Paite

Swahili: New Testament

Luke

24

1Huan, Khawlniin thupiak bangin a khawlta ua; ni sagih ni masapenin; phalvakin, bang hiam gim namtui a bawlte uh tawiin, han ah a vahoh ua.
1Jumapili, alfajiri na mapema, wale wanawake walikwenda kaburini wakichukua yale manukato waliyotayarisha.
2Huan, han a kipan suang tum khuk suanin a mu ua;
2Walikuta lile jiwe limeviringishwa mbali na kaburi.
3huan, a lut ua, Toupa Jesu luang lah a mu ngal kei ua.
3Walipoingia ndani, hawakuona mwili wa Bwana Yesu.
4Huan, hichi ahia, tua jiaka a mangbat laiun, ngai in, mi nih puan mileng thei silh a kiangah a hongding ua;
4Walipokuwa bado wanashangaa juu ya jambo hilo, mara watu wawili waliovaa mavazi yenye kung'aa sana, wakasimama karibu nao.
5huan, a lau ua a khupboh lai un, amau a kianguah, Bang dia misi laka mi hing zong?
5Hao wanawake wakaingiwa na hofu, wakainama chini. Ndipo wale watu wakawaambia, "Kwa nini mnamtafuta aliye hai kati ya wafu?
6Hiai ah a omta kei hi, a thou nawnta; Galili gama a om laia na kiang ua a thu gen thei un,
6Hayuko hapa; amefufuka. Kumbukeni aliyowaambieni alipokuwa kule Galilaya:
7Mihing Tapa mikhialte khuta mat sakin a om dinga, kros ah a kilhden ding uh, ni thum niin a thou nawn ding ahi, a chih, a chi ua.
7Ni lazima Mwana wa Mtu atolewe kwa watu waovu, nao watamsulubisha, na siku ya tatu atafufuka."
8Huan, a thu a honthei nawnta ua,
8Hapo wanawake wakayakumbuka maneno yake,
9han akipan a pai nawnun, sawm leh khatte leh mi dang tengtengte kiangah huai thil tengteng a hilh uh.
9wakarudi kutoka kaburini, wakawapa mitume wale kumi na mmoja na wengine habari za mambo hayo yote.
10Mari Magdalini te, Mari te, Joanna te, Jakob nu Mari te leh a kiang ua numei dangte ahi uh, sawltakte kiangah huai thu hilh te.
10Hao waliotoa habari hizo kwa mitume ni: Maria Magdalene, Yoana na Maria mama wa Yakobo, pamoja na wanawake wengine walioandamana nao.
11Himahleh, huai thu tuh thu maimai bangin a sep ua, a taksan sak kei uhi.
11Mitume waliyachukua maneno hayo kama yasiyo na msingi, hivyo hawakuamini.
12Himahleh Peter a thou a, han ah a taita a; huan, a kun a, a en a, puan mal ngat omte kia a mu a, huchiin, thil omdan tuh lamdang sa takin a in lamah a paita hi.
12Lakini Petro alitoka, akaenda mbio hadi kaburini. Alipoinama kuchungulia ndani, akaiona tu ile sanda. Akarudi nyumbani huku akiwa anashangaa juu ya hayo yaliyotokea.
13Huan, ngai in, huai ni mahmahin a lak ua mi nih khua khat Emmau a chi uah a hoh dek ua, huai khua tuh Jerusalem khua a patin ching sawmguk ahi a.
13Siku hiyohiyo, wawili kati ya wafuasi wake Yesu wakawa wanakwenda katika kijiji kimoja kiitwacho Emau, umbali wa kilomita kumi na moja kutoka Yerusalemu.
14Huan, thil hongtung tengteng a gen khawm jel ua.
14Wakawa wanazungumza juu ya hayo yote yaliyotukia.
15Huan, agen ua, a kisel lai un, Jesu ngeiin a honjuana, a kianguah a pai samta a.
15Walipokuwa wakizungumza na kujadiliana, Yesu mwenyewe akatokea, akatembea pamoja nao.
16Himahleh, amah a theihtheihlouhna ding un, a mit uh hihvaihin a om hi.
16Walimwona kwa macho, lakini hawakumtambua.
17Huan, a kiang uah, Pai kawma na gen khawm uh, bang thu ahia? a chi a. Huan, dah takin a ding kinken ta ua.
17Akawauliza, "Mnazungumza nini huku mnatembea?" Nao wakasimama kimya, nyuso zao wamezikunja kwa huzuni.
18Huan, a min Kleopa penin, a kiangah, Jerusalem khua ah nangmah kiain hia na ten, tulaia thil omdan na theih louh? a chi a, a dawng a.
18Mmoja, aitwaye Kleopa, akamjibu, "Je, wewe ni mgeni peke yako Yerusalemu ambaye hujui yaliyotukia huko siku hizi?"
