Lithuanian

Swahili: New Testament

Revelation

21

1Ir aš pamačiau naują dangų ir naują žemę, nes pirmasis dangus ir pirmoji žemė praėjo ir jūros daugiau nebebuvo.
1Kisha nikaona mbingu mpya na dunia mpya. Mbingu ile ya kwanza na dunia ile ya kwanza vilikuwa vimetoweka, nayo bahari pia haikuweko tena.
2Ir aš, Jonas, išvydau šventąjį miestą­naująją Jeruzalę, nužengiančią iš dangaus nuo Dievo; ji buvo pasiruošusi kaip nuotaka, pasipuošusi savo sužadėtiniui.
2Nikaona mji mtakatifu, Yerusalemu mpya, ukishuka kutoka kwa Mungu mbinguni. Ulikuwa umetayarishwa vizuri kama bibi arusi aliyepambwa tayari kukutana na mumewe.
3Ir išgirdau galingą balsą, skambantį iš dangaus: “Štai Dievo buveinė tarp žmonių. Jis apsigyvens pas juos, ir jie bus Jo tauta, ir pats Dievas, jų Dievas, bus su jais.
3Kisha nikasikia sauti kubwa kutoka katika kiti cha enzi ikisema, "Tazama! Mungu amefanya makao yake kati ya watu. Atakaa kati yao, nao watakuwa watu wake, naye atakuwa Mungu wao.
4Jis nušluostys kiekvieną ašarą nuo jų akių; nebebus daugiau mirties, nei liūdesio, nei dejonės, nei skausmo daugiau nebebus, nes kas buvo pirmiau­praėjo”.
4Yeye atayafuta machozi yao yote; maana hakutakuwako tena na kifo, wala uchungu, wala kilio, wala maumivu; maana ile hali ya kale imepita!"
5Ir Sėdintysis soste tarė: “Štai Aš visa darau nauja!” Jis pasakė man: “Rašyk, nes šitie žodžiai patikimi ir tikri”.
5Kisha yule aliyeketi juu ya kiti cha enzi akasema, "Tazama, nafanya yote mapya." Tena akaniambia, "Andika hili, maana maneno haya ni ya kuaminika na ya kweli!"
6Ir Jis man pasakė: “Įvyko! Aš esu Alfa ir Omega, Pradžia ir Pabaiga. Trokštančiam Aš duosiu dovanai gerti iš gyvenimo vandens šaltinio.
6Kisha akaniambia, "Yametimia! Mimi ni Alfa na Omega, Mwanzo na Mwisho. Aliye na kiu nitampa kinywaji cha bure kutoka katika chemchemi ya maji ya uzima.
7Nugalėtojas paveldės viską, ir Aš būsiu jo Dievas, o jis bus mano sūnus.
7Yeyote atakayeshinda atapokea hiki, nami nitakuwa Mungu wake, naye atakuwa mwanangu.
8Bet bailiams, netikintiems, nešvankėliams, žudikams, ištvirkėliams, burtininkams, stabmeldžiams ir visiems melagiams skirta dalis ežere, kuris dega ugnimi ir siera; tai yra antroji mirtis”.
8Lakini watu waoga, wasioamini, wapotovu, wauaji, wazinzi, wachawi, waabudu sanamu, na waongo wote, mahali pao patakuwa ndani ya lile ziwa linalowaka moto na kiberiti; hicho ndicho kifo cha pili."
9Tada prie manęs priėjo vienas iš septynių angelų, turėjusių septynis dubenis, pilnus septynių paskutinių negandų, ir pasakė man: “Eikš, aš tau parodysiu nuotaką, Avinėlio sužadėtinę”.
9Kisha mmoja wa wale malaika saba waliokuwa na yale mabakuli saba yaliyokuwa yamejaa mabaa saba ya mwisho, akaja na kuniambia, "Njoo! Mimi nitakuonyesha bibi arusi, mkewe Mwanakondoo!"
10Ir jis nunešė mane dvasioje ant didelio ir aukšto kalno, ir parodė man miestą, šventąją Jeruzalę, nusileidžiančią iš dangaus nuo Dievo,
10Basi, Roho akanikumba, naye malaika akanipeleka juu ya mlima mrefu sana. Akanionyesha mji mtakatifu, ukishuka kutoka kwa Mungu mbinguni,
11žėrinčią Dievo šlove. Jos švytėjimas tarsi brangakmenio, tarsi jaspio akmens, tviskančio kaip krištolas.
11uking'aa kwa utukufu wa Mungu. Mwangaza wake ulikuwa kama wa jiwe la thamani kubwa kama yaspi, angavu kama kioo.
12Ji apjuosta didele ir aukšta siena su dvylika vartų, o ant vartų dvylika angelų ir užrašyti dvylikos Izraelio giminių vardai.
12Ulikuwa na ukuta mrefu na mkubwa, wenye milango kumi na miwili, na malaika wanangojea kumi na wawili. Majina ya wangoja milango kumi na mawili ya Israeli yalikuwa yameandikwa juu ya milango hiyo.
13Nuo rytų pusės treji vartai, nuo šiaurės treji vartai, nuo pietų treji vartai ir nuo vakarų treji vartai.
