1Bang i genta dia leh? Hehpihna a khan sem theihna dingin khelhna ah i om nilouh ding ua hia?
1Tuseme nini basi? Je, twendelee kubaki katika dhambi ili neema ya Mungu iongezeke?
2Om nilouh lou hial ding. Eite khelhna lama sisa, khelhna ah bangchin i hing thei lailai dia?
2Hata kidogo! Kuhusu dhambi sisi tumekufa--tutaendeleaje kuishi tena katika dhambi?
3Eite Kris Jesu-a baptis luta om tengteng a sihna ah baptis lutin i om chih na theikei ua hia?
3Maana, mnajua kwamba sisi tuliobatizwa tukaungana na Kristo Yesu, tulibatizwa na kuungana na kifo chake.
4Huaijiakin a sihna a baptis luta omin amah toh vuikhawmin i om uhi, huchia Pa thupinain misi laka kipana Kris a kaihthohtak banga eite leng hinna thaka i khosak theihna dingin.
4Tulipobatizwa tuliungana na kifo chake, tukazikwa pamoja naye, ili kama vile Kristo alivyofufuliwa kutoka wafu kwa kitendo kitukufu cha Baba, sisi pia tuweze kuishi maisha mapya.
5A sihna ki batpih a amah toh i kizop khit ngal un tuh, a thohnawnna kibatpihin leng i kizom sam ding hi.
5Maana, kama sisi tumeungana naye katika kufa kama yeye, vivyo hivyo tutaungana naye kwa kufufuliwa kutoka wafu kama yeye.
6I mihing lui a kiangah kilhdenin a om samta chih i thei; huchia khelhna pumpi hihmanthata a om theihna ding leh tua kipana khelhna sikhaa i om louhna dingin.
6Tunajua kwamba utu wetu wa kale ulisulubiwa pamoja na Kristo, ili hali ya dhambi iharibiwe, tusiwe tena watumwa wa dhambi.
7Kuapeuh sisa tuh, khelhna lakah a suakta ta ngala.
7Kwa maana, mtu aliyekufa, amenasuliwa kutoka katika nguvu ya dhambi.
8Huan, Kris kianga I suh sam tak aleh, a kiangah I hing sam ding chih I gingta ahi;
8Basi, ikiwa tumekufa pamoja na Kristo, tunaamini kwamba tutaishi pia pamoja naye.
9Kris tuh misi laka kipan kaihthohin a oma, a si nawn kei ding chih i thei ngal ua; sihnain amah tungah thu a neita kei hi.
9Maana, tunajua kwamba Kristo amekwisha fufuliwa kutoka wafu na hafi tena; kifo hakimtawali tena.
10A sihna tuh khelhna lam thu ah khantawna din khat vei kia a si ahi, a hinna bel Pathian lam thu ah a hing ahi.
10Hivyo, kwa kuwa alikufa--mara moja tu--dhambi haina nguvu tena juu yake; na sasa anaishi maisha yake katika umoja na Mungu.
11Huchi mahbangin nou leng khelhna lam thu ah sisain kisep unla, Pathian lam thu ah bel Kris Jesu ah hingin kisep un.
11Hali kadhalika nanyi lazima mjione kuwa mmekufa kuhusu dhambi, lakini kama mnaoishi katika umoja na Mungu kwa njia ya Kristo Yesu.
12Huaijiakin, na pumpi uh duhgawlna thu mang dingin na pumpi si thei uah khelhna vaihawm sak kei un.
12Kwa hiyo, dhambi isiitawale tena miili yenu ambayo hufa, na hivyo kuzitii tamaa zake.
13Na pumpi hiangte uh leng diklouhna vanzat dingin khelhna kiangah pe phal sam kei un; a hihhangin misi laka kipan hing nawn bangin Pathian kiangah kipia unla, na pumpi hiangte uh leng dikna vanzat dingin Pathian kiangah pe phal jaw un.
