Paite

Swahili: New Testament

John

7

1Huai khitin Jesu Galili gamah a vak a; Judaten amah hihlup a tup jiakun Judia gam a pha nuam kei hi.
1Baada ya hayo, Yesu alikuwa akitembea katika Galilaya. Hakutaka kutembea mkoani Yudea kwa sababu viongozi wa Wayahudi walikuwa wanataka kumwua.
2Huan, Judate Biakbukte Ankuangluina a naita a. Huchiin, a unauten a kiangah,
2Sikukuu ya Vibanda ya Wayahudi ilikuwa imekaribia.
3Hiai akipanin Judia gamah vahoh in, na nungjuiten na thil hih a muh theihna ding un.
3Basi ndugu zake wakamwambia, "Ondoka hapa uende Yudea ili wanafunzi wako wazione kazi unazozifanya.
4Kuamahin agukin thil bangmah a hih kei uh, amah min than ut ngalin. Hiai thilte khawng na hih tak ngal leh khovel kiangah kimusak in, a chi ua.
4Mtu hafanyi mambo kwa siri kama anataka kujulikana kwa watu. Maadam unafanya mambo haya, basi, jidhihirishe kwa ulimwengu."
5A unauten nangawnin leng amah a gingta ngal kei ua.
5(Hata ndugu zake hawakumwamini!)
6Huan, Jesun a kianguah, Ka hun a tung nai kei; nou hun jaw chikpeuhin a tung gige ahi.
6Basi, Yesu akawaambia, "Wakati wangu ufaao haujafika bado. Lakini kwenu ninyi kila wakati unafaa.
7Khovelin nou hon ho theikei hi, kei jaw honho nak uhi, a thilhihte uh a gilou chih ka hilh chet nak jiakin.
7Ulimwengu hauwezi kuwachukia ninyi, lakini mimi wanichukia kwa sababu mimi nauambia wazi kwamba matendo yake ni maovu.
8Nou ankuangluina ah vahohtou unla, kei jaw tu ankuangluina ah ka hohtou tadih kei ding, ka hun a tun nai louh jiakin, a chi a.
8Ninyi nendeni kwenye sikukuu hiyo. Mimi siendi kwenye sikukuu hiyo, maana saa yangu ifaayo haijafika."
9Huan, huai tuh a kianguah a gen a. Galili gamah a om nilouh a.
9Alisema hayo kisha akabaki huko Galilaya.
10Himahleh, a unaute ankuangluinaa a hoh touh nung un, amah leng vantang theih louhin, a guk bangin a hoh tou sam a.
10Baada ya ndugu zake kwenda kwenye sikukuu, Yesu naye alikwenda, lakini hakuenda kwa hadhara bali kwa siri.
11Huan, Judaten ankuangluina ah amah a zong ua, Kaw om ahia? a chi ua.
11Viongozi wa Wayahudi walikuwa wanamtafuta kwenye sikukuu hiyo; Wakauliza: "Yuko wapi?"
12Huan, a tungah mipte laka mi a phunsim supsup ua, a khenin, Mi hoih ahi, a chi ua; khenkhatin, Hi dek kei e, mipi a pimang ahi, a chi ua.
12Kulikuwa na minong'ono mingi katika umati wa watu. Baadhi yao walisema, "Ni mtu mwema." Wengine walisema, "La! Anawapotosha watu."
13Himahleh, Judate a kihtak jiakun kuamahin a tungtang thu a gen lang kei uh.
13Hata hivyo hakuna mtu aliyethubutu kusema, habari zake hadharani kwa kuwaogopa viongozi wa Wayahudi.
14Huan, ankuanglui san lai takin, Jesu Pathian biakin ah a hoh tou a, thu a hilha.
14Sikukuu hiyo ilipofikia katikati, Yesu naye alikwenda Hekaluni, akaanza kufundisha.
15Huan, Judaten, Hiai min zil ngeilou pia bang achia lai siam ahia? a chi ua, lamdang a sa mahmah uh.
