Paite

Swahili: New Testament

1 Corinthians

6

1Na lak uah kuapeuhin midang toh thubuai neita le uchin, mi siangthoute maa tun louin, mi diktatloute maah na tun ngam ding ua hia?
1Anathubutuje mmoja wenu kumshtaki ndugu muumini mbele ya mahakama ya watu wasiomjua Mungu badala ya kumshtaki mbele ya watu wa Mungu?
2Ahihleh, misiangthouten khovel a vaihawm ding uh chih na thei ua hia? Huan, khovel bawn na vaihawm ding u leh, thil neupente leng ngaihtuah dia kilawmlou na hi ua hia?
2Je, hamjui kwamba watu wa Mungu watauhukumu ulimwengu? Ikiwa basi, ulimwengu utahukumiwa nanyi, kwa nini hamstahili kuhukumu hata katika mambo madogo?
3Tulai damsung thute gen louh, angelte nangawn i vaihawm ding uh chih na theikei ua hia?
3Je, hamjui kwamba, licha ya kuhukumu mambo ya kawaida ya kila siku, tutawahukumu hata malaika?
4Hichiin, tulai damsung thute ngaihtuah ding na neih un bangdia saptuamte ngaihsanglouhpente ngaihtuah sak nahi ua?
4Mnapokuwa na mizozo juu ya mambo ya kawaida, je, mnawaita wawe mahakimu watu ambao hata hawalijali kanisa?
5Na zumna ding un ka gen ahi, A unaute kala thu hihpuk thei mi pil, khat bek na lak uah na mu kei ua a ding maw?
5Aibu kwenu! Ndiyo kusema hakuna hata mmoja miongoni mwenu mwenye hekima kiasi cha kuweza kutatua tatizo kati ya ndugu waumini?
6Unau in a unau vaihawmna a tut jawk nak, ginglou maah a hih behlap toh?
6Badala yake, kweli imekuwa mtindo ndugu kumpeleka ndugu yake mahakamani, tena mbele ya mahakimu wasioamini.
7Hilou, hiai na kizen zoh louhna khat uh ahi pah hi, thubuai na kineih tuah nak uh. Bang dia diklou pia hihna nathuak zo lou? Bang achia kijang sak zo mailou oi?
7Kwa kweli huko kushtakiana tu wenyewe kwa wenyewe kwabainisha kwamba mmeshindwa kabisa! Je, haingekuwa jambo bora zaidi kwenu kudhulumiwa! Haingekuwa bora zaidi kwenu kunyang'anywa mali yenu?
8Hilou, noumau ngeiin na unaute uh tungah leng na hih dik kei ua, na jang sak nak uhi.
8Lakini, badala yake, ninyi ndio mnaodhulumu na kunyang'anya; tena, hayo mnawafanyia ndugu zenu!
9Ahihleh, mi diktatlouten Pathian Gam a luah kei ding uh chih na theikei ua hia? Khemin om kei un, kingaihhatte hiam, milim bete hiam, angkawmte hiam, mi hukte hiam, tohukte hiam,
9Au je, hamjui kwamba watu wabaya hawataurithi Utawala wa Mungu? Msijidanganye! Watu wanaoishi maisha ya uasherati, wanaoabudu sanamu, wazinzi, au walawiti,
10Gutate hiam, mihuaihamte hiam, zukhamhatte hiam, salhhatte hiam, lepgute hiamin Pathian Gam a luah kei ding uh.
10wevi, wachoyo, walevi, wasengenyaji, wanyang'anyi, hao wote hawatashiriki Utawala wa Mungu.
11Huan, noute khenkhat huchi bang na hi uhi; himahleh, Toupa Jesu Kris min ah leh i Pathian Kha ah siansak na hita ua, hihsiangthou na hita uh, siamtang na hita uhi.
11Baadhi yenu mlikuwa hivyo; lakini sasa mmeoshwa, mkafanywa watakatifu, na kupatanishwa na Mungu kwa jina la Bwana Yesu Kristo na kwa Roho wa Mungu wetu.
12Thil bangkim hih kei dingin a sianga, himahleh thil bangkim hih a hoih kim khol kei; thil bangkim hih kei ding in a sianga, himahleh bangmah sikha din ka kiphal kei hi.
12Mtu anaweza kusema: "Kwangu mimi kila kitu ni halali." Sawa; lakini si kila kitu kinafaa. Nakubali kwamba kila kitu ni halali kwangu lakini sitaki kutawaliwa na kitu chochote.
13Nek dingte khawng gila ahi a, gil khawng leng nek dinga ahi; himahleh Pathianin ahihmang tuaktuak ding. Huan, pumpi pen kingaihna ding ahi keia. Toupa ading ahijaw hi; Toupa leng pumpi ading ahi hi:
13Unaweza kusema: "Chakula ni kwa ajili ya tumbo, na tumbo ni kwa ajili ya chakula." Sawa; lakini Mungu ataviharibu vyote viwili. Mwili wa mtu si kwa ajili ya uzinzi bali ni kwa ajili ya kumtumikia Bwana, naye Bwana ni kwa ajili ya mwili.
14Huan, Pathianin Toupa a kaithoua, eite leng a thilhihtheihnain a honkaithou sam ding hi.
14Basi, Mungu aliyemfufua Bwana kutoka wafu atatufufua nasi pia kwa nguvu yake.
15Na pumpi uh Kris hiangte ahi chih na theikei ua hia? Kris hiangte laksakin kijuak hiang ding peuhin ka bawl dia hia leh?
15Je, hamjui kwamba miili yenu ni viungo vya mwili wa Kristo? Je, mnadhani naweza kuchukua sehemu ya mwili wa Kristo na kuifanya kuwa sehemu ya mwili wa kahaba? Hata kidogo!
16Bawl lou hial ding. A hihleh, kijuak zop pen, amah toh pumkhat ahi uh chih na theikei ua hia? A nih un sa pumkhat a hong hita ding uh, a chi ngala.
16Maana, kama mjuavyo, anayeungana na kahaba huwa mwili mmoja naye--kama ilivyoandikwa: "Nao wawili watakuwa mwili mmoja."
17Toupa zop bel amah toh kha pumkhat ahi uhi.
17Lakini aliyejiunga na Bwana huwa roho moja naye.
18Kingaih taisan un. Mihing thil hihkhelh chiteng pumpi po lamah ahi; mingaihhat inbel amah pumpi tungah thil a hihkhial ahi.
18Jiepusheni kabisa na uzinzi. Dhambi nyingine zote hutendwa nje ya mwili lakini mzinzi hutenda dhambi dhidi ya mwili wake mwenyewe.
19Ahihleh, na pumpi uh, na sung ua om Pathian kianga kipana na muh uh, Kha Siangthou temple ahi chih na theikei ua hia? Noumaua leng na hi kei ua, mana leisa na hita uh.Huaijiakin, na pumpi un Pathian pahtawi un.
19Je, hamjui kwamba miili yenu ni hekalu la Roho Mtakatifu aliye ndani yenu, ambaye mlimpokea kutoka kwa Mungu? Ninyi basi, si mali yenu wenyewe.
20Huaijiakin, na pumpi un Pathian pahtawi un.
20Mlinunuliwa kwa bei kubwa. Kwa hiyo, itumieni miili yenu kwa ajili ya kumtukuza Mungu.