Paite

Swahili: New Testament

Romans

7

1Ahihleh, unaute aw, danin mi a dam sung teng a tungah vai a hawm nak chih na theikei ua hia? – dan thei mite kiangah ka gen ahi.
1Ndugu zangu, bila shaka mtaelewa yafuatayo, maana ninawazungumzia watu wanaojua Sheria. Sheria humtawala mtu wakati akiwa hai.
2Numei, pasal nei a pasal a dam sung teng dana a pasala henkhawmin a om ahi; himahleh, a sihin, pasal lamah dan akipan khahin a om ahi.
2Mathalan: mwanamke aliyeolewa anafungwa na sheria muda wote mumewe anapokuw hai; lakini mumewe akifa, hiyo sheria haimtawali tena huyo mwanamke.
3Hichiin, a pasal dam sunga mi dang a kitenpih leh, Angkawm, chih ahi ding hi; a pasal a sihin bel huai dan akipan khahin a oma, huchiin, mi dang nei leh leng angkawm ahi kei hi.
3Hivyo mwanamke huyo akiishi na mwanamume mwingine wakati mumewe yungali hai, ataitwa mzinzi; lakini mumewe akifa, mwanamke huyo yu huru kisheria, na akiolewa na mwanamume mwingine, yeye si mzinzi.
4Huan, ka unaute aw, Pathian lama i gah theihna dingin midang, misi laka kipan kaihthoh ngeingei na kitenpih theihna ding un, Kris pumpi pansanin dan lamah hihsihin na omta uhi.
4Hali kadhalika ninyi ndugu zangu: ninyi pia mmekufa kuhusu Sheria kwa kuwa ninyi ni sehemu ya mwili wa Kristo; sasa mmekuwa wake yeye aliyefufuliwa kutoka wafu ili tupate kuzaa matunda mema kwa ajili ya Mungu.
5Sa a i om lai un dan jiaka khelhna utna hongsuakten, i sa hiangte ah, sihna khopa gah dingin, a sem naka.
5Maana, tulipokuwa tukiishi kimaumbile tu, tamaa mbaya zikichochewa na Sheria, zilifanya kazi katika miili yetu, na kuchuma pato la kifo.
6Tuin bel honlenpa lakah sikhinin, dan akipan khahin i omta, laigelh lui bang lel hi loua, Khaa hinna thaka na i sep theihna dingin.
6Lakini sasa tumekuwa huru kutoka vifungo vya Sheria, kwa sababu tumekufa kuhusu lile jambo lililotufanya sisi watumwa. Sasa tunatumikia kufuatana na maisha mapya ya Roho, na si kufuatana na hali ile ya kale ya Sheria iliyoandikwa.
7Bang i genta dia leh? Dan khelhna hia? Hi lou hial. Himahleh, dan jiaka theih hi keileh, khelhna theilou ding hi ing a; danin, eng ken, chi kei leh, eng chih theilou ding hi inga.
7Je, tuseme basi, kwamba Sheria ni dhambi? Hata kidogo! Lakini bila Sheria, mimi nisingalijua dhambi ni kitu gani. Maana, nisingalijua ni nini hasa kutamani mabaya, kama Sheria isingalikuwa imesema: "Usitamani."
8Himahleh, khelhnain, thupiak jiakin, lemtan lai muin enna chiteng ka sungah a om saka.
8Kwa kuitumia hiyo amri, dhambi ilipata fursa ya kuamsha kila aina ya tamaa mbaya ndani yangu. Maana, bila Sheria dhambi ni kitu kilichokufa.
9Dan lou injaw khelhna si ahi. Huan, tumalamin kei dan louin ka hinga; himahleh thupiak a hongom takin khelhna a honghalh a, kei ka sita hi.
9Wakati mmoja mimi nilikuwa hai mbali na Sheria; lakini amri ilipokuja, dhambi ilifufuka,
10Huan, hinna thuchiam nei thupiak tuh keidin sihna a honghi chih ka na theita.
10nami nikafa. Hiyo amri ambayo shabaha yake ilikuwa kuleta uhai, kwangu imeleta kifo.
11Khelhnain thupiak jiakin, lemtan lai muin honkhema, thupiak zangin a honhihlumta hi.
11Maana, dhambi ilichukua fursa iliyopatiwa na amri hiyo, ikanidanganya na kuniua.
12Huchiin, dan tuh a siangthou ahi, thupiak leng a siangthou a, adika, a hoih ahi.
12Basi, Sheria yenyewe ni takatifu, na amri yenyewe ni takatifu, ni ya haki na nzuri.
