Paite

Swahili: New Testament

1 Corinthians

5

1Na lak uah kingaih a om chih thu a thang vengvung ahi; huchibang kingaih Jentelte laka leng om ngeilou, na lak ua mi khatin amah pa ji a kitenpih.
1Ziko habari za kuaminika kwamba kuna uzinzi miongoni mwenu; tena ni uzinzi mbaya ambao haujapata kuwako hata kati ya watu wasiomjua Mungu. Nimeambiwa eti mmoja wenu anaishi na mke wa baba yake!
2Huan, huai thil hihpa tuh na lak ua kipan delh khiakna dinga lungngaih naksangin na kisaktheih pih jaw uhi.
2Mnawezaje kujivuna? Ingekuwa afadhali kwenu kuomboleza, na huyo aliyefanya kitu hicho aondolewe miongoni mwenu.
3Kei mahmah, pumpiin ka pang kei naa, kha ah jaw ka panga, thil huchitel hihpa tuh tuin leng Toupa Jesu minin na lak ua pang bang takin ka ngaihtuahkhinta hi,
3Nami, kwa upande wangu, ingawa kwa mwili niko mbali nanyi, hata hivyo kwa roho niko hapo pamoja nanyi: na hivyo, kama vile nipo hapo, nimekwisha mhukumu huyo aliyefanya jambo hilo la aibu.
4Noumau leh ka kha i Toupa Jesu thilhihtheihnaa kikhawmin,
4Wakati mnapokusanyika pamoja kwa jina la Bwana Yesu, nami nikiwa pamoja nanyi kwa roho, basi, kwa uwezo wa Bwana wetu Yesu,
5Mi huchibang jaw, a kha Toupa ni chia hotdama a om theihna dingin a sa tuh hihmang dingin, Setan pe lehang ka chi ahi.
5mkabidhini mtu huyo kwa Shetani ili mwili wake uharibiwe na roho yake iweze kuokolewa Siku ile ya Bwana.
6Na kisaktheihna uh hoihlou hi. Silngou tawmchikin tanghou beu a pumin a jel sual nak chih na theikei ua hia?
6Majivuno yenu hayafai! Je, hamjui kwamba chachu kidogo huchachusha donge lote la unga?
7Silngou panglou na hih mahbang un tanghou beu thak na honghih theihna ding un silngou luipen paisiang un. I paikan Ankuangluina ding leng a gouta ngal ua, huai Kris tuh:
7Jitakaseni, mkatupe mbali chachu ya kale ili mpate kuwa donge jipya lisilotiwa chachu kama mnavyopaswa kuwa; maana, Kristo, Pasaka yetu, amekwisha tolewa tambiko.
8Huaijiakin, ankuanglui ni hang silngou luia ankuanglui louin, nunsia leh gitlouhna silngoua leng ankuanglui sam lou in, takna leh thutak tanghou silngou soh louhin ankuang i lui zo ding uh.
8Basi, tufanye karamu hiyo si kwa chachu ile ya kale, chachu ya ubaya na uovu, bali kwa mkate usiotiwa chachu, mkate wa usafi na kweli.
9Ka laikhak ah kingaihhatte kithuahpih lou dingin na kiang uah ka gelh a;
9Niliwaandikia katika barua yangu msishirikiane na wazinzi.
10Hia khovel a kingaih hatte hiam, huaiham lah lepgute hiam, milimbete hiam kithuahpih hetlouh ding chi ka hi kei a; huchibang hileh khovela kipan na pai khiakuh kul ding ahi ngal a.
10Ukweli ni kwamba sikuwa na maana ya watu wote duniani walio wazinzi, wachoyo, walaghai na wenye kuabudu sanamu. Maana, ili kuwaepa hao wote ingewalazimu ninyi kuihama dunia hii kabisa!
11Tun bel, kuapeuh, Unau min po ngalin, kingaihhatmi hiam, mi huaiham hiam, milim bemi hiam, hanhatmi hiam, zukham hatmi hiam, lepgumi hiam hileh, kithuahpih lou dingin na kiang uah ka gelh ahi; mi huchibang kiangah nek leng ne lou dingin.
11Nilichoandika ni hiki: msishirikiane na ndugu Mkristo aliye mzinzi, mchoyo, mwenye kuabudu sanamu, mchongezi mlevi na mlaghai. Mtu wa namna hiyo, hata kula msile naye.
12Po lama mite lah, ken banga hia ka ngaihtuah ding om? Nou sung lama mite hilou hia na ngaihtuah ding uh?Po lama mite bel Pathianin ngaihtuah jel hilou hia? Huai mi giloupa tuh na lak ua kipan delh khia un.
12Je, ni shauri langu kuwahukumu watu walio nje? Hao Mungu atawahukumu. Je, ninyi hampaswi kuwahukumu wale walio katika jamii yenu ninyi wenyewe?
13Po lama mite bel Pathianin ngaihtuah jel hilou hia? Huai mi giloupa tuh na lak ua kipan delh khia un.
13Mfukuzeni mbali nanyi huyo mwovu!