1Huan, Jesun a pai kawmin a pian tunga kipan mittaw khat a mu a.
1Yesu alipokuwa akipita alimwona mtu mmoja, kipofu tangu kuzaliwa.
2Huan, a nungjuiten a kiangah, Rabbi, mitto saa a pian kuan ahia thil hihkhial, hia mi hia, a nu leh a pan? a chi ua, a dong ua.
2Basi, wanafunzi wakamwuliza, "Mwalimu! Ni nani aliyetenda dhambi: mtu huyu, ama wazazi wake, hata akazaliwa kipofu?"
3Jesun, Hiai min a hih khial kei, a nu leh a pan leng a hihkhail kei uh; Pathian nasepte a tung a latna ding ahi jaw.
3Yesu akajibu, "Jambo hili halikutukia kwa sababu ya dhambi zake yeye, wala dhambi za wazazi wake; ila alizaliwa kipofu ili nguvu ya Mungu ionekane ikifanya kazi ndani yake.
4Sun a hihlaiin honsawlpa na I sep ding uhi; jan hi dekdekta ahi, huai hun chiangin kuamahin na a sem theikei ding uh.
4Kukiwa bado mchana yatupasa kuendelea kufanya kazi za yule aliyenituma; maana usiku unakuja ambapo mtu hawezi kufanya kazi.
5Khovela ka om sungin khovel vak ka hi, a chi a, a dawnga.
5Wakati ningali ulimwenguni, mimi ni mwanga wa ulimwengu."
6Huchibanga a gen khitin, leiah chil a sia a, chilin tungman a bawla, huan tungman tuh a mit ah a nuha, huan, a kiangah, Siloam dil ah vasil in, a chi a. (Siloam tuh, Sawl, chihna a hi)
6Baada ya kusema hayo, akatema mate chini, akafanyiza tope, akampaka yule kipofu machoni,
7Huan, avapaia, a sila, mitvakin a hongkik nawnta hi.
7akamwambia, "Nenda ukanawe katika bwawa la Siloamu." (maana ya jina hili ni "aliyetumwa"). Basi, huyo kipofu akaenda, akanawa, kisha akarudi akiwa anaona.
8Huchiin, a vengte leh tumaa khutdoha mumuten, Hiai mi tu kawma khutdoh dohpa ahi ka hia? a chi ua.
8Basi, jirani zake na wale waliokuwa wanajua kwamba hapo awali alikuwa maskini mwombaji, wakasema, "Je, huyu siye yule maskini aliyekuwa akiketi na kuomba?"
9Midangin, Amah ahi vo oi, a chi ua. Midangin, A hi kei, a kibatpih ahi jaw, a chi ua. Aman, Huai amah ka hi, a chi a.
9Baadhi yao wakasema, "Ndiye." Wengine wakasema, "La! Ila anafanana naye." Lakini huyo aliyekuwa kipofu akasema, "Ni mimi!"
10Huan, amau a kiangah, Na mit bangchin ahia a hong vak? a chi ua.
10Basi, wakamwuliza, "Sasa, macho yako yalipataje kufumbuliwa?"
11Aman, Jesu a chih un tungman a bawla, ka mitah a nuih a, Siloam dil ah vahoh in silin, a honchi a, huchiin, ka vahoha, ka sil a, mitvakna ka muta ahi, a chi.
11Naye akawajibu, "Yule mtu aitwaye Yesu alifanya tope, akanipaka machoni na kuniambia: Nenda ukanawe katika bwawa la Siloamu. Basi, mimi nikaenda, nikanawa, nikapata kuona."
12Huan, amau a kiangah, Amah kaw om ahia? a chi ua. Aman, Ka theikei, a chi a.
12Wakamwuliza, "Yeye yuko wapi?" Naye akawajibu, "Mimi sijui!"
13Huai maa mittopa tuh Pharisaite kiangah a honpi ua.
13Kisha wakampeleka huyo mtu aliyekuwa kipofu kwa Mafarisayo.
14Jesun tungman a bawla, a mit a hihvak ni Khawlni ahi a.
14Siku hiyo Yesu alipofanya tope na kumfumbua macho mtu huyo, ilikuwa siku ya Sabato.
15Huchiin, Pharisaiten a mit a hongvak takdan a dong nawn ua. Aman a kiang uah, Ka mit ah tungman a koiha, ka sil, ka mu theita maimah hi, a chi a.
15Basi, Mafarisayo wakamwuliza mtu huyo, "Umepataje kuona?" Naye akawaambia, "Alinipaka tope machoni, nami nikanawa na sasa naona."