19Huan, aman, a kiang uah, Bang thil eita? a chi a. Huan, amau a kiangah, Nazaret Jesu, Pathian leh mi tengteng mitmuha a thu leh a thilhiha jawlnei minthangtak tanchin thu:
19Naye akawajibu, "Mambo gani?" Wao wakamjibu, "Mambo yaliyompata Yesu wa Nazareti. Yeye alikuwa nabii mwenye uwezo wa kutenda na kufundisha mbele ya Mungu na mbele ya watu wote.
20Siampu liante leh ka heutute un thah thu piak dingin a pi ua, krosa a kilhden thute khawng uh.
20Makuhani na watawala wetu walimtoa ahukumiwe kufa, wakamsulubisha.
21Kou Israelte tanpading a hih ka lametet utoh, Abangabang hita leh, huai thil tunnung siah tuni toh ni thum a hita.
21Lakini sisi tulitumaini kwamba yeye ndiye angeikomboa Israeli. Zaidi ya hayo yote, leo ni siku ya tatu tangu mambo hayo yalipotendeka.
22Huailou leng kapawlte uh numei kuate hiam jingsangin, a hanah a vahoh ua, honghihmangbang uh;
22Tena, wanawake wengine wa kwetu wametushtua. Walikwenda kaburini mapema asubuhi,
23a luang mu lou piin, Pathian angelte kilak ka mu uh, huai miten a hing nawnta chih a gen uh, a hongchi ua.
23wasiukute mwili wake. Wakarudi wakasema kwamba walitokewa na malaika waliowaambia kwamba alikuwa hai.
24Huan, ka ompih lak ua kuate hiam hanah a hoh ua, numeite genbang ngeiin a mu ua; himahleh, amah a mu sam kei uh, a chi ua.
24Wengine wetu walikwenda kaburini wakashuhudia yale waliyosema hao wanawake; ila yeye hawakumwona."
25Huan, aman, a kianguah, Mi haite aw: jawlneite thu gen tengteng gintak thu-a ngongte aw:
25Kisha Yesu akawaambia, "Mbona mu wapumbavu kiasi hicho na mioyo yenu ni mizito hivyo kusadiki yote yaliyonenwa na manabii?
26Krisin huai thil thuakin a thupinaa a lut ding him ahi ka hia? a chi a.
26Je, haikumpasa Kristo kuteswa, na hivyo aingie katika utukufu wake?"
27Huan, Mosi leh jawlneite tengteng a panin, laisiangthou tengtenga amah tanchin gelh peuhmah, amau a hilhchian jel hi.
27Akawafafanulia mambo yote yaliyomhusu yeye katika Maandiko Matakatifu kuanzia Mose hadi manabii wote.
28Huan, a hohna ding khua uh atung dek ta ua; huan, amah gam la deuha hoh tum bangin a om a.
28Walipokikaribia kile kijiji walikokuwa wanakwenda, Yesu akafanya kana kwamba anaendelea na safari;
29Huan, kamin a khou ua, Ka kiang uah tam tanla; nitaklam leng hi ding hita a, ni leng tum dekta aka, chiin. Huan a kiang ua tam dingin a lutta hi.
29lakini wao wakamsihi wakisema, "Kaa pamoja nasi, maana kunakuchwa, na usiku unakaribia." Basi, akaingia kijijini, akakaa pamoja nao.
30Huan, hichi ahi a, a kiang ua an uma a tutin tanghou a la a, a vualzawla, a balkhama, a kiang uah a pia a.
30Alipoketi kula chakula pamoja nao, akachukua mkate, akaubariki, akaumega, akawapa.
31Huan, a mit uh a hongvakta a, a mel a hontheita uh. Huan, amah a mangta mai hi.
31Mara macho yao yakafumbuliwa, wakamtambua; lakini yeye akatoweka kati yao.
32Huan, amau, Lampi a honhoupih laia laisiangthou thute honhilhchet lai in i lungtang a vak huai him hilou hia? a kichi ua.
32Basi, wakaambiana, "Je, mioyo yetu haikuwa inawaka ndani yetu wakati alipokuwa anatufafanulia Maandiko Matakatifu kule njiani?"
33Huan, huai laitakin, a thou ua, Jerusalem khua ah a kik nawn ua, sawm leh khatte leh a lawmte om khawm a mu ua,
33Wakaondoka saa ileile, wakarudi Yerusalemu: wakawakuta wale mitume kumi na mmoja na wale wengine waliokuwa pamoja nao, wamekusanyika
34Toupa a na thou nawn taktak ahi, Simon kiangah leng a kilakta, a na chi ua.
34wakisema, "Hakika Bwana amefufuka, amemtokea Simoni."
35Huan, amau leng lampia thil hongtung leh, tanghou a balkhapa, a mel a natheih takdante uh a hilh sam uh.
