1Jesu bel Oliv tang ah a hoh a.
1lakini Yesu akaenda kwenye mlima wa Mizeituni.
2Huan, jingin Pathian biakin ah a lut nawna, mi tengteng a kiangah a hongpai ua; huan, amah a tu a, amau thu a hilh a.
2Kesho yake asubuhi na mapema alikwenda tena Hekaluni. Watu wote wakamwendea, naye akaketi akawa anawafundisha.
3Huan, laigelhmite leh Pharisaiten numei khat a angkawm lai amat uh a honpi ua; huan, a lai ah a ding sak ua,
3Basi, walimu wa Sheria na Mafarisayo wakamletea mwanamke mmoja aliyefumaniwa katika uzinzi. Wakamsimamisha katikati yao.
4Jesu kiangah, Sinsakpa, hiai numei a angkawm lai a mat uh ahia, a angkawm lai takin.
4Kisha wakamwuliza Yesu, "Mwalimu! Mwanamke huyu alifumaniwa katika uzinzi.
5Dan laibu ah, Mosiin hichibang mi jaw suanga denlup thu a honpia hi; nang bangchi na sa a? chi ua.
5Katika Sheria yetu Mose alituamuru mwanamke kama huyu apigwe mawe. Basi, wewe wasemaje?"
6Huai thu tuh amah zeetna dia a chih uh ahi, hekna ding a muh theihna ding un. Huchiin Jesu a kuna, a khut zungin lei ah a gelha.
6Walisema hivyo kumjaribu, wapate kisa cha kumshtaki. Lakini Yesu akainama chini, akaandika ardhini kwa kidole.
7Huan, a dot lailai jiakun amah a ding a, a kiang uah, Na lakua khelhna neilou peuhin amah suangin deng masa heh, a chi a.
7Walipozidi kumwuliza, Yesu akainuka, akawaambia, "Mtu asiye na dhambi miongoni mwenu na awe wa kwanza kumpiga jiwe."
8Huan, a kun nawna, a khutzungin lei ah a gelh nawna.
8Kisha akainama tena, akawa anaandika ardhini.
9Huan, amau a thugen a jak un, upa penin a pana, a tawp phain, khatkhatin a gel khe jel ua; huchiin Jesu kia a om a, numei a laia a omna ngeia om toh.
9Waliposikia hivyo, wakaanza kutoweka mmojammoja, wakitanguliwa na wazee. Yesu akabaki peke yake, na yule mwanamke amesimama palepale.
10Huan, Jesu a daktoua, a kiangah, Numei, kaw om ahi ua? Kuamahin siamlouh hontangsak lou hia? a chi a.
10Yesu alipoinuka akamwuliza huyo mwanamke, "Wako wapi wale watu? Je, hakuna hata mmoja aliyekuhukumu?"
11Huan, aman, Toupa, kuamahin hontangsak kei, a chi a. Huan, Jesun, Ken leng siam louh kon tangsak kei; pai inla, tunungin hihkhial nawnta ken, a chi a.
11Huyo mwanamke akamjibu, "Mheshimiwa, hakuna hata mmoja!" Naye Yesu akamwambia, "Wala mimi sikuhukumu. Nenda zako; na tangu sasa usitende dhambi tena."
12Huan, Jesun a kiang uah thu a gen nawna, Kei khovel vak ka hi; kuapeuh honjui tuh mialah a khosa kei hial ding, hinna vak a nei zo ding hi, a chi a,
12Yesu alipozungumza nao tena, aliwaambia, "Mimi ndimi mwanga wa ulimwengu. Anayenifuata mimi hatembei kamwe gizani, bali atakuwa na mwanga wa uzima."
13Huchiin Pharisaiten a kiangah, Nangmah thu theisak na hi; na thu theihsak a dik kei hi, a chi ua.
13Basi, Mafarisayo wakamwambia, "Wewe unajishuhudia mwenyewe; kwa hiyo ushahidi wako si halali."
14Jesun a kiang uah, Keimah thu theisak nahita leng zong, ka thu theisak a dik ahi; ken ka hongkipatna hiam, ka manohna ding hiam leng, ka thei hi; nouten bel ka hongkipatna hiam, ka manohna ding leng na theikei uhi.
14Yesu akawajibu, "Hata kama ninajishuhudia mwenyewe, ushahidi wangu ni wa kweli kwa sababu mimi najua nilikotoka na ninakokwenda. Lakini ninyi hamjui nilikotoka wala ninakokwenda.
15Nou sa danin vai na hawmsak uh; ken jaw kuamah vai ka hawmsak kei hi.
15Ninyi mnahukumu kwa fikira za kibinadamu, lakini mimi simhukumu mtu.
16Ahi, vaihawmsak nahita leng zong, ka vaihawmsakna a dik ding; keimah kia ka hi kei a, kei leh Pa honsawlpa ka hi zo ngal ua.
