Paite

Swahili: New Testament

Acts

2

1Huan, Pentikost ni a hongtunin, a vek un mun khat ah a omkhawm ua.
1Siku ya Pentekoste ilipofika, waumini wote walikuwa wamekusanyika pamoja.
2Huan, thakhatin van akipn ging huihpi nung bangin a hongom guih a. Huan, huaiin a tutna in uh a hihdim vekta a,
2Ghafla, sauti ikasikika kutoka angani; sauti iliyokuwa kama ya upepo mkali, ikajaza ile nyumba yote walimokuwa wamekaa.
3huan, leite, amah leh amaha kihawmin, mei bangin a kiang uah a hongkilakta a.
3Kisha, vikatokea vitu vilivyoonekana kama ndimi za moto, vikagawanyika na kutua juu ya kila mmoja wao.
4Huan, a tunguah a tuang chiata, a vek un Kha Siangthouin a dimta uh, Khain a pausak bangjelin pau dangin a hongpauta uh.
4Wote wakajazwa Roho Mtakatifu, wakaanza kusema lugha mbalimbali kadiri Roho alivyowawezesha.
5Huan, van nuaia nam chih lak akipan Pathian limsak Judate Jerusalem khua ah a tam ua.
5Na huko Yerusalemu walikuwako Wayahudi, watu wamchao Mungu, waliotoka katika kila nchi duniani.
6Huan, huai ging a jak tak un mipi a hongkikhawm ua, mi chihin a pau uh amau pau chiatin a honjak jiak un a lungsim un a hongbuai ua.
6Waliposikia sauti hiyo, kundi kubwa la watu lilikusanyika. Wote walishtuka sana kwani kila mmoja wao aliwasikia hao waumini wakisema kwa lugha yake mwenyewe.
7Huan, a vek un a mangbang ua, lamdang a sa mahmah uhi, Endih uh, hiaia pau tengteng Galili gama mi ahi kei ua hia?
7Walistaajabu na kushangaa, wakisema, "Je, hawa wote tunaowasikia wakisema hivi, si wenyeji wa Galilaya?
8Bangchin ahia i vek ua i pau pianpih banga i jak chiat?
8Imekuwaje, basi, kwamba kila mmoja wetu anawasikia wakisema kwa lugha yake mwenyewe?
9Khenkhat Parthai nam, Medai nam, Elamitai nam; khenkhat Mesopotamia gama om, Judia gama om, Kapadosia gama om, Pento gama om, Asia gama om,
9Baadhi yetu ni Waparthi, Wamedi na Waelami; wengine ni wenyeji wa Mesopotamia, Yudea, Kapadokia, Ponto na Asia,
10Phrugia gama om, Pamphulia gama om, Aigupta gama om, Kurini kho kiang khawnga Libua gama om i hi ua; khenkhat Rome kho khual Judate leh a phungkaite utoh I hi ua;
10Frugia na Pamfulia, Misri na sehemu za Libya karibu na Kurene; wengine wetu ni wageni kutoka Roma,
11Khenkhat Krit tuikulha leh Arab gama i hi ngal ua; himahleh, Pathian thilhih thupite a gen uh eimau pau chiatin i za ngala! a chi ua.
11Wayahudi na watu walioongokea dini ya Kiyahudi; wengine wametoka Krete na Arabia. Sisi sote tunasikia wakisema kwa lugha zetu wenyewe mambo makuu ya Mungu."
12Huan, a vek un lamdang a sa mahmah ua, a khiakna a theikei uhi. Hiai bangchidan ahia? a chi ua.
12Wote walishangaa na kufadhaika huku wakiulizana, "Hii ina maana gani?"
13Khenkhatin a nuihsan ua, Uain thak a kham ua hi, a chi ua.
13Lakini wengine wakawadhihaki wakisema, "Watu hawa wamelewa divai mpya!"
14Himahleh, Peter tuh sawmlekhatte toh ding khawmin, aman aw ngaih takin a kiang uah a gen a, nou Judi agama mite aw, nou Jerusalem khua a om tengteng aw, hiai thei unla, ka thu leng ngai un,
14Lakini Petro alisimama pamoja na wale kumi na mmoja akaanza kuwahutubia watu kwa sauti kubwa: "Ndugu Wayahudi nanyi nyote mnaokaa hapa Yerusalemu, sikilizeni kwa makini maneno yangu.
15Hiaite na gin bang un a kham kei uh, vaihomsanlai khawng ahi.
15Watu hawa hawakulewa kama mnavyodhani; mbona ni saa tatu tu asubuhi?
16Hiaite jawlnei Joelin a gen ahi jaw.
16Ukweli ni kwamba jambo hili ni lile alilosema nabii Yoeli:
17Pathianin, Ni nanungte ah hichi ahi ding, mi tengteng tungah ka kha ka buak dinga; huchiin, na tapate, na tanute un ka thu a hilh ding uh; na tangvalte un kilaknate a mu ding ua, na putekte un mang a nei ding uh.
