Paite

Swahili: New Testament

Luke

20

1Huan, ni khat tuh Pathian biakina mite thu a hilh a, Tanchin Hoih a genlaiin, siampu liante, laigelhmite, upate toh, a kiangah ahongpai guih ua;
1Siku moja, Yesu alipokuwa akiwafundisha watu Hekaluni na kuwahubiria juu ya Habari Njema, makuhani wakuu na walimu wa Sheria pamoja na wazee walifika,
2huan, a kiangah, Kua thuin ahia hiai thil na hih? Kuan ahia thu honpia? honhilh in, chiin, a gen ua.
2wakasema, "Tuambie! Unafanya mambo haya kwa mamlaka gani?"
3Huan, aman, a kiang uah, Ken leng thu kam khat kon dong sam ding; honhilh un,
3Yesu akawaambia, "Na mimi nitawaulizeni swali:
4Johan baptisma vana kipan hia, mihinga kipan? a chi a, a dawnga.
4mamlaka ya Yohane ya kubatiza yalitoka kwa Mungu au kwa watu?"
5Huan, a kingaihtuah ua, Vana kipan, chi lehang, Bangdia amah ginglou? honchi thepthup ding.
5Lakini wao wakajadiliana hivi: "Tukisema yalitoka mbinguni, yeye atatuuliza: Mbona hamkumsadiki?
6Huan, Mihinga kipan, chi lehang, mi tengtengin suangin a hondeng ding uh; Johan jawlnei a hih a thei ngal ua, a chi ua.
6Na tukisema yalitoka kwa binadamu, watu wote hapa watatupiga mawe, maana wote wanaamini kwamba Yohane alikuwa nabii."
7Huchiin, a dawng ua, Koia kipan ahia ka theikei uh, a chi ua.
7Basi, wakamwambia, "Hatujui mamlaka hayo yalitoka wapi."
8Huan, Jesun a kianguah, Ken leng kua thuin ahia hiai thil ka hih, ka honhilh sam kei ding, a chi a.
8Yesu akawaambia, "Hata mimi sitawaambia ninafanya mambo haya kwa mamlaka gani."
9Huan, mipite kiangah hiai gentehna agen a; Kua hiamin grep huan a bawla, a loukemte kiangah khohloh dingin a pia a, sawtpi tam dingin gam dangah a hohta a.
9Yesu akaendelea kuwaambia watu mfano huu: "Mtu mmoja alilima shamba la mizabibu, akalikodisha kwa wakulima; kisha akasafiri hadi nchi ya mbali, akakaa huko kwa muda mrefu.
10Huan, a loh hunin huana gah tanding a na piak ding un loukemte kiangah sikha khat a sawl a; himahleh, loukemten a na vua ua.
10Wakati wa mavuno, mtu huyo alimtuma mtumishi wake kwa wale wakulima, akachukue sehemu ya matunda ya shamba la mizabibu. Lakini wale wakulima wakampiga mtumishi huyo wakamrudisha mikono mitupu.
11Huan, sikha dang a sawl nawna; huai leng a na von awn jel ua, zumhuai piin a na bawl ua, khutvuakin a paisak nawnta uh.
11Yule bwana akamtuma tena mtumishi mwingine; lakini wao wakampiga huyo vilevile na kumtendea vibaya, wakamrudisha mikono mitupu.
12Huan, a thumna a sawl nawn a; huai leng a na hihliam ua a pai kheta uhi.
12Akamtuma tena wa tatu; huyu naye, baada ya kumwumiza, wakamfukuza.
13Huan, grep huan neipan, Bang chin ka hih dia? Ka tapa deihtak ka sawl mai ding; amah a nazah khamoh kei ding uh, a chi a.
13Yule mwenye shamba akafikiri: Nitafanya nini? Nitamtuma mwanangu mpenzi; labda watamjali yeye.
14Himahleh loukemten amah a namuh tak un, Hiai gouluah dingpa tuh ahi, that ni, huchiin, a gou ei ading ahi ding, chiin, a kihou ua.
14Wale wakulima walipomwona tu, wakasemezana: Huyu ndiye mrithi. Basi, tumwue ili urithi wake uwe wetu.
15Huchiin, grep huan apat a pai khia ua, a hihlumta uh. Huan, grep huan neipan amau bang a lohta dia le?
15Basi, wakamtoa nje ya lile shamba la mizabibu, wakamwua." Yesu akauliza, "Yule mwenye shamba atawafanya nini hao wakulima?
16Loukemten a honghihmang dia, huan grephuan tuh mi dangte a pe ding, a chi a. Huan, huai ajak un, huai tel jaw tungkei leh: a chi ua.
