Paite

Swahili: New Testament

1 Corinthians

7

1Huan, na thil gelh thute ujaw: Pasal adingin numei khoih louh a hoih hi.
1Yahusu sasa mambo yale mliyoandika: naam, ni vizuri kama mtu haoi;
2Himahleh, kingaihnate a om nak jiakin pasal chihin amah ji chiat nei henla, numei chihin leng amah pasal chiat nei heh.
2lakini kwa sababu ya hatari ya uzinzi, basi, kila mwanamume na awe na mke wake mwenyewe, na kila mwanamke awe na mume wake mwenyewe.
3Pasalin a ji kiangah a tan ding hunhun pia hen; huchi bangmahin jiin leng a pasal kiangah a tan ding hunhun pe sam heh.
3Mume atimize wajibu alio nao kwa mkewe, naye mke atimize wajibu alio nao kwa mumewe.
4Jiin amah pumpi tungah thu a neikeia, a pasalin thu a nei jaw hi; huchi bamgmahin pasalin leng amah pumpi tungah thu a neikeia, a jiin thu a nei jaw hi.
4Mke hana mamlaka juu ya mwili wake, bali mumewe anayo; hali kadhalika naye mume, hana mamlaka juu ya mwili wake, bali mkewe anayo.
5Thum dinga na kipiak theihna ding uleh, na kikholh nawn theihna ding ua sawt lou kal adia pha na sak tuaktuak keingal uleh a kuamahmah kijang sak kei un, huchilou injaw na kidek zoh louh jiak un Setanin a honkhem khading hi.
5Msinyimane haki zenu, isipokuwa kama mnaafikiana kufanya hivyo kwa kitambo tu, ili mpate nafasi nzuri ya kusali. Kisha rudianeni tena mara, ili Shetani asije akawajaribu kwa sababu ya udhaifu wenu.
6Himahleh, hiai thu thupe danin ka gen keia, phal lam thuin ka gen jaw ahi.
6Ninayowaambieni sasa ni mawaidha, si amri.
7Himahleh, mi tengteng keimah bang taka a om vek uh ka deih ahi. A hihhangin michih Pathian kianga kipan thilpiak amau muh lam a nei chiat uh ahi, khatin lam tuamin, khatin lamdangin.
7Ningependa watu wote wawe kama mimi nilivyo; lakini kila mmoja anacho kipaji chake kutoka kwa Mungu; mmoja kipaji hiki na mwingine kile.
8Himahleh lengkulte leh meithaite kiangah hichiin ka chi ahi: Keimah bang takin om le uh amau din a hoih ding hi.
8Basi, wale ambao hawajaoana na wale walio wajane nawaambia kwamba ni vema kuendelea kuwa kama mimi nilivyo.
9Kidek theihna a neih kei ua lelah kiteng uheh; huk sangin kiten a hoih ngala.
9Hata hivyo, kama mtu hawezi kujizuia basi, na aoe; maana ni afadhali zaidi kuoa kuliko kuwaka tamaa.
10Huan, kitengsate kiangah thu ka pia, keimah bel hilouin, Toupa piak ahi jaw; Jiin a pasal khen kei heh;
10Kwa wale waliooa ninayo amri, tena si yangu, ila ni ya Bwana: mke asiachane na mumewe;
11A khen vanglak leh pasal nei nawn louin om vanglak heh, a hihkeileh, a pasal toh mah kituak nawn uheh; huan pasalin a ji ma kei heh.
11lakini kama akiachana naye, basi abaki bila kuolewa; ama la, apatanishwe na mume wake. Mume naye asimpe talaka mkewe.
12Mi dang kiangah ahihleh Toupa hi louin keimahin ka gen: Unau kuapeuhin ji, ginglou mi kitenpih leh, aman a kianga om gige a ut leh, ma kei heh.
12Kwa wale wengine, (mimi binafsi, si Bwana) nasema hivi: Ikiwa mwanamume Mkristo anaye mke asiyeamini, na huyo mwanamke akakubali kuendelea kuishi naye, asimpe talaka.
13Huan, numei pasal ginglou kitenpihin, a pasalin a kianga om gige a ut leh, ma kei heh.
13Na, kama mwanamke Mkristo anaye mume asiyeamini, na huyo mwanamume akakubali kuendelea kuishi naye, basi, asimpe talaka mumewe.
14Pasal ginglou mi tuh a ji jiakin hihsiangthouin a om a, ji ginglou mi leng a pasal jiakin hihsiangthouin a om sam ahi; huchi hita keilah, na tate uh a siangthou kei ding uhi; himahleh a siangthou na-uhi.
