1Ahihleh, Juda min hamphattuamna bang ahia a neih tuan? Zeksum leng bang ahi a phattuamna?
1Basi, Myahudi ana nini zaidi kuliko watu wengine? Au kutahiriwa kuna faida gani?
2Koi lam peuhah a phattuam hi; Pathian thute a kiang ua kep saka a om jiak ahi pen.
2Naam, iko faida kwa kila upande. Kwanza, Mungu aliwakabidhi Wayahudi ujumbe wake.
3Mi khenkhatten ginna neikei mahle uh, banga hi tuana eita? A gintak louhna un Pathian muanhuaidan bangmah louin a bawl tuan ahia?
3Lakini itakuwaje iwapo baadhi yao hawakuwa waaminifu? Je, jambo hilo litaondoa uaminifu wa Mungu?
4Bawl tuan lou hial; Pathian tuh mi diktak hita hen, mi chih tuh juauthei hi uheh; Nang na thu genin siam na tan theia, vaihawm na omin leng na zoh theihna dingin, chih gelh bangin.
4Hata kidogo! Mungu hubaki mwaminifu daima, ingawaje kila binadamu ni mwongo. Kama Maandiko Matakatifu yasemavyo: "Kila usemapo, maneno yako ni ya haki; na katika hukumu, wewe hushinda."
5Himahleh, i diktatlouhnain Pathian diktatna a hihlat hoih sem leh, bang i gen dia? Pathianin mi a gawtin, mi diktat lou ahi hia? (Mihing dan bangin ka gen a hi).
5Lakini, ikiwa uovu wetu unathibitisha kwamba Mungu anatenda kwa haki, tutasema nini? Je, tutasema kwamba anakosa haki akituadhibu? (Hapa naongea kibinadamu).
6Hilouhial; huchibang hih leh, Pathianin khovel vai bangchin a hawm dia?
6Hata kidogo! Ingekuwa hivyo, Mungu angewezaje kuuhukumu ulimwengu?
7Himahleh ka juauthu gen jiaka Pathian thu dikdan amah hihthupi khophiala a lat sem ngal leh, bangachia kei leng mi khial banga siamlouh tan saka om lai ka hia?
7Labda utasema: "Ikiwa ukosefu wa uaminifu kwa upande wangu unamdhihirisha Mungu kuwa mwaminifu zaidi na hivyo kumpatia utukufu, basi singepaswa kuhukumiwa kuwa mwenye dhambi!"
8Bang a chi a (hon hek ua, mi khenkhatin gen louhpi hon gen sak bang un). Thil hoih a hongtun theihna dingin thil gilou i hih ding uh, chia i gen jawk louh? Huchibang miten huchibang tuh siamlouh a tan dik him uhi.
8Ni sawa na kusema: tufanye maovu ili tupate mema! Ndivyo wengine walivyotukashifu kwa kutushtaki kwamba tumefundisha hivyo. Watahukumiwa wanavyostahili!
9Ahihleh amau sangin i hoih zo khol ua hia? Hoihzo lou hial; Judate leh Grikte khelhna sikhaa om vekin tumalamin leng i ngohta vele;
9Tuseme nini, basi? Je, sisi Wayahudi ni bora zaidi kuliko wengine? Hata kidogo! Kwa maana nimekwisha bainisha hapo mwanzoni kwamba Wayahudi na watu wa mataifa mengine wote wako chini ya utawala wa dhambi.
10Kuamah mi diktat himhim om kei uh, khat lel leng om het kei uh;
10Kama Maandiko Matakatifu yasemavyo: "Hakuna hata mmoja aliye mwadilifu!
11Kuamah theisiam himhim om kei uh, kuamah Pathian zong himhim om kei uh.
11Hakuna mtu anayeelewa, wala anayemtafuta Mungu.
12A hilou lamah a pial khinta ua, bangmaha phatuam lou in a naom khin vek ua, kuamah thil hoih hih himhim a om kei uh, khat lel leng a om kei uh.
12Wote wamepotoka wote wamekosa; hakuna atendaye mema, hakuna hata mmoja.
13A gawl uh han kihong ahia; a lei un khemna thu a gen ua. A kam sung uah gul gu a om hi.
13Makoo yao ni kama kaburi wazi, ndimi zao zimejaa udanganyifu, midomoni mwao mwatoka maneno yenye sumu kama ya nyoka.
14A kam uh hamse lohna leh thu khain a dima.
14Vinywa vyao vimejaa laana chungu.
15A khe uh sisan suah dingin a kin suan uhi;
15Miguu yao iko mbioni kumwaga damu,
16A lampi uah manthatna leh gimthuakna a om a;
16popote waendapo husababisha maafa na mateso;
17Khamuanna lampi leng a theikei uhi.
17njia ya amani hawaijui.
