1Kiekviena siela tebūna klusni aukštesnėms valdžioms, nes nėra valdžios, kuri nebūtų iš Dievo. Esančios valdžios yra Dievo nustatytos.
1Kila mtu anapaswa kuwatii wenye mamlaka katika serikali; maana mamlaka yote hutoka kwa Mungu; nao wenye mamlaka wamewekwa na Mungu.
2Todėl kas priešinasi valdžiai, priešinasi Dievo tvarkai. Kurie priešinasi, užsitraukia sau teismą.
2Anayepinga mamlaka ya viongozi anapinga agizo la Mungu; nao wafanyao hivyo wanajiletea hukumu wenyewe,
3Nes valdininkų bijoma ne gera darant, o bloga. Nori nebijoti valdžios? Daryk gera, ir susilauksi iš jos pagyrimo.
3Maana, watawala hawasababishi hofu kwa watu wema, ila kwa watu wabaya. Basi, wataka usimwogope mtu mwenye mamlaka? Fanya mema naye atakusifu;
4Juk valdininkas yra Dievo tarnas tavo labui. Bet jei darai blogabijok, nes jis ne veltui nešioja kardą. Jis yra Dievo tarnas ir baudžia, įvykdydamas rūstybę darantiems pikta.
4maana yeye ni mtumishi wa Mungu anayefanya kazi kwa faida yako. Lakini ukifanya mabaya, basi, huna budi kumwogopa, maana anao kweli uwezo wa kutoa adhabu. Yeye ni mtumishi wa Mungu na huitekeleza ghadhabu ya Mungu kwao watendao maovu.
5Todėl reikia paklusti ne tik dėl rūstybės, bet ir dėl sąžinės.
5Kwa hiyo ni lazima kuwatii wenye mamlaka, si tu kwa sababu ya kuogopa ghadhabu ya Mungu, bali pia kwa sababu dhamiri inadai hivyo.
6Juk todėl ir mokesčius mokate, nes anie yra Dievo tarnai, nuolatos užsiimantys tais dalykais.
6Kwa sababu hiyohiyo ninyi hulipa kodi; maana viongozi hao humtumikia Mungu ikiwa wanatimiza wajibu wao.
7Atiduokite visiems, ką privalote: kam mokestįmokestį, kam muitąmuitą, kam baimębaimę, kam pagarbąpagarbą.
7Mpeni kila mtu haki yake; mtu wa ushuru, ushuru; wa kodi, kodi; na astahiliye heshima, heshima.
8Niekam nebūkite ką nors skolingi, išskyrus meilę vienas kitam, nes kas myli, tas įvykdo įstatymą.
8Msiwe na deni kwa mtu yeyote, isipokuwa tu deni la kupendana. Ampendaye jirani yake ameitekeleza Sheria.
9Juk įsakymai: “Nesvetimauk, nežudyk, nevok, neteisingai neliudyk, negeisk” ir kiti, yra sutraukti į šį posakį: “Mylėk savo artimą kaip save patį”.
9Maana, amri hizi: "Usizini; Usiue; Usitamani;" na nyingine zote, zimo katika amri hii moja: "Mpende jirani yako kama unavyojipenda mwenyewe."
10Meilė nedaro blogo artimui. Todėl meilėįstatymo išpildymas.
10Ampendaye jirani yake hamtendei vibaya. Basi, kwa mapendo Sheria yote hutimizwa.
11Taip elkitės, suprasdami, koks dabar laikas. Išmušė valanda mums pabusti iš miego. Dabar mūsų išgelbėjimas arčiau negu tada, kai įtikėjome.
11Zaidi ya hayo, ninyi mnajua tumo katika wakati gani: sasa ndio wakati wa kuamka usingizini; naam, wokovu wetu u karibu zaidi sasa kuliko wakati ule tulipoanza kuamini.
12Naktis nuslinko, diena prisiartino. Todėl nusimeskime tamsos darbus, apsiginkluokime šviesos ginklais!
12Usiku unakwisha na mchana unakaribia. Basi, tutupilie mbali mambo yote ya giza, tukajitwalie silaha za mwanga.
13Kaip dieną, elkimės dorai: nepasiduokime apsirijimui ir girtavimui, gašlavimui ir paleistuvavimui, vaidams ir pavydui,
13Mwenendo wetu uwe wa adabu kama inavyostahili wakati wa mchana; tusiwe na ulafi na ulevi, uchafu na uasherati, ugomvi na wivu.
14bet apsirenkite Viešpačiu Jėzumi Kristumi ir netenkinkite kūno geidulių.
14Bwana Yesu Kristo awe vazi lenu; msishughulikie tena tamaa zenu za maumbile na kuziridhisha.