14Kwa maana huyo mume asiyeamini hupokelewa kwa Mungu kwa kuungana na mkewe; na huyo mke asiyeamini hupokelewa kwa Mungu kwa kuungana na mumewe. Vinginevyo watoto wao wangekuwa si wa Mungu; kumbe sasa ni watoto wake Mungu.
15Himahleh, a gingloupenin a khen leh, khen mai heh, huchi bangah jaw unaupa hiam, unaunu hiam, hen a hita kei ding. Pathianin lemna ah a honsam ahi ngala.
15Hata hivyo, ikiwa yule asiyeamini anataka kumwacha mwenzake aliye Mkristo, basi, na amwache tu. Hapo huyo Mkristo, mume au mke, atakuwa huru. Maana Mungu amewaiteni ninyi muishi kwa amani.
16Ji aw, na pasal na hotdam ding leh ding louh bangchin na theia eita? Pasal aw, na ji na hotdam ding leh ding louh bangchin na theia eita?
16Wewe mama Mkristo, unawezaje kuwa na hakika kwamba hutaweza kumwokoa mume wako? Au wewe mume Mkristo, unawezaje kuwa na hakika kwamba hutaweza kumwokoa mkeo?
17Abang abang hileh, Toupan mi chih kianga a piak bang chiat leh, Pathian in mi chih a sap laia a omdan bang chiatin om heh. Huchibangin saptuam pawl tengteng ah ka hikip hi.
17Kwa vyovyote kila mmoja na aishi kufuatana na vipaji alivyogawiwa na Bwana, na kama alivyoitwa na Mungu. Hili ndilo agizo langu kwa makanisa yote.
18Zeksum sate sap a om u hia? Zeksum lou honghi tuan kei uheh. Zeksum loua om sap a om u hia? Zeksum tuan dah uheh.
18Kama mtu aliitwa akiwa ametahiriwa, basi asijisingizie kwamba hakutahiriwa; na kama alipoitwa hakuwa ametahiriwa, basi na asitahiriwe.
19Pathian thupiakte zuih lel louhngal zeksum i chih bangmah ahi keia, zeksum louh leng bangmah ahi kei hi.
19Maana kutahiriwa au kutotahiriwa si kitu; kilicho muhimu ni kuzishika amri za Mungu.
20Mi chih sapa a om lai ua a tan ngeina uah om chiat u heh.
20Basi, kila mmoja na abaki kama alivyokuwa wakati alipoitwa.
21Sikha hi saa sap na hi hia? Khawksa tuan ken. Na hongsuahtak theih leh, sen sukin.
21Je, wewe ulikuwa mtumwa wakati ulipoitwa? Sawa, usijali; lakini ukipata fursa ya kuwa huru, itumie.
22Sikha saa om Toupa sap tuh Toupa sikha suakta ahi ngala; huchimah bangin suakta saa sap tuh Kris sikha ahi hi.
22Maana yeye aliyeitwa na Bwana akiwa mtumwa huyo huwa mtu huru wa Bwana. Hali kadhalika naye aliyeitwa akiwa mtu huru, huwa mtumwa wa Kristo.
23Mana lei na hita uh; mihingte sikha ah lut kei un.
23Nyote mmenunuliwa kwa bei; kwa hiyo msiwe tena watumwa wa watu.
24Unaute aw, mi chih sapa a om lai bangbangin, huaiah Pathian kiangah om gige hen.
24Ndugu zangu, kila mmoja wenu basi, na abaki na Mungu kama alivyokuwa wakati alipoitwa.
25Huan, nungak siangthou lam thu ajaw Toupa thupiak himhim ka neikei; himahleh, muanhuaia omdingin Toupa kianga kipan zahngaihna mu ka hih jiakin ka ngaihtuah dan ka gen ding.
25Sasa, kuhusu mabikira na waseja, sina amri kutoka kwa Bwana; lakini natoa maoni yangu mimi ambaye kwa huruma yake Bwana nastahili kuaminiwa.
26Huchiin, tulai haksatna jiaka hiai tuh hoihin ka gingta ahi, mi a om ngeia a om gige.
26Basi, kutokana na shida iliyopo sasa nadhani ingefaa mtu abaki kama alivyo.
27Zi-a hen louh na hi hia? Kisut khiak tumken. Zi-a ehn louh na hi hia? Zi zong ken.
27Je, umeoa? Basi, usitake kuachana na mkeo. Wewe hukuoa? Basi, usitake kuoa.
28Himahleh, ji na neih leh thil na hih khial kei hi, nungak siangthou inleng pasal a neih leh thil a hihkhial sam kei hi. A hihhangin, hichi bang miten sa ah gimna a thuak ding uhi; Himahleh ken jaw honthuak sak louh ka ut hi.
