Paite

Swahili: New Testament

John

11

1Huan, mi khat, Mari leh a sanggam Martha omna khua Bethani mi, Lazar, damlouin om a.
1Mtu mmoja aitwaye Lazaro, mwenyeji wa Bethania, alikuwa mgonjwa. (Kijiji cha Bethania kilikuwa mahali walipokaa Maria na Martha, dada yake.
2Mari thau namtui Toupa nilha a sama a khe nulnu, huai sanggampa Lazar ahi, damlou tuh.
2Maria ndiye yule aliyempaka Bwana marashi na kumpangusa kwa nywele zake. Lazaro, kaka yake, ndiye aliyekuwa mgonjwa.)
3Huan, a sanggamnuten Jesu kiang ah, Toupa, ngai dih, na it a china hi, chiin, mi a sawl ua.
3Basi, hao dada wakatuma ujumbe huu kwa Yesu: "Bwana, rafiki yako ni mgonjwa!"
4Huan, Jesun huai a jakin, Hiai natna sihna ding jen ahi kei, Pathian thupina ding ahi jaw. Pathian Tapa, hiai jiaka hihthupi a hih theihna dingin, a chi a.
4Yesu aliposikia hivyo akasema, "Ugonjwa huo hautaleta kifo, ila ni kwa ajili ya kumtukuza Mungu; ameugua ili kwa njia hiyo Mwana wa Mungu atukuzwe."
5Huan, Jesun Martha te, a sanggamnu te, Lazar te a it hi.
5Yesu aliwapenda Martha, dada yake na Lazaro.
6Huaijiakin a china chih a jakin, a omna ngeiah ni nih a tam lai hi.
6Alipopata habari kwamba Lazaro ni mgonjwa, Yesu aliendelea kukaa mahali hapo alipokuwa kwa siku mbili zaidi.
7Huan, huaikhitin a nungjuite kiangah, Judia gamah I hoh nawn ding uh, achia.
7Kisha akawaambia wanafunzi wake, "Twendeni tena Yudea!"
8Huan, nungjuiten a kiangah, Rabbi, tuma zekin Judaten suanga honden a tum ua; huchipi in leng huaiah na hoh nawn himhimdia hia? a chi ua.
8Wanafunzi wakamwambia, "Mwalimu! Muda mfupi tu umepita tangu Wayahudi walipotaka kukuua kwa mawe, nawe unataka kwenda huko tena?"
9Huan, Jesun, Sunin dak kal sawm leh nih a om ka hia? Mi suna a vak leh, a hoi ngei keia, hiai khovel vak a muh jiakin.
9Yesu akajibu, "Je, saa za mchana si kumi na mbili? Basi, mtu akitembea mchana hawezi kujikwaa kwa kuwa anauona mwanga wa ulimwengu huu.
10Ahihhangin, mi jana a vak leh, a hoi naka; amaha vak a om louh jiakin, a chi a, a dawnga.
10Lakini mtu akitembea usiku atajikwaa kwa maana mwanga haumo ndani yake."
11Huai thute a gen a; huan, huai khitin a kiang uah, I lawmpa Lazar a ihmuta; a ihmu phawng halh dingin ka hoh dek ahi, a chi a.
11Yesu alipomaliza kusema maneno hayo, akawaambia, "Rafiki yetu Lazaro amelala, lakini mimi nitakwenda kumwamsha."
12Huchiin, nungjuiten a kiangah, Toupa, a ihmut takleh a halh nawn nake, a chi ua.
12Wanafunzi wake wakamwambia, "Bwana, ikiwa amelala, basi atapona."
13Jesun a sih thu a gen hi; himahleh, amau a khawl sunga aihmut thu a gen hiam a sa ua.
13Wao walidhani kwamba alikuwa amesema juu ya kulala usingizi, kumbe alikuwa amesema juu ya kifo cha Lazaro.
14Huchiin, Jesun chiantakin a kiang uah agen a, Lazar a si ahi.
14Basi, Yesu akawaambia waziwazi, "Lazaro amekufa;
15Huai ka om louh nou jiakin ka kipak hi, na gintak theihna ding un; himahleh a kiangah I hoh ding uh, a chi a.
