyote anayemwabudu yule mnyama na sanamu yake na kukubali kutiwa alama yake juu ya paji la uso wake au juu ya mkono wake,
10tas gers Dievo įniršio vyno, įpilto ir neatmiešto Jo rūstybės taurėje, ir bus kankinamas ugnimi ir siera šventųjų angelų ir Avinėlio akivaizdoje.
10yeye mwenyewe atakunywa divai ya ghadhabu ya Mungu, ambayo imemiminwa katika kikombe cha ghadhabu yake bila kuchanganywa na maji. Mtu huyo atateseka ndani ya moto na kiberiti mbele ya malaika watakatifu na mbele ya Mwanakondoo.
11Jų kankinimo dūmai kils per amžių amžius, ir jie neturės atilsio nei dieną, nei naktį­tie, kurie garbina žvėrį bei jo atvaizdą ir ima jo vardo ženklą”.
11Moshi wa moto unaowatesa kupanda juu milele na milele. Watu hao waliomwabudu huyo mnyama na sanamu yake, na kutiwa alama ya jina lake, hawatakuwa na nafuu yoyote usiku na mchana."
12Čia pasirodo šventųjų ištvermė, kurie laikosi Dievo įsakymų ir Jėzaus tikėjimo.
12Kutokana na hayo, ni lazima watu wa Mungu, yaani watu wanaotii amri ya Mungu na kumwamini Yesu, wawe na uvumilivu.
13Ir aš išgirdau iš dangaus balsą, kuris man sakė: “Rašyk: ‘Nuo šiol palaiminti mirusieji, kurie miršta Viešpatyje. Taip,­sako Dvasia,­ kad atilsėtų nuo savo vargų; ir jų darbai seka juos’ ”.
13Kisha nikasikia sauti kutoka mbinguni ikisema, "Andika! Heri watu ambao tangu sasa wanakufa wakiwa wameungana na Bwana." Naye Roho asema, "Naam! Watapumzika kutoka taabu zao; maana matunda ya jasho lao yatawafuata."
14Ir aš regėjau: štai baltas debesis, o ant debesies sėdėjo panašus į Žmogaus Sūnų. Ant galvos Jis turėjo aukso vainiką, o rankoje­aštrų pjautuvą.
14Kisha nikatazama, na kumbe palikuwapo wingu jeupe hapo. Na juu ya wingu hilo kulikuwa na kiumbe kama mtu. Alikuwa amevaa taji ya dhahabu kichwani, na kushika mundu mkononi mwake.
15Iš šventyklos išėjo dar vienas angelas, kuris šaukė galingu balsu sėdinčiajam ant debesies: “Paleisk darban savo pjautuvą ir pjauk; atėjo Tau valanda pjauti, nes žemės derlius prinoko”.
15Kisha malaika mwingine akatoka Hekaluni, na kwa sauti kubwa akamwambia yule aliyekuwa amekaa juu ya wingu, "Tafadhali, tumia mundu wako ukavune mavuno, maana wakati wa mavuno umefika; mavuno ya dunia yameiva."
16Tuomet sėdintysis ant debesies nusviedė savo pjautuvą žemėn, ir žemės derlius buvo nupjautas.
16Basi, yule aliyekuwa amekaa juu ya wingu akautupa mundu wake duniani, na mavuno ya dunia yakavunwa.
17Dar kitas angelas išėjo iš dangaus šventyklos, taip pat turintis aštrų pjautuvą.
17Kisha malaika mwingine akatoka katika Hekalu mbinguni akiwa na mundu wenye makali.
18Ir dar vienas angelas išėjo nuo aukuro, turintis valdžią ugniai. Jis stipriu balsu sušuko turinčiajam aštrų pjautuvą: “Paleisk darban savo aštrųjį pjautuvą ir nurink žemės vynmedžio kekes, nes uogos jau prinoko”.
18Kisha malaika mwingine msimamizi wa moto, akatoka madhabahuni akamwambia kwa sauti kubwa yule malaika mwenye mundu wenye makali, "Nawe tia huo mundu wako mkali, ukakate vichala vya mizabibu ya dunia, maana zabibu zake zimeiva!"
19Tada angelas numetė savo pjautuvą žemėn, nuskynė žemės vynmedį ir supylė vynuoges į didįjį Dievo rūstybės spaustuvą.
19Basi, malaika huyo akautupa mundu wake duniani, akakata zabibu za dunia, akazitia ndani ya chombo kikubwa cha kukamulia zabibu, chombo cha ghadhabu ya Mungu.
20Spaustuvas buvo minamas už miesto, ir išsiveržė iš spaustuvo kraujas, pakildamas arkliams iki žąslų tūkstančio šešių šimtų stadijų atstumu.
20Zabibu zikakamuliwa ndani ya hilo shinikizo lililoko nje ya mji, na damu ikatoka katika shinikizo hilo mtiririko mrefu kiasi cha mita mia tatu na kina chake kiasi cha mita mia mbili.