15Basi, Wayahudi wakashangaa na kusema "Mtu huyu amepataje elimu naye hakusoma shuleni?"
16Huan, Jesun amau a dawng a, Ka thu hilh jaw keia ahi kei, honsawlpaa ahi jaw;
16Hapo Yesu akawajibu, "Mafundisho ninayofundisha si yangu, bali ni yake yeye aliyenituma.
17kuapeuh amah deihlam hihutin, thu hilh tuh Pathian akipan hia, keimah phuahtawma ka gen, a thei ding.
17Mtu anayependa kufanya yale anayotaka Mungu, atajua kama mafundisho yangu yametoka kwa Mungu, au mimi najisemea tu mwenyewe.
18Kuapeuh amah phuahtawm thu gen jaw, amah hoihna zong ahi; a sawlpa hoihna zong tuh, huai mi tuh mi tak ngial ahi, amah ah dik louhna himhim a om kei hi.
18Yeye anayejisemea tu mwenyewe anatafuta sifa yake mwenyewe; lakini anayetafuta sifa ya yule aliyemtuma, huyo ni mwaminifu, na ndani yake hamna uovu wowote.
19Mosiin dan na kiang uah honpe ka hia? Himahleh, na lak uah kuamahin Dan na jui kei uh. Nou bang achia honhihlup tum? a chi a.
19Je, Mose hakuwapeni Sheria? Hata hivyo, hakuna hata mmoja wenu anayeishika Sheria. Kwa nini mnataka kuniua?"
20Huan, mipin, Dawi jawl neive; kuan ahia honhihlup tum? a chi ua, a dawng ua.
20Hapo watu wakamjibu, "Una wazimu wewe! Nani anataka kukuua?"
21Huan, Jesun a dawng, a kiang uah. Thil khat ka hih nou tengtengin lamdang na sa uh.
21Yesu akawajibu, "Kuna jambo moja nililofanya, nanyi mnalistaajabia.
22Hiai jiakin ahi, Mosiin zeksum thu nou a honpiaka. (Mosi akipan ahi ngal keia, pipute akipan ahi zo ngala), Khawlnin leng mi zek na sum jel uhi.
22Mose aliwapeni ile desturi ya kutahiri. (Si kwamba desturi hiyo ilitoka kwa Mose, bali ilitoka kwa mababu). Sasa ninyi humtahiri mtu hata siku ya Sabato.
23Mosi Dana tatlek louhna dinga Khawlnia leng pasalin a zek a sum sak ngal a leh, ken Khawlnia mi ka hihdam vek jiakin ka tungah na heh tuam umaw?
23Ikiwa basi, mtu hutahiriwa hata siku ya Sabato kusudi Sheria ya Mose isivunjwe, mbona mnanikasirikia kwa sababu nimemfanya mtu kuwa mzima kabisa siku ya Sabato?
24A lat bangin ngaihtuah kei unla, diktat takin ngaihtuah jaw un, a chi a.
24Msihukumu mambo kwa nje tu; toeni hukumu ya haki."
25Huan, Jerusalem khuaa mi khen khatin, Hiai mi hihlup a tuppa uh hi lou hia?
25Baadhi ya watu wa Yerusalemu walisema, "Je, yule mtu wanayemtafuta wamuue si huyu?
26En dih uh, hiaiah a langtangin thu a gen a, a kiangah lah bangmah a gen kei ua. Amah Kris ahi chih vaihawmten a thei taktakta ua eita maw?
26Tazameni sasa! Anawaonya hadharani, wala hakuna mtu anayemwambia hata neno. Je, yawezekana kuwa viongozi wametambua kweli kwamba huyu ndiye Kristo?
27Hiai mi a hongkipatna lam nangawnin I thei ngala. Kris bel a hongtun hun chiah a hongkipatna lam kuamahin a theikei ding uhi, a chi ua.