16Hata nikihukumu, hukumu yangu ni ya haki kwa sababu mimi siko peke yangu; Baba aliyenituma yuko pamoja nami.
17Ahi, na dan laibu uah leng, Mi nih thu a dik, chih gelh ahi.
17Imeandikwa katika Sheria yenu ya kwamba ushahidi wa watu wawili ni halali.
18Kei ka hih leh keimah thu theisakpa ka hia, Pa hon sawlpan ka thu a theisak hi, a chi a, a dawng a.
18Mimi najishuhudia mwenyewe, naye Baba aliyenituma, ananishuhudia pia."
19Huan, amau a kiangah, Na pa koiah? a chi ua. Jesun, Nou kei non theikei uh, ka Pa leng na theikei uh; kei honthei hi le uchin, ka Pa leng na thei ding uh, chiin, a dawnga.
19Hapo wakamwuliza, "Baba yako yuko wapi?" Yesu akawajibu "Ninyi hamnijui mimi wala hamumjui Baba. Kama mngenijua mimi, mngemjua na Baba yangu pia."
20Huai thu tuh Pathian biakina thu a hilh kawmin, sum koihna muna a gen ahi; kuamahin amah a man sam kei uh, a hun a tun nailouh jiakin.
20Yesu alisema maneno hayo kwenye chumba cha hazina alipokuwa anafundisha Hekaluni. Wala hakuna mtu aliyemtia nguvuni, kwa sababu saa yake ilikuwa haijafika bado.
21Huan, aman, a kiang uah, Ka pai mang dinga, nou non zong ding ua, na khelhna uah na si ding uh; ka hohna dingah na hong theikei ding uh, a chi nawna.
21Yesu akawaambia tena, "Naenda zangu nanyi mtanitafuta, lakini mtakufa katika dhambi zenu. Niendako mimi, ninyi hamwezi kufika."
22Huan, Judaten, Ka hohna dingah na hong theikei ding uh, a chih, a kihihlum dia a diam? a chi ua.
22Basi, viongozi wa Wayahudi wakasema, "Je, atajiua? Mbona anasema: Niendako ninyi hamwezi kufika?"
23Huan, aman a kiang uah, Nou nuai lama kipan na hi uh; kei jaw tung lama kipan ka hi; nou hiai khovela na hi uh, kei jaw hiai khovela ka hi kei.
23Yesu akawaambia, "Ninyi mmetoka papa hapa chini, mimi nimetoka juu; ninyi ni wa ulimwengu huu, mimi si wa ulimwengu huu.
24Huaijiakin, na kiang uah, Na khelhna uah na si ding uh, ka chih, huai amah ka hi chih na gin kei ua leh, na khelhna uah na si ngeingei ding uh, a chi a.
24Ndiyo maana niliwaambieni mtakufa katika dhambi zenu. Kama msipoamini kwamba Mimi ndimi, mtakufa katika dhambi zenu."
25Huan, amau a kiangah, Kua na hi maia ahia? a chi ua. Jesun a kianguah, A tunga kipanin na kiang uah ka genta.
25Nao wakamwuliza, "Wewe ni nani?" Yesu akawajibu, "Nimewaambieni tangu mwanzo!
26Nou tungtang thu ah thil tampi gen ding leh ngaihtuah ding ka nei; abangabang hi heh aw, honsawlpa jaw mi dik ahi; a kianga thu ka jak peuhmah khovel kiangah ka hilh hi, a chi a.
26Ninayo mengi ya kusema na kuhukumu juu yenu. Lakini yule aliyenituma ni kweli; nami nauambia ulimwengu mambo yale tu niliyoyasikia kutoka kwake."
27Pa thu a kiang uah a gen chih a theikei uh.
27Hawakuelewa kwamba Yesu alikuwa akisema nao juu ya Baba.
28Huchiin, Jesu mahin, Nou mihing Tapa na khaikang nung un, amah ka hi chih leh, ken keimah thuin thil bangmah ka hih keia, Pa in honhilh bang jelin hiai thu ka gen jaw ahi chih na thei ding uhi.
28Basi, Yesu akawaambia, "Mtakapokwisha mwinua Mwana wa Mtu hapo ndipo mtakapojua kwamba Mimi ndimi, na kwamba sifanyi chochote mimi mwenyewe, ila nasema tu yale Baba aliyonifundisha.
29Honsawlpa tuh ka kiang ah a oma, honensan kei hi; a thil kipahlam peuhmah ka hih jel jiakin, a chi a.
29Yule aliyenituma yuko pamoja nami; yeye hakuniacha peke yangu kwani nafanya daima yale yanayompendeza."
30Huan, huai thu tuh a gen lain mi tampin amah a gingta ta ua.