13Kila upande ulikuwa na milango mitatu: upande wa mashariki, milango mitatu, kaskazini milango mitatu, kusini milango mitatu na magharibi milango mitatu.
14Miesto sienos turi dvylika pamatų, ant kurių dvylikos Avinėlio apaštalų vardai.
14Kuta za mji huo zilikuwa zimejengwa juu ya mawe ya msingi kumi na mawili, na juu ya mawe hayo yalikuwa yameandikwa majina na mitume kumi na wawili wa Mwanakondoo.
15Kalbantysis su manimi turėjo matą­auksinę nendrę išmatuoti miestui, jo vartams ir sienoms.
15Basi, yule malaika aliyekuwa anasema nami alikuwa na kijiti cha dhahabu cha kupimia, kwa ajili ya kuupima huo mji, milango yake na kuta zake.
16Miestas išdėstytas keturkampiu: jo ilgis ir plotis lygūs. Jis išmatavo miestą nendre ir rado dvylika tūkstančių stadijų. Jo ilgis, plotis ir aukštis lygūs.
16Mji wenyewe ulikuwa wa mraba, upana na urefu wake sawa. Basi, malaika akaupima mji huo kwa kijiti chake: ulikuwa na urefu, upana na urefu wa kwenda juu, kama kilomita elfu mbili na mia nne.
17Jis išmatavo jo sienas ir rado šimtą keturiasdešimt keturias uolektis žmonių mastu, tiek pat ir angelo mastu.
17Kisha akaupima ukuta wake pia; nao ulikuwa mita sitini kwa kipimo cha macho cha kibinadamu ambacho malaika alitumia.
18Jo sienos sukrautos iš jaspio, o pats miestas iš gryno aukso, panašaus į vaiskų stiklą.
18Ukuta huo ulikuwa umejengwa kwa mawe mekundu ya thamani, na mji wenyewe ulikuwa umejengwa kwa dhahabu safi, angavu kama kioo.
19Miesto sienų pamatai papuošti visokiais brangakmeniais. Pirmas pamatas yra jaspio, antras safyro, trečias chalcedono, ketvirtas smaragdo,
19Mawe ya msingi wa ukuta huo yalikuwa yamepambwa kwa kila aina ya mawe ya thamani. Jiwe la kwanza la msingi lilikuwa jiwe la thamani jekundu, la pili yakuti samawati, la tatu kalkedoni, la nne zamaradi,
20penktas sardonikso, šeštas sardžio, septintas chrizolito, aštuntas berilio, devintas topazo, dešimtas chrizoprazo, vienuoliktas hiacinto, dvyliktas ametisto.
20la tano sardoniki, la sita akiki, la saba krisolito, la nane zabarijadi, la tisa topazi, la kumi krisopraso, la kumi na moja yasinto, na la kumi na mbili amethisto.
21Dvylika vartų­dvylika perlų, kiekvieni vartai iš vieno perlo. Ir miesto gatvės­grynas auksas, tarsi vaiskus stiklas.
21Na ile milango kumi na miwili ilikuwa lulu kumi na mbili; kila mlango ulikuwa umetengenezwa kwa lulu moja. Barabara kuu ya mji ilikuwa imetengenezwa kwa dhahabu safi, angavu kama kioo.
22Bet jame nemačiau šventyklos, nes Viešpats, visagalis Dievas, ir Avinėlis yra jo šventykla.
22Sikuona hekalu katika mji huo, maana Bwana Mungu Mwenye Uwezo na yule Mwanakondoo ndio Hekalu lake.
23Miestui apšviesti nereikia nei saulės, nei mėnulio, nes jame šviečia Dievo šlovė ir jo žiburys yra Avinėlis.
23Mji huo hauhitaji jua wala mwezi kuangazia, maana utukufu wa Mungu huuangazia, na taa yake ni yule Mwanakondoo.
24Ir išgelbėtos tautos vaikščios jo šviesoje, ir žemės karaliai atsineš į jį savo šlovę ir garbę.
24Watu wa mataifa watatembea katika mwanga wake, na wafalme wa dunia watauletea utajiri wao.
25Jo vartai nebus uždaromi dieną,­nes tenai nebus nakties,­
25Milango ya mji huo itakuwa wazi mchana wote; maana hakutakuwa na usiku humo.
26ir į jį bus atnešta tautų šlovė ir garbė.
26Fahari na utajiri wa watu wa mataifa utaletwa humo ndani.
27Ir ten niekados nepateks, kas netyra, joks nešvankėlis ar melagis, o tiktai tie, kurie įrašyti Avinėlio gyvenimo knygoje.
27Lakini hakuna chochote kilicho najisi kitakachoingia humo; wala mtu yeyote atendaye mambo ya kuchukiza au ya uongo hataingia humo. Ni wale tu walioandikwa katika kitabu cha uzima cha Mwanakondoo ndio watakaoingia ndani.