1Huan, pharisaite laka mi, a min Nikodem, judate vaihawmpa khat a oma,
1Kulikuwa na kiongozi mmoja Myahudi, wa kikundi cha Mafarisayo, jina lake Nikodemo.
2Huai mi tuh janin Jesu kiangah a honga, a kiangah, Rabbi, Pathiana kipana hongpai sinsakpa na hi chih ka thei uhi. Pathian a kianga a om keiin hiai thil lamdang na hih bang kuamahin a hih theikei ding, a chi a.
2Siku moja alimwendea Yesu usiku, akamwambia, "Rabi, tunajua kwamba wewe ni mwalimu uliyetumwa na Mungu, maana hakuna mtu awezaye kufanya ishara unazozifanya Mungu asipokuwa pamoja naye."
3Huan, Jesun a dawnga, a kiangah, Chihtaktakin, chihtaktakin ka honhilh ahi, Mi kuapeuh a pian thak kei aleh Pathian gam a mu theikei, a chi a.
3Yesu akamwambia, "Kweli nakwambia, mtu asipozaliwa upya hataweza kuuona ufalme wa Mungu."
4Nikodemin a kiangah, Mi a tek nungin bang chin a piang thei dia? A nu gila nihvei lutin a piang thei dia hia? a chi a.
4Nikodemo akamwuliza, "Mtu mzima awezaje kuzaliwa tena? Hawezi kuingia tumboni mwa mama yake na kuzaliwa mara ya pili!"
5Jesun a dawnga, Chihtaktakin, chihtaktakin kon hilh ahi, kuapeuhmah tuia leh Khaa piang ahih kei leh Pathian gam a lut theikei.
5Yesu akamjibu, "Kweli nakwambia, mtu asipozaliwa kwa maji na Roho, hawezi kamwe kuingia katika ufalme wa Mungu.
6Sa suan peuhmah sa ahi a, Kha suan peuhmah kha ahi.
6Mtu huzaliwa kimwili kwa baba na mama, lakini huzaliwa kiroho kwa Roho.
7Na pianthak ngeingei ding ahi konchih lamdang sa ken.
7Usistaajabu kwamba nimekwambia kuwa ni lazima kuzaliwa upya.
8Huih a utnana ah a nunga, a ging na ja hi, himahleh koia kipana hongpai ahia, koiah ahia a hoh ding chihleng na thei ngal keia; kuapeuh Khaa piang tuh huchibang mahin a om hi, a chi a.
8Upepo huvuma kuelekea upendako; waisikia sauti yake, lakini hujui unakotoka wala unakokwenda. Ndivyo ilivyo kwa mtu aliyezaliwa kwa Roho."
9Huan, Nikodemin a dawnga, a kiangah, Hiai bangchin a om thei dia? a chi a.
9Nikodemo akamwuliza, "Mambo haya yanawezekanaje?"
10Jesun a dawnga, a kiangah, Israelte sinsakpa na hi ngala, huaite na theikei maw?
10Yesu akamjibu, "Je, wewe ni mwalimu katika Israel na huyajui mambo haya?
11Chihtaktakin, chihtaktakin ka honhilh ahi, kou ka theih uh ka gen ua, ka muh uh ka theisak uh; himahleh, ka thu theihsak uh na sang ngal kei uhi.
11Kweli nakwambia, sisi twasema tunayoyajua na kushuhudia tuliyoyaona, lakini ninyi hamkubali ujumbe wetu.
12Khovela thil ka honhilh bawn ging louten, vana thil honhilh leng bang chin na taksang ding ua?
12Ikiwa nimewaambieni mambo ya kidunia nanyi hamniamini, mtawezaje kuamini nikiwaambieni mambo ya mbinguni?
13Van ah kuamah a kah ngei kei a, van akipana hongsukpa kia loungal, Mihing Tapa vana ompa tuh.
13Hakuna mtu aliyepata kwenda juu mbinguni isipokuwa Mwana wa Mtu ambaye ameshuka kutoka mbinguni.
14Huan, Mosiin gamdaia gul a khaikang bangin, Mihing Tapa khai kangin a om ding ahi;
14"Kama vile Mose alivyomwinua juu nyoka wa shaba kule jangwani, naye Mwana wa Mtu atainuliwa juu vivyo hivyo,
15kuapeuh a gingtain amah jiaka khantawna hinna a neihna dingin.
15ili kila anayemwamini awe na uzima wa milele.
16Banghanghiam chih leh, Pathianin khovel a it mahmah a, huchin a Tapa tang neihsun a pia hi, huchia kuapeuh amah gingta tuh a man that louh a, khantawna hinna a neih jawkna dingin.
16Maana Mungu aliupenda ulimwengu hivi hata akamtoa Mwana wake wa pekee, ili kila amwaminiye asipotee, bali awe na uzima wa milele.
17Khovel siam louh tangsak dingin Pathianin Tapa khovel ah a sawl kei, khovel amah vanga a hin theihna ding in a sawl ahi jaw hi.
17Maana Mungu hakumtuma Mwanae ulimwenguni ili auhukumu ulimwengu, bali aukomboe ulimwengu.
18Kuapeuh amah gingta tuh siam louhin a om kei ding a, kuapeuh a gingta lou tuh, tu a patin siam louhin a om pah ngal hi, Pathian Tapa tang neih sun min a gintak louh jiakin.
18"Anayemwamini Mwana hahukumiwi; asiyemwamini amekwisha hukumiwa kwa sababu hakumwamini Mwana wa pekee wa Mungu.