18A mit uah Pathian laudansiamna himhim a om kei, chih gelh bangin.
18Hawajali kabisa kumcha Mungu."
19Danin bangpeuh a gen, dan thuthua omte kiangah a gen ahi chi hi thei ngala; kam chiteng a chih theihna dingin leh khovela mi tengteng Pathian vaihawma a om theihna ding un.
19Tunajua kwamba Sheria huwahusu walio chini ya Sheria hiyo, hata hawawezi kuwa na kisingizio chochote, na ulimwengu wote uko chini ya hukumu ya Mungu.
20Huchiin, dan thil hih jiakin mi kuamah a mitmuhin siamtangin a om kei ding uh; dan jiakin khelhna theih kimna a hongom ahi ngala.
20Maana hakuna binadamu yeyote anayekubaliwa kuwa mwadilifu mbele yake Mungu kwa kuishika Sheria; kazi ya Sheria ni kumwonyesha tu mtu kwamba ametenda dhambi.
21Ahihhangin, tun bel dan leh jawlneite natheihsak Pathian dikna tuh dan tellou-a hihlatin a omta;
21Lakini sasa, njia ya Mungu ya kuwakubali watu kuwa waadilifu imekwisha dhihirishwa, tena bila kutegemea Sheria. Sheria na manabii hushuhudia jambo hili.
22huai tuh Jesu Kris gintak jiaka, a gingtate tengteng adia Pathian diktatna ahi. Lamdanna himhim a om kei:
22Mungu huwakubali watu kuwa waadilifu kwa njia ya imani yao kwa Yesu Kristo; Mungu hufanya hivyo kwa wote wanaoamini; hakuna ubaguzi wowote.
23mi tengtengin thil a hihkhelh ua, Pathian thupina a tan zohlouh nungun,
23Watu wote wametenda dhambi na wametindikiwa utukufu wa Mungu.
24Kris Jesu-a om tatna jiakin, a hehpihnaa a thawna siamtansakin a om uh;
24Lakini kwa zawadi ya neema ya Mungu, watu wote hukubaliwa kuwa waadilifu kwa njia ya Yesu Kristo anayewakomboa.
25amah tuh a sisan jiaka thuphatawina hiin, ginnaa muh dingin Pathianin a luikheta. Hiai tuh Pathian dikna latsakna ding ahi, aman a dohtheihna jiaka nidanglai khelhnate a paikan tak jiakin;
25Mungu alimtoa Yesu kusudi, kwa damu yake, awe njia ya kuwaondolea watu dhambi zao kwa imani yao kwake. Alifanya hivyo ili apate kuonyesha kwamba yeye ni mwadilifu. Hapo zamani Mungu alikuwa mvumilivu bila kuzijali dhambi za watu;
26huan, amah ngei tuh a dika, chih leh Jesu-a ginna nei mi tuh siam a tangsak chih chetna dingin.
26lakini sasa, wakati huu, anazikabili dhambi za watu apate kuonyesha uadilifu wake. Kwa namna hiyo Mungu mwenyewe huonyesha kwamba yeye ni mwadilifu na kwamba humkubali kuwa mwadilifu mtu yeyote anayemwamini Yesu.
27Na otna uh koia om ahia leh? Posiahin a omta. Bang danin ahialeh? Thil hihna danin hia? Hi lou hial, ginna danin ahi jaw.
27Basi, tunaweza kujivunia nini? Hakuna! Kwa nini? Je, kwa sababu ya kutimiza Sheria? La! Bali kwa sababu tunaamini.
28Huchiin, dan thilhih hi louin, ginnaa min siam tangin i sep uhi.
28Maana mtu hukubaliwa kuwa mwadilifu kwa imani, wala si kwa kutimiza matakwa ya Sheria.
29Pathian, Judate Pathian ka hia? Jentelte Pathian leng ahi sam ka hia? Hi e, Jentelte-a leng ahi.
29Au je, Mungu nu Mungu wa Wayahudi tu, ama pia wa watu wa mataifa mengine? Naam, wa mataifa mengine pia.
30Pathian khat kia a hih jiakin; huan, aman zeksumte a ginna jiakun, huan, zeksumlouhte a ginna jiakun siam a tangsak ding.Huchi a hih leh dan tuh bangmah louin i bawl ua hia? Bawl lou hial. Dan tuh i hihkip jaw uhi.
30Mungu ni mmoja, naye atawakubali Wayahudi kuwa waadilifu kwa imani yao, na watu wa mataifa mengine pia kwa imani yao.
31Huchi a hih leh dan tuh bangmah louin i bawl ua hia? Bawl lou hial. Dan tuh i hihkip jaw uhi.
31Je, tunaitumia imani kuibatilisha Sheria? Hata kidogo; bali tunaipa Sheria thamani yake kamili.