27Kristo atakapokuja hakuna mtu atakayejua mahali alikotoka, lakini sisi tunajua alikotoka mtu huyu!"
28Huaijiakin Jesun Pathian biakina thu a hilh kawmin a kikou a, Nou non thei ua, ka hongkipatna lam leng na thei uh. Himahleh keimah thu a hongpai ka hi kei, amah kei honsawlpa tuh midik ahi, amah lah na thei ngal kei ua.
28Basi, Yesu alipokuwa anafundisha Hekaluni alipaaza sauti na kusema, "Ati mnanijua; hata nilikotoka mnakujua! Hata hivyo, sikuja kwa mamlaka yangu mwenyewe; ila yeye aliyenituma mimi ni wa kweli, nanyi hamumjui.
29Ken tuh amah ka thei hi; amaha kipana hongpawt ka hia, aman lah honsawl ahi ngala, a chi a.
29Lakini mimi namjua kwa sababu nimetoka kwake, naye ndiye aliyenituma."
30Huchiin, amah tuh mat a tumta ua, himahleh a hun a tun nai louh jiakin kuamahin a khoih kei uhi.
30Basi, watu wakataka kumtia nguvuni, lakini hakuna mtu aliyethubutu kumkamata kwa sababu saa yake ilikuwa haijafika bado.
31Mipi a khen tampiten bel amah a gingta ua, Kris a hongtun hun chiangin, hiai mi hih sanga tam jaw thillamdang a honhih dia hia? a chi uh.
31Wengi katika ule umati wa watu walimwamini, wakasema, "Je, Kristo akija atafanya ishara kubwa zaidi kuliko alizozifanya huyu?"
32Huan, Pharisaiten a tunga mipi phunna thute a ja ua; huchiin, siampu liante leh Pharisaiten amah man dingin heutute a sawlta uh.
32Mafarisayo waliwasikia watu wakinong'ona maneno hayo juu ya Yesu. Basi, wao pamoja na makuhani wakuu wakawatuma walinzi wamtie nguvuni.
33Huan, Jesun, Sawt lou kal na kiang uah ka om phot dia, honsawlpa kiangah ka pai ding;
33Yesu akasema, "Bado niko nanyi kwa muda mfupi, kisha nitamwendea yule aliyenituma.
34nou non zong ding ua, non mu kei ding uh; ka ommna ah leng na hong theikei ding uh, a chi a.
34Mtanitafuta lakini hamtaniona, maana pale nitakapokuwa ninyi hamwezi kufika."
35Huan, Judate a kihou ua, I muh louh dingin hiai mi kaw hoh dek a ding? Grikte laka Pemdalhte kianga hohin Grikte thu vahilh ding a diam aw?
35Viongozi wa Wayahudi wakasema wao kwa wao, "Mtu huyu atakwenda wapi ambapo hatutaweza kumpata? Atakwenda kwa Wayahudi waliotawanyika kati ya Wagiriki, na kuwafundisha Wagiriki?
36Nou non zong ding ua, non mu kei ding uh, ka omna ah leng na hong theikei ding uh, a chih, bang a chihna a de aw? a chi ua.
36Ana maana gani anaposema: Mtanitafuta lakini hamtanipata, na mahali nitakapokuwa ninyi hamwezi kufika?"
37Huan, ankuanglui ni nanungpen, ni thupiniin, Jesu a dinga, a kikou a, Kuapeuh a dangtak leh ka kiangah hong henla, dawn hen.
37Siku ya mwisho ya sikukuu hiyo ilikuwa siku maalum. Yesu alisimama, akasema kwa sauti kubwa, "Aliye na kiu na aje kwangu anywe.
38Kuapeuh kei hon gingta tuh laisiangthou genbangin tui hing luite a sungah a hongluang khe ding, a chi a.
38Kama yasemavyo Maandiko Matakatifu: Anayeniamini mimi, mito ya maji yenye uzima itatiririka kutoka moyoni mwake!"
