1Huai thilte khitin, Jesu Galili dil Tiberia dil kichi gal leh lamah a paita a.
1Baada ya hayo, Yesu alivuka ziwa Galilaya (au Ziwa Tiberia).
2Huan, damloute tunga thillamdang a hihte a muh jiakun mipi tampiin amah a jui ua.
2Umati mkubwa wa watu ulimfuata kwa sababu watu hao walikuwa wameona ishara alizokuwa akifanya kwa kuwaponya wagonjwa.
3Huan, Jesu tangah a hohtoua, huai ah a nungjuite kiangah a tu a.
3Yesu alipanda mlimani, akaketi pamoja na wanafunzi wake.
4Huan, Paikan Ankuangluina, Judate Ankuangluina a naita hi.
4Sikukuu ya Wayahudi iitwayo Pasaka ilikuwa imekaribia.
5Huan, Jesu a daka, mipi tampiin a kiang lam honjuanin a mu a, Philip kiangah, Hiaite nekding tanghou koia kipanin ahia i lei ding? a chi a.
5Basi, Yesu na alipotazama na kuona umati wa watu ukija kwake, alimwambia Filipo, "Tununue wapi mikate ili watu hawa wapate kula?"
6Huai thu tuh amah zeet na dia a gen ahi, a hih ding lah aman a theigige ngala.
6(Alisema hivyo kwa kumjaribu Filipo, kwani alijua mwenyewe atakalofanya.)
7Huan, Philipin a kiangah, Mi chihin tawm chika a tan chiat ding uleng, makhai zanih man tanghouin a chin kei ding, a chi a, a dawnga.
7Filipo akamjibu, "Mikate ya denari mia mbili za fedha haiwatoshi watu hawa hata kama ila mmoja atapata kipande kidogo tu!"
8Huan, a nungjuite laka khat, Simon Peter anau Andru in a kiangah,
8Mmoja wa wanafunzi wake aitwaye Andrea, nduguye Simoni Petro, akamwambia,
9Barli-buh tanghou phel nga leh ngasa nih nei pasal naupang khat hiaiah a om hi; himahleh, mi hiai zah lawmlawm lakah huaite bangtham hi ding ahia? a chi a.
9"Yupo hapa mtoto mmoja aliye na mikate mitano ya shayiri na samaki wawili; lakini hivi vyatosha nini kwa watu wengi kama hawa?"
10Huan, Jesun, Mite tu sak un, a chi a. Huan, huai lai ah loupa tampi a om hi. Huchiin, pichingte a tuta ua, a tam lam uh tuh sangnga khawng ahi uh.
10Yesu akasema, "Waketisheni watu." Palikuwa na nyasi tele mahali hapo. Basi, watu wakaketi, jumla yapata wanaume elfu tano.
11Huan, Jesun tanghou phelte a la a, kipahthu a gen khit in a tute kiangah a hawma, huchi mahbangin ngasate leng a deih hun un a hawm sam hi.
11Yesu akaitwaa ile mikate, akamshukuru Mungu, akawagawia watu waliokuwa wameketi; akafanya vivyo hivyo na wale samaki, kila mtu akapata kadiri alivyotaka.
12Huan, a kham nung un, a nungjuite kiangah, Bangmah mang lou dingin a nente luak un, a chi a.
12Watu waliposhiba Yesu akawaambia wanafunzi wake, "Kusanyeni vipande vilivyobaki visipotee."
13Huchiin, a luak ua, barli-buh tanghou phel nga nete nek bang nentein bawm sawm leh nih a hihdim uhi.
13Basi, wakakusanya vipande vya mikate ya shayiri walivyobakiza wale watu waliokula, wakajaza vikapu kumi na viwili.
14Huan, miten thillamdang a hih a muh tak un, Hiai mi, jawlnei, khovel a hong dingpa a nahi ngei e, a chi uh.
14Watu walipoiona ishara hiyo aliyoifanya Yesu, wakasema, "Hakika huyu ndiye nabii anayekuja ulimwenguni."
15Huchiin, amah tuh kumpipa dia bawl dinga mat teitei tumin hongkuan a tum uh chih Jesun a theia, tangah amah kia in a pai tuam nawnta hi.
