Paite

Swahili: New Testament

John

12

1Huan, Paikan Ankuangluina ding ni guk a om nalai a, Jesun misi laka kipana a kaihthoh Lazar omna Bethani khua a hongtung a.
1Siku sita kabla ya sikukuu ya Pasaka, Yesu alifika Bethania alikoishi Lazaro ambaye Yesu alikuwa amemfufua kutoka wafu.
2Huan, huaiah amaha din nitakan a bawl ua, Marthain nek a bawl hi, Lazar bel a ankuang umpih khat ahi a.
2Huko walimwandalia chakula cha jioni, naye Martha akawa anawatumikia. Lazaro alikuwa mmoja wa wale waliokuwa mezani pamoja na Yesu.
3Huan, Mariin buk kimkhat spiknardi that namtui manpha tak a hontawia, Jesu khete a nuih a, a samin a khete a nula, huchiin huai thau gimin in tuh a dimta hi.
3Basi, Maria alichukua chupa ya marashi ya nardo safi ya thamani kubwa, akampaka Yesu miguu na kuipangusa kwa nywele zake. Nyumba yote ikajaa harufu ya marashi.
4Himahleh, Iskariot, Juda, a nungjui khat, a mansak dingpan,
4Basi, Yuda Iskarioti, mmoja wa wale kumi na wawili ambaye ndiye atakayemsaliti Yesu, akasema,
5Hiai thau namtui bangdia makhai zathuma juaka mi gentheite kianga pe zolou uh ahia? a chi a.
5"Kwa nini marashi hayo hayakuuzwa kwa fedha dinari mia tatu, wakapewa maskini?"
6Mi gentheite a khotuah jiaka huai theu gen ahi kei; guta ahi a, dangka ip a kem a, a sunga koih a lak jel jiak ahi jaw.
6Alisema hivyo, si kwa kuwa alijali chochote juu ya maskini, bali kwa sababu alikuwa mweka hazina, na kwa kuwa alikuwa mwizi, mara kwa mara aliiba kutoka katika hiyo hazina.
7Huan, Jesun, Hih hen aw. Ka kivui ni-a dinga a sit a zang ahi, sen hen aw.
7Lakini Yesu akasema, "Msimsumbue huyu mama! Mwacheni ayaweke kwa ajili ya siku ya mazishi yangu.
8Mi gentheite na kiang ua om gige ahi ua, kei bel na kiang ua om gige ding ka hi kei, a chi a.
8Maskini mtakuwa nao siku zote, lakini hamtakuwa nami siku zote."
9Huan, Jesu huaiah a om chih Juda mipi vantangin a na theita ua; huan, a hong ua, Jesu jiak kia hi louin, misi laka kipan a kaihthoh, Lazar mah leng a muh nop jiak uh ahi.
9Wayahudi wengi walisikia kwamba Yesu alikuwa Bethania. Basi, wakafika huko si tu kwa ajili ya kumwona Yesu, ila pia wapate kumwona Lazaro ambaye Yesu alimfufua kutoka wafu.
10Huan, siampu liante Lazar leng hihlum dingin a kikou ua;
10Makuhani wakuu waliamua pia kumwua Lazaro,
11amah jiaka Judate tampiin a langkai san ua, Jesun a gintak jiakun.
11Maana kwa sababu ya Lazaro Wayahudi wengi waliwaasi viongozi wao, wakamwamini Yesu.
12A jingin, ankuangluinaa hong mipi tampiin, Jesu Jerusalem khua ah a hong ding chih a jak un,
12Kesho yake, kundi kubwa la watu waliokuja kwenye sikukuu walisikia kuwa Yesu alikuwa njiani kuja Yerusalemu.
13tum nahte a tawi ua, a dawn dingin a vapawt ua, Hosanna, Toupa mina Israelte Kumpipa hongpai a hampha e, chiin, a kikou ua.