15Lakini nafurahi kwa ajili yenu kwamba sikuwako huko, ili mpate kuamini. Haya, twendeni kwake."
16Huan, Thoma, Didum a chih un, a nungzuihpihte kiangah, A sihnaa I sih samna dingin i hoh ding uh, a chi a.
16Thoma (aitwaye Pacha) akawaambia wanafunzi wenzake, "Twendeni nasi tukafe pamoja naye!"
17Huchiin, Jesun a tunin, ni li hanah a na omta chih a thei a.
17Yesu alipofika huko alikuta Lazaro amekwisha kaa kaburini kwa siku nne.
18Bethani khua tuh Jerusalem kho kianga om ahi a, ching sawm leh ching nga phiala gamla ahi;
18Kijiji cha Bethania kilikuwa karibu na Yerusalemu umbali upatao kilomita tatu.
19huchiin a sanggampa uh sih tunga khamuangsak dingin Judate tampi Martha leh Mari kiangah a hong ua.
19Wayahudi wengi walikuwa wamefika kwa Martha na Maria kuwafariji kwa kifo cha kaka yao.
20Huan, Marthain Jesu a hong dek chih a jakin a vadawn a; Mari bel in ah a tu lailai a.
20Basi, Martha aliposikia kwamba Yesu alikuwa anakuja, akaenda kumlaki; lakini Maria alibaki nyumbani.
21Huan, Marthain Jesu kiangah, Toupa, hiaia om hi lechin, ka sanggampa si lou ding hi a.
21Martha akamwambia Yesu, "Bwana, kama ungalikuwa hapa, kaka yangu hangalikufa!
22Tun ah leng Pathian kianga na nget peuhmah Pathian in nang honpe ding chih ka thei, a chi a.
22Lakini najua kwamba hata sasa chochote utakachomwomba Mungu, atakupa."
23Jesun a kiangah, Na sanggampa a thounawn ding, a chi a.
23Yesu akamwambia, "Kaka yako atafufuka."
24Marthain a kiangah, Ni tawp ni chiah, thohnawnna ah, a thou nawn ding chih ka thei, a chi a.
24Martha akamjibu, "Najua kwamba atafufuka wakati wa ufufuo, siku ya mwisho."
25Huan, Jesun a kiangah, Kei thohnawnna leh hinna ka hi; kuapeuh hon gingta tuh si mahleh a hing gige ding;
25Yesu akamwambia, "Mimi ndimi ufufuo na uzima. Anayeniamini mimi hata kama anakufa, ataishi:
26A hing peuhmaha, a hon gingta peuhmah khantawnin a si kei ding; huai thu na gingta hia? a chi a.
26na kila anayeishi na kuniamini, hatakufa kamwe. Je, waamini hayo?"
27Aman a kiangah, Gingta e, Toupa; Kris, Pathian Tapa, khovela hongpai dingpa na hi chih ka gingta hi, a chi a.
27Martha akamwambia, "Ndiyo Bwana! Naamini kwamba wewe ndiwe Kristo, Mwana wa Mungu, yule ajaye ulimwenguni."
28Huan huai thu a gen khit takin a kuana, a sanggamnu Mari tuh a sim sapa, Sinsakpa hiaiah a om a, nang honsam hi, a chi a.
28Baada ya kusema hayo, Martha alikwenda kumwita Maria, dada yake, akamwabia faraghani, "Mwalimu yuko hapa, anakuita."
29Huan, aman huai a jak takin, a dingkhe paha, a kiangah a vahoh a.
29Naye aliposikia hivyo, akainuka mara, akamwendea Yesu.
30Jesun tuh khua ah a lut naikei a. Marthain a vadawn laia, a omna ngei ah a om lai hi.
30Yesu alikuwa hajaingia kijijini, ila alikuwa bado mahali palepale Martha alipomlaki.
31Huan, in sunga a khamuana ompih Judaten Mari dingkhe paha, a pawt a muh tak un, hanah kap dinga hoh dek hiin teh, chiin, a jui ua.
31Basi, Wayahudi waliokuwa nyumbani pamoja na Maria wakimfariji walipomwona ameinuka na kutoka nje ghafla, walimfuata. Walidhani alikuwa anakwenda kaburini kuomboleza.