15Yesu akajua ya kuwa watu walitaka kumchukua wamfanye mfalme, akaondoka tena, akaenda mlimani peke yake.
16Huan, ni taklamin, a nungjuite dil ah a pai suk ua;
16Ilipokuwa jioni wanafunzi wake waliteremka hadi ziwani,
17Longah a tuang ua, dil ah Kapernaum khua a juan ua. Huan, khua a mial ta a, Jesu lah a kiang uah a hongtung nai keia.
17wakapanda mashua ili wavuke kwenda Kafarnaumu. Giza lilikuwa limeingia, na Yesu alikuwa hajawafikia bado.
18Huihpi hat tak a nun jiakin tui a kihawt sang hulhul ngala.
18Ziwa likaanza kuchafuka kwa sababu upepo mkali ulikuwa unavuma.
19Huan, ching sawmnih lah ching nga hiam, ching sawmthum hiam a kalh un, Jesu dil tungah khea paia, long honnaihin a mu ua, a lauta uh.
19Wanafunzi walipokuwa wamekwenda umbali wa kilomita tano au sita, walimwona Yesu akitembea juu ya maji, anakaribia mashua; wakaogopa sana.
20Himahleh, aman a kiang uah, Keimah ka hi, lau kei un, a chi a.
20Yesu akawaambia, "Ni mimi, msiogope!"
21Huchiin, longah tuansak a utta uhi; huan, longin, a zot gam uh a pha pahta hi.
21Walifurahi kumchukua Yesu katika mashua; na mara mashua ikawasili nchi kavu walipokuwa wanakwenda.
22A jingin dil gal leh lama mipi dingten, long khat lou ngal long dang a om keia, Jesu a nungjuite toh longah a tuang ton keia, a nungjuite amau kiain a pai uh chih a thei ua.
22Kesho yake umati wa watu wale waliobaki upande wa pili wa ziwa walitambua kwamba kulikuwa na mashua moja tu pale, na Yesu hakuingia katika mashua pamoja na wanafunzi wake, ila wanafunzi hao walikuwa wamekwenda zao peke yao.
23Himahleh Toupan kipahthu a gen nunga, tanghou a nekna mun kiang uah, Tiberia khua akipanin long neu chikchik a hongtung uhi.
23Mashua nyingine kutoka Tiberia zilifika mahali hapo watu walipokula ile mikate, Bwana alipokwisha mshukuru Mungu.
24Huchiin, mipin Jesu leh a nungjuite a om takei uh chih a theih un, amau leng long neute ah a tuang ua, Jesu zongin Kapernaum khua a hong tung ua.
24Basi, hao watu walipogundua kwamba Yesu na wanafunzi wake hawakuwapo mahali hapo, walipanda mashua, wakaenda Kafarnaumu wakimtafuta.
25Huan, dil gala a hongmuh un a kiangah, Rabbi, chikin ahia hiai lam nong tun? a chi ua.
25Wale watu walipomkuta Yesu ng'ambo ya pili wa ziwa walimwuliza, "Mwalimu, ulifika lini hapa?"
26Huan, Jesun a kiang uah, Chihtaktakin, chihtaktakin kon hilh ahi, thillamdangte na muh jiak ua honzong na hi kei ua, tanghou phel na nek vah jiak uh ahi jaw.
26Yesu akawajibu, "Kweli nawaambieni, mnanitafuta si kwa kuwa mmeona ishara, bali kwa sababu mlikula ile mikate mkashiba.
27An mang thei phet zongin phiaphia kei un, khantawna hin phaa om gige ding an, Mihing Tapain a honpiak ding zong in phe jaw un; Pa Pathianin amah achiamtehta ngala, a chi a, a dawnga.
27Msikishughulikie chakula kiharibikacho; kishugulikieni chakula kidumucho kwa ajili ya uzima wa milele. Mwana wa Mtu ambaye Baba amemthibitisha atawapeni chakula hicho."
28Huan, amau a kiangah, Pathian na ka sep theihna dingun thil banga hia ka hih ding uh? a chi ua.
28Wao wakamwuliza, "Tufanye nini ili tuweze kuzitenda kazi za Mungu?"