13Basi, wakachukua matawi ya mitende, wakatoka kwenda kumlaki; wakapaaza sauti wakisema: "Hosana! Abarikiwe huyo ajaye kwa jina la Bwana. Abarikiwe mfalme wa Israeli."
14Huan, Jesun sabengtung nou a mu a, a tungah a tuang a.
14Yesu akampata mwana punda mmoja akapanda juu yake kama yasemavyo Maandiko:
15Lau ken, Zion tanu; en in, na Kumpipa, sabengtung nou tunga tuangin, a hongding, chih gelh bangin.
15"Usiogope mji wa Sioni! Tazama, Mfalme wako anakuja, Amepanda mwana punda."
16Huai thute a tungin a nungjuiten a theisiam keu ua; himahleh, Jesu pahtawia a om nungin, a tanchin ah huai thu gelh ahi chih leh, a tungah huai thilte a na hih ngei uh chih a theita ua.
16Wakati huo wanafunzi wake hawakuelewa mambo hayo, lakini Yesu alipokwisha tukuzwa, ndipo walipokumbuka kwamba hayo yalikuwa yameandikwa juu yake, na kwamba watu walikuwa wamemtendea hivyo.
17Huan, Lazar hana kipana a sapkhiakpa, misi laka kipan a kaihthoh laia a kianga mipi omten, a thu a theihpih uhi.
17Kundi la watu wale waliokuwa pamoja naye wakati alipomwita Lazaro kutoka kaburini, akamfufua kutoka wafu, walisema yaliyotukia.
18Huaijiakin ahi, mipiten leng amah a vadawn uh, huai thillamdang a hih chih a thei ngal ua.
18Kwa hiyo umati huo wa watu ulimlaki, maana wote walisikia kwamba Yesu alikuwa amefanya ishara hiyo.
19Huchiin, Pharisaiten, Thei un, bangmah na hih theih louh uh, en un, khovelin amah a juita hi, a kichi ua.
19Basi, Mafarisayo wakaambiana, "Mnaona? Hatuwezi kufanya chochote! Tazameni, ulimwengu wote unamfuata."
20Huan, ankuangluinaa Pathian be dinga hohtoute lakah Grik kuate hiam a om ua;
20Kulikuwa na Wagiriki kadhaa miongoni mwa watu waliokuwa wamefika Yerusalemu kuabudu wakati wa sikukuu hiyo.
21huan huaite Galili gama Bethsaida khuaa mi Philip kiangah a hong ua, a kiangah, Pu, Jesu mu nuam ung, a chi ua, a thum un.
21Hao walimwendea Filipo, mwenyeji wa Bethsaida katika Galilaya, wakasema, "Mheshimiwa, tunataka kumwona Yesu."
22Philipin Andru a honghilha; huan, Andru leh Philipin Jesu a honghilh uh.
22Filipo akaenda akamwambia Andrea, nao wawili wakaenda kumwambia Yesu.
23Huan, Jesun a dawnga, a kiang uah, Mihing Tapa pahtawia a omna ding hun a tungta.
23Yesu akawaambia, "Saa ya kutukuzwa kwa Mwana wa Mtu imefika!
24Chihtaktakin, chihtaktakin kon hilh ahi, Buh tang leia a kiak a, a sih kei leh, amah kiain a om tawntung hi; a sihin bel, tampiin a gah nak hi.
24Kweli nawaambieni, punje ya ngano hubaki punje tu isipokuwa ikianguka katika udongo na kufa. Kama ikifa, basi huzaa matunda mengi.
25Kuapeuh a hinna itin a magsak a; kuapeuh hiai khovela a hinna ngaineuin khantawna hinna ah a vom gige ahi.
25Anayependa maisha yake, atayapoteza; anayeyachukia maisha yake katika ulimwengu huu, atayaweka kwa ajili ya uzima wa milele.
26Kuapeuhin ka na a sep leh honjui hen; ka omna ah ka nasempa leng a om ding hi; kuapeuhin ka na a sep leh Pain amah a pahtawi ding hi.