32Huan, Mari Jesu omna a vatunga, a muh takin a khebul ah a khupboha, a kiangah, Toupa, hiaia om hi lechin, ka sanggampa si louding hia, a chi a.
32Basi, Maria alipofika mahali pale Yesu alipokuwa na kumwona, alipiga magoti, akamwabia, "Bwana, kama ungalikuwa hapa, kaka yangu hangalikufa!"
33Huan, Jesun Mari kap leh a honjui Judate kap a mu a, a lung a khoih mahmaha, khain amau hi;
33Yesu alipomwona analia, na wale Wayahudi waliokuja pamoja naye wanalia pia, alijawa na huzuni na kufadhaika moyoni.
34huan, aman amah kaw sial na hi ua? a chi a. Amau a kiangah, Toupa hongpai inla, en in, a chi ua.
34Kisha akawauliza, "Mlimweka wapi?" Wakamwambia, "Bwana, njoo uone."
35Jesu a kapta.
35Yesu akalia machozi.
36Huan, Judaten, En di uh, Lazar it na tele; a chi ua.
36Basi, Wayahudi wakasema, "Tazameni jinsi alivyompenda!"
37Himahleh khenkhatin, Hiai mi, mittopa mit hihvakpan, hiai mi leng a si lou sak theikeia eita? a chi ua.
37Lakini baadhi yao wakasema, "Je, huyu aliyemfumbua macho yule kipofu, hakuweza kumfanya Lazaro asife?"
38Huan, Jesu lungsung nakpi a khoiha om nawnin, han a tungta a. Huai han tuh kokhuk ahi a, suanga sit ahi.
38Basi, Yesu akiwa amehuzunika tena moyoni, akafika kaburini. Kaburi lenyewe lilikuwa pango, na lilikuwa limefunikwa kwa jiwe.
39Jesun, Suang hem un, a chi a. A si sanggamnu Marthain a kiangah, Toupa, tun jaw a namta ding, a sihna ni li a hita ngala, a chi a.
39Yesu akasema, "Ondoeni hilo jiwe!" Martha, dada yake huyo aliyekufa, akamwambia, "Bwana, amekwishaanza kunuka; amekaa kaburini siku nne!"
40Jesun a kiangah, Na gintak leh Pathian thupina na mu ding, kon chi ka hia? a chi a. Huchiin, suang a hem ua.
40Yesu akamwambia, "Je, sikukwambia kwamba ukiamini utaona utukufu wa Mungu?"
41Huan, Jesu a vandak a, Pa ka thu na ngaih khiak jiakin na tungah ka kipak hi.
41Basi, wakaliondoa lile jiwe. Yesu akatazama juu mbinguni, akasema, "Nakushukuru Baba kwa kuwa wewe wanisikiliza.
42Ka thu na ngaikhe jel chih ka thei a; himahleh, mipi, ding diamduamte jiakin hiai ka chi ahi, nang non sawl chih a gintak theihna dingun, a chi a.
42Najua kwamba unanisikiliza daima. Lakini nimesema hayo kwa ajili ya watu hawa waliopo hapa ili wapate kuamini kwamba wewe ndiwe uliyenituma."
43Huan, huchia a pau khitin aw ngaih takin, Lazar, hongpawt in, a chi a, a kikou a.
43Alipokwisha sema hayo, akaita kwa sauti kubwa: "Lazaro! Toka nje!"
44Huan, misi tuh a khut a khe, han puana tuam sain a hong pawtta a, a mai leng kinulna puana tuam ahi a. Jesun a kiang uah, Phel unla, pai sak un, a chi a.
44Huyo aliyekuwa amekufa akatoka nje, huku amefungwa sanda miguu na mikono, na uso wake umefunikwa. Yesu akawaambia, "Mfungueni, mkamwache aende zake."
45Huaijiakin Mari kianga hong; Jesu thil hih mu, Judate a khen tampiin Jesu a gingta uhi;
45Basi, Wayahudi wengi waliokuwa wamefika kwa Maria walipoona kitendo hicho alichokifanya Yesu wakamwamini.
46himahleh, a khen Pharisaite kiangah a vahoh ua, a kianguah Jesu thilhihte a vahilh uh.
