1Huan, tanghou silngou sohlouh ankuanglui, Paikan Ankuanglui kichi a naita a.
1Sikukuu ya Mikate Isiyotiwa chachu, iitwayo Pasaka, ilikuwa inakaribia.
2Huan, siampu liante leh laigelhmiten a hihlupna dan a zong ua, vantang lah a kihta ngal ua.
2Makuhani wakuu na walimu wa Sheria wakawa wanatafuta njia ya kumwua Yesu, lakini waliwaogopa watu.
3Huan, sawm leh nihte lak a pang, Juda, Iskariot kichi sungah Setan a lut a.
3Basi, Shetani akamwingia Yuda aitwae Iskarioti, mmoja wa wale mitume kumi na wawili.
4Huchiin, amah a vapaia, a kiang ua juausana mat sak theihna dingdan siampu liante leh heutute a vakihoupih a.
4Yuda akaenda akajadiliana na makuhani wakuu na walinzi wa Hekalu kuhusu atakavyomsaliti Yesu kwao.
5Huan, amau a kipak mahmah ua, a kiangah dangka piak achiamta uhi.
5Nao wakafurahi na kupatana naye kumlipa fedha.
6Huan, aman lem a sa a, mipi om louh kala juausana matsakna lemtang a zongta a.
6Yuda akakubali, na akawa anatafuta nafasi nzuri ya kumkabidhi kwao bila umati wa watu kujua.
7Huan, tanghou silngou soh louh ni, Paikan Ankuangluina belamnou gohna ding ni, a hongtungta a.
7Basi, siku ya Mikate Isiyotiwa chachu ikafika. Hiyo ndiyo siku ambayo mwana kondoo wa Pasaka huchinjwa.
8Huchiin, Jesun, Peter leh Johan a sawla, Paikan Ankuang lui i nek dingin hon va hih sak un, chiin.
8Hivyo Yesu akawatuma Petro na Yohane, akawaambia, "Nendeni mkatuandalie karamu ili tupate kula Pasaka."
9Huan, amau, a kiangah, Koiah vahih le ung na ut a? a chi ua.
9Nao wakamwuliza, "Unataka tuiandae wapi?"
10Huan, aman, a kiang uah, Ngai un, khopia na lut un, pasal, bela tui puain hontuak dinga, a lutna in ah juilut un.
10Akawaambia, "Sikilizeni! Mtakapokuwa mnakwenda mjini, mtakutana na mwanamume anayebeba mtungi wa maji. Mfuateni mpaka ndani ya nyumba atakayoingia.
11Huan, inneipa kiangah, Sinsakpan, Ka nungjuite toh paikan ankuang ka nekna dinguh, mikhual indan koilai ahia? honchi hi, nachi ding uh.
11Mwambieni mwenye nyumba: Mwalimu anakuuliza, kiko wapi kile chumba ambamo nitakula Pasaka pamoja na wanafunzi wangu?
12Huchiin, aman indan tungnung za pi, van omsa, a honensak ding; huaiah hih un, achi a.
12Naye atawaonyesheni chumba kikubwa ghorofani ambacho kimepambwa. Andalieni humo."
13Huan, a hohta ua, a kiangua a gen bang takin a muta ua; huan, Paikan Ankuang avabawl uh.
13Basi, wakaenda, wakakuta kila kitu sawa kama Yesu alivyokuwa amewaambia; wakaandaa karamu ya Pasaka.
14Huan, a nek a honghunin, aman an a um a, a sawltakten a umpih sam uhi.
14Saa ilipotimia, Yesu akakaa kula chakula pamoja na mitume wake.
15Huan, a kiang uah, Ka thuak ding ka thuak main hiai Paikan Ankuang honnek pih ka ut mahmah ahi.
15Akawaambia, "Nimetamani sana kula Pasaka hii pamoja nanyi kabla ya kuteswa kwangu.
16Ka honhilh ahi, hiai tuh Pathian gama a taktak a hih ma siah, ka ne nawnta kei ding hi, a chi a.
