1Huan, Peter leh Johanin mite kianga thu a gen lai un, siampute, biakin heutute leh Saddukaihon a kiang uah a hongtung guih ua,
1Petro na Yohane walipokuwa bado wanawahutubia watu, makuhani na mkuu wa walinzi wa Hekalu pamoja na Masadukayo walifika.
2mi a hilh uh leh Jesu jiaka misi laka kipan thohnawnna thu a hilh jiak un a lungkimkei hial ua.
2Walikasirika sana, maana hao mitume walikuwa wanawahubiria watu kwamba Yesu alifufuka, jambo ambalo linaonyesha wazi kwamba wafu watafufuka.
3Huan, a man ua, nitaklam a hih jiakin a jing phain suangkulh ah a khumta uh.
3Basi, waliwatia nguvuni na kwa kuwa usiku ulikuwa umekaribia, wakawaweka chini ya ulinzi mpaka kesho yake.
4Himahleh, thu ngaikhete akhen tampiten a ging ua; a tamlam uh tuh piching ngen leng sang nga khawng a ching uh hi.
4Lakini wengi kati ya wale waliosikia ujumbe wao waliamini, na idadi ya waumini ikawa imefika karibu elfu tano.
5Huan, a jingin a heutute uh, upate, laigelhmite,
5Kesho yake, viongozi wa Wayahudi, wazee na walimu wa Sheria, walikusanyika pamoja huko Yerusalemu.
6siampu lianpen Ana te, Kaiapha te, Johan te, Aleksandar te, Siampu Lianpen chia tengtengte leng Jerusalem khua ah a om khawm ua.
6Walikutana pamoja na Anasi, Kayafa, Yohane, Aleksanda na wengine waliokuwa wa ukoo wa Kuhani Mkuu.
7Huan, Peter leh Johan a laiah a dingsak ua, Bang hihtheih nain ahia kua minin ahia hiai khawng na hih uh? a chi ua, a dong ua.
7Waliwasimamisha mitume mbele yao, wakawauliza, "Ninyi mmefanya jambo hili kwa nguvu gani na kwa jina la nani?"
8Huchiin, Peter Kha Siangthouin a dima, a kiang uah, Mi tengteng heutute aw, upate aw,
8Hapo, Petro, akiwa amejawa na Roho Mtakatifu, akawaambia, "Viongozi na wazee wa watu!
9mi hatlou hihhoih thu ah, Hiai mi bangjiakin ahia a hongdam tak? chiin tuniin na honsalh u leh, nou tengtengin thei un,
9Ikiwa mnatuuliza leo juu ya kile kitendo chema alichofanyiwa yule mtu aliyekuwa kiwete na jinsi alivyopata kuwa mzima,
10Israel mi tengtengin leng thei heh, kros a Nazaret Jesu Kris na kilhden uh, Pathianin misi lak apanin a kaithou nawna, amah min ngeiin hiai mi hiaiah na ma uah damin a dingta ahi.
10basi, ninyi na watu wote wa Israeli mnapaswa kujua kwamba mtu huyu anasimama mbele yenu leo, mzima kabisa, kwa nguvu ya jina lake Yesu wa Nazareti ambaye ninyi mlimsulubisha, lakini Mungu akamfufua kutoka wafu.
11Nou in lamte aw, na suang paih uh, a ninga, suang phatuampen a honghita, amah ahi.
11Huyu ndiye ambaye Maandiko Matakatifu yanasema: Jiwe mlilokataa ninyi waashi, sasa limekuwa jiwe kuu la msingi.
12Mi dang kuamah kiangah hotdamna a om kei, van nuaia, mihing sak lakah, hon hondam ding min dang himhim a om kei, a chi a.
12Wokovu haupatikani kwa mtu mwingine yeyote, kwa maana duniani pote, binadamu hawakupewa jina la mtu mwingine ambaye sisi tunaweza kuokolewa naye."
13Huan, Peter leh Johan hansandan a muh un, laisiamlou mi leh namtom maimai ahi uh chih a theih un, lamdang a sa mahmah ua; Jesu kiangah a om khin uh chih a theita uhi.