16Atakuja kuwaangamiza wakulima hao, na atawapa wakulima wengine hilo shamba la mizabibu." Watu waliposikia maneno hayo, walisema: "Hasha! Yasitukie hata kidogo!"
17Humahleh, aman amaute a en a, Ahihleh hiai thu a gelh uh bang ahia? In lamte suang deih louhpen, huai mahmah a ninga suang phatuampen a honghita, chih.
17Lakini Yesu akawatazama, akawaambia, "Maandiko haya Matakatifu yana maana gani basi? Jiwe walilokataa waashi, sasa limekuwa jiwe kuu la msingi!
18Kuapeuh huai suang tunga puk tuh a kitat gawp ding; a delh khak houh a gawi jan ding, a chi a.
18Mtu yeyote akianguka juu ya jiwe hilo, atavunjika vipandevipande; na likimwangukia mtu yeyote, litamsaga kabisa."
19Huan, huchih lai takin laigelhmite leh siampu lalten mat a tum ua; himahleh, mipi a lau ua; huai a genteh thu amau demin a gen chih a thei ngal ua.
19Walimu wa Sheria na makuhani wakuu walifahamu kwamba mfano huo ulikuwa unawahusu, na hivyo walitaka kumkamata palepale, ila tu waliogopa watu.
20Huan, gam ukpa vaihawmna leh thuneihnaa a piak theihna dingun, a thu gen khelh la dingin, amah a tang gige ua, enkhia, mi hoih banga omkhempeuhte asawl ua.
20Basi, wakawa wanatafuta wakati wa kufaa. Wakawahonga watu fulani wajisingizie kuwa wema, wakawatuma wamnase Yesu kwa maswali, na hivyo waweze kumtia nguvuni na kumpeleka kwa wakuu wa serikali.
21Amau, a kiangah, Sinsakpa, diktakin thu na genin nahilh jela, kuamah khentuam louin chih taktakin Pathian lam thu na hilh jel ka thei uh.
21Hao wapelelezi wakamwambia, "Mwalimu, tunajua kwamba unasema na kufundisha mambo ya kweli; tunajua kwamba wewe huna ubaguzi; wewe wafundisha ukweli juu ya njia ya Mungu.
22Kaisar kianga siah ka piak uh siang hia sianglou? chiin, a dong ua.
22Basi, twambie kama ni halali, au la, kulipa kodi kwa Kaisari!"
23Himahleh aman a zekhem uh a thei a, a kiang uah,
23Yesu alitambua mtego wao, akawaambia,
24Makhai honlak un, Kua lim leh kuamin ahia tuang? a chi a. Huan, amau, Kaisar-a, a chi ua.
24"Nionyesheni sarafu. Je, sura na chapa ni vya nani?"
25Huan, aman, a kiang uah, A hih nung, Kaisar thilte Kaisar kiangah pia unla, Pathian thilte Pathian kiangah peta unla, a chi a.
25Nao wakamjibu, "Ni vya Kaisari." Yesu akawaambia, "Basi, mpeni Kaisari vilivyo vyake Kaisari, na Mungu vilivyo vyake Mungu."
26Huchiin, mipi maa a thu gen khelh lak ding amu kei ua; a dawnna tuh lamdang a sa mahmah ua, a dai dide uh.
26Hawakufaulu kumnasa kwa neno lolote pale mbele ya watu na hivyo wakakaa kimya wakilistaajabia jibu lake.
27Huan, Saddukai, thohnawnna a om kei chite laka mi kuate hiam a kiangah a hong ua; a kiangah,
27Kisha Masadukayo, ambao husema kwamba wafu hawafufuki, wakamjia Yesu, wakasema:
28Sinsakpa, Mosiin, kuapeuh a unaupanin ji nei henla, ta neilouin si leh, a ji luahin, a unaupa dingin chi a suah sakding ahi chih, hon gelh sak ahi.
28"Mwalimu, Mose alituandikia kwamba kama ndugu ya mtu fulani akifa na kumwacha mjane wake bila watoto, ni lazima ndugu yake amchukue huyo mama mjane, amzalie watoto ndugu yake marehemu.
29A hi, sal sagih a om ua; upapenin ji a nei a, ta neilouin a si a.
29Sasa, wakati mmoja kulikuwa na ndugu saba. Yule wa kwanza alioa na baadaye akafa bila kuacha mtoto.
30A nihnain a luah a; tunmnain a luah nawna;
30Yule ndugu wa pili akamwoa yule mjane, naye pia, akafa;
31huchi chiatin sagihte ta neilouin a si jel uh.
