1Koute jaw Kris nasemtein leh Pathian thuguk kemte bangin min honthei uhen.
1Mtu na atuone sisi kuwa ni watumishi wa Kristo tuliokabidhiwa siri za mungu.
2Hiaiah kempa tuh mi muanhuai hih a kiphamoh ahi.
2Kinachotakiwa kwa yeyote yule aliyekabidhiwa kazi ni kuwa mwaminifu.
3Himahleh nou non zeetna u leh mihing ngaihtuahnain non zeetna utuh kei adingin thil neu chik ahi.
3Kwangu mimi si kitu nikihukumiwa na ninyi, au na mahakama ya kibinadamu; wala sijihukumu.
4Keimah leng ka kizeet ngei tuan kei. Bangmah kimohsakna ding ka kithei keia; himahleh, huaiin siam hontang sak tuan kei hi; honzeetpa tuh Toupa ahi jaw.
4Dhamiri yangu hainishtaki kwa jambo lolote, lakini hiyo haionyeshi kwamba sina lawama. Bwana ndiye anayenihukumu.
5Huchiin, ahun main bangmah zeet kei un, Toupa hong masiah, aman tuh miala thil selgulte vakah a honla khe ding hi; lungtanga tupte leng a hihlang lai ding hi; huai hun chiangin mi chihin Pathian akipanin amau tan hun chiatin phatna aloh chiat ding uh.
5Basi, msihukumu kabla ya wakati wake acheni mpaka Bwana atakapokuja. Yeye atayafichua mambo ya giza yaliyofichika, na kuonyesha wazi nia za mioyo ya watu. Ndipo kila mmoja atapata sifa anayostahili kutoka kwa Mungu.
6Unaute aw, na phattuapihna dingun hiai thu Apollo leh kei tungah ka belh ahi, huchi-a laisiangthou banga hindan koute akipana na sin theihna ding uleh na lak ua kuamah mi khat midang sanga ngaina jaw-a na kisaktheihpih louhna dingun.
6Ndugu, hayo yote niliyosema juu ya Apolo na juu yangu, ni kielelezo kwenu: kutokana na mfano wangu mimi na Apolo nataka mwelewe maana ya msemo huu: "Zingatieni yaliyoandikwa." Kati yenu pasiwe na mtu yeyote anayejivunia mtu mmoja na kumdharau mwingine.
7Kuan ahia nou-a thil tuam deuh oma mu? Na muhsawn louh ngal uh bang ahia na neih uh? Huchia-a a musawn lel na hih uleh na muhsawn uh a thawna piak hilo bangtaka bangdia kisathei zenzen?
7Nani amekupendelea wewe? Una kitu gani wewe ambacho hukupewa? Na ikiwa umepewa, ya nini kujivunia kana kwamba hukukipewa?
8Tuin na vahta ua! Tuin na honghauta ua! Kou louin vai na hawmta uhi! Ahi, vaihawm taktak le uchin ka vaihawm sam theihna ding un.
8Haya, mmekwisha shiba! Mmekwisha kuwa matajiri! Mmekuwa wafalme bila ya sisi! Naam, laiti mngekuwa kweli watawala, ili nasi pia tuweze kutawala pamoja nanyi.
9Pathianin kou sawltakte, si dinga sehsa bangin a nanungpenin honsep khia hiin ka thei ahi; khovelte leh angelten leh mihingte mitmuha etnopa bawlin ka om uhi.
9Nafikiri Mungu ametufanya sisi mitume tuwe watu wa mwisho kabisa, kama watu waliohukumiwa kuuawa, maana tumekuwa tamasha mbele ya ulimwengu wote, mbele ya malaika na watu.
10Kou jaw Kris jiakin mihai ka hi ua, nou bel Kris ah mipil na hi jaw uhi; kou jaw kahat kei ua, nou bel nahat uhi; nou jaw mi pahtawiin na om ua, kou jaw mi simmohin ka om jaw uhi.