17Katika siku zile za mwisho, asema Bwana, nitawamiminia binadamu wote Roho wangu. Watoto wenu, wanaume kwa wanawake, watautangaza ujumbe wangu; vijana wenu wataona maono, na wazee wenu wataota ndoto.
18Ahi, huai ni khawngin ka sikhapate, ka sikhanute tungah leng ka Kha ka buak dinga, ka thu a hilh ding uh.
18Naam, hata watumishi wangu, wanaume kwa wanawake, nitawamiminia Roho wangu, siku zile, nao watautangaza ujumbe wangu.
19Huan, tunglam van ah thillamdang nuailam lei ah chiamtehna ka musak dinga; sisan, mei, meikhu hu toh:
19Nitatenda miujiza juu angani, na ishara chini duniani; kutakuwa na damu, moto na moshi mzito;
20Ni mial a suak dinga, kha sisan a suak ding, Toupa ni thupitak leh minthang tak a hongtun main.
20jua litatiwa giza, na mwezi utakuwa mwekundu kama damu, kabla ya kutokea ile siku kuu na tukufu ya Bwana.
21Huan, hichi ahi dinga, kuapeuh Toupa min lou tuh a bit ding uh, a chi, a chih.
21Hapo, yeyote atakayeomba kwa jina la Bwana, ataokolewa.
22Nou Israel mite aw, hiai thu ja un: Nazaret Jesu, Pathianin amah zangin na lak uah thil thupite, thillamdangte, chiamtehnate a hihin a hontheichiansak hi; nou ngeiin tuate na thei ngal ua.
22"Wananchi wa Israeli, sikilizeni maneno haya! Yesu wa Nazareti alikuwa mtu ambaye mamlaka yake ya kimungu yalithibitishwa kwenu kwa miujiza, maajabu na ishara Mungu alizofanya kati yenu kwa njia yake, kama mnavyojua.
23Huai mi Pathian vaihawm tel leh theihkholh bangin a mansak ua, nou migiloute khutin kros ah na kilhden ua, na hihlumta uh.
23Kufuatana na mpango wake mwenyewe Mungu alikwisha amua kwamba Yesu angetiwa mikononi mwenu; nanyi mkamuua kwa kuwaachia watu wabaya wamsulubishe.
24Huai mi, Pathianin sihna gaknate a phelsak, a kaithouta a; amah sihna letden vual a hihlouh jiakin.
24Lakini Mungu alimfufua kutoka wafu akamwokoa katika maumivu ya kifo kwa maana haingewezekana kabisa kifo kimfunge.
25Huan, Davidin a thu a gen a, Ka maah chiklai peuhin Toupa ka mu gige a. Ka mangbat louhna dingin ka taklam ah a om ahi;
25Maana Daudi alisema juu yake hivi: Nilimwona Bwana mbele yangu daima; yuko nami upande wangu wa kulia, na hivyo sitatikisika.
26Huaijiakin ka lungtang a nuama, ka lei leng a kipaka, ka sa lamen takin a om behlap lai hi.
26Kwa hiyo, moyo wangu ulifurahi; tena nilipiga vigelegele vya furaha. Mwili wangu utakaa katika tumaini;
27Misi khua ah ka kha na nuse kei dinga, muatna na mi siangthou na musak sam kei ding hi.
27kwa kuwa hutaiacha roho yangu katika kuzimu, wala kumruhusu mtakatifu wako aoze.
28Nangman hinna lamte nontheisaka; nangman na melin kipakin na honhih dim ding, chiin.
28Umenionyesha njia za kuufikia uzima, kuwako kwako kwanijaza furaha!
29Unaute aw, chi khahpa David thu lau louin na kiang uah ka gen thei hi; amah jaw a si a, vui leng a vui khin ua, a han leng tutanin i kiangah a om lailai hi.
29"Ndugu zangu, napenda kuwaambieni waziwazi juu ya mambo yaliyompata Daudi, babu yetu. Yeye alikufa, akazikwa, tena kaburi lake liko papa hapa petu mpaka leo.
30Amah tuh jawlnei ahi a, Pathianin a khala mi kuahiam a tutphah tungah a tusak ding chih kichiamin a gen chih a theia;
30Lakini kwa vile Daudi alikuwa nabii, alijua kuwa Mungu alimwapia kiapo kwamba atamtawaza mmoja wa uzawa wake kuwa mfalme mahali pake.
31huchiin, huai tuh a theihkholh him jiakin Kris thohnawn ding thu a gen ahi, Misi khuaa nutsiatin a om keia, a luangin leng muat a mu sam kei hi, chiin.
31Daudi aliona kabla mambo yatakayofanywa na Mungu na hivyo akasema juu ya ufufuo wa Kristo wakati aliposema: Hakuachwa kuzimu, mwili wake haukuoza.
32Huai Jesu tuh Pathianin a kaithou nawnta ngeia, huai a theite i vek un i hi uh.
32Basi, Mungu alimfufua huyo Yesu na sisi sote ni mashahidi wa tukio hilo.
