1Ahihleh, Abraham sa dana I pu un, bang ahia a muh i gen ding?
1Tuseme nini basi, juu ya Abrahamu baba yetu?
2Abrahamin thilhih jiaka siam a tan ngalleh, suan ding a nei ahi, Pathian maah jaw hi hetlouin.
2Kama Abrahamu alikubaliwa kuwa mwadilifu kutokana na matendo yake, basi, anacho kitu cha kujivunia mbele ya Mungu.
3Laisiangthouin bang a gena ahia? Abrahamin Pathian a ging taa, huan, huai ginna tuh a diknaa seh ahi, chiin a gen ahi.
3Kwa maana, Maandiko Matakatifu yasema: "Abrahamu alimwamini Mungu, naye Mungu akamkubali kuwa mwadilifu."
4Huan, nasemmi loh tuh hehpihna a seh ahi keia, bata seh ahi jaw hi.
4Mfanyakazi hulipwa mshahara; mshahara wake si zawadi bali ni haki yake.
5Ahihhangin, na sem loua, Pathian limsaklou siamtangsakpa gingta zomi ginna tuh, amah diktatna a seh ahi.
5Lakini mtu asiyetegemea matendo yake mwenyewe, bali anamwamini Mungu ambaye huwasamehe waovu, basi, Mungu huijali imani ya mtu huyo, na hivi humkubali kuwa mwadilifu.
6Mi, a thilhih ngaihtuah loua, Pathianin diktata a seh, vual a jawl sak thu David in leng,
6Naye Daudi asema hivi juu ya furaha ya mtu ambaye Mungu amemkubali kuwa mwadilifu bila kuyajali matendo yake:
7A tatleknate uh ngaihdama om leh, a khelhnate uh khuha omte, a hampha uhi,
7"Heri wale waliosamehewa makosa yao ambao makosa yao yamefutwa.
8Toupan khelhna neia a seh louhte a hampha uhi, chia a gen bangin.
8Heri mtu yule ambaye Bwana hataziweka dhambi zake katika kumbukumbu."
9Ahihleh, huai hamphatna zeksumte tungah kia hia a om, zeksumloute tungah leng? Abraham ginna a diktatna seh ahi, i chi ngala.
9Je, hiyo ni kwa wale waliotahiriwa tu, ama pia kwa wale wasiotahiriwa? Ni kwa wale wasiotahiriwa pia. Kwa maana tumekwisha sema: "Abrahamu aliamini, naye Mungu akamkubali kuwa mwadilifu."
10Huai bangchi seh ahia leh? A zeksum nungin hia, a zeksum main? A zeksum nungin ahi keia, a zeksum ma in ahi jaw hi.
10Je, Abrahamu alikubaliwa kabla ya kutahiriwa ama baada ya kutahiriwa? Kabla ya kutahiriwa, na si baada ya kutahiriwa.
11Huchiin, zeksumlouh a hih laia ginna jiaka diktatna a muh chiamtehna dingin zeksum tuh a mu hi. Huchi-a amah tuh zeksumlouhte, ahihhanga gingtaa diktatna sehsaka omte, tengteng pa ahih theihna ding.
11Abrahamu alitahiriwa baadaye, na kutahiriwa huko kulikuwa alama iliyothibitisha kwamba Mungu alimkubali kuwa mwadilifu kwa sababu ya imani yake aliyokuwa nayo kabla ya kutahiriwa. Kwa hiyo, Abrahamu amekuwa baba wa wale wote ambao, ingawa hawakutahiriwa, wamemwamini Mungu, wakafanywa waadilifu.
12Huan, huchimah banga, zeksumte, ahihhanga zeksum phet hilou-a i pa uh Abrahamin zek a sum maa ginna a neih bang ginna neite pa a hihtheihna ding ahi.
12Vilevile yeye ni baba wa wale waliotahiriwa; lakini si kwa kuwa wametahiriwa, bali kwa sababu wanafuata njia ileile ya imani baba yetu Abrahamu aliyofuata kabla ya kutahiriwa.
13Abraham; leh a suante kianga, khovel gouluah ding ahi ding uh chih thuchiam jaw dana kinga ahi keia, ginna jiaka diktatna a kinga ahi jaw hi.
13Mungu alimwahidi Abrahamu na wazawa wake kwamba ulimwengu ungekuwa mali yao. Ahadi hiyo haikufanywa kwa sababu Abrahamu aliitii Sheria, bali kwa kuwa aliamini, akakubaliwa kuwa mwadilifu.
