Paite

Swahili: New Testament

Acts

1

1Theophil, tumaa lai ah, Jesu thilhih leh a thuhilh pattung tengteng thu ka gelh ahi;
1Ndugu Theofilo, Katika kitabu cha kwanza niliandika juu ya mambo yote Yesu aliyotenda na kufundisha tangu mwanzo wa kazi yake
2Kha Siangthou panpiha a sawltak telte kianga thu achiam khita vana pi touha a om ni tana thu.
2mpaka siku ile alipochukuliwa mbinguni. Kabla ya kuchukuliwa mbinguni aliwapa maagizo kwa njia ya Roho Mtakatifu wale mitume aliowachagua.
3Huai sawltakte kiangah gimna a thuak nungin theihna juaulou tampiin a kimusaka, ni sawmli hial a kiang uah a kilaka, Pathian gam thu a gen gen hi.
3Kwa muda wa siku arobaini baada ya kifo chake aliwatokea mara nyingi kwa namna ambazo zilithibitisha kabisa kwamba alikuwa hai. Walimwona, naye aliongea nao juu ya ufalme wa Mungu.
4Huan, a om khawm uh a kithuahpih sama, Jerusalem khua paisan kei un, Pa thilchiam ka gen na jak uh na ngak un, a chi chiltela.
4Wakati walipokutana pamoja aliwaamuru hivi: "Msiondoke Yerusalemu, bali ngojeeni ile zawadi aliyoahidi Baba, zawadi ambayo mlikwisha nisikia nikiongea juu yake.
5Johanin tuiin a baptis jela, himahleh, ni sawt lou chikin Kha Siangthoua baptisin na om ding uh, a chi a.
5Kwani Yohane alibatiza kwa maji, lakini baada ya siku chache, ninyi mtabatizwa kwa Roho Mtakatifu."
6Huan, amau, a hongkikhop un, a kiangah, Toupa, tuin hia Israelte kianga gam na piak nawn ding? a chi ua, a dong uh.
6Basi, mitume walipokutana pamoja na Yesu, walimwuliza, "Je Bwana, wakati huu ndipo utakaporudisha ule ufalme kwa Israeli?"
7Huan, aman, a kiang uah, Pain a hun leh a ni amah thuthu a om dia a seh, nou na theih ding ahi kei.
7Lakini Yesu akawaambia, "Nyakati na majira ya mambo hayo viko chini ya mamlaka ya Baba yangu, wala si shauri lenu kujua yatakuwa lini.
8Abangabang hileh, Kha Siangthou na tung ua a hongtun chiangin thilhihtheihna na nei ding uh; huchiin, Jerusalem khua khawngah, Judia leh Samari gam khua tengah, kawlmong phain leng ka thu theihpihte na hi ding uh, a chi a.
8Lakini wakati Roho Mtakatifu atakapowashukieni ninyi, mtajazwa nguvu na mtakuwa mashahidi wangu katika Yerusalemu, katika nchi yote ya Yudea na Samaria, na hata miisho ya dunia."
9Huan, huai thu a gen khitin a muh laipi un, vana pi touhin a oma, huan, meiin a muh phak louh uah a pi touta hi.
9Baada ya kusema hayo, wote wakiwa wanamtazama, alichukuliwa mbinguni; wingu likamficha wasimwone tena.
10Huan, a pai touh laia vanlam a et nilouh lai un, ngai in, mi nih, puan ngou silhin, a kiang uah a hongding ua;
10Walipokuwa bado wanatazama juu angani, akiwa anakwenda zake, mara watu wawili waliokuwa wamevaa nguo nyeupe walisimama karibu nao,
11huai miten, Galili gama mite aw, bangdia vanlam en a ding? Hiai Jesu na kiang ua kipana vana pi touha om, vana a pai tou na muh mahbang un amah mah a hongkik nawn ding, a chi ua.
11wakasema, "Enyi wananchi wa Galilaya! Mbona mnasimama mkitazama angani? Yesu huyu ambaye amechukuliwa kutoka kwenu kwenda mbinguni atakuja tena namna hiyohiyo mliivyomwona akienda mbinguni."
12Huan, Olive tang a chih ua kipat Jerusalem khua ah a kik nawnta uh hi; huai tang tuh Jerusalem kho kiang ahi a, Khawlni a hohna hun lel ahi.
12Kisha mitume wakarudi Yerusalemu kutoka mlima wa Mizeituni ulioko karibu kilomita moja kutoka mjini.
13Huan, a lut un, a omna dantan tungnung uah a paitou ua- Peter leh Johan toh, Jakob leh Andru toh, Philip leh Thoma toh Bartholomai leh Matthai toh, Alphai tapa Jakob leh, Simon Zelot Pawla leh, Jakob tapa Juda toh ahi uh.