13Wala msitoe hata sehemu moja ya miili yenu iwe chombo cha kutenda uovu na dhambi. Badala yake, jitoleeni ninyi wenyewe kwa Mungu kama watu waliofufuliwa kutoka wafu; toeni nafsi zenu zote kwa Mungu kwa ajili ya uadilifu.
14Banghianghiam i chih leh, khelhnain na tunguah thu a nei takei ding, dan vaihawma om na hi kei ua, hehpihna vaihawma om na hi jaw uhi.
14Maana, dhambi haitawatawala ninyi tena, kwani hamko chini ya Sheria, bali chini ya neema.
15Bangchin ahi dia leh? Dan vaihawm a om i hih kei ua, hehpihna vaihawma om i hih jawk jiakin i khial ding uh ahi diam?
15Basi, tuseme nini? Je, tutende dhambi ati kwa sababu hatuko chini ya Sheria bali chini ya neema? Hata kidogo!
16Hilou hial ding. Kua kiang peuhah leng a thu mang dinga a sikha dia na lut un tuh sihna khopa khelhna sikha hiam, dikna khopa thu mang sikha hiam, a thu na man uh sikha na hi uh chih na theikei ua hia?
16Mnajua kwamba mkijitolea ninyi wenyewe kama watumwa na kumtii fulani, mnakuwa kweli watumwa wake mtu huyo--au watumwa wa dhambi, na matokeo yake ni kifo, au wa utii, na matokeo yake ni kukubaliwa kuwa waadilifu.
17Ahihhangin, khelhna sikha nahita mahle uchin, thuginpi huaia na kipiakna uh, lungtang taktakin na juita ua, Pathian kiangah kipahthu om heh;
17Ingawa mlikuwa watumwa wa dhambi zamani, sasa lakini--namshukuru Mungu--mmetii kwa moyo wote yale maazimio na mafundisho mliyopokea.
18Khelhna laka kipan suahtak sakin nong om ua, dikna sikhate na honghita uhi.
18Mlikombolewa kutoka utumwa wa dhambi, mkawa watumwa wa uadilifu.
19Na sa uh hat louh jiakin mihing danin thu ka gen hi; na sa hiangte uh nitna kiang leh, tatlekna dinga tatlekna kianga sikha dia na piak phal bang un, tuin na sa hiangte uh sangthouna dingin dikna kiangah sikha dingin pe phal un.
19(Hapa natumia lugha ya kawaida ya watu kwa sababu ya udhaifu wenu wenyewe.) Kama vile wakati fulani mlivyojitolea ninyi wenyewe kutumikia uchafu na uhalifu kwa ajili ya uovu, vivyo hivyo sasa jitoleeni nafsi zenu wenyewe kutumikia uadilifu kwa ajili ya utakatifu.
20Khelhna sikhate na hih lai un dikna lakah na siang ua.
20Mlipokuwa watumwa wa dhambi, mlikuwa huru mbali na uadilifu.
21Tua na thil zahpih sate uah, huai laiin gah bang ahia nanamuh jel uh?
21Sasa, mlipata faida gani siku zile kutokana na mambo yale ambayo mnayaonea aibu sasa? Maana, matokeo ya mambo haya ni kifo!
22Huai thil tawpna jaw sihna a nahi nak ahi. Tunah bel khelhna laka hihsianga omin, Pathian sikhate na honghih un, siangthouna mu khopin na gah uh na nei uh a keihiam, huai tawpna khantawna hinna toh.Khelhna man tuh sihna ahi ngala Pathian thilthawnpiak bel i Toupa Kris Jesu jiakin khantawna hinna ahi.
22Lakini sasa, mmekwisha kombolewa kutoka utumwa wa dhambi na mmekuwa watumishi wa Mungu; faida mliyo nayo sasa ni utakatifu, na matokeo yake ni uzima wa milele.
23Khelhna man tuh sihna ahi ngala Pathian thilthawnpiak bel i Toupa Kris Jesu jiakin khantawna hinna ahi.
23Kwa maana mshahara wa dhambi ni kifo; lakini zawadi anayotoa Mungu ni uzima wa milele katika kuungana na Kristo Yesu, Bwana wetu.