28Lakini ikiwa utaoa hutakuwa umetenda dhambi; na msichana akiolewa hatakuwa ametenda dhambi. Hao watakaooana watapatwa na matatizo ya dunia hii, lakini mimi ningependa hayo yasiwapate ninyi.
29Ahihhangin, unaute aw, hiai ka chi ahi: hun seh a tomta; ji neite neilou banga a om theihna ding un;
29Ndugu, nataka kusema hivi: muda uliobaki ni mfupi. Na tangu sasa wale waliooa na waishi kama vile hawakuoa;
30Kapte kap lou banga a om theihna ding un, leh kipakte kipak lou banga a om theihna ding un;
30wenye kulia wawe kama hawalii, na wenye kufurahi wawe kama hawafurahi; wanaonunua wawe kama hawana kitu;
31Khovel zangte zang lojen loua a om theihna ding un: hiaa khovel omdan lah a mangthang ngitnget ahi ngala.
31nao wenye shughuli na dunia hii wawe kama vile hawana shughuli sana nayo. Maana ulimwengu huu, kama tuujuavyo, unapita.
32Lungjinna neiloua na om uh kon deih hi. Zi neilou pasalin Toupa lungkimsak dingdan, Toupa lam thilte a limsak;
32Ningependa ninyi msiwe na wasiwasi. Mtu asiye na mke hujishughulisha na kazi ya Bwana jinsi atakavyompendeza Bwana.
33Zinei pasalin bel a ji lungkimsak dingdan, khovel lam thilte a limsaka.
33Mtu aliyeoa hujishughulisha na mambo ya dunia jinsi atakavyompendeza mkewe,
34A lunglutna a kikhen hi. Huan pasal neilou numei hiam nungak hiamin pumpi leh kha sianthou dingdan, Toupa lam thilte a limsak; pasalnei numeiin bel a pasal lungkimsak dingdan, khovel lam thilte a limsak.
34naye amegawanyika. Mwanamke asiyeolewa au bikira hujishughulisha na mambo ya Bwana apate kujitolea mwili na roho kwa Bwana. Lakini mwanamke aliyeolewa hujishughulisha na mambo ya dunia hii jinsi atakavyompendeza mumewe.
35Nou phattuamna dingin hiai ka gen ahi; na tung ua khamna nga hilouin, navaka na omna ding uleh Toupa kianga na kipiakna uh bukimna dingin ahi jaw.
35Nawaambieni haya kwa faida yenu, na si kwa kuwawekeeni kizuio. Nataka tu muwe na mpango unaofaa, mpate kumtumikia Bwana kwa moyo na nia moja.
36Kuapeuhin a zikham tunga gamta diklou hi-a a kigintaka, a lung-gulhna a let ngala, a kul leh, hoih a sak bangin hih hen aw: kiteng uhen, khelhna ahi kei.
36Kama mtu anaona kwamba hamtendei vyema mchumba wake asipomwoa, na kama tamaa zake zinamshinda, na afanye atakavyo; waoane tu; hatakuwa ametenda dhambi.
37Himahleh kuapeuh lungtang kiptak pu-a loutheilou khopa kulna nei hilou, amah kithuzohmiin khama koih kinken a tup chinten leh a hih hoih ding.
37Lakini kama huyo mwanamume akiamua kwa hiari moyoni mwake kutooa na kama anaweza kuzitawala tamaa zake na kuamua namna ya kufanya, basi, anafanya vizuri zaidi asipomwoa huyo mwenzake bikira.
38Huchiin, a khamnu kitenpihpan ahih hoih; huan zi neilou dia amah kikhamain a hih hoih zo ding.
38Kwa maneno mengine: yule anayeamua kumwoa huyo mchumba wake anafanya vema; naye anayeamua kutomwoa anafanya vema zaidi.
39Zi jaw a pasal a dam laiteng hen ahi; himahleh, a pasal a sih aleh, a deih peuh a nei thei ding a, ahihhangin Toupa a om mi ahi ding ahi.Himahleh, kei ngaihdan in, a om ngeiin om gige leh nuam a sa zo ding; ken Pathian Kha nei samin ka kithei hi.
39Mwanamke huwa amefungwa na mumewe kwa muda wote mumewe aishipo. Lakini mumewe akifa, mama huyo yuko huru, na akipenda anaweza kuolewa na mtu yeyote, mradi tu iwe Kikristo.
40Himahleh, kei ngaihdan in, a om ngeiin om gige leh nuam a sa zo ding; ken Pathian Kha nei samin ka kithei hi.
40Lakini, nionavyo mimi, atakuwa na heri zaidi kama akibaki hivyo alivyo. Hayo ni maoni yangu, na nafikiri mimi pia ninaye Roho wa Mungu.