29Huan, Jesun a kianguah, Pathian nasep hiai ahi, a misawl gingta le uchin, a chi a, a dawnga.
29Yesu akawajibu, "Hii ndiyo kazi anayotaka Mungu muifanye: kumwamini yule aliyemtuma."
30Huan, amau a kiangah, Chiamtehna bang ahia na hih ding, ka muh ua nang kon gintak theihna ding un? Thil bang ahia na hih ding?
30Hapo wakamwambia, "Utafanya ishara gani ili tuione tupate kukuamini? Utafanya kitu gani?
31Ka pipute un gamdai ah manna a ne ua, Van akipanin a kiang uah amau tanghou nek ding a pia, chih gelh bangin, a chi ua.
31Wazee wetu walikula mana kule jangwani, kama yasemavyo Maandiko: Aliwalisha mkate kutoka mbinguni."
32Huan, Jesun a kiang uah, Chihtaktakin, chihtaktakin kon hilh ahi, Van akipana tanghou na muh pen uh Mosi honpiak ahi kei, ka Pan tuh vana kipanin tanghou tanghou tak nou a honpia ahi.
32Yesu akawaambia, "Kweli nawaambieni, Mose hakuwapeni mkate kutoka mbinguni; Baba yangu ndiye awapaye ninyi mkate halisi kutoka mbinguni.
33Pathian tanghou tuh van akipanin a hongpaisuka, khovel kianga hinna pepa ahi, a chi a.
33Maana mkate wa Mungu ni yule ashukaye kutoka mbinguni na aupaye ulimwengu uzima."
34Huan, amau a kiangah, Toupa, huai tanghou honpe gige in, a chi ua.
34Basi, wakamwambia, "Mheshimiwa, tupe daima mkate huo."
35Huan, Jesun a kiang uah, Keimah tuh hinna tanghou ka hi; kuapeuh ka kianga hongpai a gilkial kei ding, kuapeuh kei hon gingta tuh chik mahchiangin a dangtak kei ding.
35Yesu akawaambia, "Mimi ndimi mkate wa uzima. Anayekuja kwangu hataona njaa; anayeniamini hataona kiu kamwe.
36Himahleh, nou non muh un leng non gingta sam kei uh chih kon hilhta ve.
36Lakini niliwaambieni kwamba ingawa mmeniona hamniamini.
37Pain honpiak peuhmah ka kiangah a hongpai vek ding uh; kuapeuh ka kianga hongpai tuh ka delh khe kei hial ding hi.
37Wote anaonipa Baba watakuja kwangu; nami sitamtupa nje yeyote anayekuja kwangu,
38Kei deihlam hih dingin van akipana hongpaisuk ka hi kei a, honsawlpa deihlam hih dinga hongpaisuk ka hi zo ngala.
38kwani nimeshuka kutoka mbinguni si kwa ajili ya kufanya matakwa yangu, ila kutimiza matakwa ya yule aliyenituma.
39Hiaipen hon sawlpa deihlam ahi, aman honpiak tengteng bangmah mangsak louin, ni tawpni chiang in kai thou zo leng.
39Na matakwa ya yule aliyenituma ndiyo haya: nisimpoteze hata mmoja kati ya wale alionipa, ila niwafufue wote Siku ya mwisho.
40Huan, hiaipen ka Pa deihlam ahi, kuapeuh Tapa mu a, gingtain khantawna hinna a neih; huan, ken ni tawpni chiangin amah ka kai thou ding, a chi a.
40Maana anachotaka Baba yangu ndicho hiki: kila amwonaye Mwana na kumwamini awe na uzima wa milele; nami nitamfufua Siku ya mwisho."
41Huan, Van akipana tanghou hongpai suk ka hi, a chih jiak in, Judate a tungah a phun ua.
41Basi, Wayahudi wakaanza kunung'unika kwa kuwa alisema: "Mimi ni mkate ulioshuka kutoka mbinguni."
42Hiai mi Joseph ta Jesu ahi ka hia, a nu leh a pa leng i theih? Van akipana hongpai suk ka hi, chih bangchi chiha chi ahia le? a chi ua.
42Wakasema, "Je, huyu si mwana wa Yosefu? Tunawajua baba yake na mama yake! Basi, anawezaje kusema kwamba ameshuka kutoka mbinguni?"