13Walipofika mjini waliingia katika chumba ghorofani ambamo walikuwa wanakaa; nao walikuwa Petro, Yohane, Yakobo, Andrea, Filipo na Thoma, Bartholomayo na Mathayo, Yakobo mwana wa Alfayo, Simoni Zelote na Yuda mwana wa Yakobo.
14Huaite tengteng numei kuate hiam leh Jesu nu Mari toh, Jesu unaute toh, lungsim munkhata, phatuamngai taka thumin a om nilouh ua.
14Hawa wote walikusanyika pamoja kusali, pamoja na wanawake kadha wa kadha, na Maria mama yake Yesu, na ndugu zake.
15Huan, huai niin unaute lakah Peter a ding a (a vek un ja leh sawmnih khawng ahi uh, )
15Siku chache baadaye, kulikuwa na mkutano wa waumini, karibu watu mia moja na ishirini. Petro alisimama mbele yao,
16Unaute aw, Kha Siangthouin, David kama, Jesu mante makai Juda thu a genkholh laisiangthou thu a hong tung ding him ahi a.
16akasema, "Ndugu zangu, ilikuwa lazima ile sehemu ya Maandiko Matakatifu itimie, sehemu ambayo Roho Mtakatifu, kwa maneno ya Daudi, alibashiri habari za Yuda ambaye aliwaongoza wale waliomtia Yesu nguvuni.
17Amah jaw i laka simtel ahi a, hiai nasepna ah tan leng a nei sam ngala.
17Yuda alikuwa mmoja wa kikundi chetu maana alichaguliwa ashiriki huduma yetu.
18(Huan, huai miin a khelhna manin mun khat a leia, a khupin a kia a, a laiah a a puakkhama, a gil tengteng a pawt vek a.
18("Mnajua kwamba yeye alinunua shamba kwa zile fedha alizopata kutokana na kitendo chake kiovu. Akaanguka chini, akapasuka na matumbo yake yakamwagika nje.
19Huan, huai thu tuh Jerusalem khua a omte tengtengin a naja ua; huchiin, huai mun tuh, amau pauin, Akeldama, a chi ua, huai tuh, Sisan Mun, chihna ahi.
19Kila mtu katika Yerusalemu alisikia habari za tukio hilo na hivyo, kwa lugha yao, wakaliita lile shamba Hekeli Dama, maana yake, Shamba la Damu.)
20Sam bu ah hiai thu gelh ahi. A omna hihgamin om heh, a sungah kuamah om kei heh, chih leh, A heutu hihna mi dangin tang heh, chih.
20Basi, imeandikwa katika kitabu cha Zaburi: Nyumba yake ibaki mahame; mtu yeyote asiishi ndani yake. Tena imeandikwa: Mtu mwingine achukue nafasi yake katika huduma hiyo.
21Huchiin, Toupa Jesu i lak ua lut jel pawt jela a om sung tenga
21Kwa hiyo, ni lazima mtu mwingine ajiunge nasi kama shahidi wa ufufuo wake Bwana Yesu.
22Johan baptisma nung siah, i lak ua kipan vana pi touha a om ni tan-hiai honkithuahpihpihte laka mi khat a thohnawnna hontheihpih dingin a om ding ahi, a chi a.
22Anapaswa kuwa mmoja wa wale waliokuwa katika kundi letu wakati wote Bwana alipokuwa anasafiri pamoja nasi, tangu wakati Yohane alipokuwa anabatiza mpaka siku ile Yesu alipochukuliwa kutoka kwetu kwenda mbinguni."
23Huan, mi nih a sepkhia ua, khat tuh Joseph Barsaba a chih uh, (a min dang Justa a chih uh) huan khat tuh Mathia ahi.
23Basi, wakataja majina ya watu wawili; wa kwanza Yosefu aliyeitwa Barsaba (au pia Yusto), na wa pili Mathia.
24Huan, a thum ua, Nang Toupa, mihing tengteng lungtang thei, hiai nihte akua jaw ahia na tel honhilhin,
24Kisha wakasali: "Bwana, wewe unajua mioyo ya watu wote. Hivyo, utuonyeshe ni yupi kati ya hawa wawili uliyemchagua
25Judain amah omna apai dingin hiai nasepna leh sawltakna a kiaksan a sika dingin, a chi ua.Huan, ai a sansak ua, a aisan u tuh Mathia tungah a tu a; huchiin, amah sawltak sawmlekhatte laka sim tel a hita.
25ili achukue nafasi hii ya huduma ya kitume aliyoacha Yuda akaenda mahali pake mwenyewe."
26Huan, ai a sansak ua, a aisan u tuh Mathia tungah a tu a; huchiin, amah sawltak sawmlekhatte laka sim tel a hita.
26Hapo, wakapiga kura; kura ikampata Mathia, naye akaongezwa katika idadi ya wale mitume wengine kumi na mmoja.