30Baada ya kusema hayo watu wengi walimwamini.
31Huchiin, Jesun a gingta Judate kiangah, Ka thua na om gige uleh, ka nungjuite na hi taktak ding uh;
31Basi, Yesu akawaambia wale Wayahudi waliomwamini, "Kama mkiyazingatia mafundisho yangu mtakuwa kweli wanafunzi wangu.
32huan, thutak na thei ding ua, thutakin a honsuaktasak ding, a chi a.
32Mtaujua ukweli, nao ukweli utawapeni uhuru."
33Huan, amau a kiangah, Abraham suante keive ua, tu tannin kuamah salah ka om ngei kei uh, Suahtaksakin na om ding uh, bangchihchiha chi na hia? a chi ua, a dawng ua.
33Nao wakamjibu, "Sisi ni wazawa wa Abrahamu, na hatujapata kamwe kuwa watumwa wa mtu yeyote yule. Una maana gani unaposema: mtakuwa huru?"
34Huan, Jesun a kiang uah, Chihtaktakin chihtaktakin kon hilh ahi, kuapeuh thil hihkhial tuh, khelhna sal ahi,
34Yesu akawajibu, "Kweli nawaambieni, kila mtu anayetenda dhambi ni mtumwa wa dhambi.
35Sal tuh chikpeuhin in ah a om gige kei; tapa tuh chikpeuhin a om gige hi.
35Mtumwa hana makao ya kudumu nyumbani, lakini mwana anayo makao ya kudumu.
36Huchiin, Tapain sal apat a honsuahtaksak leh, na suakta petmah ding uh.
36Kama mwana akiwapeni uhuru mtakuwa huru kweli.
37Abraham suante na hi uh chih ka thei hi, himahle-uchin, honthah na tum ngal ua, ka thuin nou ah omna a neih louh jiakin.
37Najua kwamba ninyi ni wazawa wa Abrahamu. Hata hivyo, mnataka kuniua kwa sababu hamuyakubali mafundisho yangu.
38Ken ka Pa kianga thil ka muh ka gen a; nou leng na pa u kianga thil na jak uh na hih uh, a chi a.
38Mimi nasema yale aliyonionyesha Baba, lakini ninyi mwafanya yale aliyowaambieni baba yenu."
39Huan, amau a kiangah, Kou pa Abraham ahi, a chi ua, a dawng ua. Huan, Jesun a kiang uah, Abraham tate nana hile uchin, Abraham thil hih na hihta ding uh.
39Wao wakamjibu, "Baba yetu ni Abrahamu!" Yesu akawaambia, "Kama ninyi mngekuwa watoto wa Abrahamu, mngefanya kama alivyofanya Abrahamu,
40Himahleh, Pathian kianga thutak ka jak, nou honhilpa kei tun ah honthah na tum ngal ua; Abrahamin jaw hichibangin a hih kei. Nou jaw na pa uh thil na hih nak uhi, a chi a.
40Mimi nimewaambieni ukweli niliousikia kwa Mungu; hata hivyo, ninyi mwataka kuniua. Abrahamu hakufanya hivyo!
41Huan, amau a kiangah, Angkikawma piang ka hi kei uh, Pa khat kia ka nei uh, Pathian, a chi ua.
41Ninyi mnafanya mambo yaleyale aliyofanya babu yenu." Wao wakamwambia, "Sisi si watoto haramu! Tunaye baba mmoja tu, yaani Mungu."
42Jesun a, kiang uah, Pathian na Pa uh hita leh, nou kei non itta ding uh; Pathian apan hong pawt leh a kianga kipana hongpai ka hi ngala; keimah thua hong leng ka hi sam kei, aman a honsawl jaw ahi.
42Yesu akawaambia, "Kama Mungu angekuwa Baba yenu, mngenipenda mimi, maana mimi nilitoka kwa Mungu na sasa niko hapa. Sikuja kwa mamlaka yangu mwenyewe, ila yeye alinituma.
43Bang achia ka pau omdan theilou? Ka thu na laksawn theih louh jiak uh ahi.
43Kwa nini hamwelewi hayo ninayosema? Ni kwa kuwa hamwezi kuusikiliza ujumbe wangu.
44Nou jaw na pa uh diabol kianga pawt na hi ua, na pa uh duhgawlna hih na ut uhi. Amah jaw a tunga kipan tualthat ahi, thutak ah a om kei, a sunga thutak himhim a om louh jiakin. Juau thu a genin amaha ngei a gen ahi; juauthei ahi ngala, juaupa leng ahi.
44Ninyi ni watoto wa baba yenu Ibilisi na mnataka tu kutekeleza tamaa za baba yenu. Yeye alikuwa muuaji tangu mwanzo; hana msimamo katika ukweli, kwani ukweli haumo ndani yake. Kila asemapo uongo, husema kutokana na hali yake ya maumbile, maana yeye ni mwongo na baba wa uongo.
