Paite

Swahili: New Testament

Luke

21

1Huan, A dak khia a, mi hauten sumkholnaa sum a khiak lai uh a mu a.
1Yesu alitazama kwa makini, akawaona matajiri walivyokuwa wanatia sadaka zao katika hazina ya Hekalu,
2Huan, meithai tagah tak kuahiamin dal dangka muja nih hongkhia leng a mu a.
2akamwona pia mama mmoja mjane akitumbukiza humo sarafu mbili ndogo.
3Huchiin, Chih taktakin ka honhilh ahi, Hiai tengteng sangin tua meithai tagah takin a khe tam jaw;
3Basi, akasema, "Nawaambieni kweli, mama huyu mjane ametia zaidi katika hazina kuliko wote.
4hiai tengtengin a neih let uh a khia uh; aman bel a kitunhingna dinga a neih sunsun a khe vek ahi, achia.
4Kwa maana, wengine wote wametoa sadaka zao kutokana na ziada ya mali zao, lakini huyu mama, ingawa ni maskini, ametoa kila kitu alichohitaji kwa kuishi."
5Huan, kuate hiamin Pathian biakin thu, suang hoihtak leh thil piak khawma a zep kilawm dan uh, a gen lai un, aman,
5Baadhi ya wanafunzi walikuwa wanazungumza juu ya Hekalu, jinsi lilivyopambwa kwa mawe ya thamani, pamoja na sadaka zilizotolewa kwa Mungu. Yesu akasema,
6Hiai na thil muh uh, hihchip louha suang kichiang himhim hiaiah a om kei ding; tuabangni a hongtung ding, achia.
6"Haya yote mnayoyaona--zitakuja siku ambapo hakuna hata jiwe moja litakalosalia juu ya lingine; kila kitu kitaharibiwa."
7Huan, amau, a kiang ah, Sinsakpa, huaite chik chiah a hongom ding ua? huaite a hongtun ding chiangin chiamtehna bang a om dia? chiin, a dong ua.
7Basi, wakamwuliza, "Mwalimu, mambo hayo yatatokea lini? Na ni ishara gani zitakazoonyesha kwamba karibu mambo hayo yatokee?"
8Huan, aman, Pimanga na om louhna ding un pilvang un. Mi tampiin, Kris tuh ka hi, a hun a tungding a hita, chiin, keimah min sial in a hong ding uh; huaite jui kei un.
8Yesu akawajibu, "Jihadharini, msije mkadanganyika. Maana wengi watatokea na kulitumia jina langu wakisema: Mimi ndiye, na, Wakati ule umekaribia. Lakini ninyi msiwafuate!
9Huan, kidou thu leh buai thu na jak hun chiang un lau kei un; huaite a tung masa ding a, tawpna bel hi pah lou ding ahi ngala, a chi a.
9Basi, mtakaposikia habari za vita na misukosuko, msitishike; maana ni lazima hayo yatokee kwanza, lakini mwisho wa yote, bado."
10Huan, a kianguah, Nam tuam leh nam tuam a kidou ding ua, gam tuam leh gam tuam a kidou ding uh;
10Halafu akaendelea kusema: "Taifa moja litapigana na taifa lingine, na ufalme mmoja utapigana na ufalme mwingine.
11jin nakpi takin a ling dinga, mun tuamtuam ah kial khawng a ke ding a, hi bang a lenglai dinga; van a kipanin thil lauhuai leh chiamtehna thupitak bang a hongom ding hi.
11Kila mahali kutakuwa na mitetemeko mikubwa ya ardhi, kutakuwa na njaa na tauni. Kutakuwa na vituko vya kutisha na ishara kubwa angani.
12Himahleh, huai thil tengteng a tun main, nou a honman ding ua, kikhopnaina leh suangkulha-te kiangah piin a honhihgim ding uh, keimah min jiakin kumpipate leh gam ukte ma ah a honpi ding uh.
12Lakini kabla ya kutokea hayo yote, watawatieni nguvuni, watawatesa na kuwapelekeni katika masunagogi na kuwatia gerezani; mtapelekwa mbele ya wafalme na watawala kwa ajili ya jina langu.
13Hiai noute-a din theihpihna hun lemtang ahi ding.
13Hii itawapeni fursa ya kushuhudia Habari Njema.
14Huchiin, dawnna ding ngaihtuah khol lou dingin na lungtang uah kihihkip un;
14Muwe na msimamo huu mioyoni mwenu: hakuna kufikiria kabla ya wakati juu ya jinsi mtakavyojitetea,
15na melma tengteng un hondou ua honsel theihlouhna ding un kam leh pilna honpe ding ka hi ngala.
15kwa sababu mimi mwenyewe nitawapeni ufasaha wa maneno na hekima, hivyo kwamba zenu hawataweza kustahimili wala kupinga.
16Huan, na nu u leh na pate, na unaute, na sanggamte, na lawmte un leng honmansak ding uh; a khen a honhihlum ding uh;
16Wazazi wenu, ndugu, jamaa na rafiki zenu watawasaliti ninyi; na baadhi yenu mtauawa.
17keimah min jiakin mi tengteng huat na hi ding uh.
17Watu wote watawachukieni kwa sababu ya jina langu.
18Himahleh, na samzang khat uh leng a mangthang kei ding.
18Lakini, hata unywele mmoja wa vichwa vyenu hautapotea.
19Na kuhkalna uah na hin uh nahumbit ding uhi.
19Kwa uvumilivu wenu, mtayaokoa maisha yenu.
20Himahleh, sepaihten Jerusalem khua a um uh na muh chiang un, a mangthang dek chih thei un.