46Lakini baadhi yao walikwenda kwa Mafarisayo wakatoa taarifa ya jambo hilo alilofanya Yesu.
47Huchii siampuliante leh Pharisaiten vaihawmte a sam khawm ua, Bangchibangin i hih ding ua? Hiai miin thillamdang tampi a hih ngala.
47kwa hiyo makuhani wakuu na Mafarisayo wakafanya kikao cha Baraza kuu, wakasema, "Tufanye nini? Mtu huyu anafanya ishara nyingi mno.
48Hichi banga i khahzam injaw mi tengtengin amah a gingta ding ua; huan, Rome mite a hongpai ding ua, i mun leh i chite a honlak sak ding uh, a chi ua.
48Tukimwacha tu watu wote watamwamini, nao Waroma watakuja kuliharibu Hekalu letu na taifa letu!"
49Huan, a lak ua mi khat Kaiaphain, huai kuma Siampu Lianpen ahi a, a kiang uah, Nou bangmah theikei uteh.
49Hapo, mmoja wao aitwaye Kayafa, ambaye alikuwa Kuhani Mkuu mwaka huo, akawaambia, "Ninyi hamjui kitu!
50i chi tengteng manthat louhna dingin mi tengteng sika mi khat sih, nou a din a hoih chih leng na ngaihtuah kei uh, a chi a.
50Je, hamwoni kwamba ni afadhali kwenu mtu mmoja afe kwa ajili ya watu, kuliko taifa zima liangamizwe?"
51Huai thu tuh amah phuah tawmin a gen kei, huai kumin Siampu Lianpen ahi a, a chite uh sika Jesu a sih ding a genkhol ahi jaw hi.
51Yeye hakusema hivyo kwa hiari yake mwenyewe, bali kwa vile alikuwa Kuhani Mkuu mwaka huo, alibashiri kwamba Yesu atakufa kwa ajili ya taifa lao;
52Huai chite sik kia ahi keia, Pathian ta khovela dalhte tengteng pawl khata a pi khawmna dingin leng ahi sam hi.
52na wala si kwa ajili yao tu, bali pia apate kuwaleta pamoja watoto wa Mungu waliotawanyika.
53Huchiin, huai ni akipan amah hihlum dingin a kihou jel uh.
53Basi, tangu siku hiyo viongozi wa Wayahudi walifanya mipango ya kumwua Yesu.
54Huaijiakin Jesu Judate lakah a langin a vak nawnta keia, huaia kipanin gamdai jul lama kho khat Ephraim a chih uah a vahoh zota hi; huaiah nugjuite toh a om nilouh ta uhi.
54Kwa hiyo, Yesu hakutembea tena hadharani kati ya Wayahudi, bali alitoka hapo, akaenda mahali karibu na jangwa, katika mji uitwao Efraimu. Akakaa huko pamoja na wanafunzi wake.
55Huan, Judate Paikan Ankuangluina a naita a, mi tampi kisiangsak dingin, gam apat, Paikan Ankuanglui main, Jerusalem khua ah a hohtou ua.
55Sikukuu ya Wayahudi ya Pasaka ilikuwa karibu, na watu wengi walikwenda Yerusalemu ili wajitakase kabla ya sikukuu hiyo.
56Huchiin, Jesu a zong ua, Pathian biakin ah ding kawmin a kihou ua, Bang ahia na gintak uh? Ankuangluina ah a hongkei ding maw? a kichi ua.Siampu liante leh Pharisaiten amah amat theihna ding un kuapeuhin a omna a theih uleh amaute theihsak ding thu a peta uhi.
56Basi, wakawa wanamtafuta Yesu; nao walipokusanyika pamoja Hekaluni wakaulizana, "Mwaonaje? Yaonekana kwamba haji kabisa kwenye sikukuu, au sivyo?"
57Siampu liante leh Pharisaiten amah amat theihna ding un kuapeuhin a omna a theih uleh amaute theihsak ding thu a peta uhi.
57Makuhani wakuu na Mafarisayo walikuwa wametoa amri kwamba mtu akijua mahali aliko Yesu awaarifu kusudi wamtie nguvuni.