Paite

Swahili: New Testament

Acts

3

1Huan, Peter leh Johan, dak kuana ah, thum hun laiin, Pathian biakin a lut dingin a hohtou ua.
1Siku moja, saa tisa alasiri, Petro na Yohane walikuwa wanakwenda Hekaluni, wakati wa sala.
2Huan, piching kuahiam a pian tung apat khebai a honjawng ua, huai mi tuh, biakina lutte kianga khutdoh dingin, biakin kongkhak, Kilawm, a chih bul uah ni tengin a lumsak jel uhi.
2Na pale karibu na mlango wa Hekalu uitwao "Mlango Mzuri", palikuwa na mtu mmoja, kiwete tangu kuzaliwa. Watu walimbeba huyo mtu kila siku na kumweka hapo ili aombe chochote kwa wale waliokuwa wakiingia Hekaluni.
3Huaiin Peter leh Johan Pathian biakina lut ding a mu a, khut a doha.
3Alipowaona Petro na Yohane wakiingia Hekaluni, aliwaomba wampe chochote.
4Huan, Peterin amah a en gigea, Johan inleng; huan, Peterin, Hon en in, a chi a.
4Petro na Yohane walimkodolea macho, naye Petro akamwambia, "Tutazame!"
5Huan, aman a lak ua banghiam muh a lamena, a en a.
5Naye akawageukia, akitazamia kupata kitu kutoka kwao.
6Himahleh, Peterin, Dangka leh dangkaeng bangmah ka neikei; himahleh ka neih sun ka honpe ding, Nazaret Jesu Kris minin khein paita in, a chi a.
6Kisha Petro akamwambia, "Sina fedha wala dhahabu lakini kile nilicho nacho nitakupa. Kwa jina la Yesu Kristo wa Nazareti, tembea!"
7Huan, a khut taklam a lena, a kaithouta a; huan, thakhatin a khete leh a siakmit guhte a honghat pahta hi.
7Halafu, akamshika mkono wa kulia, akamwinua. Papo hapo miguu na magoti yake yakapata nguvu.
8Huan, amah tuh a tawm tou a, a dinga, khein a pai pan ahi. Huan, khea paipai leh, diang diang leh, Pathian phat kawmkawmin biakin ah a lut hi.
8Akaruka, akasimama na kuanza kutembea. Halafu akaingia pamoja nao Hekaluni, akitembea na kurukaruka huku akimtukuza Mungu.
9Huan, khea a pai leh Pathian a phat mi tengtengin a mu ua;
9Watu wote waliokuwa hapo walimwona akitembea na kumsifu Mungu.
10Biakin Kongkhak Kilawm bula khutdoha tu jel pa ahi chih a thei ua; a tunga thiltung lamdang a sa mahmah ua, a buai ngial uhi.
10Walipomtambua kuwa ndiye yule aliyekuwa anaombaomba karibu na ule "Mlango Mzuri" wa Hekalu, wakashangaa mno hata wasiweze kuelewa yaliyompata.
11Huan, aman Peter leh Johan a let laiin, mi tengtengin lamdang a sa mahmah ua, inlim Solomona a chih uah a kiang uah a hongtai khawm ua.
11Watu wote, wakiwa na mshangao mkubwa wakaanza kukimbilia mahali palipoitwa "Ukumbi wa Solomoni," ambapo yule mtu alikuwa bado anaandamana na Petro na Yohane.
12Huan, Peterin huai a muhin, mite a houpiha, Nou Israel mite aw, hiaite bangdia lamdang sa? Koumau thilhihtheihna leh Pathian ka limsak jiak ua amah ka paisak bang jen ua bangachia honen gige?
12Basi, Petro alipowaona watu hao akawaambia, "Wananchi wa Israeli, kwa nini mnashangazwa na jambo hili? Mbona mnatukodolea macho kana kwamba ni kwa nguvu zetu au utakatifu wetu sisi wenyewe tumemfanya mtu huyu aweze kutembea?
13Abraham te, Isaak te, Jakob te Pathian, i pipute Pathianin, a Sikha Jesu a pahtawita ahi; amah na mansak ua, Pilatin khah a tupin leng a maah na ut kei uh.
13Mungu wa Abrahamu, Isaka na Yakobo, Mungu wa baba zetu amemtukuza Yesu mtumishi wake. Yeye ndiye yuleyule mliyemtia mikononi mwa wakuu na kumkataa mbele ya Pilato hata baada ya Pilato kuamua kumwacha huru.
14Mi Siangthou leh Dik na deih kei ua, tualthatpa na kiang ua piak na ngen zota ua.