13Hao wazee wa baraza, wakiwa wanajua kwamba Petro na Yohane walikuwa watu wasio na kisomo wala elimu yoyote, walishangaa juu ya jinsi walivyosema kwa uhodari. Wakatambua kwamba walikuwa wamejiunga na Yesu.
14Huan, mi a hihdam uh a kiang ua ding a muh un, bangmah a gense thei tuankei uhi.
14Lakini walipomwona yule mtu aliyeponywa amesimama pamoja nao, hawakuweza kusema kitu.
15Huchiin, a vaihawmna ua pata a pai tuam sak nungun, a kihou ua,
15Hivyo, waliwaamuru watoke nje ya baraza, nao wakabaki ndani wakizungumza kwa faragha.
16Hiai mite bangchiin i hih dia? Thillamdang minthang a hih uh Jerusalem khua a om tengtengin tel takin a theita uh; en leng i sel thei tuan kei hi.
16Wakaulizana, "Tufanye nini na watu hawa? Kila mtu anayeishi Yerusalemu anajua kwamba mwujiza huu wa ajabu umefanyika, nasi hatuwezi kukana jambo hilo.
17Himahleh, mi kianga a than semsem louhna ding un tunung siah kuamah kiangah hiai mina thu a gen louhna ding un I vau ding uh, a chi ua.
17Lakini ili tupate kuzuia jambo hili lisienee zaidi kati ya watu, tuwaonye wasiongee na mtu yeyote kwa jina la Yesu."
18Huchiin, amau a sam ua, Jesu mina thugen hetlouh ding leh hilh hetlouh ding, a chi chiltel ua.
18Kwa hiyo wakawaita tena ndani, wakawaonya wasiongee tena hadharani, wala kufundisha kwa jina la Yesu.
19Himahleh, Peter leh Johanin, a kiang uah, Pathian mitmuhin Pathian thu man sangin noumau thu man a dik jaw hia ngaihtuah un.
19Lakini Petro na Yohane wakawajibu, "Amueni ninyi wenyewe kama ni haki mbele ya Mungu kuwatii ninyi kuliko kumtii yeye.
20Kou jaw ka thil muh uh leh ka jakte uh gen louin ka om theikei uh, a chi ua.
20Kwa maana hatuwezi kuacha kusema juu ya mambo yale tuliyoyaona na kuyasikia."
21Huan, amau tuh a vau semsem ua, a khahta uh, mipi jiakin gawtna lemtang a mu kei uhi; a thilhih jiak un mi tengtengin Pathian a pahtawi ngal ua.
21Basi, hao wazee wa Baraza wakawaonya kwa ukali zaidi, halafu wakawaacha huru. Hawakuweza kuwapa adhabu kwa sababu watu wote walikuwa wakimtukuza Mungu kwa sababu ya tukio hilo.
22Thil lamdanga a hihdam uh kum sawmli sanga tamjaw hial ahi ngala.
22Huyo mtu aliyeponywa alikuwa na umri wa miaka zaidi ya arobaini.
23Huan, Peter leh Johan a pawt un amau lawmte kiangah a vahoh ua, siampu lalte leh upaten a kiang ua a gen peuh uh a hilh vek ua.
23Mara tu walipoachwa huru, Petro na Yohane walirudi kwa wenzao, wakawaeleza yale waliyoambiwa na makuhani wakuu na wazee.
24Huchiin, a ngaikheten a kituakin aw ngaihtakin Pathian kiangah, Toupa, nang tuh van te, lei te, tuipi te, a sunga omte tengteng Bawlpa na hi;
24Waliposikia habari hiyo waliungana pamoja katika kumwomba Mungu wakisema, "Bwana, wewe ni Muumba wa mbingu na nchi, bahari na vyote vilivyomo!
25Nang Kha siangthouin, ka pu uh na sikha David kamin, hiai thu na gen ahi: Jentelte bangchin eita a heh uh? Nam chihin bangchin ahia thil phatuam lou a ngaihtuah uh?