35Basi, hao wafuasi wawili wakawajulisha yale yaliyowapata njiani, na jinsi walivyomtambua katika kumega mkate.
36Huan, huai thu a gen lai un amah mah a lak uah a hongdinga, a kiang uah, Na tunguah khamuanna om heh, a chi a.
36Wanafunzi wote wawili walipokuwa wakiwaambia hayo, Yesu mwenyewe akasimama kati yao, akawaambia "Amani kwenu."
37Himahleh, mulkimhuai a sa mahmah ua, a lau ua, sikha mu hiin a kingaihtuah ua.
37Wakashtuka na kushikwa na hofu wakidhani wameona mzimu.
38Huan, aman, a kiang uah, Bang achia mangbang na hi ua? Bangdia na lungsim ua ginlahna hongom ahia?
38Lakini yeye akawaambia, "Kwa nini mnafadhaika? Mbona mnakuwa na mashaka mioyoni mwenu?
39Ka khutte ka khepekte en un, kei mahmah ka hi a keihiam! honkhoih unla, thei un; sa leh guh neia non muh bang un khain jaw sa leh guh a nei ngal keia, a chi a.
39Angalieni mikono na miguu yangu, ya kwamba ni mimi mwenyewe. Nipapaseni mkanione, maana mzimu hauna mwili na mifupa kama mnionavyo."
40Huan, huai a gen khitin a khutte a khepekte amau a laka.
40Baada ya kusema hayo, akawaonyesha mikono na miguu.
41Huan, a kipah luat jiak ua a gin ngam louh a, lamdang a sak lai un, a kiang uah, Hiai ah banghiam nek ding na nei uhia? a chi a.
41Wakiwa bado katika hali ya kutosadiki kwa sababu ya furaha yao, na wakiwa wanastaajabu, akawauliza, "Mnacho chakula chochote hapa?"
42Huan, nga hou, bak khat a pia ua.
42Wakampa kipande cha samaki wa kuokwa.
43Huan, a la a, a ma uah a neta hi.
43Akakichukua, akala, wote wakimwona.
44Huan, a kiang uah, Hiaite ka thu ahi, Mosi Dan khawngah, Jawlnei Laibu khawngah ka tanchin gelh peuhmah a hongtun dingdan na kiang ua ka om laia ka honhilhhilhte, a chi a.
44Halafu akawaambia, "Hii ndiyo maana ya maneno niliyowaambia nilipokuwa pamoja nanyi: kwamba ilikuwa lazima kukamilisha yote yaliyoandikwa juu yangu katika Sheria ya Mose na katika vitabu vya manabii na katika kitabu cha Zaburi."
45Huchiin, laisiangthou thu theihna din a lungtang uh a vaksakta hi;
45Kisha, akaziangazia akili zao ili wapate kuelewa Maandiko Matakatifu.
46huan, a kiang uah, Hichibanga gelh ahi, Krisin gim a thuak dinga, ni thum niin misi lak a kipan a thou nawn ding a,
46Akawaambia, "Ndivyo ilivyoandikwa, kwamba Kristo atateswa na siku ya tatu atafufuka kutoka wafu,
47Amah minin lungsim kikhekna thu leh khelh ngaihdamna thu Jerusalem khua apatin, nam chih kiangah hilh ahi ding, chiin.
47na kwamba ni lazima, kwa jina lake, mataifa yote kuanzia na Yerusalemu yahubiriwe juu ya kutubu na kusamehewa dhambi.
48Huai thil tengteng a theihpihte na hi uh.
48Ninyi ni mashahidi wa mambo hayo.
49Huan, ngai un, ka Pa thil chiam na tunguah ka honsawl dinga; himahleh, tunglam akipan thilhihtheihnaa silhsaka naom masiah uh khopi ah om kinken un, a chi a.
49Nami mwenyewe nitawapelekeeni yule ambaye Baba aliahidi kumtuma, lakini ngojeni huku mjini mpaka mtakapopewa ile nguvu itokayo juu."
50Huan, Bethani phain a mau a pi khia a; huan, a ban a jak a, a vualjawl a,
50Kisha akawaongoza nje ya mji hadi Bethania, akainua mikono yake juu, akawabariki.
51Huan, hichi ahi a, a vualjawl lai takin amau a paisanta a, van ah pi touhin a omta hi.
51Alipokuwa anawabariki, akawaacha; akachukuliwa mbinguni.
52Huan, amah a bia ua, kipak petpetin Jerusalem khua ah a kik nawnta uh;huan, Pathian biakin ah Pathian phatin a omom uhi.
52Wao wakamwabudu, wakarudi Yerusalemu wakiwa na furaha kubwa:
53huan, Pathian biakin ah Pathian phatin a omom uhi.
53wakakaa muda wote Hekaluni wakimsifu Mungu.