16Maana nawaambieni, sitaila tena hadi hapo itakapokamilika katika Ufalme wa Mungu."
17Huan, nou a la a, kipah thu a gen khitin, Hiai la unla, kihawm un;
17Kisha akatwaa kikombe, akashukuru akasema, "Pokeeni, mgawanye ninyi kwa ninyi.
18ka honhilh ahi, tuban Pathian gam a hongtun masiah grep gui gah tui ka dawn nawnta kei ding, a chi a.
18Kwa maana nawaambieni, sitakunywa tena divai ya zabibu mpaka Ufalme wa Mungu utakapokuja."
19Huan, tanghou a laa, kipahthu a gen khitin a balkhama, a kiang uah a piaa, Hiai ka sapum ahi, na sik ua piakding tuh ahi; keimah theihgigena in hiai hihjel un, achi a.
19Halafu akatwaa mkate, akashukuru, akaumega, akawapa akisema, "Huu ni mwili wangu, unaotolewa kwa ajili yenu. Fanyeni hivi kwa kunikumbuka."
20Huan, nitakan nek zohin huchi mahbangin nou a laa, Hiai nou ka sisana thukhun thak tuh ahi, na sik ua pawt ding tuh.
20Akafanya vivyo hivyo na kikombe, baada ya chakula, akisema, "Kikombe hiki ni agano jipya linalothibitishwa kwa damu yangu inayomwagika kwa ajili yenu.
21Himahleh, ngai un, juausana honmansak dingpa khut ka kiangah dohkan tungah a om ngala.
21"Lakini, tazameni! Yule atakayenisaliti yuko nami hapa mezani.
22Mihing Tapa seh bang in a pai ding ahi himahleh, juausana mansakdingpa mihing tung a gik hi! a chi a.
22Kweli Mwana wa Mtu anakwenda kuuawa kama ilivyopangwa, lakini ole wake mtu anayemsaliti."
23Huan, amau lak uah huchibang thil hih ding kua ahi dia le? chiin, a kidongta ua.
23Hapo wakaanza kuulizana wao kwa wao ni nani kati yao atakayefanya jambo hilo.
24Huan, a lak uah kuapen ahia thupipena a seh, chih thu ah, kiselna a hongpawt a.
24Kulitokea ubishi kati ya hao mitume kuhusu nani miongoni mwao anayefikiriwa kuwa mkuu zaidi kuliko wengine.
25Huan, aman, akiang uah, Jentel kumpipate a tunguah a lal gige uh a, a tungua thuneite Nu leh Pa, a chi gige uh.
25Yesu akawaambia, "Wafalme wa mataifa huwatawala watu wao kwa mabavu, nao huitwa wafadhili wa watu.
26Himahleh, nou jaw huchibang na hi kei ding uh; na lak ua thupipen nau jaw bangin om henla, makai pen na sempen bangin om jaw heh.
26Lakini isiwe hivyo kati yenu; bali, yule aliye mkuu kati yenu ni lazima awe mdogo wa wote, na aliye kiongozi lazima awe kama mtumishi.
27Kua ahia thupi jaw, an um hia, anpepa? An um hi lou hia? Himahleh kei jaw na lak uah nasempa bangin ka om hi.
27Kwa maana, ni nani aliye mkuu: yule anayeketi mezani kula chakula, ama yule anayetumikia? Bila shaka ni yule anayeketi mezani kula chakula! Hata hivyo, mimi niko hapa kati yenu kama mtumishi.
28Zeetna ka tuah sung noute kei honom pihte na hi uh;
28"Ninyi ndio mliobaki nami wakati wote wa majaribu yangu;
29huchiin, kei ka Pan gam a honseh sak bangin gam ka honseh sak ahi.
29na, kama vile Baba yangu alivyonikabidhi Ufalme, vivyo hivyo nami nitawakabidhi ninyi Ufalme.
30Ka gama ka dohkana na nek ua na dawn theihna ding un; huchiin, Israel nam sawm leh nam nih vaihawm sakin laltutphah ah na hongtu ding uhi.
