1A nie chcę, abyście nie mieli wiedzieć bracia! iż ojcowie nasi wszyscy pod obłokiem byli i wszyscy przez morze przeszli;
1Ndugu, nataka mjue kwamba babu zetu wote walikuwa chini ya ulinzi wa lile wingu, na kwamba wote walivuka salama ile bahari.
2I wszyscy w Mojżesza ochrzczeni są w obłoku i w morzu;
2Wote walibatizwa katika umoja na Mose kwa lile wingu na ile bahari.
3I wszyscy tenże pokarm duchowny jedli;
3Wote walikula chakula kilekile cha kiroho,
4I wszyscy tenże napój duchowny pili; albowiem pili z opoki duchownej, która za nimi szła; a tą opoką był Chrystus.
4wakanywa pia kinywaji kilekile cha kiroho, maana walikunywa kutoka ule mwamba wa kiroho uliowafuata; mwamba huo ulikuwa Kristo mwenyewe.
5Lecz większej części z nich nie upodobał sobie Bóg; albowiem polegli na puszczy.
5Hata hivyo, wengi wao hawakumpendeza Mungu, na maiti zao zilisambazwa jangwani.
6A te rzeczy stały się nam za wzór na to, abyśmy złych rzeczy nie pożądali, jako i oni pożądali
6Sasa, mambo hayo yote ni mfano tu kwetu; yanatuonya sisi tusitamani ubaya kama wao walivyotamani.
7Nie bądźcież tedy bałwochwalcami jako niektórzy z nich, tak jako napisano: Siadł lud, aby jadł i pił, i wstali grać.
7Msiwe waabudu sanamu kama baadhi yao walivyokuwa; kama yasemavyo Maandiko: "Watu waliketi kula na kunywa, wakasimama kucheza."
8Ani się dopuszczajmy wszeteczeóstwa, jako się niektórzy z nich wszeteczeóstwa dopuszczali i padło ich jednego dnia dwadzieścia i trzy tysiące.
8Wala tusizini kama baadhi yao walivyozini, wakaangamia siku moja watu ishirini na tatu elfu.
9Ani kuśmy Chrystusa, jako niektórzy z nich kusili i od wężów poginęli.
9Tusimjaribu Bwana kama baadhi yao walivyomjaribu, wakauawa na nyoka.
10Ani szemrzyjcie, jako niektórzy z nich szemrali, i poginęli od tego, który wytraca.
10Wala msinung'unike kama baadhi yao walivyonung'unika, wakaangamizwa na Mwangamizi!
11A te wszystkie rzeczy przydały się im za wzór, a napisane są dla napomnienia naszego, na których koniec świata przyszedł.
11Basi, mambo hayo yaliyowapata wao ni kielelezo kwa wengine, na yaliandikwa ili kutuonya sisi, ambao mwisho wa nyakati unatukabili.
12A tak kto mniema, że stoi, niechże patrzy, aby nie upadł.
12Anayedhani amesimama imara ajihadhari asianguke.
13Pokuszenie się was nie jęło, tylko ludzkie; ale wiernyć jest Bóg, który nie dopuści, abyście byli kuszeni nad możność waszę, ale uczyni z pokuszeniem i wyjście, abyście znosić mogli.
13Majaribu mliyokwisha pata ni ya kawaida kwa binadamu. Mungu ni mwaminifu, naye hataruhusu mjaribiwe kupita nguvu zenu, ila pamoja na majaribu, yeye atawapeni pia nguvu ya kustahimili na njia ya kutoka humo salama.
14Przetoż, najmilsi moi! uciekajcie przed bałwochwalstwem.
14Kwa hiyo, wapenzi wangu, epeni ibada za sanamu.
15Jako mądrym mówię; rozsądźcie wy, co mówię.
15Naongea nanyi, watu wenye busara; jiamulieni wenyewe hayo nisemayo.
16Kielich błogosławienia, który błogosławimy, izali nie jest społecznością krwi Chrystusowej? Chleb, który łamiemy, izali nie jest społecznością ciała Chrystusowego?
16Tunapomshukuru Mungu kwa kikombe kile cha baraka, je, huwa hatushiriki damu ya Kristo? Na tunapoumega mkate, je, huwa hatushiriki mwili wa Kristo?
17Albowiem jednym chlebem, jednym ciałem wiele nas jest; bo wszyscy chleba jednego jesteśmy uczestnikami.
17Kwa kuwa mkate huo ni mmoja, sisi, ingawa ni wengi, tu mwili mmoja; maana sote twashiriki mkate huohuo.
18Spojrzyjcie na Izraela, który jest według ciała; izaż ci, którzy jedzą ofiary, nie są uczestnikami ołtarza?