31na ndugu wa tatu vilevile. Mambo yakawa yaleyale kwa wote saba--wote walikufa bila kuacha watoto.
32Huai zohin, numei leng a sita a.
32Mwishowe akafa pia yule mwanamke.
33Tua chiangin, thohnawn hun chiah a kuapen ji ahi dia? amau sagihten jiin a nei chiat ngal ua, chiin a dong ua.
33Je, siku wafu watakapofufuliwa, mwanamke huyo atakuwa mke wa nani? Alikuwa ameolewa na wote saba."
34Huan, Jesun a kiang uah, Tulai mite ji leh tain a kinei jel ua;
34Yesu akawaambia, "Watu wa nyakati hizi huoa na kuolewa;
35himahleh, huai hun chia tel tak ding leh, misi laka pat thohnawnna tang taka seh peuhte, ji leh tain a kinei nawn ta kei ding uh;
35lakini wale ambao Mungu atawawezesha kushiriki ule wakati wa ufufuo, hawataoa wala kuolewa.
36sih leng a si nawn theita kei dinguh, angelte banga om ding ahi ngal ua; thohnawnna tate a hih jiak un, Pathian tate ahi ding uh.
36Ama hakika, hawawezi kufa tena, kwa sababu watakuwa kama malaika, na ni watoto wa Mungu kwa vile wamefufuliwa katika wafu.
37Misi kaihthohin a om ding uh chih Mosiin leng, Loubuk thu a, Toupa tuh Abraham Pathian, Isaak Pathian, Jakob Pathian, a chih laiin, a thei sak hi.
37Lakini, kwamba kuna kufufuka kutoka wafu, hata Mose alithibitisha jambo hilo katika Maandiko Matakatifu. Katika sehemu ya Maandiko Matakatifu juu ya kile kichaka kilichokuwa kinawaka moto, anamtaja Bwana kama Mungu wa Abrahamu, Isaka na Yakobo.
38Amah misi Pathian ahi keia, mihing Pathian ahi jaw; amah ngaihin mi tengteng a hing vek ngal ua, a chi a.
38Basi, yeye si Mungu wa wafu, bali ni Mungu wa wale walio hai; maana wale aliowaita kwake, wanaishi naye."
39Huan, laigelhmite khenkhatin, Sinsakpa, na gen dik ngei e, a chi ua, a dawng ua.
39Baadhi ya wale walimu wa Sheria wakasema, "Mwalimu, umejibu vema kabisa."
40Thu dang a dong ngam nawn ngal kei ua.
40Walisema hivyo kwa sababu hawakuthubutu kumwuliza tena maswali mengine.
41Huan, aman, a kiang uah, Kris David tapa ahi chih bangchidana chi thei uh ahia?
41Yesu akawauliza, "Yasemekanaje kwamba Kristo ni mwana wa Daudi?
42Sam laibu ah David mahmahin, Toupan, ka Toupa kiangah, ka taklam a tu in,
42Maana Daudi mwenyewe anasema katika Zaburi: Bwana alimwambia Bwana wangu: Keti upande wangu wa kulia
43Na melmate na khepek ngakna dia ka bawl masiah, a chi, a chi a.
43mpaka niwafanye adui zako kama kiti cha kuwekea miguu yako.
44Huchiin Davidin amah Toupa a chi ngala, bang chin ahia a tapa a hih theih? a chi a.
44Ikiwa Daudi anamwita yeye, Bwana, basi atakuwaje mwanawe?"
45Huan, mi tengteng theihin a nungjuite kiangah, Laigelhmite lakah pilvang un;
45Yesu aliwaambia wanafunzi wake mbele ya watu wote,
46amau puannak tual silha vak a ut uh, dawl mun ah chibai buk bang, kikhopna inah tutphah hoihpente bang ankuang luina ah mun hoihpente bang a deihtuam nak uh hi;meithaite inte a negai ua, mi khemna dingin sawt pipi a thum uh. Huaiten siam louh anak tan semding uhi, a chi a.
46"Jihadharini na walimu wa Sheria ambao hupenda kupitapita wamevalia kanzu. Hupenda kusalimiwa na watu kwa heshima masokoni, huketi mahali pa heshima katika masunagogi na kuchukua nafasi za heshima katika karamu.
47meithaite inte a negai ua, mi khemna dingin sawt pipi a thum uh. Huaiten siam louh anak tan semding uhi, a chi a.
47Huwadhulumu wajane huku wakisingizia kuwa wema kwa kusali sala ndefu. Hao watapata hukumu kali zaidi!"