16Huan, Pharisai khenkhatin, Huai mi tuh Khawlni a tan louh jiakin, Pathiana kipan ahi kei, a chi ua. Khenkhatin bel, Mi khialin bangchin hichi bang thillamdang a hih thei dia? a chi ua. Huan, a kikhen ua, a kilangta uh.
16Baadhi ya Mafarisayo wakasema, "Mtu huyu hakutoka kwa Mungu, maana hashiki sheria ya Sabato." Lakini wengine wakasema, "Mtu mwenye dhambi awezaje kufanya ishara za namna hii?" Kukawa na mafarakano kati yao.
17Huan, mittopa kiangah, Na mit a hihvak, nang bangchi bangin amah na ngaihtuah? a chi nawn ua. Huan, aman, Jawlnei ahi, a chi a.
17Wakamwuliza tena huyo mtu aliyekuwa kipofu, "Maadam yeye amekufungua macho, wasemaje juu yake?" Naye akawaambia, "Yeye ni nabii!"
18Himahleh, Judaten a mit hongvak ta nu leh pa a sap masiah uh, mittaw a nahi hima, a mit a hongvakta chih, a tungtang thu a taksang kei uh.
18Viongozi wa Wayahudi hawakusadiki kwamba mtu huyo alikuwa kipofu hapo awali na sasa anaona mpaka walipowaita wazazi wake.
19Huan, a nu leh a pa kiangah, Hiai mi, na tapa uh mitto saa piang ahi na chih uh ahi hia? Bangchin ahia tua a muh theih tak? Chiin a dong ua.
19Basi, wakawauliza hao wazazi, "Je, huyu ndiye mtoto wenu ambaye ninyi mwasema alizaliwa kipofu? Sasa amepataje kuona?"
20Huan, a nu leh a pan. Hiai tuh ka tapa uh ahi chih ka thei uh, mitto sain a piang chih leng ka thei uh;
20Wazazi wake wakajibu, "Tunajua kwamba huyu ni mtoto wetu, na kwamba alizaliwa kipofu.
21himahleh, bangchin ahia tua honmuh theih tak chih ka theikei uh, a mit hihvakpa leng ka thei sam kei uh; amah dong un; piching a hina; amah thu aman gen leh ake, a chi ua, a dawng uh.
21Lakini amepataje kuona, hatujui; na wala hatumjui yule aliyemfumbua macho. Mwulizeni yeye mwenyewe; yeye ni mtu mzima, anaweza kujitetea mwenyewe."
22Judate a kihtak jiak un a nu leh a pan tuh huai thute a gen uhi; Judaten, huai ma himin leng, Amah jaw Kris ahi, chia gum a om leh, kikhopna in a nong ding chih a lemsa chit ngal ua.
22Wazazi wake walisema hivyo kwa sababu waliwaogopa viongozi wa Wayahudi kwani viongozi hao walikuwa wamepatana ya kwamba mtu yeyote atakayekiri kwamba Yesu ni Kristo atafukuzwa nje ya sunagogi.
23Huai jiakin ahi, a nu leh a pan, Piching ahi, amah dong un, a chih uh.
23Ndiyo maana wazazi wake walisema: "Yeye ni mtu mzima, mwulizeni."
24Huchiin, mittopa a sam nawn ua, a kiangah, Pathian phatin hiai mi jaw mi khial ahi chih ka thei uh, a chi ua.
24Basi, wakamwita tena aliyekuwa kipofu, wakamwambia, "Sema ukweli mbele ya Mungu! Sisi tunajua kwamba mtu huyu ni mwenye dhambi."
25Huan, aman, Mi khial ahi hia hi lou ka theikei, thu khat ka thei, tumain ka mit a taw a, tuin ka mu theita hi, a chi a, a dawng a.
25Yeye akajibu, "Kama ni mwenye dhambi mimi sijui. Lakini kitu kimoja najua: Nilikuwa kipofu, na sasa naona."
26Huan, amau a kiang ah, Na tungah bangchin ahia a hih? Na mit bangchin ahia a hihvak? a chi ua.
26Basi, wakamwuliza, "Alikufanyia nini? Alikufumbuaje macho yako?"
27Huan, aman a kiang uah, Denin kon hilhta a ka, na thei nuam ngal kei ua; bang achia thei nuam nawn na hi ua? Nou leng a nungjuite hihsam na ut ua hia? Chiin, a dawng a.