45Thutak ka gen jiakin nou hon gingta lou na hi uhi.
45Mimi nasema ukweli, na ndiyo maana ninyi hamniamini.
46Na lak uah kuan ahia gilou lamah siamlouh hontan thei om? Thutak ka genin leng nou bang achia hon gingta lou?
46Nani kati yenu awezaye kuthibitisha kuwa mimi nina dhambi? Ikiwa basi nasema ukweli, kwa nini hamniamini?
47Pathian apan pawtin, Pathian thu a pakta nak a; hiaijiakin na pakta kei uhi, Pathian apan pawt na hih louh jiakun, a chi a.
47Aliye wa Mungu husikiliza maneno ya Mungu. Lakini ninyi hamsikilizi kwa sababu ninyi si (watu wa) Mungu."
48Huan, Judaten a kiangah, Samari mi dawi jawl na hi ka chi uh, ka chi dik ngel kei umaw? a chi ua, a dawng ua.
48Wayahudi wakamwambia, "Je, hatukusema kweli kwamba wewe ni Msamaria, na tena una pepo?"
49Jesun, Dawi jawl ka hi kei hi; ka Pa kapahtawi ahi jaw, nou ka min hihsia neive ua.
49Yesu akajibu, "Mimi sina pepo; mimi namheshimu Baba yangu, lakini ninyi hamniheshimu.
50Himahleh, keimah kilawmna zong ka hi kei; a zongmi leh a ngaihtuahmi khat a om ahi.
50Mimi sijitafutii utukufu wangu mwenyewe; yuko mmoja mwenye kuutafuta utukufu huo, naye ni hakimu.
51Chihtaktakin, chihtaktakin kon hilh ahi, min ka thu a zop leh khantawnin sih ni mel a mu kei ding, a chi a.
51Kweli nawaambieni, anayeuzingatia ujumbe wangu hatakufa milele."
52Huan, Judaten a kiangah, Dawi jawl na hi chih tuin ka theita uh. Abraham a sita, jawlneite toh, nang. Min ka thu a zop leh, khantawnin sihna achiam kei ding, na chi ngala.
52Basi, Wayahudi wakasema, "Sasa tunajua kweli kwamba wewe ni mwendawazimu! Abrahamu alikufa, na manabii pia walikufa, nawe wasema ati, Anayeuzingatia ujumbe wangu hatakufa milele!
53Ka pu uh Abraham sangin na thupijaw ahia? amah leng a sita a, jawlneite leng a sita uh; kuaa kibawl na hia? a chi ua.
53Je, unajifanya mkuu zaidi kuliko baba yetu Abrahamu ambaye alikufa? Hata na manabii walikufa. Wewe unajifanya kuwa nani?"
54Huan, Jesun, Keimah kipahtawi leng ka kilawmna bangding mah ahi kei; ka Pathian uh, na chih uh ka Pa, hon pahtawipa ahi; nou amah na thei ngal kei uhi;
54Yesu akawajibu, "Nikijitukuza mwenyewe, utukufu wangu si kitu. Baba yangu ambaye ninyi mwasema ni Baba yenu, ndiye anayenitukuza.
55ken jaw amah ka thei; Amah ka theikei, chileng, noumau bang a juau thei mah ka hi ding: huchiin amah ka theia, a thu leng ka jui jel hi.
55Ninyi hamjapata kumjua, lakini mimi namjua. Na, nikisema simjui, nitakuwa mwongo kama ninyi. Mimi namjua na ninashika neno lake.
56Na pu uh Abraham, ka ni mu ding a hih jiakin a nuam mahmah a, huan, a mu pet maha, a kipak mahmah hi, a chi a, a dawnga.
56Abrahamu, baba yenu, alishangilia aione siku yangu; naye aliiona, akafurahi."
57Huan, Judaten a kiangah, Nang kum sawmnga leng hi nai lou piin, Abaham na mu ahia? a chi ua.
57Basi, Wayahudi wakamwambia, "Wewe hujatimiza miaka hamsini bado, nawe umemwona Abrahamu?"
58Jesun a kianguah, Chihtaktakin, chihtaktakin kon hilh ahi, Abraham om main leng ka om, a chi a.Huchiin a denna dingin suang a tawm ua; himahleh Jesu a bu a, Pathian biakin a kipan a pawtta.
58Yesu akawaambia, "Kweli nawaambieni, kabla Abrahamu hajazaliwa, mimi niko."
59Huchiin a denna dingin suang a tawm ua; himahleh Jesu a bu a, Pathian biakin a kipan a pawtta.
59Hapo wakaokota mawe ili wamtupie, lakini Yesu akajificha, akatoka Hekaluni.