26Anayetaka kunitumikia ni lazima anifuate, hivyo kwamba popote pale nilipo mimi ndipo na mtumishi wangu atakapokuwa. Mtu yeyote anayenitumikia Baba yangu atampa heshima.
27Tun ah ka kha a mangbang hi; bang ka gen dia? Pa, hiai hun lakah honhondam in, ka chi dia hia? Chi lou e. Hiai dinga tu tana na om hiing a.
27"Sasa roho yangu imefadhaika, na niseme nini? Je, niseme: Baba, usiruhusu saa hii inifikie? Lakini ndiyo maana nimekuja--ili nipite katika saa hii.
28Pa na min pahtawi in, a chi a. Huchiin vana kipanin aw hongsuaka, Ka pahtawita, ka pahtawi lai ding achia a.
28Baba, ulitukuze jina lako." Hapo sauti ikasema kutoka mbinguni, "Nimelitukuza, na nitalitukuza tena."
29Huan, mipi a kianga dingten huai a ja ua, Vanpi ging ahi, a chi ua; midangten, Angelin amah a houpih ahi, a chi ua.
29Umati wa watu waliokuwa wamesimama hapo walisikia sauti hiyo, na baadhi yao walisema, "Malaika ameongea naye!"
30Jesun a dawnga, Huai aw keia dia hongsuak ahi kei, noumaua ding ahi jaw.
30Lakini Yesu akawaambia, "Sauti hiyo haikutokea kwa ajili yangu mimi, ila kwa ajili yenu.
31Tu tuh hiai khovel vaihawmsakna hun ahi; tuin hiai khovel lal paih khiak ahi ding.
31Sasa ndio wakati wa ulimwengu huu kuhukumiwa; sasa mtawala wa ulimwengu huu atapinduliwa.
32Huan, leia kipana khai kanga ka om leh, mi tengteng kei mah kiangah ka hip ding, a chi a.
32Nami nitakapoinuliwa juu ya nchi nitamvuta kila mmoja kwangu."
33Huai thu tuh a sih dingdan theihsakna dia a gen ahi.
33(Kwa kusema hivyo alionyesha atakufa kifo gani).
34Huan, mipin a kiangah, Kris khantawnin a om ding chih dan bu ah ka thei uh, Nang, Mihing Tapa khaikanga om ding ahi, bangchi chiha chi na hia? Huai Mihing Tapa tuh kua ahia? a chi ua, adawng ua.
34Basi, umati huo ukamjibu, "Sisi tunaambiwa na Sheria yetu kwamba Kristo atadumu milele. Wawezaje basi, kusema ati Mwana wa Mtu anapaswa kuinuliwa? Huyo Mwana wa Mtu ni nani?"
35Huan, Jesun a kianguah, Vak na lak uah sawt lou a omtadih hi. Vak na neih lai un vak ah khosa un, huchilouin jaw mialin honlap ding hi. Kuapeuh miala khosain a paina a theikei.
35Yesu akawaambia, "Mwanga bado uko nanyi kwa muda mfupi. Tembeeni mngali mnao huo mwanga ili giza lisiwapate; maana atembeaye gizani hajui aendako.
36Vak na neih lai un vak gingta un, vak tate na honghih theihna dingun, a chi a. Huai thute Jesun a gena; huan, apaia, amuh louh dingun a buta.
36Basi, wakati mnao huo mwanga uaminini ili mpate kuwa watu wa mwanga." Baada ya kusema maneno hayo, Yesu alikwenda zake na kujificha mbali nao.
37A ma uah huchi tela tam thillamdang hih mahleh, amah a gingta tuan kei ua:
37Ingawa Yesu alifanya miujiza hii yote mbele yao, wao hawakumwamini.
38Toupa, ka thu gen uh kuan ahia gingta? Toupa khut leng kua kiangah ahia latsaka a om? chih jawlnei Isai thugen a tun na dingin.
