Paite

Swahili: New Testament

Romans

5

1Huaijiakin, ginna jiaka siamtansaka omin i Toupa Jesu Kris pansanin Pathian toh kilemin i om uhi.
1Sasa, kwa vile tumekubaliwa kuwa wadilifu kwa imani, basi, tunayo amani na Mungu kwa ajili ya Bwana wetu Yesu Kristo.
2Amah pansan mahin hiai hehpihna ah I lut ua; huaia dingin Pathian thupina i tan ding lametna ah kipakin i om uhi.
2Kwa imani yetu, yeye ametuleta katika hali hii ya neema ya Mungu ambamo sasa tunaishi. Basi, tunajivunia tumaini tulilo nalo la kushiriki utukufu wa Mungu.
3Huai kia leng hilou in, I gimthuakna ah leng kipakin I om uh, gimthuaknain kuhkalna a tuna,
3Naam, si hayo tu, bali tunafurahi pia katika taabu tukijua kwamba taabu huleta saburi,
4Kuhkalnain theihtelna a tuna, theihtelnain lametna a tun chih theiin;
4nayo saburi huleta uthabiti, na uthabiti huleta tumaini.
5Huan, lametnain tuh honzahlaksak kei, huai Kha Siangthou i kiang ua honpiak pansana Pathian itna i lungtang ua suna a om tak jiakin.
5Tumaini hilo haliwezi kutuhadaa, maana Mungu amekwisha miminia mioyoni mwetu upendo wake kwa njia ya Roho Mtakatifu aliyetujalia.
6I hat nai louhlaiin, a hun takin Kris tuh Pathian limsakloute sikin a hongsita ngala.
6Tulipokuwa bado wanyonge, Kristo, wakati ulipotimia, alikufa kwa ajili yetu sisi waovu.
7Mi dik sika sih, mi a ut ngel kei hial ding ua, mi hoih sikin bel mi kuahiam bekin sih a ngap khamoh kei ding.
7Si rahisi mtu kufa kwa ajili ya mtu mwadilifu; labda mtu anaweza kuthubutu kufa kwa ajili ya mtu mwema.
8Himahleh, Pathianin a hon itna a langsakta mi khialte i hih laia Kris I sika a sihna ah.
8Lakini Mungu amethibitisha kwamba anatupenda, maana wakati tulipokuwa bado wenye dhambi, Kristo alikufa kwa ajili yetu.
9Huchiin, a sisana siamtan saka i om khit nungin, amah jiakin Pathian hehna laka kipan hotdamin i om mahmah ngei ding hi.
9Kwa kuwa sasa tumekubaliwa kuwa waadilifu kwa damu ya Kristo, ni dhahiri zaidi kwamba atatuokoa katika ghadhabu ya Mungu.
10Melma i hih laia bawn a Tapa sihna jiaka Pathian toh nakitam khin i hih ngal un tuh, kitama i om khit nung un a hinna jiakin hotdamin i om sem ding hi.
10Maana, tulipokuwa bado adui zake, Mungu alitupatanisha naye kwa kifo cha Mwanae. Na kwa vile sasa tumepatanishwa naye, ni dhahiri zaidi kwamba tutaokolewa kwa uzima wa Kristo.
11Huchi kia leng ahi keia, kitamna tua honmu sakpa i Toupa Jesu Kris jiakin Pathian ah leng i kipak ahi.
11Wala si hayo tu, ila tunafurahi pia katika Mungu kwa njia ya Bwana wetu Yesu Kristo ambaye ametupatanisha na Mungu.
12Huchiin, mi khat jiakin khelhna khovelah a luta, khelhna jiakin sihna a luta, huchimahbangin mi tengtenga jelsuakta hi.
12Kwa njia ya mtu mmoja dhambi iliingia ulimwenguni, nayo ikasababisha kifo. Hivyo kifo kimeenea katika jumuiya yote ya binadamu, kwa maana wote wametenda dhambi.
13Dan om ma in khovel ah khelhna a om khin ngala; dan a om louh laiin khelhna tuh khelhna a sim ahi kei hi.
13Kabla ya Sheria kuwako, dhambi ilikuwako ulimwenguni; lakini dhambi haiwekwi katika kumbukumbu bila sheria.