14Dan nei mite gouluahte hi ding hile ubel, ginna bangmahin a phatuam keia, thuchiam leng thuchiam ahita kei hi.
14Maana kama watakaopewa hayo aliyoahidi Mungu ni wale tu wanaoitii Sheria, basi, imani haina maana yoyote, nayo ahadi ya Mungu si kitu.
15Danin hehna a tun nak ngala; himahleh dan omlouhna ah tatlekna leng a om kei hi.
15Sheria husababisha ghadhabu; lakini kama hakuna Sheria, haiwezekani kuivunja.
16Huaijiakin, thuchiam tuh hehpihna a piak a hihtheihna dingin ginnaa kinga ahi, suante tengtengin thuchiam pellou-a a luah theihna dingun. Dan nei mite kian a luah kei ding ua, Abraham neih bang ginna neiten leng a luah sam ding uhi; amah tuh i vek ua pa ahi ngala.
16Kwa sababu hiyo, jambo hili lategemea imani, hivyo kwamba ahadi hiyo yatokana na neema ya Mungu, na kwamba ni hakika kuwa ahadi hiyo ni kwa ajili ya wote: si kwa wale tu wanaoishika Sheria, bali pia kwa wale waishio kwa imani kama Abrahamu. Yeye ni baba yetu sisi sote.
17Nam tampite pain ka honbawlta, chia gelh bangin, misite hihhingpa leh thil omloute om bang a genpa a gin Pathian mitmuh ah eite paa bawlin a om hi.
17Kama Maandiko Matakatifu yasemavyo: "Nimekuweka uwe baba wa mataifa mengi." Ahadi hiyo ni kweli mbele ya Mungu ambaye Abrahamu alimwamini--Mungu ambaye huwapa wafu uzima, na kwa amri yake, vitu ambavyo havikuwapo huwa.
18Lamet tuaka a om louhin leng aman jaw lamen takin a gingta a, chi tampite pa a honghih theihna dingin: Tua bangin na suante a honghi ding uh, chia hilha a om bangin.
18Abrahamu aliamini na kutumaini ingawa hali yenyewe ilikuwa bila matumaini, na hivyo amekuwa baba wa mataifa mengi kama Maandiko Matakatifu yasemavyo: "Wazao wako watakuwa wengi kama nyota!"
19Huan, ginna kiplou tuan louin, a pumpi sisa banga om tuh a ngaihtuaha, (amah kum ja khawng mi ahi ngala), Sara ching leng a ngaihtuah sama.
19Alikuwa mzee wa karibu miaka mia moja, lakini imani yake haikufifia ingawa alijua kwamba mwili wake ulikuwa kama umekufa, na pia mkewe, Sara, alikuwa tasa.
20Himahleh, ginna tasamin Pathian thuchiam a ging lel keia, Pathian a pahtawia,
20Abrahamu hakuionea mashaka ile ahadi ya Mungu; alipata nguvu kutokana na imani, akamtukuza Mungu.
21A thuchiam a lohching sak thei chih leng a gingta mahmaha, a ginna a hongkip zota hi.
21Alijua kwamba Mungu anaweza kuyatekeleza yale aliyoahidi.
22Huaijiakin a ginna tuh a diktatna a seh ana hita.
22Ndiyo maana Mungu alimkubali kuwa mwadilifu.
23Huchiin, a ginna tuh a diktatna seh ahi chih amah jiak kiaa gelh ahi keia, eite jiakin leng ahi.
23Inaposemwa, "Alimkubali," haisemwi kwa ajili yake mwenyewe tu.
24Jesu i Toupa misi laka kipana kaithoupa gingtate i hia. I ginna tuh diktatna a seh ahi ding hi.Huai Jesu tuh i tatlekna jiaka matsaka om a, siam i tanna dinga kaihthoha om ahi.
24Jambo hili linatuhusu sisi pia ambao tunamwamini Mungu aliyemfufua Yesu, Bwana wetu, kutoka wafu.
25Huai Jesu tuh i tatlekna jiaka matsaka om a, siam i tanna dinga kaihthoha om ahi.
25Yeye alitolewa auawe kwa ajili ya dhambi zetu, akafufuka ili tupate kukubaliwa kuwa waadilifu na Mungu.