Lithuanian

Swahili: New Testament

Revelation

9

1Ir sutrimitavo penktasis angelas. Aš išvydau žvaigždę, nukritusią iš dangaus žemėn. Jai buvo duotas raktas nuo bedugnės šulinio.
1Kisha malaika wa tano akapiga tarumbeta yake. Nami nikaona nyota iliyokuwa imeanguka juu ya nchi kutoka mbinguni. Nayo ikapewa ufunguo wa shimo la Kuzimu.
2Ji atidarė bedugnės šulinį, ir išsiveržė dūmai iš šulinio, tarytum iš milžiniškos krosnies. Ir aptemo saulė ir oras nuo šulinio dūmų,
2Basi, nyota hiyo ikafungua shimo la Kuzimu, kukatoka moshi wa tanuru kubwa. Jua na anga vikatiwa giza kwa moshi huo wa Kuzimu.
3o iš dūmų pasipylė žemėn skėriai, kuriems buvo duota galia, kaip turi galią žemės skorpionai.
3Nzige wakatoka katika moshi huo, wakaingia duniani wakapewa nguvu kama ya ng'e.
4Jiems buvo įsakyta nekenkti žemės žolei, nei jokiam žalumynui, nei jokiam medžiui, o vien tik žmonėms, kurie neturi savo kaktose Dievo antspaudo.
4Wakaamrishwa wasiharibu nyasi za nchi wala majani wala miti yoyote, bali wawaharibu wale tu ambao hawakupigwa mhuri wa Mungu katika paji la uso.
5Ir jiems buvo leista ne žudyti žmones, bet kankinti penkis mėnesius; jų kankinimas it kankinimas skorpiono, kai jis įgelia žmogų.
5Nzige hao hawakuruhusiwa kuwaua watu, ila kuwatesa tu kwa muda wa miezi mitano. Maumivu watakayosababisha ni kama maumivu yanayompata mtu wakati anapoumwa na ng'e.
6Anomis dienomis žmonės ieškos mirties ir jos neras, trokš numirti, bet mirtis bėgs nuo jų.
6Muda huo watu watatafuta kifo lakini hawatakipata; watatamani kufa lakini kifo kitawakimbia.
7Skėrių išvaizda panaši į žirgų, parengtų kautynėms. Ant jų galvų tartum vainikai, panašūs į auksą, o jų veidai­tartum žmonių veidai;
7Kwa kuonekana, nzige hao walikuwa kama farasi waliowekwa tayari kwa vita. Juu ya vichwa vyao walikuwa na taji zilizo kama za dhahabu, na nyuso zao zilikuwa kama za binadamu.
8jie turėjo plaukus, panašius į moterų plaukus, o jų dantys buvo lyg liūtų dantys.
8Nywele zao zilikuwa kama nywele za wanawake, na meno yao yalikuwa kama meno ya simba.
9Jie turėjo šarvus tarsi geležinius krūtinšarvius, o jų sparnų garsas buvo kaip bildesys daugybės vežimų ir arklių, bėgančių į mūšį.
9Vifua vyao vilikuwa vimefunikwa kitu kama ngao ya chuma. Sauti ya mabawa yao ilikuwa kama sauti ya msafara wa magari ya farasi wengi wanaokimbilia vitani.
10Jie turi uodegas, panašias į skorpionų, ir geluonis uodegose. Jie turi valdžią kenkti žmonėms per penkis mėnesius.
10Walikuwa na mikia na miiba kama ng'e, na kwa mikia hiyo, walikuwa na nguvu ya kuwadhuru watu kwa muda wa miezi mitano.
11Jie turi sau karalių, bedugnės angelą, kurio vardas hebrajiškai Abadonas, o graikiškai tas vardas Apolionas.
11Tena wanaye mfalme anayewatawala, naye ndiye malaika wa kuzimu; jina lake kwa Kiebrania ni Abadoni, na kwa Kigiriki ni Apolioni, yaani mwangamizi.
12Pirmoji neganda praėjo; štai iš paskos eina dar dvi negandos.
12Maafa ya kwanza yamepita; bado mengine mawili yanafuata.
13Ir sutrimitavo šeštasis angelas. Aš išgirdau balsą nuo keturių ragų auksinio aukuro, stovinčio Dievo akivaizdoje.
13Kisha malaika wa sita akapiga tarumbeta yake. Nami nikasikia sauti moja kutoka katika pembe nne za madhabahu ya dhahabu iliyokuwa mbele ya Mungu.
14Jis sakė šeštajam angelui, turinčiam trimitą: “Paleisk keturis angelus, kurie yra surišti prie didžiosios Eufrato upės!”
14Sauti hiyo ikamwambia huyo malaika wa sita mwenye tarumbeta, "Wafungulie malaika wanne waliofungwa kwenye mto mkubwa Eufrate!"
15Ir buvo atrišti keturi angelai, paruošti nustatytai valandai, dienai, mėnesiui ir metams išžudyti trečdalį žmonių.
15Naye akawafungulia malaika hao wanne ambao walikuwa wametayarishwa kwa ajili ya saa hiyo ya siku ya mwezi huo, wa mwaka huohuo, kuua theluthi moja ya wanaadamu.
16Jų kariuomenės skaičius,­aš išgirdau skaičių,­buvo du miriadai miriadų.
16Nilisikia idadi ya majeshi wapanda farasi ilikuwa milioni mia mbili.
17Taigi aš mačiau regėjime žirgus ir raitelius su krūtinšarviais, ugniaspalviais, violetiniais ir geltonais; žirgų galvos atrodė kaip liūtų galvos, o iš jų nasrų veržėsi ugnis, dūmai ir siera.
17Hivi ndivyo nilivyowaona hao farasi na wapanda farasi katika hiyo njozi: Walikuwa na ngao vifuani zilizokuwa moto mtupu, zenye rangi ya samawati na njano kama kiberiti. Vichwa vya hao farasi vilikuwa kama vya simba; na moto, moshi, na kiberiti vilikuwa vinatoka kinywani mwao.
18Trečdalis žmonių žuvo nuo šitų trijų piktenybių­nuo ugnies, dūmų ir sieros, besiveržiančių iš jų nasrų.
18Theluthi moja ya wanaadamu waliuawa kwa mabaa hayo matatu yaani, moto, moshi na kiberiti, yaliyokuwa yanatoka katika vinywa vyao;
19Mat jų galia buvo jų nasruose ir jų uodegose. Jų uodegos panašios į gyvates ir turi galvas, kuriomis kenkia.
19maana nguvu ya farasi hao ilikuwa vinywani mwao na katika mikia yao. Mikia yao ilikuwa na vichwa kama nyoka, na waliitumia hiyo kuwadhuru watu.
20Bet likusieji žmonės, kurie nebuvo šitų piktenybių išžudyti, neatgailavo dėl savo rankų darbų, kad nebegarbintų demonų ir auksinių, sidabrinių, žalvarinių, akmeninių ir medinių stabų, kurie negali nei matyti, nei girdėti, nei vaikščioti.
20Wanaadamu wengine waliobaki ambao hawakuuawa na mabaa hayo, hawakugeuka na kuviacha vitu walivyokuwa wametengeneza kwa mikono yao wenyewe; bali wakaendelea kuabudu pepo, sanamu za dhahabu, fedha, shaba, mawe na miti, vitu ambavyo haviwezi kuona, kusikia wala kutembea.
21Jie taip pat neatgailavo dėl savo žmogžudysčių, žyniavimų, ištvirkavimų ir vagysčių.
21Wala hawakutubu na kuacha kufanya mauaji, uchawi, uzinzi, na wizi.