39Hiai thu tuh a gingtaten Kha a tan ding thu uh a genna ahi; Khalah piak ahi nai tadih keia, Jesu lah pahtawia a om nai louh jiakin.
39(Alisema hayo kumhusu Roho ambaye wale waliomwamini yeye watampokea. Wakati huo Roho alikuwa hajafika kwa sababu Yesu alikuwa hajatukuzwa bado.)
40Huchiin, mipi laka khenkhatin huai thu a jak un, Hiai jaw jawlnei hi petmah e, a chi ua.
40Baadhi ya watu katika ule umati walisikia maneno hayo, wakasema, "Kweli mtu huyu ndiye yule nabii!"
41Khenkhatin, Hiai jaw Kris ahi, a chi ua. Khenkhatin bel, Bangdin Kris Galili gamah a hongpawt tel dia?
41Wengine wakasema, "Huyu ndiye Kristo!" Lakini wengine walisema, "Je, yawezekana Kristo akatoka Galilaya?
42Kris jaw David suante lakah, David omna khua Bethlehem ah a pawt ding ahi chih laisiangthouin a gen ka hia? a chi ua.
42Maandiko Matakatifu yasemaje? Yanasema: Kristo atatoka katika ukoo wa Daudi, na atazaliwa Bethlehemu, mji wa Daudi!"
43Huchiin amah jiakin mipi a kikhen ua, a kilangta uh.
43Basi, kukatokea mafarakano juu yake katika ule umati wa watu.
44Khenkhatin mat a ut ua, himahleh kuamahin a khoih tuankei uhi.
44Baadhi ya watu walitaka kumtia nguvuni lakini hakuna aliyejaribu kumkamata.
45Huan, heutute, siampu liante leh Pharisaite kiangah a hongpai nawn ua; huan, amau a kiang uah,
45Kisha wale walinzi wakarudi kwa makuhani wakuu na Mafarisayo; nao wakawauliza, "Kwa nini hamkumleta?"
46Bang achia honpi lou? a chi ua. Heututen, Huai mi bang himhimin kuamahin thu a gen ngei kei hi, a chi ua, a dawng uhi.
46Walinzi wakawajibu, "Hakuna mtu aliyepata kamwe kusema kama asemavyo mtu huyu!"
47Huan, Pharisaiten a kiang uah, Nou leng pimangin na om samta ua hia?
47Mafarisayo wakawauliza, "Je, nanyi pia mmedanganyika?
48Vaihawmte leh Pharisaite laka mi himhim amah gingta a omta ahia?
48Je, mmekwisha mwona hata mmoja wa viongozi wa watu, au mmoja wa Mafarisayo aliyemwamini?
49Huai dan theilou mipite soplai, hamse thuak eive ua, a chi ua, a dawng uhi.
49Lakini umati huu haujui Sheria ya Mose; umelaaniwa!"
50Nikodem, tumaa Jesu kianga hong, a lak ua pangsam ahi a, aman tuh a kiang uah,
50Mmoja wao alikuwa Nikodemo ambaye hapo awali alikuwa amemwendea Yesu. Basi, yeye akawaambia,
51Amah kam ngei a thu jak leh a thilhih theih main i dan un mi siamlouh a tangsak ngei ahia? a chi a.
51"Je, Sheria yetu humhukumu mtu kabla ya kumsikia kwanza na kujua anafanya nini?"
52Amau tuh a kiangah, Nang leng huai Galili mi na hi sam maw? Zong lechin, Galili gamah jawlnei kuamah pawt ding a om kei uh chih thei tanla, a chi ua, a dawng ua.Huan, mi chih amau in chiat ah a paita uh.
52Nao wakamjibu, "Je, wewe pia umetoka Galilaya? Haya, kayachunguze Maandiko Matakatifu nawe utaona kwamba Galilaya hakutoki kamwe nabii!"
53Huan, mi chih amau in chiat ah a paita uh.
53Basi, wote wakaondoka, kila mtu akaenda zake;