14Alikuwa mtakatifu na mwema; lakini ninyi mlimkataa, mkataka mtu mwingine aliyekuwa muuaji afunguliwe.
15Hinna Siampa tuh na that ua; himahleh Pathianin amah misi laka pat a kaithou nawna; huai theihpihte ka hi uhi.
15Basi, mlimuua yule ambaye ni chanzo cha uzima. Lakini Mungu alimfufua, na sisi ni mashahidi wa tukio hilo.
16Huan, amah min gin jiakin a minin hiai mi na muh uh leh na theih uh a hihhatta uhi; ahi, amah jiaka ginna a hongomin na vek ua mitmuhin a hihdam vilvelta ahi.
16Jina la Yesu na imani katika jina hilo ndivyo vilivyompa nguvu mtu huyu mnayemwona na kumfahamu. Imani kwa Yesu ndiyo iliyomponya kabisa mtu huyu kama mnavyoona nyote.
17Himahleh, unaute aw, na heutute un leng a hai jiak ua a hih bang un, na hai jiak un hiai khawng na hih uh ahi chih ka thei.
17"Sasa ndugu zangu, nafahamu kwamba ninyi na wakuu wenu mlitenda hayo kwa sababu ya kutojua kwenu.
18Himahleh, Pathianin, jawlnei tengteng kamin, a Krisin gim a thuak ding thu a theikholsak hi, huchibangin a tungsak zota ahi.
18Lakini ndivyo Mungu alivyotimiza yale aliyotangaza zamani kwa njia ya manabii wote, kwamba ilikuwa lazima Kristo wake ateseke.
19Huaijiakin na khelhna te uh thaimang ahih theihna dingin lungsim khek unla, kihei nawn un, huchiin Toupa kiang apat halh hun khawng a hongtung thei dinga.
19Basi, tubuni mkamrudie Mungu ili afute dhambi zenu.
20Kris Jesu, nou adia a seh mahleng, a honsawl thei ding;
20Fanyeni hivyo ili Bwana awape nyakati za kuburudika rohoni na kuwaletea yule Kristo aliyemteua ambaye ndiye Yesu.
21Ahihhangin, bangkim bawlhoih hun a hongtun masiah vanin amah a kem tadih ding ahi; huai bawlhoih ding thu tuh Pathianin leilung pian tunga kipana a jawlnei siangthou omte kama a gen khit ahi.
21Ni lazima yeye abaki huko mbinguni mpaka utakapofika wakati wa kurekebishwa vitu vyote, kama Mungu alivyosema kwa njia ya manabii wake watakatifu wa tangu zamani.
22Mosi ngeiin, Toupa Pathianin keimah a honbawl bangin na unaute lakah jawlnei khat a honbawlsak ding; aman thu tengteng na kiang ua a gen peuh na ngaihkhiak sak ding uh;
22Kwa maana Mose alisema, Bwana Mungu wenu atawapelekeeni nabii kama mimi kutoka kati yenu ninyi wenyewe.
23huan, mi kuapeuh, huai jawlnei thu ngaihkhiak sak lou tuh, mi lak akipana hihmangthang ahi ding uh, a chih.
23Yeyote yule ambaye hatamsikiliza nabii huyo atatengwa mbali na watu wa Mungu na kuangamizwa.
24Ahi, Samuel om akipan jawlnei tengteng, a nung ua mite toh, thugen peuhten, tulai tanchin a genkhol sam uhi.
24Manabii wote, kuanzia Samweli na wale waliomfuata, walitangaza habari za mambo haya ambayo yamekuwa yakitendeka siku hizi.
25Noute jawlneite leh thukhun tate nei ve ua; Pathianin, Abraham kiangah, Na suante jiakin khovela nam chih a navak ding uh, chiin, na pipute uh kiangah achiam hi.Pathianin a Sikha a sehna, na khelhnate uh kiheisan sak dinga vualjawlsak dingin noumau kiangah a honsawl masapen ahi, a chi a.
25Ahadi zile Mungu alizotoa kwa njia ya manabii ni kwa ajili yenu; na mnashiriki lile agano Mungu alilofanya na babu zenu, kama alivyomwambia Abrahamu: Kwa njia ya wazawa wako, jamaa zote za dunia zitabarikiwa.
26Pathianin a Sikha a sehna, na khelhnate uh kiheisan sak dinga vualjawlsak dingin noumau kiangah a honsawl masapen ahi, a chi a.
26Basi, ilikuwa kwa ajili yenu kwanza kwamba Mungu alimfufua mtumishi wake, alimtuma awabariki kwa kumfanya kila mmoja wenu aachane kabisa na maovu yake."