33Pathian khut taklam ah pahtawiin a oma, Kha Siangthou chiam Pa kianga kipanin a mu a, na muh uh leh na jak uh a honbuak ahi.
33Yesu aliinuliwa juu mpaka upande wa kulia wa Mungu, akapokea kutoka kwa Baba ile zawadi aliyoahidi yaani Roho Mtakatifu; na mnachoona sasa na kusikia ni mmiminiko wa huyo Roho.
34David jaw van ah a kah tou kei, amah ngeiin. Jehovahin ka Toupa kiangah, Ka taklam ah tu kinken in.
34Maana Daudi mwenyewe, hakupanda mpaka mbinguni; ila yeye alisema: Bwana alimwambia Bwana wangu: Keti upande wangu wa kulia,
35Na melmate na khepek ngakna dia ka bawl masiah, a chi, a chi jaw hi.
35hadi nitakapowafanya adui zako kibao cha kukanyagia miguu yako.
36Huchiin, Jesu, na kilhden mah uh, Pathianin Toupa leh Kris hi khawm in a bawlta chih, Israel nam chihin kichiantakin thei u heh, a chi a.
36"Watu wote wa Israeli wanapaswa kufahamu kwa hakika kwamba huyo Yesu mliyemsulubisha ninyi, ndiye huyo ambaye Mungu amemfanya kuwa Bwana na Kristo."
37Huan, huai thu a jak un a lungtang ua sut bang a honghita ua, Peter leh sawltak dangte kiangah, Unaute aw, bangchibangin ka hihta ding ua? a chi ua.
37Basi, watu waliposikia hayo, walichomwa moyo, wakawauliza Petro na wale mitume wenzake: "Ndugu zetu, tufanye nini?"
38Huan, Peterin, a kiang uah, Na khelhnate uh ngaihdamna dingin lungsim khek unla, Jesu Kris minin baptisma tang chiat un; huchiin, Kha Siangthou piak na tan ding uh.
38Petro akajibu, "Tubuni na kila mmoja wenu abatizwe kwa jina la Yesu Kristo ili mpate kuondolewa dhambi zenu na kupokea ile zawadi ya Roho Mtakatifu.
39A chiam tuh nou ading leng, na tate uh ding leng, gamlapia mi tengteng ading leng, Toupa i Pathianin a kianga a sap peuhmate ading ahi, a chi a.
39Maana, ahadi ile ilikuwa kwa ajili yenu, kwa ajili ya watoto wenu, kwa ajili ya wote wanaokaa mbali; na kwa ajili ya kila mtu ambaye Bwana Mungu wetu atamwita kwake."
40Huan, thudang tampiin a hilhchiana; Tulai khangthak thulimloute lakah kihumbit un, chiin a hasuana.
40Kwa maneno mengine mengi, Petro alisisitiza na kuwahimiza watu akisema, "Jiokoeni katika kizazi hiki kiovu."
41Huan, a thu jui peuhin baptisma a tang ua, huai niin mi sang thum khawng behlapin a om uh.
41Wengi waliyakubali maneno yake, wakabatizwa. Watu wapatao elfu tatu wakaongezeka katika kile kikundi siku hiyo.
42Huan, sawltakte hilhin, kithuahin, tanghou balkhamin, thumin phatuamngai takin a om nilouhlouh uhi.
42Hawa wote waliendelea kujifunza kutoka kwa mitume, kuishi pamoja kidugu, kumega mkate na kusali.
43Huan, mi chihin a lauta ua: sawltakten thillamdang leh chiamtehna tampi a hih ua.
43Miujiza na maajabu mengi yalifanyika kwa njia ya mitume hata kila mtu akajawa na hofu.
44Huan, a gingta peuhmahin bangkim a kikop khawm uh.
44Waumini wote waliendelea kuwa kitu kimoja na mali zao waligawana pamoja.
45a goute uh, a thilneihte uh a juak ua, a deihdong ching lel chiatin a vek ua kiangah a hawm jel uhi.
45Walikuwa wakiuza mali na vitu vyao kisha wakagawana fedha kadiri ya mahitaji ya kila mmoja.
46Huan, niteng lungsim munkhatin Pathian biakin ah phatuamngai takin a om jeljel ua, a in lam uahte leng tanghou balkhamin, nuam leh lungkimin, a an uh a ne jel ua,Pathian a phat ua, mi tengteng kipahlamin a om uh. Huan, a hotdam lel peuhmah Toupan nitengin a kiang uah a behlap sak jel a hi
46Waliendelea kukutana pamoja kila siku Hekaluni. Lakini wakati wa kumega mkate, walikutana katika nyumba zao na wakakishiriki chakula hicho kwa furaha na moyo mkunjufu.
47Pathian a phat ua, mi tengteng kipahlamin a om uh. Huan, a hotdam lel peuhmah Toupan nitengin a kiang uah a behlap sak jel a hi
47Walimtukuza Mungu, wakapendwa na watu wote. Kila siku Bwana aliwaongezea idadi ya watu waliokuwa wakiokolewa.