25Ndiwe uliyemfanya mtumishi wako, babu yetu Daudi, aseme kwa nguvu ya Roho Mtakatifu: Kwa nini mataifa yameghadhibika? Mbona watu wamefanya mipango ya bure?
26Khovel kumpipate a ding ua, heutute leng a kikhawm ua, Toupa leh a Kris kalhin, chiin.
26Wafalme wa dunia walijiweka tayari, na watawala walikutana pamoja, ili kumwasi Bwana na Kristo wake.
27Hiai khua ah na Sikha Siangthou, na thaunilh Jesu tungah, Herod leh Pontia Pilat toh, Jentelte leh Israel mite toh a kikhawmta uhi.
27"Maana, kwa hakika, ndivyo Herode, Pontio Pilato, watu wa Israeli na watu wa mataifa walivyokutanika papa hapa mjini, kumpinga Yesu Mtumishi wako Mtakatifu ambaye umemtia mafuta.
28Na khut leh na lungsima hongtung dinga na sehkholh peuh hih dingin.
28Naam, walikutana ili wafanye yale ambayo ulikusudia na kupanga tangu mwanzo kwa uwezo wako na mapenzi yako.
29Huchiin, tunah, Toupa, a honvau dan uh ngaiin; na sikhate kiangah na thu hangsantaka gen theihna pia in,
29Lakini sasa, ee Bwana, angalia vitisho vyao. Utuwezeshe sisi watumishi wako kuhubiri neno lako kwa uhodari.
30damsak dinga na khut na jaka, na sikha Jesu mina chiamtehnate leh thillamdangte hih a hih laiin, a chi ua.
30Nyosha mkono wako uponye watu. Fanya ishara na maajabu kwa jina la Yesu Mtumishi wako Mtakatifu."
31Huan, a thum khit un a omkhawmna uh a honglinga, a vek un Kha Siangthouin a hongdim ua, hangtakin Pathian thu a hilhta uh.
31Walipomaliza kusali, pale mahali walipokuwa wamekutanika pakatikiswa, nao wote wakajazwa Roho Mtakatifu. Wote wakaanza kuhubiri neno la Mungu bila uoga.
32Huan, a gingta mipite lungsim munkhat leh ngaihtuah munkhatin a om ua: a lak ua khatin leng a sumneih, keia tuam ahi, a chi kei; thil tengteng a kikop zo jel uhi.
32Jumuiya yote ya waumini ilikuwa moyo mmoja na roho moja. Hakuna hata mmoja aliyekuwa na kitu chochote akakiweka kuwa mali yake binafsi, ila waligawana vyote walivyokuwa navyo.
33Huan, sawltakten thilhihtheihna thupi takin Toupa Jesu thohnawn thu a hilhhilh ua; a vek ua tungah hehpihna thupitak a om hi.
33Mitume walishuhudia kwa nguvu nyingi kufufuka kwa Bwana Yesu, naye Mungu akawapa baraka nyingi.
34Huan, a lak uah leng tasam kuamah a om kei uh; gam khawng, in khawng nei peuhin a juak ua, a thil khotte uh a man a hontawi ua, sawltakte khe bul ah a koih jel uh;
34Hakuna mtu yeyote aliyetindikiwa kitu, maana waliokuwa na mashamba au nyumba walikuwa wanaviuza
35a deihdong ching hun chiatin a hawm chiat jel uhi.
35na kuwakabidhi mitume fedha hizo, zikagawiwa kila mmoja kadiri ya mahitaji yake.
36Huan, Joseph, sawltakten Barnaba a chih uh, (huai min omdan, Khamuanna Ta chihna ahi) Levi chi.Kupra tuikulh mi ahi a, a gam neih a juaka, a man a hontawia, sawltakte khe bulah a koihta.
36Kulikuwa na Mlawi mmoja, mzaliwa wa Kupro, jina lake Yosefu, ambaye mitume walimwita jina Barnaba (maana yake, "Mtu mwenye kutia moyo").
37Kupra tuikulh mi ahi a, a gam neih a juaka, a man a hontawia, sawltakte khe bulah a koihta.
37Yeye pia alikuwa na shamba lake, akaliuza; akazichukua zile fedha, akawakabidhi mitume.