19Hiai tuh siam louhna ahi, vak khovel ah a honga, himahleh min vak sangin mial a it jaw uh, a thilhihte uh a gitlouh jiakin.
19Na hukumu yenyewe ndiyo hii: Mwanga umekuja ulimwenguni lakini watu wakapenda giza kuliko mwanga, kwani matendo yao ni maovu.
20Kuapeuh thil gilou hih in vak a ho nak, vakah leng a hongpai kei hi; huchi lou in jaw a thilhihte a lang kha ding.
20Kila mtu atendaye maovu anauchukia mwanga, wala haji kwenye mwanga, maana hapendi matendo yake maovu yamulikwe.
21Ahihhangin, kuapeuh a dik hih tuh a thilhihte Pathian jiaka hih a ahi chih a latna dingin, vakah a hong jel hi, a chi a.
21Lakini mwenye kuuzingatia ukweli huja kwenye mwanga, ili matendo yake yaonekane yametendwa kwa kumtii Mungu."
22Huai khitin Jesu a nungjuite toh Judia gamah a hoh ua, huaiah Jesu a kiang uah a om nilouh a, a baptis jel hi.
22Baada ya hayo, Yesu alifika mkoani Yudea pamoja na wanafunzi wake. Alikaa huko pamoja nao kwa muda, akibatiza watu.
23Johan inleng Ainon ah, Salim kho kiangah a baptis sama, huaia tui a tam jiakin; huan, mi a hong ua, baptisma a tang duamduam uhi.
23Yohane pia alikuwa akibatiza watu huko Ainoni, karibu na Salemu, maana huko kulikuwa na maji mengi. Watu walimwendea, naye akawabatiza.
24Huchihlaiin Johan suangkulh ah a khum nai ngal kei ua.
24(Wakati huo Yohane alikuwa bado hajafungwa gerezani.)
25Huan, Johan nungjuite leh Juda khat, silsiang thu ah a na kisel ua.
25Ubishi ulitokea kati ya baadhi ya wanafunzi wa Yohane na Myahudi mmoja kuhusu desturi za kutawadha.
26Huan, Johan kiangah a hongpai ua, a kiangah, Rabbi, Jordan gala na kianga om, a thu mi na theihsakpan, ngai dih, huai min mi a baptis a, mi tengteng a kiangah a hongpai uhi, a chi ua.
26Basi, wanafunzi hao wakamwendea Yohane na kumwambia, "Mwalimu, yule mtu aliyekuwa pamoja nawe ng'ambo ya Yordani na ambaye wewe ulimshuhudia, sasa naye anabatiza, na watu wote wanamwendea."
27Johanin a dawng a, Mihingin bangmah a nei theikei uh, vana mi piak a hih kei leh.
27Yohane akawaambia, "Mtu hawezi kuwa na kitu asipopewa na Mungu.
28Kei Kris ka hi kei hi, a maa mi sawl ka hi, ka chih, noumau mahmah hontheihpihte na hi uhi.
28Nanyi wenyewe mwaweza kushuhudia kuwa nilisema: Mimi siye Kristo, lakini nimetumwa ili nimtangulie!
29Mou neipa tuh mou pasal ahi; himahleh, mouneipa lawm dinga a thu ja tuh, mouneipa aw jiakin a kipak mahmah a; en un ka kipahna a tungta ahi.
29Bibiarusi ni wake bwanaarusi, lakini rafiki yake bwana arusi, anayesimama na kusikiliza, hufurahi sana anapomsikia bwana arusi akisema. Ndivyo furaha yangu ilivyokamilishwa.
30Amah a lian semsem dinga, kei bel ka kiam semsem ding hi.
30Ni lazima yeye azidi kuwa maarufu, na mimi nipungue.
31Tung lama kipana hongpai jaw mi tengteng sanga tungnungpen ahi; leia kipan bel leia ahi a, lei thu a gen nak, vana kipana hongpaipa jaw mi tengteng sanga tungnungpen ahi.
31"Anayekuja kutoka juu ni mkuu kuliko wote; atokaye duniani ni wa dunia, na huongea mambo ya kidunia. Lakini anayekuja kutoka mbinguni ni mkuu kuliko wote.
32A muh leh a jak peuh a theisak jel ahi; kuamahin a thu theihsak a taksang kei uh.
32Yeye husema yale aliyoyaona na kuyasikia, lakini hakuna mtu anayekubali ujumbe wake.
33A thu theihsak taksangin, Pathian mi diktat ahi, chih a kipsak hi.
33Lakini mtu yeyote anayekubali ujumbe wake anathibitisha kwamba Mungu ni kweli.
34Pathian sawlin Pathian thu a gen hi; aman jaw teh chitchiatin Kha a pe ngal keia.
34Yule aliyetumwa na Mungu husema maneno ya Mungu, maana Mungu humjalia mtu huyo Roho wake bila kipimo.
35Pan Tapa a it a, a khutah bangkim a vekin a peta hi.Kuapeuh Tapa gingtain khantawna hinna a nei; himahleh, Tapa thu manglouin hinna a neikei ding a, Pathian hehna a tungah a om jaw hi, a chi a.
35Baba anampenda Mwana na amemkabidhi vitu vyote.
36Kuapeuh Tapa gingtain khantawna hinna a nei; himahleh, Tapa thu manglouin hinna a neikei ding a, Pathian hehna a tungah a om jaw hi, a chi a.
36Anayemwamini Mwana anao uzima wa milele; asiyemtii Mwana hatakuwa na uzima wa milele, bali ghadhabu ya Mungu hubaki juu yake."