18Chukueni, kwa mfano, Wayahudi wenyewe: kwao, wenye kula vilivyotambikiwa madhabahuni waliungana na hiyo madhabahu.
19Cóż tedy mówię? Żeby bałwan miał być czem, a iżby to, co bywa bałwanom ofiarowane, miało czem być?
19Nataka kusema nini, basi? Kwamba chakula kilichotambikiwa sanamu ni kitu zaidi ya chakula? Na hizo sanamu, je, ni kitu kweli zaidi ya sanamu?
20Owszem powiadam, iż to, co poganie ofiarują, dyjabłom ofiarują a nie Bogu; a nie chciałbym, abyście byli uczestnikami dyjabłów.
20Hata kidogo! Ninachosema ni kwamba tambiko wanazotoa watu wasiomjua Mungu wanawatolea pepo, sio Mungu. Sipendi kamwe ninyi muwe na ushirika na pepo.
21Nie możecie pić kielicha Paóskiego i kielicha dyjabelskiego; nie możecie być uczestnikami stołu Paóskiego i stołu dyjabelskiego.
21Hamwezi kunywa kikombe cha Bwana na kikombe cha pepo; hamwezi kushiriki katika meza ya Bwana na katika meza ya pepo.
22I mamyż drażnić Pana? Izaliśmy mocniejsi niżeli on?
22Au je, tunataka kumfanya Bwana awe na wivu? Mnadhani tuna nguvu zaidi kuliko yeye?
23Wszystko mi wolno, ale nie wszystko pożyteczne; wszystko mi wolno, ale nie wszystko buduje.
23Vitu vyote ni halali, lakini si vyote vinafaa. Vitu vyote ni halali lakini si vyote vinajenga.
24Nikt niechaj nie szuka tego, co jest jego, ale każdy, co jest bliźniego.
24Mtu asitafute faida yake mwenyewe, ila faida ya mwenzake.
25Cokolwiek w jatkach sprzedawają, jedzcie, nic nie pytając dla sumienia.
25Kuleni chochote kile kiuzwacho sokoni bila ya kuulizauliza kwa sababu ya dhamiri zenu;
26Albowiem Paóska jest ziemia i napełnienie jej.
26maana Maandiko yasema: "Dunia na vyote vilivyomo ni mali ya Bwana."
27A jeźliby was kto zaprosił z niewiernych, a chcecie iść, wszystko, co przed was położą, jedzcie, nic nie pytając dla sumienia.
27Kama mtu ambaye si muumini akiwaalikeni nanyi mkakubali kwenda, basi, kuleni vyote atakavyowaandalieni bila kuulizauliza kwa sababu ya dhamiri zenu.
28Ale jeźliby wam kto rzekł: To jest bałwanom ofiarowane, nie jedzcie dla onego, który to oznajmił i dla sumienia; albowiem Paóska jest ziemia i napełnienie jej.
28Lakini mtu akiwaambieni: "Chakula hiki kimetambikiwa sanamu," basi, kwa ajili ya huyo aliyewaambieni hivyo na kwa ajili ya dhamiri, msile.
29A powiadam dla sumienia, nie twego, ale onego drugiego; bo przeczże wolność moja ma być osądzona od cudzego sumienia?
29Nasema, "kwa ajili ya dhamiri," si dhamiri yenu, bali dhamiri yake huyo aliyewaambieni. Mtaniuliza: "Kwa nini uhuru wangu utegemee dhamiri ya mtu mwingine?
30A ponieważ ja z dziękowaniem pożywam, czemuż o to mam być bluźniony, za co ja dziękuję?
30Ikiwa mimi nashiriki chakula hicho huku namshukuru Mungu, kwa nini nilaumiwe kwa chakula ambacho kwa ajili yake nimemshukuru Mungu?"
31Przetoż lub jecie lub pijecie, lub cokolwiek czynicie, wszystko ku chwale Bożej czyócie.
31Basi, chochote mfanyacho iwe ni kula au kunywa, fanyeni yote kwa ajili ya utukufu wa Mungu.
32Nie bądźcie obrażeniem i Żydom, i Grekom, i zborowi Bożemu;
32Msiwe kikwazo kwa Wayahudi au kwa Wagiriki au kwa kanisa la Mungu.
33Jako i ja we wszystkiem się wszystkim podobam, nie szukając w tem swego pożytku, ale wielu ich, aby byli zbawieni.
33Muwe kama mimi; najaribu kuwapendeza wote kwa kila njia, bila kutafuta faida yangu mwenyewe ila faida ya wote, wapate kuokolewa.