43Huan, Jesun a kiang uah, Phun phun dah un.
43Yesu akawaambia, "Acheni kunung'unika ninyi kwa ninyi.
44Pa honsawlpan a hip kei leh kuamah ka kiangah a hongpai theikei; huan, ken ni tawpni chiah a hongpai tuh ka kai thou ding.
44Hakuna mtu awezaye kuja kwangu, Baba aliyenituma asipomvuta kwangu; nami nitamfufua mtu huyo Siku ya mwisho.
45Jawlneite laibu ah, Pathian hilhin a om vek ding uh, chih gelh ahi. Mi chih Pa thu jaa thei peuhmah ka kiangah a hongpai nak.
45Manabii wameandika: Watu wote watafundishwa na Mungu. Kila mtu anayemsikia Baba na kujifunza kutoka kwake, huja kwangu.
46Kuamahin Pa a mu ngei ka chi kei, Pathiana kipan pen loungal in; aman jaw Pa a mu hi.
46Hii haina maana kwamba yupo mtu aliyemwona Baba, isipokuwa yule aliyetoka kwa Mungu; huyo ndiye aliyemwona Baba.
47Chihtaktakin, chihtaktakin kon hilh ahi, kuapeuh a gingtain khantawn hinna a nei hi.
47Kweli, nawaambieni, anayeamini anao uzima wa milele.
48Keimah tuh hinna tanghou ka hi.
48Mimi ni mkate wa uzima.
49Na pipute un gamdai ah manna a ne ua, a si uhi.
49Wazee wenu walikula mana kule jangwani, lakini walikufa.
50Hiai i chih van akipana tanghou hongpai sukpen ahi, min a nek ua, a sih louhna dingun.
50Huu ndio mkate kutoka mbinguni; mkate ambao anayekula hatakufa.
51Keimah tuh vana kipana tanghou hing hongpai suk ka hi, kuapeuhin hiai tanghou a nek leh khantawnin a hong gige ding; ahi, khovel hinna dia ka piak ding tanghou tuh ka sa ahi, a chi a.
51Mimi ni mkate hai ulioshuka kutoka mbinguni. Mtu yeyote akila mkate huu ataishi milele. Na mkate nitakaompa ni mwili wangu ninaoutoa kwa ajili ya uzima wa ulimwengu."
52Huchiin, Judate a kisel ua, Hiai min bangchin a sa nek dingin honpe thei ding ahia? a chi ua.
52Ndipo Wayahudi wakaanza kubishana kati yao:
53Huan, Jesun a kiang uah, Chihtaktakin, chihtaktakin kon hilh ahi, Mihing Tapa sa na nek ua, a sisan leng na dawn kei uleh, noumauin hinna neilou hive uchin.
53Yesu akawaambia, "Kweli nawaambieni, msipokula mwili wa Mwana wa Mtu na kunywa damu yake, hamtakuwa na uzima ndani yenu.
54Kuapeuh ka sa ne a, ka sisan dawnin khantawna hinna a nei; huan, nitawp ni chiang in amah ka kai thou ding.
54Anayekula mwili wangu na kunywa damu yangu anao uzima wa milele nami nitamfufua siku ya mwisho.
55Ka sa jaw an ahi taktaka, ka sisan leng dawnding ahi taktak.
55Maana mwili wangu ni chakula cha kweli, na damu yangu ni kinywaji cha kweli.
56Kuapeuh ka sa ne a, ka sisan dawn tuh, keimah ah a om gige a, keimah leng amah ah ka om gige ahi.
56Aulaye mwili wangu na kunywa damu yangu, akaa ndani yangu, nami nakaa ndani yake.
57Pa hingin honsawla, Pa jiaka hing ka hih mahbangin, kuapeuhmah kei honne tuh keimah jiakin amah leng a hing ding.
57Baba aliye hai alinituma, nami naishi kwa sababu yake; vivyo hivyo anilaye mimi ataishi pia kwa sababu yangu.
58Hiai tuh van akipana tanghou hongpai suk ahi; na pipute un tanghou a ne ua, a sih bang ujaw ahi kei; kuapeuh hiai tanghou ne tuh khantawnin a hing gige ding, a chi a.