38Hivyo maneno aliyosema nabii Isaya yakatimia: "Bwana, nani aliyeuamini ujumbe wetu? Na uwezo wa Bwana umedhihirishwa kwa nani?"
39Hiai jiakin ahi a gintak theih louh uh, Isaiin.
39Hivyo hawakuweza kuamini, kwani Isaya tena alisema:
40Aman a mit uh a hihtaw a, a lung tang uh a hihkhauh a; huchilou injaw a mit un a mu khading ua, a lungtang un a thei kha ding uh, huan, hongkihei nawn khading ua, ken amau ka hihdam khading hi, chih, a gen nawn jiakin.
40"Mungu ameyapofusha macho yao, amezipumbaza akili zao; wasione kwa macho yao, wasielewe kwa akili zao; wala wasinigeukie, asema Bwana, ili nipate kuwaponya."
41Isaiin a thupina a muh leh a tanchin thu agen jiakin huai thu a gen hi.
41Isaya alisema maneno haya kwa sababu aliuona utukufu wa Yesu, akasema habari zake.
42Himahleh, heutute laka nangawn tampiin Jesu a gingta ua; a hihhangin Pharisaite jiakin a kipulak nuam kei uh, huchilou injaw kikhopna in ah a nong kha ding uh:
42Hata hivyo, wengi wa viongozi wa Wayahudi walimwamini Yesu. Lakini kwa sababu ya Mafarisayo, hawakumkiri hadharani kwa kuogopa kwamba watatengwa na sunagogi.
43Pathian pahtawina sangin mihing pahtawina a deih zo ngal ua.
43Walipendelea kusifiwa na watu kuliko kusifiwa na Mungu
44Huan, Jesu a kikou a, Kuapeuh hon gingta tuh kei gingta ahi kei, honsawlpa gingta ahi jaw.
44Kisha Yesu akasema kwa sauti kubwa, "Mtu aliyeniamini, haniamini mimi tu, ila anamwamini pia yule aliyenituma.
45Kuapeuh kei hon mu tuh honsawlpa mu ahi.
45Anayeniona mimi anamwona pia yule aliyenituma.
46Vak dia khovela hong ka hi a, kuapeuh kei hon gingta tuh miala a om louhna ding in.
46Mimi ni mwanga, nami nimekuja ulimwenguni ili wote wanaoniamini wasibaki gizani.
47Kuapeuh ka thu gen jain, gingta kei mahleh, ken siam louh ka tangsak kei: khovel siam louh tangsak dinga hong ka hi kei a, khovel humbit dinga hong ka hi zo ngala.
47Anayeyasikia maneno yangu lakini hayashiki mimi sitamhukumu; maana sikuja kuhukumu ulimwengu bali kuuokoa.
48Kuapeuh kei hondeih lou a, ka thu gente pom louin, siamlouh tangsak khat a nei ahi, ka thu gen, huai thu mahmahin, ni tawpni chiah amah siamlouh a tang sak ding hi.
48Asiyeyashika maneno yangu anaye wa kumhukumu: neno lile nililosema ni hakimu wake siku ya mwisho.
49Keimah phuahtawmin ka gen ngal keia; Pa honsawlpan ka gen ding leh ka hih ding thu a honpe jaw ahi.Amah thupiak khantawna hinna ahi chih ka thei; huaijiakin thu ka gen, Pa honhilh bang jelin ka gen ahi, a chi a.
49Mimi sikunena kwa mamlaka yangu mwenyewe, ila Baba aliyenituma ndiye aliyeniamuru niseme nini na niongee nini.
50Amah thupiak khantawna hinna ahi chih ka thei; huaijiakin thu ka gen, Pa honhilh bang jelin ka gen ahi, a chi a.
50Nami najua kuwa amri yake huleta uzima wa milele. Basi, mimi nasema tu yale Baba aliyoniagiza niyaseme."