10Sisi ni wapumbavu kwa ajili ya Kristo, lakini ninyi ni wenye busara katika kuungana na Kristo! Sisi ni dhaifu, ninyi ni wenye nguvu. Ninyi mnaheshimika, sisi tunadharauliwa.
11Tutanin leng ka gilkial un ka dangtak ua, puansilh ka kiching kei ua, mi khut thak nuhna ka hi ua, mun leh mual ka neikei ua;
11Mpaka dakika hii, sisi tuna njaa na kiu, hatuna nguo, twapigwa makofi, hatuna malazi.
12Koumau khuta semin ka gim mahmah uhi; min hontai uleh ka vualjawl ua; min honsawi uleh ka thuak teitei uhi;
12Tena twataabika na kufanya kazi kwa mikono yetu wenyewe. Tukitukanwa, tunawatakia baraka; tukidhulumiwa, tunavumilia;
13Min hon gensiat uleh ka khem ua; tutan inleng khovel ninnok thil tengteng nin bangin a honbawl uhi.
13tukisingiziwa, tunajibu kwa adabu. Mpaka sasa tumetendewa kama uchafu wa dunia; na kwa kila mtu sisi ni takataka!
14Na zumna ding un hiai thu ka gelh ahi keia, ka ta deihtakte banga hontaihilh dingin ka gelh ahi jaw hi.
14Siandiki mambo haya kwa ajili ya kuwaaibisha ninyi, bali kwa ajili ya kuwafundisheni watoto wangu wapenzi.
15Kris ah heutu sing khat nei mah le uchin, pa jaw tampi na nei tuan kei uhi; ken Kris Jesu ah Tanchin Hoihin ka honnei ahi.
15Maana hata kama mnao maelfu ya walezi katika maisha yenu ya Kikristo, baba yenu ni mmoja tu, kwani katika maisha ya Kikristo mimi ndiye niliyewazaeni kwa kuihubiri Habari Njema.
16Huaijiakin, ka omdan jui dingin ka hon ngen ahi.
16Kwa hiyo, nawasihi: fuateni mfano wangu.
17Hiaijiakin, Timothi, Toupa a ka ta deihtak leh muan huai, na kiang uah ka honsawl ahi; aman Kris a ka omdan, gam chiha saptuamte teng thu ka hilh jeldan khawng a honthei sak nawn ding hi.
17Ndiyo maana nimemtuma Timetheo kwenu. Yeye ni mtoto wangu mpenzi na mwaminifu katika Bwana. Atawakumbusheni njia ninayofuata katika kuishi maisha ya Kikristo; njia ninayofundisha kila mahali katika makanisa yote.
18Huan, kei na kiang ua hong nawn lou ding bang jenin khenkhat nana ki uangsak ua.
18Baadhi yenu wameanza kuwa na majivuno wakidhani kwamba sitakuja tena kwenu.
19Himahleh, Toupan hoih a sakleh, sawt lou chik nungin na kiang uah ka hongding, huchiin mi kiuangsakte kamhat thu hilouin, a thilhihtheihna uh ka thei zota ding hi.
19Lakini, Bwana akipenda, nitakuja kwenu upesi; na hapo ndipo nitakapojionea mwenyewe, sio tu kile wanachoweza kusema hao wenye majivuno, bali pia kila wanachoweza kufanya.
20Pathian gam jaw kamhat thu ah a om keia, thilhihtheihnaah a om jaw ahi.Bang na deih jaw ua? Chiang toh hia na kiang ua ka hong ding itna leh lungsim nemna toh?
20Maana Utawala wa Mungu si shauri la maneno matupu, bali ni nguvu.
21Bang na deih jaw ua? Chiang toh hia na kiang ua ka hong ding itna leh lungsim nemna toh?
21Mnapendelea lipi? Nije kwenu na fimbo, ama nije na moyo wa upendo na upole?