27Huyo mtu akawajibu, "Nimekwisha waambieni, nanyi hamkusikiliza; kwa nini mwataka kusikia tena? Je, ninyi pia mnataka kuwa wafuasi wake?"
28Huan, amau atai ua, Nang amah nungjui na hi, kou jaw Mosi nungjuite ka hi uh.
28Lakini wao wakamtukana wakisema, "Wewe ni mfuasi wake; sisi ni wafuasi wa Mose.
29Pathianin Mosi a houpih chih ka thei uh, hiai mi phiangsan koia hongkipan ahia ka theihsak kei uh, a chi ua.
29Sisi tunajua kwamba Mungu alisema na Mose, lakini mtu huyu hatujui ametoka wapi!"
30Huan, huai min a kiang uah, Huaipen tak ahi, a lamdanna, koia hongkipan ahia na theih louh uh, kamit lah a hihvak ngei ngala.
30Naye akawajibu, "Hili ni jambo la kushangaza! Ninyi hamjui ametoka wapi, lakini amenifumbua macho yangu!
31Pathianin mi khial thu a ngaikhe kei nak chih I thei uh; himahleh, kuapeuhin Pathian a limsaka, a deihlam a hih leh, Pathianin amah a ngaikhe nak hi.
31Tunajua kwamba Mungu hawasikilizi watu wenye dhambi, ila humsikiliza yeyote mwenye kumcha na kutimiza mapenzi yake.
32Khovel om tunga kipan kuaman mitto saa piang mit a hihvak nawn chih a kithei ngei kei.
32Tangu mwanzo wa ulimwengu haijasikika kwamba mtu ameyafumbua macho ya mtu aliyezaliwa kipofu.
33Hiai mi Pathian kianga pawt a hih keileh, bangmah a hih theikei ding, a chi a, a dawnga.
33Kama mtu huyu hakutoka kwa Mungu, hangeweza kufanya chochote!"
34Huan, amau a kiangah, Nang khial lumleta piang naka, nang non hilh vial maw? a chi ua, a dawng ua. Huchiin, amah tuh a delhkhe ta uh.
34Wao wakamjibu, "Wewe ulizaliwa na kulelewa katika dhambi; unawezaje kutufundisha sisi?" Basi, wakamfukuzia mbali.
35Huan, a delh khia uh chih Jesun a naja a; huan, a zong khia a, Pathian Tapa na gingta hia? a chi a.
35Yesu alisikia kwamba walikuwa wamemfukuzia mbali, naye alipomkuta akamwuliza, "Je, wewe unamwamini Mwana wa Mtu?"
36Huan, aman, Pu, amah kua ahia, ka gintak theihna din? a chi a, a dawnga.
36Huyo mtu akajibu, "Mheshimiwa, niambie yeye ni nani, ili nipate kumwamini."
37Jesun a kiangah, Amah na mu khinta a, nang honhoupihpa ahi, a chi a.
37Yesu akamwambia, "Umekwisha mwona, naye ndiye anayesema nawe sasa."
38Huan, aman, Toupa, ka gingta hi, a chi a, amah a bia a.
38Basi, huyo mtu akasema, "Ninaamini Bwana!" Akamsujudia.
39Huan, Jesun, Thukhen dingin hiai khovel ah hong ka hi, mittawte a mit uh a hong vakna ding leh, mitvakte a mit uh a hongtawtna dingin, a chi a.
39Yesu akasema, "Mimi nimekuja ulimwenguni kutoa hukumu, kusudi wasioona wapate kuona, na wale wanaoona wawe vipofu."
40Huan, a kianga Pharisai omten, huai thu a jak un, a kiangah, Kou leng mittaw ka hi sam u maw? a chi ua.Huan, Jesun a kiang uah, Mittaw anahi tale uchiin khelhna na neikei ding uh, himahleh, Ka mu thei uh, tuin na chih jiakun na khelhna uh a om gige hi.
40Baadhi ya Mafarisayo waliokuwa pamoja naye walisikia maneno hayo, wakamwuliza, "Je, sisi pia ni vipofu?"
41Huan, Jesun a kiang uah, Mittaw anahi tale uchiin khelhna na neikei ding uh, himahleh, Ka mu thei uh, tuin na chih jiakun na khelhna uh a om gige hi.
41Yesu akawajibu, "Kama mngekuwa vipofu, hamngekuwa na hatia; lakini sasa ninyi mwasema: Sisi tunaona, na hiyo yaonyesha kwamba mna hatia bado.