14Himahleh, Adam oma kipan Mosi om phain Adam tatlekna banga thil hih khial loute tungah leng sihnain vai a hawm jel hi. Adam tuh hongpai ding tehpihna ahi.
14Lakini tangu wakati wa Adamu mpaka wakati wa Mose, kifo kiliwatawala hata wale ambao hawakutenda dhambi kama ile ya Adamu, ya kumwasi Mungu. Adamu alikuwa kielelezo cha yule ambaye atakuja baadaye.
15Himahleh, thilthawnpiak jaw tatlekna toh a kibang kei. Mi khat tatlekna jiaka mi tampi a sih ua leh Pathian hehpihna leh mi khat Jesu Kris hehpihna thilthawnpiak tuh a kiching zosema mi tampi tunga vuhin a om.
15Lakini ipo tofauti: neema ya Mungu si kama dhambi ya Adamu. Maana, ingawa dhambi ya mtu mmoja ilisababisha kifo kwa wote, kwa fadhili ya mtu mmoja, yaani Yesu Kristo, Mungu amewazidishia wote neema na zawadi zake.
16Huan, thilthawnpiak tuh mi khat tatlekna gah toh leng a kibang sam kei. Mi khat tatlekna tunga vaihawmna in siamlouh tansakna a tuna, mi tampi tatlekna tunga thilthawnpiakin bel siam tansakna a tun hi.
16Kuna tofauti baina ya zawadi ya Mungu, na dhambi ya mtu yule mmoja. Maana, baada ya kosa la mtu mmoja, Mungu alitoa hukumu; lakini baada ya makosa ya watu wengi, Mungu aliwapa zawadi yake kwa kuwasamehe.
17Mi khat tatlekna jiaka sihnain huai mi khat mah pansana vai a hawm leh, hehpihna kiningching mahmah leh diktatna thawnpiak tangten mi khat Jesu Kris pansanin hinna a vai a hawm zosem ding uhi.
17Kweli, kwa dhambi ya mtu mmoja kifo kilianza kutawala kwa sababu ya huyo mtu mmoja; lakini, ni dhahiri zaidi kwamba alichokifanya yule mtu mmoja, yaani Yesu Kristo, ni bora zaidi. Wote wanaopokea neema na zawadi hiyo ya kukubaliwa kuwa waadilifu, watatawala katika uzima kwa njia ya huyo mmoja, yaani Yesu Kristo.
18Huan, mi khat tatleknain mi tengteng adinga siamlouh tansakna a tut mah bangin, mi khat diktatna thilhih-in mi tengteng adingin suahtakna leh hinna a hontun hi.
18Basi, kama vile kosa la mtu mmoja lilivyoleta hukumu kwa binadamu wote, kadhalika kitendo kimoja kiadilifu kinawapa uhuru na uzima.
19Banghanghiam i chih leh, mi khat thumanlouhna jiaka mi tampi mikhiala bawl ahih bangun, mi khat thumanna jiakin mi tampi mi diktata bawl ahi ding uhi.
19Na kama kwa kutotii kwa mtu mmoja watu wengi walifanywa wenye dhambi, kadhalika kutii kwa mtu mmoja kutawafanya wengi wakubaliwe kuwa waadilifu.
20Khelhna latsak sem nadingin Dan a hongom behlapa; Ahihhangin khelhna a khanna peuh ah hehpihna a khang sem,Huchia, khelhnain sihnaa vai a hawm bangtaka, hehpihna inleng i Toupa Jesu Kris pansana diktatna jiaka khantawn hinna donga vai a hawm theihna dingin.
20Sheria ilitokea, ikasababisha kuongezeka kwa uhalifu; lakini pale dhambi ilipoongezeka, neema iliongezeka zaidi.
21Huchia, khelhnain sihnaa vai a hawm bangtaka, hehpihna inleng i Toupa Jesu Kris pansana diktatna jiaka khantawn hinna donga vai a hawm theihna dingin.
21Kama vile dhambi ilivyotawala kwa kifo, kadhalika neema inatawala kwa njia ya uadilifu, na kuleta uzima wa milele kwa njia ya Yesu Kristo Bwana wetu.