13Ahihleh, thil hoih keia din sihna a honghi ahia? Hilou hial. Khelhna kei sin sihna a honghi zo ta ahi. Huchiin, khelhna tuh khelhna ahi chih a lat theihna dingin thil hoih zangin a honhihlum ahi; thupiak jiaka khelhna tuh khelhna thupitak a honghih theihna dingin.
13Je, hii inamaanisha kwamba kile kilicho kizuri kimesababisha kifo changu? Hata kidogo! Iliyo ni kwamba, dhambi, ili ionekane dhahiri kuwa ni dhambi, imekitumia kile kilicho kizuri na kusababisha kifo changu. Hivyo dhambi, kwa njia ya ile amri, ilijionyesha kikamilifu jinsi ilivyo mbaya mno.
14Dan tuh khalam thil ahi chih i thei ngal ua, kei bel sami khelhna a khotsa ka hi.
14Tunajua kwamba Sheria ni ya kiroho, lakini mimi ni wa kidunia, mimi nimeuzwa kuwa mtumwa wa dhambi.
15Thil ka hihpen, a dan ka theikei; ka thil hih jelpen, ka thihih utlam ahi ngal keia, ka thil huatlam tak ka hih zo nak ahi.
15Sielewi nifanyacho, maana kile ninachotaka sikifanyi, bali kile ninachochukia ndicho nikifanyacho.
16Ka hih ut louh lam ka hih ngalin, dan a hoih chih pompih ka hi ta hi.
16Ikiwa basi, ninatenda kinyume cha matakwa yangu, hii inamaanisha kwamba nakubali kuwa ile Sheria ni nzuri.
17Huaichiangin, ka thilhihpen keimah hih a hita keia, khelhna keimaha om hih ahi jaw hi.
17Basi, si mimi hasa ninayefanya kitu hicho, bali ile dhambi iliyo ndani yangu.
18Keimah ah, huai tuh ka sa ah, thil hoih himhim a teng kei chih ka thei: thil hoih hih utna jaw keimah ah a om na a, thil hoih ka hihthei kei.
18Najua kwamba hamna jema lolote ndani yangu mimi, kadiri ya ubinadamu wangu. Kwa maana, ingawa nataka kufanya jambo jema, siwezi kulitekeleza.
19Hoihna hih ka ut pen ka hih keia, khelhna hih ka ut louhpen, ka hih zo naka.
19Yaani, badala ya kufanya lile jambo jema ninalotaka, nafanya lile baya nisilotaka.
20Ka utlouh lam pen ka hih ngal chiangin, a hihpa tuh kei ka hita keia, khelhna keimaha ompen ahi jaw hi.
20Basi, kama ninafanya kinyume cha matakwa yangu, hii inamaanisha kwamba si mimi ninayefanya hayo, bali ni ile dhambi iliyo ndani yangu.
21Huchiin, hiai dan ka hontheita; thil hoih hih ka ut laiin gitlouhna ka kiangah a hongom nak ahi.
21Basi, nimegundua kanuni hii: ninataka kufanya jema, lakini najikuta kwamba lile lililo baya ndilo ninalochagua.
22Ka lungsim taktakin Pathian dan tungah ka kipak ngal naka;
22Ndani kabisa katika moyo wangu naifurahia sheria ya Mungu.
23Himahleh, ka sa hiangte ah dan tuam a om chih ka thei, huaiin ka lungsim dan a dou a, ka sa hiangtea khelhna dan om kiangah salin a honpi nak hi.
23Lakini naona kwamba kuna sheria nyingine inayofanya kazi mwilini mwangu, sheria ambayo inapingana na ile inayokubaliwa na akili yangu. Hiyo inanifanya niwe mtumwa wa sheria ya dhambi ifanyayo kazi mwilini mwangu.
24Mi genthei hina lawmlawm ing e! Hiai sihna pumpi lakah kuan ahia honsuakta sak ding?Jesu Kris i Toupa jiakin Pathian kiangah kipahthu ka gen ahi. Huchiin, keimah takin jaw ka lungsimin Pathian dan ka sema, ka sain tuh gitlouhna dan a sem hi.
24Maskini miye! Nani atakayeniokoa kutoka katika mwili huu unaonipeleka kifoni?
25Jesu Kris i Toupa jiakin Pathian kiangah kipahthu ka gen ahi. Huchiin, keimah takin jaw ka lungsimin Pathian dan ka sema, ka sain tuh gitlouhna dan a sem hi.
25Shukrani kwa Mungu afanyaye hayo kwa njia ya Bwana wetu Yesu Kristo! Hii basi, ndiyo hali yangu: mimi binafsi, kwa akili yangu, ninaitumikia sheria ya dhambi.