20"Mtakapoona mji wa Yerusalemu umezungukwa na majeshi, ndipo mtambue ya kwamba wakati umefika ambapo mji huo utaharibiwa.
21Huai hun chiangin Judia gama omten tangah taimang san u heh; a sunga omten pawt san u heh, gama omte tuh a sungah lut kei u heh.
21Hapo walioko Yudea wakimbilie milimani; wale walio mjini watoke; na wale walio mashambani wasirudi mjini.
22Huai nite tuh phu lakna ahi, thu a gelh tengteng uh a hongtun theihna ding in.
22Kwa maana siku hizo ni siku za adhabu, ili yote yaliyoandikwa yatimie.
23Huai nitein gaite leh naunou pomte tung a gik ding, khovel ah haksatna thupitak a tun ding jiakin leh hiai chite tunga hehna a tun ding jiakin.
23Ole wao waja wazito na wanyonyeshao siku hizo! Kwa maana kutakuwa na dhiki kubwa katika nchi, na hasira ya Mungu itawajia watu hawa.
24Huan, temsau in a si ding ua, nam chih kiangah sala piin a om ding uh; huan, jentelte ni a tawp mateng Jerusalem khua Jentelte sikdenin a om ding hi.
24Wengine watauawa kwa upanga, wengine watachukuliwa mateka katika nchi zote; na mji wa Yerusalemu utakanyagwa na watu wa mataifa mengine, hadi nyakati zao zitakapotimia.
25Huan, ni ah bang, kha ah bang, aksi ah bang, chiamtehna a om dinga; tuipi mau leh a kihoh jiakin lei ah leng nam chih haksatna leh mangbatna a tung ding;
25"Kutakuwa na ishara katika jua na mwezi na nyota. Mataifa duniani yatakuwa na dhiki kwa sababu ya wasiwasi kutokana na mshindo wa mawimbi ya bahari.
26mite, launa jiak leh khovela thil hongtung ding ngaihtuah jiakin, a sibup ding uhi; van thilhihtheihnate ling ding ahi ngala.
26Watu watazirai kwa sababu ya uoga, wakitazamia mambo yatakayoupata ulimwengu; kwa maana nguvu za mbingu zitatikiswa.
27Huai hun chiangin Mihing Tapa thilhihtheihna leh thupina thupi toh mei laka hong a mu ding uh.
27Halafu, watamwona Mwana wa Mtu akija katika wingu, mwenye nguvu na utukufu mwingi.
28Huan, huai thilte a hongtun kipat chiangin en tou unla, dak khia un; na tatna uh hongnaita ahihmanin, achia.
28Wakati mambo hayo yatakapoanza kutukia, simameni na kuinua vichwa vyenu juu, kwa maana ukombozi wenu umekaribia."
29Huan, a kiang uah gentehna thu a gen a: Theipi kung leh sing tengteng en un;
29Kisha akawaambia mfano: "Angalieni mtini na miti mingine yote.
30a hongsel nou takin huai tuh na mu ua, nipi hongtung ding ahi chih noumauin na thei uhi.
30Mnapoona kwamba imeanza kuchipua majani, mwatambua kwamba wakati wa kiangazi umekaribia.
31Huchi mahbangin nou leng huai bangte a hongtung na muh hun chiang un, Pathian Gam a hongnaita chih thei un.
31Vivyo hivyo, mtakapoona mambo hayo yanatendeka, mtatambua kwamba Ufalme wa Mungu umekaribia.
32Chihtaktakin ka hon hilh ahi, thil tengteng a tun kim masiah tulai khangthakte a mang kei ding uh.
32Nawaambieni hakika, kizazi hiki cha sasa hakitapita kabla ya hayo yote kutendeka.
33Lei leh van a mang dia, ka thute jaw a mang kei ding.
33Mbingu na dunia vitapita, lakini maneno yangu hayatapita.
34Ahihhangin pilvang un, huchilou injaw nek vah luat toh, zu kham toh dam sung khosak ngaihtuah toh, na lungtang uh a dim lokha ding a, huai niin thang awk bangin thakhatin na tunguah a hongtung guih kha ding.
34"Muwe macho, mioyo yenu isije ikalemewa na anasa, ulevi na shughuli za maisha haya. La sivyo, Siku ile itawajieni ghafla.
35Tuabang takin leitung tengteng a omte tungah a tung chiat ding ahi ngala.
35Kwa maana itawajia kama mtego, wote wanaoishi duniani pote.
36Huchiin, huai thil hongtung ding tengteng pel ding leh Mihing Tapa maa dingtak dinga seh na hih theihna ding uleh thahatna na neihna dingun chiklai peuhin leng thum kawmin limsak gige un, a chi a.
36Muwe waangalifu basi, na salini daima ili muweze kupata nguvu ya kupita salama katika mambo haya yote yatakayotokea, na kusimama mbele ya Mwana wa Mtu."
37Huan, ni tengin Pathian biakin ah thu hilh jel a; jan tengin a pawta, Oliv tang a chih uah a giak jel hi.Huan, jingin a thu ngaikhe dingin mi tengteng Pathian biakin ah a kiangah a hong jel uh.
37Wakati wa mchana, siku hizo, Yesu alikuwa akifundisha watu Hekaluni; lakini usiku alikuwa akienda katika mlima wa Mizeituni na kukaa huko.
38Huan, jingin a thu ngaikhe dingin mi tengteng Pathian biakin ah a kiangah a hong jel uh.
38Watu wote walikuwa wanakwenda Hekaluni asubuhi na mapema, wapate kumsikiliza.