58Basi, huu ndio mkate ulioshuka kutoka mbinguni; si kama mana waliyokula babu zetu, wakafa. Aulaye mkate huu ataishi milele."
59Huai thute kikhopnain ah a gen a, Kapernaum khuaa thu a hilh laiin.
59Yesu alisema hayo alipokuwa akifundisha katika sunagogi kule Kafarnaumu.
60Huchiin, a nungjuite a khen tampiin, huai a jak un, Hiai thu haksa ahi, kuan a lasawn theidia? a chi ua.
60Basi, wengi wa wafuasi wake waliposikia hayo, wakasema, "Haya ni mambo magumu! Nani awezaye kuyasikiliza?"
61Huchiin, huai thu ah a nungjuite a phun uh chih Jesun a lungsimin a theia, a kiang uah, Hiai thun honhih lunghilou hia?
61Yesu alijua bila kuambiwa na mtu kwamba wanafunzi wake walikuwa wananung'unika juu ya jambo hilo, akawauliza, "Je, jambo hili linawafanya muwe na mashaka?
62Mihing Tapa tumalama a omna ngeia kah tou mu le uchin, bang na chih ding ua?
62Itakuwaje basi, mtakapomwona Mwana wa Mtu akipanda kwenda kule alikokuwa kwanza?
63Hinna pia jaw kha ahi a, sa jaw bangmah din a phatuam kei; na kiang ua thu ka gente tuh kha ahi a, hinna leng ahi.
63Roho ndiye atiaye uzima; binadamu peke yake hawezi. Maneno niliyowaambieni ni Roho, ni uzima.
64Himahleh, na lak uah a khen gingta lou om nahi uh, achia. Jesun a gingta loute leh a mansak dingpa a tunga kipanin a theigige ngala.
64Hata hivyo, wako baadhi yenu wasioamini." (Yesu alisema hivyo kwani alijua tangu mwanzo ni kina nani wasioamini, na pia ni nani atakayemsaliti.)
65Huan, amah mahin, Huaijiakin ahi, na kiang ua, Pain a piak keileh, kuamah ka kiangah a hongpai theikei, ka chih, a chi a.
65Kisha akasema, "Ndiyo maana niliwaambieni kwamba hakuna awezaye kuja kwangu asipowezeshwa na Baba yangu."
66Hiai nungin a nungjuite a khen tampi a pai mang ua, amah a kithuahpih nawnta kei uh.
66Kutokana na hayo, wengi wa wafuasi wake walirudi nyuma wasiandamane naye tena.
67Huchiin, Jesun, sawm leh nihte kiangah, Nou leng pai mang sam na ut uhia? a chi a.
67Basi, Yesu akawauliza wale kumi na wawili, "Je, nanyi pia mwataka kwenda zenu?"
68Huan, Simon Peterin a kiangah, Toupa, kua kiangah ahia ka pai ding uh? Nangman khantawn hinna thu na nei hi.
68Simoni Petro akamjibu, "Bwana, tutakwenda kwa nani? Wewe unayo maneno yaletayo uzima wa milele.
69Nangmah Pathian mi siangthou na hi chih ka taksangta ua, theih leng ka thei uhi, a chi a, a dawnga.
69Sisi tunaamini, na tunajua kwamba wewe ndiwe yule Mtakatifu wa Mungu."
70Huan, Jesun a kiang uah, Nou sawm leh nihte keimah hontel hi lou na hi umaw? Na lak ua mi khat diabol a hih laitei toh, a chi a.Iskariot Simon tapa Juda, sawm leh nihte laka tel tei, huai thu a gen ahi, amah juausana mansakpa ding ahi ngala.
70Yesu akawaambia, "Je, sikuwachagua ninyi kumi na wawili? Hata hivyo, mmoja wenu ni Ibilisi!"
71Iskariot Simon tapa Juda, sawm leh nihte laka tel tei, huai thu a gen ahi, amah juausana mansakpa ding ahi ngala.
71Yesu alisema hayo juu ya Yuda, mwana wa Simoni Iskarioti; maana huyu alikuwa ndiye atakayemsaliti, ingawa alikuwa mmoja wa wale kumi na wawili.