30Mtakula na kunywa mezani pangu katika ufalme wangu, na mtaketi katika viti vya enzi kuyahukumu makabila kumi na mawili ya Israeli.
31Simon, Simon, ngaiin, Setanin buh sep banga a honsep theihna dingin, noute honngen eive;
31"Simoni, Simoni! Sikiliza! Shetani alitaka kuwapepeta ninyi kama mtu anavyopepeta ngano.
32himahleh, na ginna a man louhna din ka honthum sak ahi; na kihei nawn chiangin nang na unaute hihkipin, a chi a.
32Lakini mimi nimekuombea ili imani yako isipungue. Nawe utakaponirudia, watie moyo ndugu zako."
33Huan, aman, a kiangah, Toupa, na kiangah suangkulh ah leh sihna ah leng pai sam ngap ka hi, a chi a.
33Naye Petro akamjibu, "Bwana, mimi niko tayari kwenda pamoja nawe gerezani, na hata kufa."
34Huan, aman, Peter, ka honhilh ahi, na hontheihna ah thum vei non kitheihmohbawl masiah tuniin ak a khuang kei ding, a chi a.
34Yesu akamjibu, "Nakwambia wewe Petro, kabla jogoo hajawika leo utakuwa umenikana mara tatu."
35Huan, a kiang uah, Dangka ip lou a, kawljal loua, khedap loua ka honsawl khiakin bang na tasam ua? a chi a. Huan, amau, Bangmah, a chi ua.
35Kisha, Yesu akawauliza wanafunzi wake, "Wakati nilipowatuma bila mfuko wa fedha wala mkoba wala viatu, mlitindikiwa chochote?" Wakajibu, "La."
36Huan, aman, a kiang uah, Tun jaw dangka ip neiin keng henla, kawljal toh, kuapeuh temsau neilouin a puan juak henla, lei hen.
36Naye akawaambia, "Lakini sasa, yule aliye na mfuko wa fedha auchukue; na aliye na mkoba, hali kadhalika. Na yeyote asiye na upanga, auze koti lake anunue mmoja.
37Ka honhilh ahi, Amah talekte lakah sim tel ahi, chih gelh ka tungah a hongtung ahi; ka tungtang hiai thu tungkim ngei ding ahi ngala, a chi a.
37Maana nawaambieni, haya maneno ya Maandiko Matakatifu: Aliwekwa kundi moja na wahalifu, ni lazima yatimie. Naam, yale yanayonihusu yanafikia ukamilifu wake."
38Huan, amau, Toupa, en dih, hiah temsau nih a om, a chi ua. Aman, a kiang uah, A hun, a chi a.
38Nao wakasema, "Bwana, tazama; hapa kuna panga mbili." Naye akasema, "Basi!"
39Huan, amah a pawta, a ngeina danin Oliv tangah a hohta a; nungjuiten leng a jui uh.
39Yesu akatoka, na kama ilivyokuwa desturi yake, akaenda katika mlima wa Mizeituni; wanafunzi wake wakamfuata.
40Huan, a mun a vatun un, a kianguah, khemnaa nalut louhna dingun, thum un, a chi a.
40Alipofika huko akawaambia, "Salini, msije mkaingia katika kishawishi."
41Huan, suanga den phak tan khawngah a vapai tuamta a;
41Kisha akawaacha, akaenda umbali wa mtu kuweza kutupa jiwe, akapiga magoti, akasali:
42Huan, a khukdin a, a thum a, Pa, hoih na sak leh hiai nou ka kianga pan la suan in; himahleh kei thu hi lou in, nangmah thuthu hi jaw hen, a chi a.
42"Baba, kama wapenda, ukiondoe kwangu kikombe hiki; hata hivyo, mapenzi yako yatimizwe, wala siyo yangu."
43Huan, van a kipanin angel khat a hihhat dingin a kiangah a hongkilaka.
43Hapo, malaika kutoka mbinguni, akamtokea ili kumtia moyo.
