1Huan, milimte laka kithoihna tungtang jaw: I vekin theihna i nei chiat uh chih i kithei hi. Theihnain mi a kisathei saka itna inbel mi a bawlhoih nak hi.
1Yahusu sasa vyakula vilivyotambikiwa sanamu: Tunajua kwamba sisi sote tuna ujuzi, lakini ujuzi huo huwafanya watu wawe na majivuno; lakini mapendo hujenga.
2Kuapeuhin thil bang ahi hiam theia a kigintak leh, a theih ding thei nailou hi.
2Anayefikiri kwamba anajua kitu, kwa kweli hajui chochote kama inavyompasa.
3Ahihhangin, kuapeuhin Pathian a it leh, huai mi mah amah theih ahi
3Lakini anayempenda Mungu huyo anajulikana naye.
4Huchiin, milimte laka kithoihna thil nek thu jaw, khovel ah milim himhim bangmah ahih louhdan uleh, khat kia loungal Pathian dang himhim a om louhdan i thei hi.
4Kwa hiyo, kuhusu vyakula vilivyotambikiwa sanamu, twajua kwamba sanamu si kitu duniani; twajua kwamba Mungu ni mmoja tu.
5Van ah hiam, lei ah hiam, Pathian min pute om mahle uh, -huchi bang Pathian tampi leh toupa tampi a om ngal ua-
5Hata kama viko vitu viitwavyo miungu duniani au mbinguni, na hata kama wako miungu na mabwana wengi,
6Eite adingin bel Pathian khat kia, Pa, a oma, amah kiang akipanin bangkim a pawta, eite leng amah adia om i hi; Toupa khat kia, Jesu Kris, a om hi, amah jiakin bangkim a om hi, eite leng amah jiak maha om i hi uhi.
6hata hivyo, kwetu sisi yuko Mungu mmoja tu: Baba, Muumba wa vyote, ambaye kwa ajili yake sisi tuko. Pia yuko Bwana mmoja tu, Yesu Kristo, ambaye kwa njia yake vitu vyote viliumbwa, na sisi twaishi kwa njia yake.
7Ahihhangin, huai theihna mi tengteng ah a om kei hi; huchiin khenkhatin, tutanin milim be sasa a hihjiak un, milim laka kithoihna thil bang taka theiin a ne nak uhi; huchiin, a sia leh pha theihna uh a hat louh jiak a thanghuai nak uhi.
7Lakini, si kila mtu anao ujuzi huu. Maana wako watu wengine waliokwisha zoea sanamu, watu ambao mpaka hivi sasa wanapokula vyakula huviona bado kama vyakula vilivyotambikiwa sanamu. Na kwa vile dhamiri zao ni dhaifu, hutiwa unajisi.
8Himahleh, nek dingin Pathian mit hontung sak tuan kei ding ne kei mahlehang i se tuan keia. Ne mah lehang leng i hoih tuan sam kei hi.
8Lakini chakula hakiwezi kutupeleka karibu zaidi na Mungu. Tukiacha kukila hatupungukiwi kitu, tukikila hatuongezewi kitu.
9Himahleh, pilvang un, huchilou injaw na noplenna uh bang chichi hiamin mi hatloute adin pukna a hong hi kha ding.
9Lakini, jihadharini: huu uhuru wenu usiwafanye walio na imani dhaifu waanguke katika dhambi.
10Nang, theihna nei mi, kuapeuhin milimbiakna inn a ankuang uma a honmuh ngal un, amau mi hatlou na hita le uh, milim laka kithoihna thil ne dingin a sia leh pha theihna hong maingal lou ding hia?
10Maana, mtu ambaye dhamiri yake ni dhaifu, akikuona wewe mwenye ujuzi unakula vyakula hivyo ndani ya hekalu la sanamu, je, hatatiwa moyo wa kula vyakula vilivyotambikiwa sanamu?
11Huchiin na theihna jiakin mi hatlou, unau a sih sika Kris in a sih sakpa, a mangthang ding ahi.
11Hivyo, huyo ndugu yako dhaifu ambaye Kristo alikufa kwa ajili yake, atapotea kwa sababu ya ujuzi wako.
12Unaute tuanga huchi bang thil na hihkhelh ua, a sia leh pha theihna uh, a hatlouh naklaia, na liamsak behlap un, Kris tuangah thil na hihkhial uhi.Huaijiak takin nekdingin ka unau a hihpuk leh, ka unau ka hihpuk louhna dingin kumtawnin sa himhim ka neta kei ding.
12Kama mkiwakosesha ndugu zenu jinsi hiyo na kuzijeruhi dhamiri zao dhaifu, mtakuwa mmemkosea Kristo.
13Huaijiak takin nekdingin ka unau a hihpuk leh, ka unau ka hihpuk louhna dingin kumtawnin sa himhim ka neta kei ding.
13Kwa hiyo, ikiwa chakula husababisha kuanguka kwa ndugu yangu, sitakula nyama kamwe, nisije nikamfanya ndugu yangu aanguke katika dhambi.