44Huan, a gim mahmaha, phatuamngai nawnsemin a thum a; a kho-ul tuh, si bangin mal liantak takin lei ah a tak khe ta a.
44Akiwa katika uchungu mkubwa, alisali kwa bidii zaidi; na jasho likamtoka, kama matone ya damu, likatiririka mpaka chini.
45Huan, a thum khita a thohin, nungjuite kiangah a honga, a lungkham jiakun a na ihmu uh a mu a;
45Baada ya kusali, aliwarudia wanafunzi wake, akawakuta wamelala, kwani walikuwa na huzuni.
46huan, a kiang uah, Bangdia ihmu na hi ua? Khemnaa na lutlouhna dingun thou unla, thum un, a chi a.
46Akawaambia, "Mbona mnalala? Amkeni msali, msije mkaingia katika kishawishi."
47Huan, a gen laitakin, ngai dih, mipi a hong ua, sawm leh nihte laka tel Juda a chih un a ma uh a kaia; huan, tawp tumin Jesu a honjuan a.
47Alipokuwa bado anaongea, kundi la watu likaja likiongozwa na yule aliyeitwa Yuda, mmoja wa wale mitume kumi na wawili. Yuda akaenda kumsalimu Yesu kwa kumbusu.
48Himahleh, Jesun, a kiang ah, Juda, Mihing Tapa tawpa mansak ding na hi maw? achia a.
48Lakini Yesu akamwambia, "Yuda! Je, unamsaliti Mwana wa Mtu kwa kumbusu?"
49Huan, a kima miten thil hongtung ding a theih un, Toupa, temsauin ka sat ding uam? a chi ua.
49Wale wanafunzi wake walipoona hayo wakasema, "Bwana, tutumie panga zetu?"
50Huan, a lakua kuahiamin Siampu Lianpen sikha a sata, a bil taklam a sat khiak saka.
50Na mmoja wao akampiga upanga mtumishi wa Kuhani Mkuu, akamkata sikio lake la kulia.
51Huan, Jesun, Hih nawn ken, a chi a. Huan, a bil tuh a khoiha, a hihdamta hi.
51Hapo, Yesu akasema, "Acha! Hii inatosha." Akaligusa sikio la mtu huyo akaliponya.
52Huan, Jesun, a kianga hong siampu liante Pathian biakin heutute leh upate kiangah, Temsau khawng, khetbuk khawng keng in, suamhat man ding bang hialin na hong pawt uh ahi maw?
52Kisha Yesu akawaambia makuhani wakuu, wakubwa wa walinzi wa Hekalu na wazee waliokuja kumkamata: "Je, mmekuja na mapanga na marungu kunikamata kana kwamba mimi ni mnyang'anyi?
53Pathian biakina na kiang ua ni tenga ka om lai khawnga honmat tumin non sawk ngal kei ua; himahleh tu na tat hun uh ahi, mial thuneihna toh, a chi a.
53Nilipokuwa pamoja nanyi kila siku Hekaluni hamkunitia nguvuni. Lakini, huu ndio wakati wenu hasa, ndio wakati wa utawala wa giza."
54Huan, a man ua, a pi ua, Siampu Lianpen in ah a pi lut tau a.
54Basi, wakamkamata, wakamchukua na kwenda naye nyumbani kwa Kuhani Mkuu. Petro akawa anamfuata nyuma kwa mbali.
55Huan, Peterin gamlapia kipanin a juia. Huan, in huangsung intual ah mei a chih ua, a tu khawm ua, Peter a lak uah a vatu sam hi.
55Moto ulikuwa umewashwa katikati ya ua, nao wakawa wameketi pamoja Petro akiwa miongoni mwao.
56Huan, mei vaka a tutlaiin nungak kuahiamin a mu a, a en nilouh a, Hiai mi leng a kianga om ahi, a chi a.
56Mjakazi mmoja alipomwona Petro ameketi karibu na moto, akamkodolea macho, akasema, "Mtu huyu alikuwa pia pamoja na Yesu."
57Aman bel, Numei, amah ka theikei, chiin a kitheihmohbawla.
57Lakini Petro akakana akisema, "Wee! simjui mimi."
58Huan, a denchiang deuhin midangin a hongmu nawna, Nang leng a lak ua mi na hi ve, a chi a. Peterin bel, Mihing aw, ka hi kei, a chi a.
58Baadaye kidogo, mtu mwingine akamwona Petro, akasema, "Wewe ni mmoja wao." Lakini Petro akajibu "Bwana we; si mimi!"
59Huan, dak kal khat phial nungin, mi dangin, hiai mi leng a kianga om ahi tham ve; Galili gama mi ahi vo oi, a chi chiltela.
59Kama saa moja baadaye, mtu mwingine akasisitiza, "Hakika huyu alikuwa pamoja naye; ametoka Galilaya ati."
60Huan, Peterin, Mihing aw, na thu gen ka theikei, a chi a. Huan, thakhatin, a pau lai takin ak a khuangta hi.
60Lakini Petro akasema, "Bwana wee; sijui hata unachosema!" Na papo hapo, akiwa bado anaongea, jogoo akawika.
61Huan, Toupa a kihei a, Peter a ena. Huan, Peterin, Toupan, Tuniin ak a khuang main thum vei na honkitheihmohbawl ding, a kianga a chih thu a honthei khe nawnta a.
61Bwana akageuka na kumtazama Petro, naye Petro akakumbuka yale aliyokuwa ameambiwa na Bwana: "Leo kabla jogoo hajawika, utanikana mara tatu."
62Huan, a pawta, a kap huphup.
62Hapo akatoka nje, akalia sana.
63Huan, Jesu Lenten nuihzabawlnan a zang ua, a sat ua,
63Wale watu waliokuwa wanamchunga Yesu, walimpiga na kumdhihaki.
64Huan, a mit a tuam ua, Gen in, kua ahia honsat? chiin, a dong uh.
64Walimfunga kitambaa usoni, wakawa wanamwuliza, "Ni nani aliyekupiga? Hebu bashiri tuone!"
65Huan, thu dang tam piin leng a gensia un a kou uh.
65Wakamtolea maneno mengi ya matusi.
66Huan, khovak takin upahon, siampu liante leh laigelhmite, a hongkikhawmua, a vaihawm na uah a pi ua.
66Kulipokucha, kikao cha wazee wa watu kilifanyika, ambacho kilihudhuriwa na makuhani wakuu na walimu wa Sheria. Yesu akaletwa mbele ya Baraza hilo.
67Kris na hih leh honhilh in, a chi ua. Huan, aman, a kiang uah: Honhilh mahleng na ging kei ding uh;
67Nao wakamwambia, "Twambie! Je, wewe ndiwe Kristo?" Lakini Yesu akawaambia, "Hata kama nikiwaambieni, hamtasadiki;
68hondong lengleng, non dawng kei ding uh.
68na hata kama nikiwaulizeni swali, hamtanijibu.
69Himahleh, tuban siah Mihing Tapa Pathian thilhihtheihna taklamah a tu ta ding, a chi a.
69Lakini tangu sasa, Mwana wa Mtu atakuwa ameketi upande wa kulia wa Mungu Mwenyezi."
70Huan, a vek un, Nang Pathian Tapa na hi maw leh? a chi ua. Huan, aman, a kianguah, Hi e, non chih bang un, a chi a.Huan, amau, Bang theihna dang i deih lai dia? ei mah mahin amah kamsuak i zata ve le, a chi ua.
70Hapo wote wakasema, "Ndiyo kusema wewe ni Mwana wa Mungu?" Naye akasema, "Ninyi mnasema kwamba mimi ndiye."
71Huan, amau, Bang theihna dang i deih lai dia? ei mah mahin amah kamsuak i zata ve le, a chi ua.
71Nao wakasema, "Je, tunahitaji ushahidi mwingine? Sisi wenyewe tumesikia akisema kwa mdomo wake mwenyewe."